MAKOSA HAYA MWAYAFANYA WENGI KTK SALA ZENU | NAMNA YA KUFUNGA SALA NA KUSIMAMA | HAMNA SWALA KABISAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar

Комментарии • 74

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 2 года назад +7

    Sala ni nia tu ukisalia utahisabiwa hujasali na ukisali utahisabiwa umesali Allah ndio anajua kukubali au kukataa lakini muhimu.kusali menginayo Allah mjuzi zaid shukran SHEIKH Allah atupe umri wenye manufaa ❤❤

  • @salimanasri3980
    @salimanasri3980 2 года назад +12

    Mafunzo mazuri mwalim wetu Allah akujalie kutufunza mengi zaidi shukran

    • @msuyarashid9482
      @msuyarashid9482 2 года назад

      Nafurahia sana hiki kipindi najifunza mengi

  • @mariamkarama8728
    @mariamkarama8728 2 года назад +2

    MashaAllah .Nimejifunza kuna baadhi ya mambo nilikuwa siyajui.shukran sheikh.

  • @maryameead3594
    @maryameead3594 2 года назад +6

    Wallah mtihani Sana kusali bila kuzungumza nafsi

  • @mwanamisiharun3389
    @mwanamisiharun3389 2 года назад +1

    Mashaa Allah ilkua sijui saai najua shukrn shee

  • @jamalegalow.9127
    @jamalegalow.9127 2 года назад +4

    Masha Allah ustadhi jazakumu Allah kheir insha Allah

  • @samsungjprime-xx8re
    @samsungjprime-xx8re 2 года назад +8

    Mashaallah sheikhe wetu nakupenda sna kwa ajili ya Allah

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 2 года назад +4

    Wallah shekh wetu nkpend kw ajl y Allah,Allah aklpe firdaus

  • @SaeedAhmed-of8ze
    @SaeedAhmed-of8ze 2 года назад +1

    Allahamdulillah nimepata faida nyingi ambazo nilikua sijui. ALLAH akujazi kheiri

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 2 года назад +6

    Hakika nimepata elimu mungu akujalie mwalimu

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 2 года назад +6

    Allah atuwezeshe.

  • @taturajab205
    @taturajab205 2 года назад +3

    Mashaallah

  • @hashimumussa7440
    @hashimumussa7440 2 года назад +3

    Masha Allah akufanyie wepesi

  • @afric01
    @afric01 2 года назад +1

    Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh wetu kipenzi kwa mafunzo. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Jazakallah kheir 🙏

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 2 года назад +2

    Asante

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 года назад +9

    MashaAllah, Amin kwa dua, Allah Atufanyie wepesi sote wa kila la kheri

  • @Awatee
    @Awatee 2 года назад +4

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh Amiin yaraby

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 2 года назад +2

    Mashallah tabarak rahman 🤲

  • @bashrahilmohamed5984
    @bashrahilmohamed5984 2 года назад +3

    Masha-Allah,, Atwala-Llahu umruk

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад +1

    Mashallah shukran kwa ukumbusho

  • @naimaselemani4970
    @naimaselemani4970 2 года назад

    Mashaĺlah Mashaĺlah umenipa fundi kubwa Allah akubarik Allah atutaqabbal swalatana

  • @lisaley3606
    @lisaley3606 2 года назад +1

    Shikrani shekh

  • @suleimanrashid2728
    @suleimanrashid2728 2 года назад +2

    Assalam alaikum shukran saaana kwa mawaidha yako mungu akupe umri twaweel wenye kheri nawewe aaamin

  • @sheilasalum5325
    @sheilasalum5325 2 года назад +1

    Masha allah usichoke endelea kutufundisha

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 2 года назад

    Ameen Ya Rabbi 🤲

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 года назад +3

    Alhamdulilah nimepata mafunzo mazuri mengine nilikua siyajui alhamdulilah jazakalah kheir

  • @fatumaalisaid9816
    @fatumaalisaid9816 2 года назад +1

    Sheikh ivi vikao vinanichanganya mm,,,,naomba nsaada sheikh wangu in sha Allah

  • @mussamussa952
    @mussamussa952 2 года назад +1

    Shukran ya Sheikh

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 2 года назад +1

    nimejifunza mengi sana leo Alhamdulilah

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 года назад

    Mashaa Allah shukran sana Allah akuhifadhi

  • @japharyomar859
    @japharyomar859 2 года назад +1

    Alihamdulilaah.shehe wangu..endelea kutufundisha

  • @zuhuramussa5171
    @zuhuramussa5171 2 года назад

    Jazakallah kher

  • @zeyanahomoudmohammed3908
    @zeyanahomoudmohammed3908 2 года назад

    Mashallah

  • @mwanahamisishabani9541
    @mwanahamisishabani9541 2 года назад +1

    Hiyo ni namba shufwaa, 2,4,6,8,10, namba zote ambazo zagawika kwa 2, bila baki

  • @masoudabdallah4645
    @masoudabdallah4645 9 месяцев назад

    Shukraan sheikh

  • @mwanamvuaabdallahmwamtunda3066
    @mwanamvuaabdallahmwamtunda3066 2 года назад

    maashallah, Allah akubariki ustadh

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад

    Jazaqallah

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 года назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah shukran sn shekh mana umenifundish mno Allah akulipe kher wallah

