RATIBA MPYA, TRENI YA MCHONGOKO KUANZA TAREHE 1 NOV 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 107

  • @ngamaizinzi3987
    @ngamaizinzi3987 5 дней назад +11

    Oya hiyo train nyoka inaondoka saa 2 Dar saa 5 iko Dom. Mamaee halooo sio poa😂😂

  • @carolyneogall8967
    @carolyneogall8967 5 дней назад +11

    My shemeji from Kenya 🇰🇪 jamani yani nimewamiss sana jooni tupige umbea

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 4 дня назад +2

    Hongereni TRC hapa sawa Hongera mama etu kipenzi ❤ifike hadi Singida na mwanza sasa safi sana pigeni kazi uzalendo mbele

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 5 дней назад +25

    Jomoni jomoni mnawapandisha pressure wakenya na Kenyan government

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 5 дней назад

      😂😂😂😂

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 4 дня назад +4

      Watu Ya Mulima Mulima...

    • @Eiarlk
      @Eiarlk 4 дня назад

      Jione , pressure ya nini? Ujinga haujaacha

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 4 дня назад

      @@Eiarlk so you think we don’t read comments from Kenyans ? 😂😂😂
      Kwani wewe huko hadi huko si Kenyans mnasemaga hamjui kiswahili nyinyi TRC is fully in kiSwahili.

    • @Eiarlk
      @Eiarlk 4 дня назад +1

      @@worldtechlab kiswahili kilianza Kenya wajua ivyo? Kiswahili is Kenyan so how can we not speak Swahili

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero9958 4 дня назад +5

    Kiswahili Oye!!! Tanzania is the next China, using our language Kiswahili we will rise!!

  • @AsiaHamis-b4o
    @AsiaHamis-b4o 5 дней назад +2

    Asante mwenyezi mungu inshallah viongozi wetu Allah awaepushe na tamaa kwa ajili ya taifa letu

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 4 дня назад +12

    MAGUFULI HOYEEEEEEEE 🙏🙏🤣🇹🇿

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 4 дня назад

      @@kakorejrboyz6447 oyeeeeee

  • @LelemaMtusi
    @LelemaMtusi 4 дня назад +2

    Asingekuwa magufuli hayo tungeyaona tu kwenye nchi za wezetu

  • @gabrielwence
    @gabrielwence 4 дня назад +7

    Trc .
    Anzisheni App (Application) ya simu.
    Ili kuwezesha urahisi wa kukata tiketi.
    Ni muda sasa tangu tumeanza kutumia SGR.

  • @twahahamidu6246
    @twahahamidu6246 4 дня назад +5

    Magufuli ndo sababu

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 5 дней назад +2

    Tanzania is the hub of Africa

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 4 дня назад +1

    Maboresho mazuri sana tunashu sana

  • @finestford007
    @finestford007 4 дня назад +1

    Sgr ishakuwa tren ya kawaida saiv mchongoko ndio unaitwa ya kisasa😂

  • @alexissangali8650
    @alexissangali8650 5 дней назад +4

    HAPO SAWA SASA KIKUBWA MJARIBU KUPITIA NAULI ZA MCHONGOKO JAMANI ZIWE NAFUU KIDOGO ILI TULIONJE WOTE

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 5 дней назад

      Ningapi ndungu yangu nijuwe kabsa

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 4 дня назад

      @@Sarah-e1o9k 100,000/= Kwa 700,000/=

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 4 дня назад

      Laki 100,000/= Kwa ,70000/=

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 4 дня назад

      @@alexissangali8650 kawaida basi ilikuwa ngapi

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 4 дня назад

      Kama mfuko hauruhusu usilazimishe ndugu yangu. Jipandie basi tu

  • @JosephatNgelela
    @JosephatNgelela 4 дня назад +4

    Kenya wako busy kushindana kuongea English 🤣😂

    • @SuleimanMasoud-sr2vb
      @SuleimanMasoud-sr2vb 4 дня назад

      😂😂

    • @Eiarlk
      @Eiarlk 4 дня назад

      They invented kiswahili remember. Shida Iko wapi wakisoma kingereza

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 4 дня назад

      @@JosephatNgelela 🤣
      Na ukabila

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 4 дня назад

      @@JosephatNgelela
      Kenya tatizo ukabila ndo shida na milaaa

    • @jumajuma2846
      @jumajuma2846 3 дня назад +1

      @@Eiarlk Brother kitovu na asilia ya Kiswahili ni Zanzibar, hebu jiheshimu.

