MBWADUKE: YANGA YAZIDI KUPAA CAF! RASMI HAIANZII TENA MCHUJO LIGI YA MABINGWA/ MAKUNDI IKO POT 2...
HTML-код
- Опубликовано: 15 июн 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
UFAFANUZI
Kumradhi. Wydad imemaliza katika nafasi ya 5 kwenye msimamo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Morocco na siyo nafasi ya 4.
By Mhariri -- Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Mungu ibariki Yanga Mungu mbariki GSM mpe afya njema asipungukiwe Mungu mpe baraka tele Rais Eng Heris uzidi kumpa maarifa Mungu bariki Kocha wetu Gamondi na benchi lake la ufundi
Tunashukuru soka letu la bongo linakuwa👍👍👍👍
Wakati wa mungu ni wakati sahihi. ❤❤❤
Mungu wetu zidi IBARIKI YANGA
Ufafanuzi safi kabisa. 👏
GCM mungu akubaliki sanaaaa, ktk uongozi wk wa yanga atuna chakukulipa wana yanga, mungu akulinde kila jitihada zk Amina
Mbwaduke ni Mwalimu Bora kabisa
Mungu ibariki YANGA
Wananchi, MUNGU aliye hai, yupo upande wetu, ubingwa wa CAF champions league ni wetu, 2024/25
Asante mzee wa Data
Thank youuu mzèe wa data tunakuelewaa🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🙏🙏💛💚💪zetu dua cku zote 🙏🙏 asanteni viongozi wetu Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏
Nakubali sana mwamba chukua maua yako 🎉🎉🎉...
Asante Kwa Kutuhabarisha Wachumbuzi Uchwara Wakufuate Uwape Elimu
Nawaona yanga fainali msimu ujaoo
Asante Mungu Kwa kutupandisha juu kwenye ubingwaaaaaaaaaaaaaaa
Asante Engineer katuheshimisha
Big up mzee wa data
mwakani kama sio medali bac ndooo...HERE WE DO💚💚💚💛💛🇹🇿🇹🇿
Mbwaduke unajua sana
Alafu hana upendeleo wa upande wowote Simba akifanya vizuri anachambua viizuri, Yanga akifanya vizuri anaichambua vilevile yaani huwezi kujua upande wake
Hakika huwa nakukubari sana kiongozi
Nakubali sana mzee wetu wa takwimu sasa fanya mpango upate maiki ya kuvaa sio kushika na mkono
Naipongeza yanga na wadau wote wanaoisapot timu hii Maana tulikuwa team work Hadi matokeo haya mazuri tunayapata na kipekeee mwenyezi mungu ni wa kwanza katika hili Amen
GSM hongera kwake
Maneno ni yaleyale ya boss GSM "Yanga bingwa"
Mbwaduke nakukubali sana ktk uchambuzi wako
Waooo !! YANGA🎉🎉🎉 JUU POKEA MAUA YENU WANA YANGA WOTEEEE🙏💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚
Safiii!!!!!
Itakuwaje kama zamalek ikimaliza nafasi ya pili katika ligi kuu misri
Mzee wa data nakuelewaga sana icho kichwa chako nibkama computer hakisahau🎉🎉
New yanga msimu ujao naiona
Tunamuomba Mamelodi sundowns tumuulize lile goli sio goli
Nimefurahi sana ulivyoifyekelea mbali mikia fc.
😂😂😂 wako uko matopen
Good job my brother!
You the best
LILE KUNDI TULILOSEMA NI UNGA WAWILI SHIRIKISHO, MMOJA CHALI, MAKHIRIKHIRI PEKEE KABAKI MABINGWA
Mbwaduke n bonge la tcha
Mwaduke ni Bíg brain sana,. Yani ana data kichwani na ana flow nzuri sana.
Mzee anamwitaga compyuter tukiwa sebleni.
Amejitwalia umaarufu Tanzania na barani Afrika nzima nafikiri kwa sasa ndiye mchambuzi bora
🎉🎉
Hapo nataman mamelod ajae kwenye copy za yanga again na atajuta
Haaaaaa
Mzee wa data
Yanga
Yanga ni bora simba fanyeni usajiri acheni maneno
🙏🙏🙏🙏🙏👑👑👑👑👑👑👑
Ina maana asas ni bora kuliko simba?
MZEE WA DATA
YAANI!! YAANI!! MBWANDUKE UMELIFUKUA KABURI LA MAUMIVU LA JAMAA ZETU WASIOIPENDA YANGA!!
Wewe ni mchambuzi Bora zaidi afrika....unafanya soka lionekane kitu rahisi
Ninamuerewasana kwa uchambuz
Wana nchi
💚💛🖤💚🙏🙏🙏
mbwaduke napenda unavyo chabuwa
kongole kwako bwatuke
Mr Mbwaduke mchambuzi fundi Tanzania 😢😮😮