  • @bilalimputi2885
    @bilalimputi2885 2 года назад +2

    Maashalah

  • @mwantumubray7468
    @mwantumubray7468 2 года назад +1

    mashaallah

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 2 года назад +1

    mafunzo mazuri sana shukran

  • @hassanahmed787
    @hassanahmed787 2 года назад

    Ameeeen 🤲

  • @azizashaaban870
    @azizashaaban870 2 года назад

    Mashallah allahi barikiffikum.

  • @jumannemlali6377
    @jumannemlali6377 2 года назад +2

    Kunawatu wanasali kwenye magari hawawezi kusimama hapo vipi

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 2 года назад

      Wengine kwenye ndege tunafanya kazi tunasali tumekaa itakuaje

  • @nashbakari5495
    @nashbakari5495 2 года назад

    Waaleikum Salam warahmatullah wabarakatuh,Amiin

  • @josephjosephgeorge3195
    @josephjosephgeorge3195 2 года назад +1

    Shekh,kusima naweza,ruku pia kushujudu pia ila kukaa ndio shida nafanyaje

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 2 года назад

    Pesa soon mchezo. Lazima mtu awe makini katika swala.

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 2 года назад

    Kila jambo linahesabiwa kwa Nia

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 4 месяца назад

    Mimi changamoto yangu kilanikisoma dulawakati waswala nakosea naacha naanza kusoma upya marayapili aponapo je swalaipo?

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 года назад

    Ma shaa Allah lkn shekh swali ni vipi ikiwa waudhu alafu boss wako anakuuliza

  • @simbabakari9533
    @simbabakari9533 2 года назад

    Asalaamu alequ napenda mawaidha unayotoa najifunza Sana je, naweza pata namba yako kwaajili ya maswali shekhe? Au vp naweza uliza nikajibiwa?

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 2 года назад +2

    Mafunzo

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 4 месяца назад

    Nikisoma sura

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 2 года назад

    Nimecheka mno jamn kumbe ni sherwani kila nikisali jamn

  • @amrandarusi8759
    @amrandarusi8759 2 года назад

    Tumeambiwa tudhania watu kheir vp iyo ulosema ukipewa pesa uanza kuchunguza

  • @mohamedkassim9320
    @mohamedkassim9320 2 года назад +4

    Nani wewe kutoa hukumu. Sema Boresha sala yako. Hukumu muachie Mwenyewe Allah. Bora nia.

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 2 года назад +1

      Jitahid kauli

    • @mohamedkassim9320
      @mohamedkassim9320 2 года назад

      @@asiamohd5516 Bi Asia, yeye Sheikh afanye hivyo. Hoja yangu kuu ni kwamba, mtu ametia nia kuswali, akajipeleka msikitini au popote kuswali. Iwapo waona kosa fundisha kwa heshma na hekma na chagua maneno mazuri ya kuelekeza. Kwani kiini cha swala ni nini? Usiwe misikitini kufukuza waliotia nia kuswali kwa visababu. Mwambie sheikh atumie sauti mwafaka yenye mvuto kama alivyo akifanya Mtume wetu. Aliyejenga Msikiti Shibu alitaka watu waswali humo. ALLAH MWENYEWE NI MUAMUZI NA MPOKEAJI WA SWALA. Asijisemee " swala yako haifai ".

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 года назад +3

      Hajahukum ila anatufundisha na kutupa mazingatio

    • @mohamedkassim9320
      @mohamedkassim9320 2 года назад

      @@fatmamsiliwa8485 Natamani kama angezungumzia kina mama wazungukao wakiomba kila alhamis na ijumaa. Ramadhani yapiga hodi watazidi. Sisi waislamu tungezungumzia jinsi ya kutafuta pato la halali badala ya hoja hii tulio nayo sasa.

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 2 года назад

      Sawa sawa hukumu anayo Allah wache tusali na nia zetu, wanafanya mambo magumu

  • @majaliwasifa5139
    @majaliwasifa5139 2 года назад +1

    Mashallah