@@Eiarlk so you think we don’t read comments from Kenyans ? 😂😂😂 Kwani wewe huko hadi huko si Kenyans mnasemaga hamjui kiswahili nyinyi TRC is fully in kiSwahili.
Tanzania aisee..yani treni ya sgr inayotumia umeme yenye speed 160km/h ni ya kawaida alafu treni ya sgr ya mchongoko (EMU) ambayo inaweza kwenda kwa speed 250km/h ndio ya kisasa yani nchi jirani ambazo hawana treni hizi za umeme waziitaje treni zao sasa?!! TRC acheni uchochezi aiseee 😂😂😂
Yaani mchongoko inatoka Dodoma saa Kumi na mbili jioni na kufida Dar saa tatu tena saa nne kasoro ndk 5 Usiku?nais speed aliyokuwa anataka JPM bado haifikiwa
Oya hiyo train nyoka inaondoka saa 2 Dar saa 5 iko Dom. Mamaee halooo sio poa😂😂
My shemeji from Kenya 🇰🇪 jamani yani nimewamiss sana jooni tupige umbea
😂😂😂Mchokozi sana wewe
@@isackrichard6356 sisana kidogo tu
Hongereni TRC hapa sawa Hongera mama etu kipenzi ❤ifike hadi Singida na mwanza sasa safi sana pigeni kazi uzalendo mbele
Jomoni jomoni mnawapandisha pressure wakenya na Kenyan government
😂😂😂😂
Watu Ya Mulima Mulima...
Jione , pressure ya nini? Ujinga haujaacha
@@Eiarlk so you think we don’t read comments from Kenyans ? 😂😂😂
Kwani wewe huko hadi huko si Kenyans mnasemaga hamjui kiswahili nyinyi TRC is fully in kiSwahili.
@@worldtechlab kiswahili kilianza Kenya wajua ivyo? Kiswahili is Kenyan so how can we not speak Swahili
Kiswahili Oye!!! Tanzania is the next China, using our language Kiswahili we will rise!!
Asante mwenyezi mungu inshallah viongozi wetu Allah awaepushe na tamaa kwa ajili ya taifa letu
MAGUFULI HOYEEEEEEEE 🙏🙏🤣🇹🇿
@@kakorejrboyz6447 oyeeeeee
Asingekuwa magufuli hayo tungeyaona tu kwenye nchi za wezetu
Trc .
Anzisheni App (Application) ya simu.
Ili kuwezesha urahisi wa kukata tiketi.
Ni muda sasa tangu tumeanza kutumia SGR.
Magufuli ndo sababu
Tanzania is the hub of Africa
Maboresho mazuri sana tunashu sana
Sgr ishakuwa tren ya kawaida saiv mchongoko ndio unaitwa ya kisasa😂
HAPO SAWA SASA KIKUBWA MJARIBU KUPITIA NAULI ZA MCHONGOKO JAMANI ZIWE NAFUU KIDOGO ILI TULIONJE WOTE
Ningapi ndungu yangu nijuwe kabsa
@@Sarah-e1o9k 100,000/= Kwa 700,000/=
Laki 100,000/= Kwa ,70000/=
@@alexissangali8650 kawaida basi ilikuwa ngapi
Kama mfuko hauruhusu usilazimishe ndugu yangu. Jipandie basi tu
Kenya wako busy kushindana kuongea English 🤣😂
😂😂
They invented kiswahili remember. Shida Iko wapi wakisoma kingereza
@@JosephatNgelela 🤣
Na ukabila
@@JosephatNgelela
Kenya tatizo ukabila ndo shida na milaaa
@@Eiarlk Brother kitovu na asilia ya Kiswahili ni Zanzibar, hebu jiheshimu.
..that's great...👍
Hii safi sana
Tanzania aisee..yani treni ya sgr inayotumia umeme yenye speed 160km/h ni ya kawaida alafu treni ya sgr ya mchongoko (EMU) ambayo inaweza kwenda kwa speed 250km/h ndio ya kisasa yani nchi jirani ambazo hawana treni hizi za umeme waziitaje treni zao sasa?!! TRC acheni uchochezi aiseee 😂😂😂
Mchongoko oyee, Kadogosa oyee
Maelezo mengi hamueleweki....Wekeni bill bord mbili 2....(Moja treni zinazoondoka...na nyengine treni zinazowasili ....acheni kubabaisha watu
Kabisaa inakuwa rahisi kuelewa maana unasoma zinazoenda zote kisha una hamia kusoma zinazorudi safi kabisa
Mambo ndio haya!! Masha Allah
Woyoooo safari ni kilasiku❤❤
Magufuli MUNGU akurehemu
SAFI SANA , HAPA KAZI TU, KAZI IENDELEEE , KIMYA KIMYA TUNASONGA
Safi sana kwa haya maendeleo
Ulaya ndogo😂😂😂
Kenya wakasome tanzania ni hatar sasa
Wakasome nini? Nini haswa Cha kusomwa apo?
@@Eiarlk walipigwa na wachina za usooo#
🤣🤣🤣
🤫🤫🤣
@@twahahamidu6246 ongea unachojua dada
Kama Ulaya jamani😂😂😂😂
Umashasafiri na fast train au unasikia tuuuuuu
Mbona speed bado ni yakawaida?
Wewe jamaa yaani masaa matatu na nusu Dar Dom unaona kawaida
Yaani mchongoko inatoka Dodoma saa Kumi na mbili jioni na kufida Dar saa tatu tena saa nne kasoro ndk 5 Usiku?nais speed aliyokuwa anataka JPM bado haifikiwa
Bro masaa 3 unalalamika? Toka saa 8?
Ndege yenyewe inatumia masaa sembuse treni ,,embu acha ushamba kaka...
Kwani ukitoka dar saa 12 jioni kwa ndege unafika dom saangapi
@@DanielKigesa masaa 2 kabla uwe umefika terminal safari saa Moja, almost masaa 3,utofauti wake ni mdogo tu
Hii EMU nauli yake ni sh ngapi maana...
Nilisikia 50k kwa economy na 120 for Royal. labda kama wamebadilisha
Yale ya Ghorofa yanaanza lini
SAF SANA
😂😂😂😂😂😂
Haya mtujuze pia hizo zagorofa nilini pia tuzione
Katizame size ya zile wire juu kwanza
Zile tulikurupuka ,,labda watengeneze njia nyingine ya zile kaka...
Sisi wakenya tunawaombea treni zenu ziharibike
Acha ujinga wewe😂
Hahaha 😂😂duuhh ila jirani,,
😂😂😂😂😂
Mungu sio raia wa Kenya. Adui yako mwombee maandamano na vurugu 😂😂
Nyinyi endeleeni na treni ya ESCAPE FROM SORBIBOR 😂😂😂