Director hanscana good job broo like you job broo love fever job najaribu kukufatilia sana n mim ni mmoja wapo nafanya hiyo kazi nakuomba broo unitazame nin nafanya
Hello bro Mimi ni upcoming music video director nafurahia sana kazi yako, Na kwa umri wako Na mafanikio, waniinspire sana. Naomba unavyofanya review ueleze mambo kuhusu camera, lighting, haze, camera movement Na factors which determine your choice of equipment
Tu nashukuru brother kufanya Kaz na ww ndiyo tulifanya video tulikuwa waliz pamoja na majambaz tunaomba tuendelee kushilikiana katka Kaz zijazo tuite Kulanondo from kinondoni call 0789485992 tunakutegemea sn
Director hanscana good job broo like you job broo love fever job najaribu kukufatilia sana n mim ni mmoja wapo nafanya hiyo kazi nakuomba broo unitazame nin nafanya
Director hanscana good job broo
Director hanscana good job broo
Brother wewe nimtu watofauty sana
Mungu kunakitu kakupa cha tofauti
Bonge Moja la videoooo Ma Gwijiiii wamekutanaa
Safi sana broo nami nakukubali na nlikua naimba namba zako nikuombe ushauri kozi nataka niwe kama wewe
Na kukubali bro
Brother hanscana unakimbiza so I like you so much
🔥🔥u kill it br
nakubali sanaaaa kaka respect to yuo
@Hanscana
Big up bro kazi nzuri saaaaaanaaaaa
Mie ningependa kujua misingi inayotumika kuandika scripts ya nyimbo. 🙏🙏
#H A N S C A N A
Hongera sana kaka
Kazi nzuri
ila kusema kweli, mtu inabidi uwe na patience flani hivi kufanya kazi na msanii mbishi kama nyoshi. Mi ningekua nishamind kitambo.
hahahahaha huyo Nyoshi yuakaa msumbufu
ningeomba kufaham jina la ile light ilowekwa kwa juu kwenye scene ya nyoshi na fa kukabidhiana briefcase
Apature
hascana
Bonge ya video kwel www ni gwij wa ma director
Fa bwana yaan zile movie za godfather zimemuharibu kweli
Hello bro
Mimi ni upcoming music video director nafurahia sana kazi yako, Na kwa umri wako Na mafanikio, waniinspire sana. Naomba unavyofanya review ueleze mambo kuhusu camera, lighting, haze, camera movement Na factors which determine your choice of equipment
Love the video you shoot and the program but think for us who don't understand your language so try to add English your explanation
Wich camera you are using bro
Red epic. Dragon.6k
nlikiw nasubr kuconfirm km ambwene alikuwepo location.
Bro unajuha Hadi so poa
Video imecost bei gani
Tu nashukuru brother kufanya Kaz na ww ndiyo tulifanya video tulikuwa waliz pamoja na majambaz tunaomba tuendelee kushilikiana katka Kaz zijazo tuite Kulanondo from kinondoni call 0789485992 tunakutegemea sn
Ona hakuna review ngoma za mzee mzima Darrasa???
Na huyu Ndio director wa darasa