Sala ni nia tu ukisalia utahisabiwa hujasali na ukisali utahisabiwa umesali Allah ndio anajua kukubali au kukataa lakini muhimu.kusali menginayo Allah mjuzi zaid shukran SHEIKH Allah atupe umri wenye manufaa ❤❤
@@asiamohd5516 Bi Asia, yeye Sheikh afanye hivyo. Hoja yangu kuu ni kwamba, mtu ametia nia kuswali, akajipeleka msikitini au popote kuswali. Iwapo waona kosa fundisha kwa heshma na hekma na chagua maneno mazuri ya kuelekeza. Kwani kiini cha swala ni nini? Usiwe misikitini kufukuza waliotia nia kuswali kwa visababu. Mwambie sheikh atumie sauti mwafaka yenye mvuto kama alivyo akifanya Mtume wetu. Aliyejenga Msikiti Shibu alitaka watu waswali humo. ALLAH MWENYEWE NI MUAMUZI NA MPOKEAJI WA SWALA. Asijisemee " swala yako haifai ".
@@fatmamsiliwa8485 Natamani kama angezungumzia kina mama wazungukao wakiomba kila alhamis na ijumaa. Ramadhani yapiga hodi watazidi. Sisi waislamu tungezungumzia jinsi ya kutafuta pato la halali badala ya hoja hii tulio nayo sasa.
Sala ni nia tu ukisalia utahisabiwa hujasali na ukisali utahisabiwa umesali Allah ndio anajua kukubali au kukataa lakini muhimu.kusali menginayo Allah mjuzi zaid shukran SHEIKH Allah atupe umri wenye manufaa ❤❤
Mafunzo mazuri mwalim wetu Allah akujalie kutufunza mengi zaidi shukran
Nafurahia sana hiki kipindi najifunza mengi
MashaAllah .Nimejifunza kuna baadhi ya mambo nilikuwa siyajui.shukran sheikh.
Wallah mtihani Sana kusali bila kuzungumza nafsi
Mashaa Allah ilkua sijui saai najua shukrn shee
Masha Allah ustadhi jazakumu Allah kheir insha Allah
Mashaallah sheikhe wetu nakupenda sna kwa ajili ya Allah
Wallah shekh wetu nkpend kw ajl y Allah,Allah aklpe firdaus
Allahamdulillah nimepata faida nyingi ambazo nilikua sijui. ALLAH akujazi kheiri
Hakika nimepata elimu mungu akujalie mwalimu
Allah atuwezeshe.
Mashaallah
Masha Allah akufanyie wepesi
Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh wetu kipenzi kwa mafunzo. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Jazakallah kheir 🙏
Amin
Asante
MashaAllah, Amin kwa dua, Allah Atufanyie wepesi sote wa kila la kheri
Aamin🤲
Amin ya Rabby
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh Amiin yaraby
Mashallah tabarak rahman 🤲
Masha-Allah,, Atwala-Llahu umruk
Mashallah shukran kwa ukumbusho
Mashaĺlah Mashaĺlah umenipa fundi kubwa Allah akubarik Allah atutaqabbal swalatana
Shikrani shekh
Assalam alaikum shukran saaana kwa mawaidha yako mungu akupe umri twaweel wenye kheri nawewe aaamin
Amin
Masha allah usichoke endelea kutufundisha
Ameen Ya Rabbi 🤲
Alhamdulilah nimepata mafunzo mazuri mengine nilikua siyajui alhamdulilah jazakalah kheir
Sheikh ivi vikao vinanichanganya mm,,,,naomba nsaada sheikh wangu in sha Allah
Shukran ya Sheikh
nimejifunza mengi sana leo Alhamdulilah
Mashaa Allah shukran sana Allah akuhifadhi
Alihamdulilaah.shehe wangu..endelea kutufundisha
Jazakallah kher
Mashallah
Hiyo ni namba shufwaa, 2,4,6,8,10, namba zote ambazo zagawika kwa 2, bila baki
Shukraan sheikh
maashallah, Allah akubariki ustadh
Jazaqallah
Mashaallah mashaallah mashaallah shukran sn shekh mana umenifundish mno Allah akulipe kher wallah
Amin inshallah
Maashalah
Shukran kwa matundo mazuri
mashaallah
mafunzo mazuri sana shukran
Ameeeen 🤲
Mashallah allahi barikiffikum.
Kunawatu wanasali kwenye magari hawawezi kusimama hapo vipi
Wengine kwenye ndege tunafanya kazi tunasali tumekaa itakuaje
Waaleikum Salam warahmatullah wabarakatuh,Amiin
Shekh,kusima naweza,ruku pia kushujudu pia ila kukaa ndio shida nafanyaje
Pesa soon mchezo. Lazima mtu awe makini katika swala.
Kila jambo linahesabiwa kwa Nia
Mimi changamoto yangu kilanikisoma dulawakati waswala nakosea naacha naanza kusoma upya marayapili aponapo je swalaipo?
Ma shaa Allah lkn shekh swali ni vipi ikiwa waudhu alafu boss wako anakuuliza
Asalaamu alequ napenda mawaidha unayotoa najifunza Sana je, naweza pata namba yako kwaajili ya maswali shekhe? Au vp naweza uliza nikajibiwa?
Mafunzo
Nikisoma sura
Nimecheka mno jamn kumbe ni sherwani kila nikisali jamn
Tumeambiwa tudhania watu kheir vp iyo ulosema ukipewa pesa uanza kuchunguza
Nani wewe kutoa hukumu. Sema Boresha sala yako. Hukumu muachie Mwenyewe Allah. Bora nia.
Jitahid kauli
@@asiamohd5516 Bi Asia, yeye Sheikh afanye hivyo. Hoja yangu kuu ni kwamba, mtu ametia nia kuswali, akajipeleka msikitini au popote kuswali. Iwapo waona kosa fundisha kwa heshma na hekma na chagua maneno mazuri ya kuelekeza. Kwani kiini cha swala ni nini? Usiwe misikitini kufukuza waliotia nia kuswali kwa visababu. Mwambie sheikh atumie sauti mwafaka yenye mvuto kama alivyo akifanya Mtume wetu. Aliyejenga Msikiti Shibu alitaka watu waswali humo. ALLAH MWENYEWE NI MUAMUZI NA MPOKEAJI WA SWALA. Asijisemee " swala yako haifai ".
Hajahukum ila anatufundisha na kutupa mazingatio
@@fatmamsiliwa8485 Natamani kama angezungumzia kina mama wazungukao wakiomba kila alhamis na ijumaa. Ramadhani yapiga hodi watazidi. Sisi waislamu tungezungumzia jinsi ya kutafuta pato la halali badala ya hoja hii tulio nayo sasa.
Sawa sawa hukumu anayo Allah wache tusali na nia zetu, wanafanya mambo magumu
Mashallah