  • @abdulseifmtuluma4484
    @abdulseifmtuluma4484 5 дней назад +1

    ..that's great...👍

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna9821 4 дня назад

    Hii safi sana

  • @user-kr5dp2ip9g
    @user-kr5dp2ip9g 3 дня назад

    Tanzania aisee..yani treni ya sgr inayotumia umeme yenye speed 160km/h ni ya kawaida alafu treni ya sgr ya mchongoko (EMU) ambayo inaweza kwenda kwa speed 250km/h ndio ya kisasa yani nchi jirani ambazo hawana treni hizi za umeme waziitaje treni zao sasa?!! TRC acheni uchochezi aiseee 😂😂😂

  • @karafuunanazi1701
    @karafuunanazi1701 5 дней назад +2

    Mchongoko oyee, Kadogosa oyee

  • @aliyahmedahmed590
    @aliyahmedahmed590 5 дней назад +1

    Maelezo mengi hamueleweki....Wekeni bill bord mbili 2....(Moja treni zinazoondoka...na nyengine treni zinazowasili ....acheni kubabaisha watu

    • @Assu89Ma2ly-xt4np
      @Assu89Ma2ly-xt4np 4 дня назад +1

      Kabisaa inakuwa rahisi kuelewa maana unasoma zinazoenda zote kisha una hamia kusoma zinazorudi safi kabisa

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 4 дня назад

    Mambo ndio haya!! Masha Allah

  • @AsiaHamis-b4o
    @AsiaHamis-b4o 5 дней назад

    Woyoooo safari ni kilasiku❤❤

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 4 дня назад

    Magufuli MUNGU akurehemu

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 5 дней назад

    SAFI SANA , HAPA KAZI TU, KAZI IENDELEEE , KIMYA KIMYA TUNASONGA

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 5 дней назад

    Safi sana kwa haya maendeleo

  • @twahahamidu6246
    @twahahamidu6246 5 дней назад +1

    Ulaya ndogo😂😂😂

  • @twahahamidu6246
    @twahahamidu6246 5 дней назад +1

    Kenya wakasome tanzania ni hatar sasa

    • @Eiarlk
      @Eiarlk 4 дня назад

      Wakasome nini? Nini haswa Cha kusomwa apo?

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 4 дня назад

      @@Eiarlk walipigwa na wachina za usooo#

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 4 дня назад

      🤣🤣🤣

    • @twahahamidu6246
      @twahahamidu6246 4 дня назад

      🤫🤫🤣

    • @Eiarlk
      @Eiarlk 4 дня назад

      @@twahahamidu6246 ongea unachojua dada

  • @anny19988
    @anny19988 5 дней назад +1

    Kama Ulaya jamani😂😂😂😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 4 дня назад

    Mbona speed bado ni yakawaida?

    • @njemamehuna9821
      @njemamehuna9821 4 дня назад

      Wewe jamaa yaani masaa matatu na nusu Dar Dom unaona kawaida

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 4 дня назад +1

    Yaani mchongoko inatoka Dodoma saa Kumi na mbili jioni na kufida Dar saa tatu tena saa nne kasoro ndk 5 Usiku?nais speed aliyokuwa anataka JPM bado haifikiwa

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 4 дня назад +1

      Bro masaa 3 unalalamika? Toka saa 8?

    • @isdorchuvu6280
      @isdorchuvu6280 4 дня назад +3

      Ndege yenyewe inatumia masaa sembuse treni ,,embu acha ushamba kaka...

    • @DanielKigesa
      @DanielKigesa 4 дня назад

      Kwani ukitoka dar saa 12 jioni kwa ndege unafika dom saangapi

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 3 дня назад

      @@DanielKigesa masaa 2 kabla uwe umefika terminal safari saa Moja, almost masaa 3,utofauti wake ni mdogo tu

  • @DanielKullwa
    @DanielKullwa 5 дней назад +1

    Hii EMU nauli yake ni sh ngapi maana...

    • @utopolo543
      @utopolo543 5 дней назад

      Nilisikia 50k kwa economy na 120 for Royal. labda kama wamebadilisha

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 4 дня назад

    Yale ya Ghorofa yanaanza lini

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 дня назад

    SAF SANA

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 5 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 5 дней назад

    Haya mtujuze pia hizo zagorofa nilini pia tuzione

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 4 дня назад

      Katizame size ya zile wire juu kwanza

    • @isdorchuvu6280
      @isdorchuvu6280 4 дня назад +1

      Zile tulikurupuka ,,labda watengeneze njia nyingine ya zile kaka...

  • @Patriot_kenyan
    @Patriot_kenyan 5 дней назад +1

    Sisi wakenya tunawaombea treni zenu ziharibike

    • @JayJaysb
      @JayJaysb 5 дней назад

      Acha ujinga wewe😂

    • @AsiaHamis-b4o
      @AsiaHamis-b4o 5 дней назад

      Hahaha 😂😂duuhh ila jirani,,

    • @IsaacRwetaka
      @IsaacRwetaka 5 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @christopherjoseph8330
      @christopherjoseph8330 5 дней назад +2

      Mungu sio raia wa Kenya. Adui yako mwombee maandamano na vurugu 😂😂

    • @2461john
      @2461john 5 дней назад +5

      Nyinyi endeleeni na treni ya ESCAPE FROM SORBIBOR 😂😂😂