MACHO YA MWILINI NA MACHO YA ROHONI (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 59

  • @delishbby8542
    @delishbby8542 4 года назад +4

    Barikiwa Pastor. Watu wengi tumekuwa wa mwilini sana na siyo wa rohoni. Wakati everything in this world is spiritual inabidi wa Kristo tubadilike na kuwa sensitive rohoni. 2 Wakorintho 4:18

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Год назад +1

    Paster Naruhusu Nguvu ya Mungu juu yako Umekuwa mbaraka na kuuona ukuu wa Mungu ukitenda katika Nguvu ya ajabu juu yetu sisi watazamaji Tukitumia formular zako pasipo kujua.Napokea macho ya rohoni kuanzia sasa kwan Namuona yesu kristo kupitia mafundisho yako Amina

  • @mariamrobart4198
    @mariamrobart4198 Год назад

    Mungu nisaidie nisimchukuie mtu yeyote yule katika maisha yangu iponye roho yangu dhidi ya vita vya kiroho

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 года назад +4

    Amen amen thank you be blessed.

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 4 года назад +3

    Asante sana mchungaji somo hili kwa kweli limeniguza.

    • @ocholawayoga5986
      @ocholawayoga5986 4 года назад

      Ni ombi langu Mungu anifunguwe macho ya rohoni

  • @elizabethmwaka2921
    @elizabethmwaka2921 2 года назад +1

    Amen pastor ubarikiwa then Niko na swali pastor BT la mm binafsi hii fungu la Kumi naeza Tumia kununua vitu Kama chakula na nipeana Kwa wahitaji ama sahihi ni nimpe pastor wangu

    • @paulpeter2108
      @paulpeter2108 Год назад

      Fungu la kumi muhimu kutoa na msaada pia muhimu kutoa.vyote muhimu Kwa sababu Sheria ni kumpenda mungu(zaka) na kumpenda jirani Yako(misaada)

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 10 месяцев назад

    Hallelujah hallelujah hallelujah Amen Amen Lord Amen 🙌🙌🙏🙏

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 4 года назад +1

    Asante sana pastor Mungu akubariki unapotubariki ili macho yetu ya Rohoni yafunguke tumjue Yesu ni Nani

  • @happykilangi473
    @happykilangi473 Год назад

    Barikiwa sana pastor

  • @estershayo2669
    @estershayo2669 4 года назад +1

    Nampenda sana huyu Pastor yan mahubiri yake yananitia moyo sana. Mungu akubariki mchungaji, azid kukutumia pia

  • @damah8431
    @damah8431 4 года назад +2

    Amen Amen pastor naomba mungu anipe ujasili na ujasho wa roho mtakatifu

  • @gracenjoroge4237
    @gracenjoroge4237 4 года назад +1

    Kwa akili zangu siwezi naomba Mungu anipe macho ya Rohoni

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 года назад +1

    Amen glory to God ❤️❤️❤️❤️💓💓💗💗🙏🙏🙏🙏

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 4 года назад +1

    Naomba sana nifunguliwe macho ya rohoni

  • @rahabugina2097
    @rahabugina2097 4 года назад +1

    Asante kwa somo zuri mtumishi wa BABA,barikiwa

  • @jonamdegera8753
    @jonamdegera8753 2 года назад

    iringa

  • @irenemakokha7615
    @irenemakokha7615 4 года назад +1

    Amina mhubiri , nimeguzwa na neno,,Mungu wa amani awe nawe.

  • @anastaziafrancis191
    @anastaziafrancis191 4 года назад +1

    Hakika somo hili limezidi kuniimarisha Mungu atukuzwe kwa kumtumia mtumishi wake kutulisha neno la uzima

  • @loyceackim4296
    @loyceackim4296 4 года назад +1

    Mungu awabariki kwa wimbo.

  • @josephobedi5969
    @josephobedi5969 4 года назад +1

    Pastor Mmbaga, leo umeniongezea kitu cha muhimu sana katika maisha.

