MBWADUKE: YANGA YAZIDI KUPAA CAF! RASMI HAIANZII TENA MCHUJO LIGI YA MABINGWA/ MAKUNDI IKO POT 2...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    UFAFANUZI
    Kumradhi. Wydad imemaliza katika nafasi ya 5 kwenye msimamo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Morocco na siyo nafasi ya 4.
    By Mhariri -- Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"

Комментарии • 58

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 14 дней назад +9

    Mungu ibariki Yanga Mungu mbariki GSM mpe afya njema asipungukiwe Mungu mpe baraka tele Rais Eng Heris uzidi kumpa maarifa Mungu bariki Kocha wetu Gamondi na benchi lake la ufundi

  • @francomsigala9686
    @francomsigala9686 14 дней назад +12

    Tunashukuru soka letu la bongo linakuwa👍👍👍👍

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 14 дней назад +11

    Wakati wa mungu ni wakati sahihi. ❤❤❤

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 14 дней назад +10

    Mungu wetu zidi IBARIKI YANGA

  • @amanisalumu4682
    @amanisalumu4682 14 дней назад +8

    Ufafanuzi safi kabisa. 👏

  • @VedastusZawadi
    @VedastusZawadi 10 дней назад

    GCM mungu akubaliki sanaaaa, ktk uongozi wk wa yanga atuna chakukulipa wana yanga, mungu akulinde kila jitihada zk Amina

  • @mzansi27
    @mzansi27 14 дней назад +7

    Mbwaduke ni Mwalimu Bora kabisa

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 14 дней назад +5

    Mungu ibariki YANGA

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 14 дней назад +7

    Wananchi, MUNGU aliye hai, yupo upande wetu, ubingwa wa CAF champions league ni wetu, 2024/25

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 14 дней назад +4

    Asante mzee wa Data

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 14 дней назад +2

    Thank youuu mzèe wa data tunakuelewaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 13 дней назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏💛💚💪zetu dua cku zote 🙏🙏 asanteni viongozi wetu Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏

  • @daudimmary3965
    @daudimmary3965 14 дней назад +4

    Nakubali sana mwamba chukua maua yako 🎉🎉🎉...

  • @user-jw3gi6nn2i
    @user-jw3gi6nn2i 12 дней назад

    Asante Kwa Kutuhabarisha Wachumbuzi Uchwara Wakufuate Uwape Elimu

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es 14 дней назад +7

    Nawaona yanga fainali msimu ujaoo

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 13 дней назад +1

    Asante Mungu Kwa kutupandisha juu kwenye ubingwaaaaaaaaaaaaaaa

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 14 дней назад +2

    Asante Engineer katuheshimisha

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f 14 дней назад +2

    Big up mzee wa data

  • @zachariazacharia-ud6pl
    @zachariazacharia-ud6pl 13 дней назад +1

    mwakani kama sio medali bac ndooo...HERE WE DO💚💚💚💛💛🇹🇿🇹🇿

  • @martinmaseleka751
    @martinmaseleka751 14 дней назад +2

    Mbwaduke unajua sana

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 8 дней назад

      Alafu hana upendeleo wa upande wowote Simba akifanya vizuri anachambua viizuri, Yanga akifanya vizuri anaichambua vilevile yaani huwezi kujua upande wake

  • @richboaz
    @richboaz 14 дней назад +3

    Hakika huwa nakukubari sana kiongozi

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 13 дней назад

    Nakubali sana mzee wetu wa takwimu sasa fanya mpango upate maiki ya kuvaa sio kushika na mkono

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 13 дней назад

    Naipongeza yanga na wadau wote wanaoisapot timu hii Maana tulikuwa team work Hadi matokeo haya mazuri tunayapata na kipekeee mwenyezi mungu ni wa kwanza katika hili Amen

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 14 дней назад +2

    GSM hongera kwake

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 14 дней назад +4

    Maneno ni yaleyale ya boss GSM "Yanga bingwa"

  • @andrewmkongoman6909
    @andrewmkongoman6909 14 дней назад +2

    Mbwaduke nakukubali sana ktk uchambuzi wako

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 13 дней назад

    Waooo !! YANGA🎉🎉🎉 JUU POKEA MAUA YENU WANA YANGA WOTEEEE🙏💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza5982 8 дней назад

    Safiii!!!!!