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen 🙏 🙏🙏

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 2 года назад +1

    Amen umejua kutufundisha hakika hii injili inantia moyo sana,hata kama nna stress znaisha

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu1247 4 года назад +1

    Mungu Ni mwema Sana 🙏 🙏🙏

  • @jemimakengia7308
    @jemimakengia7308 2 года назад

    Amen

  • @mussangonya6179
    @mussangonya6179 4 года назад +1

    Mwanzoni siikutegemea kama mchungaji. Huyu ni. Mu SDA maana namna yake ya kuhubir ni tofauti maana wachungaji wengi wa SDA. Wamebase sana kwenye mahubir ya siku. Za. Mwisho sana

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 года назад +2

      Mahubir ya vitisho lakin uyu. Pastor anafundisha. Zaidi

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 года назад +1

      Tukiwa na Yesu tunaweza kila kitu,hadi siku za mwisho tutazikabili bila hofu

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 года назад +1

      @@habaritv6364 nakubaliana na neno. Lako na kwakweli hizi ni zama za mwisho lakin kwa YESU mambo ni mengi kuna kona nyingi za kufundisha hata katika familia huwez kula chakula cha aina moja kila siku .we kila siku ni kuhubir 666 tu .lakin kwa pastor huyu naona anakitu tofauti ni pastor wa tofauti na nimageuzi makubwa katika imani

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 года назад +1

      @@habaritv6364 yaani anamfunua YESU mzima mzima hatishi tishi watu na kwa YESU ni ivyo

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 года назад +1

    Tunakufuatilia mchungaj

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 4 года назад

    nimebarikiwa sana na mahubiri be blessed pastor🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @manixkasoye9050
    @manixkasoye9050 4 года назад +1

    Amen pasta

  • @leilahl456
    @leilahl456 2 года назад

    Amen,nimepokea mibaraka japo baada ya mad,mungu hana time or distance,,amen

  • @gracemurondoro3869
    @gracemurondoro3869 2 года назад

    Naomba na yako ya simu nichangie ingalao kwa ajili ya kazi ya mungu unsyofanya

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 года назад +1

    Ameeeeen God bless you pastor 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💓🥰

  • @zarubabelngowi9278
    @zarubabelngowi9278 4 года назад

    Pastor asante kwa mahubiri mazuri maana yananijenga vilivyo ingawa mimi ni dhehebu lingine il hakika MUNGU azidi kukutumia

  • @annanasambu8711
    @annanasambu8711 2 года назад

    Mungu azidi akikupa nguvu pastor

  • @morineinziani1080
    @morineinziani1080 4 года назад +1

    Amen

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 года назад

    Asante Bwana Yesu kwa kuwa u mwema🙏🙏

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад

    Amen mchungaji wangu, Mungu akubariki.

  • @conniemukami127
    @conniemukami127 4 года назад

    Amen pr, mahubiri mazuri ya kutia nguvu. Mungu akubariki sana

  • @ambrosemokaya9420
    @ambrosemokaya9420 3 года назад

    Check instruments sound,

  • @drostakalory5308
    @drostakalory5308 4 года назад

    Amina Mtumishi wa Mungu

  • @leeshayo
    @leeshayo 4 года назад

    Zaburi 138:2

  • @margrethkaserikali1458
    @margrethkaserikali1458 2 года назад

    AMEN AMEN🙏

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 4 года назад

    Aneeeeernn

  • @peninadunda6348
    @peninadunda6348 3 года назад

    Amen

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 года назад

    🤗🤗🤗had raha

  • @annawambura2889
    @annawambura2889 4 года назад

    Amina

  • @annawambura2889
    @annawambura2889 4 года назад

    Amina

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 года назад

    Amen 🇰🇪

  • @vitalesikagi3475
    @vitalesikagi3475 4 года назад

    amen