  • @VumiliaYusuph
    @VumiliaYusuph 13 дней назад +1

    Itakuwaje kama zamalek ikimaliza nafasi ya pili katika ligi kuu misri

  • @gkileo10
    @gkileo10 14 дней назад +1

    Mzee wa data nakuelewaga sana icho kichwa chako nibkama computer hakisahau🎉🎉

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 3 дня назад

    New yanga msimu ujao naiona

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5l 14 дней назад +3

    Tunamuomba Mamelodi sundowns tumuulize lile goli sio goli

  • @User255tv
    @User255tv 14 дней назад +5

    Nimefurahi sana ulivyoifyekelea mbali mikia fc.

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 14 дней назад +1

      😂😂😂 wako uko matopen

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 14 дней назад

    Good job my brother!

  • @Hbk206
    @Hbk206 14 дней назад

    You the best

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 14 дней назад +2

    LILE KUNDI TULILOSEMA NI UNGA WAWILI SHIRIKISHO, MMOJA CHALI, MAKHIRIKHIRI PEKEE KABAKI MABINGWA

  • @reinfridmzaga6631
    @reinfridmzaga6631 12 дней назад +1

    Mbwaduke n bonge la tcha

  • @michaeljosephat213
    @michaeljosephat213 8 дней назад

    Mwaduke ni Bíg brain sana,. Yani ana data kichwani na ana flow nzuri sana.
    Mzee anamwitaga compyuter tukiwa sebleni.

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 8 дней назад

      Amejitwalia umaarufu Tanzania na barani Afrika nzima nafikiri kwa sasa ndiye mchambuzi bora

  • @CreedySotte-ko8zj
    @CreedySotte-ko8zj 13 дней назад

    🎉🎉

  • @tanzaniabusesupdates5311
    @tanzaniabusesupdates5311 14 дней назад +1

    Hapo nataman mamelod ajae kwenye copy za yanga again na atajuta

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig 13 дней назад

    Mzee wa data

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 14 дней назад

    Yanga

  • @user-tp7ui4df8j
    @user-tp7ui4df8j 3 дня назад

    Yanga ni bora simba fanyeni usajiri acheni maneno

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 13 дней назад

    🙏🙏🙏🙏🙏👑👑👑👑👑👑👑

  • @prospermatovu3334
    @prospermatovu3334 10 дней назад

    Ina maana asas ni bora kuliko simba?

  • @Ba63828
    @Ba63828 14 дней назад

    MZEE WA DATA

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 14 дней назад

    YAANI!! YAANI!! MBWANDUKE UMELIFUKUA KABURI LA MAUMIVU LA JAMAA ZETU WASIOIPENDA YANGA!!

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 13 дней назад

    Wewe ni mchambuzi Bora zaidi afrika....unafanya soka lionekane kitu rahisi

  • @DeogracessNsaji
    @DeogracessNsaji 10 дней назад

    Ninamuerewasana kwa uchambuz

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 14 дней назад

    Wana nchi

  • @omaryjuma5204
    @omaryjuma5204 14 дней назад

    💚💛🖤💚🙏🙏🙏

  • @shalooboyburundi
    @shalooboyburundi 14 дней назад

    mbwaduke napenda unavyo chabuwa

  • @vitusingonyani
    @vitusingonyani 13 дней назад

    kongole kwako bwatuke

  • @EmmanuelJohnMussa
    @EmmanuelJohnMussa 12 дней назад

    Mr Mbwaduke mchambuzi fundi Tanzania 😢😮😮