UCHAMBUZI KUHUSU JUMA AWESO NA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 26

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Месяц назад +2

    Ayo Juma🔥🔥 Kwa mpigo zaidi😂😂🔥🔥

  • @kipinguseif9945
    @kipinguseif9945 Месяц назад +1

    Hongereni sana sana hapo nyumban kweli hapo ni nyumban

  • @swalehekabuji4591
    @swalehekabuji4591 Месяц назад +1

    Kiukweli apo Amna wachambuzi mna washabili wa Simba kweli

  • @augustinoamos7865
    @augustinoamos7865 Месяц назад +2

    Sio Juma Aweso

  • @Saki930
    @Saki930 Месяц назад +1

    Ewaaaaaaaaaa

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr Месяц назад +1

    ASIYEKUA N CHOCHOTE NI MASIKINI LAKINI ASIYEKUA NA CHOCHOTE ZAID YA PESA NI MASIKINI PIA😮

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 Месяц назад

    wakitaka tuu ihii tabia isiendelee watoe icho kipengele

  • @BarakaSelemani-os9kv
    @BarakaSelemani-os9kv Месяц назад +1

    Mpanzu vip

  • @hamisigunguda9715
    @hamisigunguda9715 Месяц назад +1

    Eliya mpanzu vip

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn Месяц назад +1

    Habari za hapo mjengini naomba kujua habari za Elie mpanzu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Месяц назад

    Hapa ni home

  • @mosesgasana7109
    @mosesgasana7109 Месяц назад +1

    Dogo atasugua bench mpaka makalio yatapiga yowe😂

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Месяц назад +1

    Uyu awesu wangeachana nae kujaza vijana wa apa kwetu afu awajikucheza😢

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Месяц назад +1

    Jamaani Mpanzu vip???????

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics Месяц назад

    Jemedari na Leah wanatoa maoni kama wako kijiweni tu hawana fact based opinions. Crown mlipofeli ni kuamini hawa kama wachambuzi. Hamna wachambuzi hapo😂😂

  • @kareemibrahim1892
    @kareemibrahim1892 Месяц назад

    Hayo ni maono yako wew lakin mpira ndio utazungumza awesu atapamban kutafuta nafsi maan kwak ni fursa kubwa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Месяц назад +2

    Kwanu unapotàka kuacha kazi si unatakiwa kuandika barua ya kuacha kazi pamoja na kurudisha mshahara mmoja. Mwacheni aende kwenye greener pasture.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад

      Mpira, c unasheria zake au

    • @comfort-rjtv3291
      @comfort-rjtv3291 Месяц назад

      Kama ni kujihudhuru ndan ya masaa 24 ndo unalipa mshahara mmoja ila kama ni kujihudhuru Kawaida inakuwaga ni siku 30 mpka miez 3

  • @saidindembo4397
    @saidindembo4397 Месяц назад

    Navipi.kibu.kaenda.kambini?

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita4634 Месяц назад +1

    Mbona mchezaji wako aishi Hana furaha Simba na hajaondoka?

  • @saidindembo4397
    @saidindembo4397 Месяц назад

    Vip.kuhusu.kibu

  • @laurentbaltazar176
    @laurentbaltazar176 Месяц назад

    Jemedari analazimisha uongo kuwa ukweli au kila anachokisema yeye ni sawa. Sheria za mpira na sheria ajira ya kazi ya kazia ni tofauti. Kwenye kazi ukitaka kuacha kazi unatoa notice ya mwezi mmoja lakini kwenye mpira haipo hivyo. Kama kuna kipengele cha kuvunja mkataba lazima kuwepo na sababu na kama sababu ni wewe kutaka kwenda timu nyingine basi hilo ni swala jingine kwa maana kwamba hiyo timu inayomtaka inatakiwa ipeleke maombi ya kumnunua huyo mchezaji na kama itaonekana timu yake inambania basi ndo anaweza kuvunja mkataba kwa nunua mkataba wake. Je simba walipeleka maombi ya kumnunua mchezaji Juma Awesu? Au walitumia tu kipengele cha yeye kuwa na uwezo wa kuvunja mkataba then wakamalizana naye? Sheria zingekuwa rahisi hivyo basi kila kukicha tungeshuhudia wachezaji wakiondoka. Ina maana KMC hawana haki ya kupata chochote kwa AWESU kuondoka ndani ya mkataba? Ukweli ni kwamba wachambuzi wengi wanaelemea kwenye USHABIKI kwa kuzibeba timu zao zaidi kuliko kusema ukweli.

    • @user-sv4er3xe7n
      @user-sv4er3xe7n Месяц назад

      Basi tuangalie mwisho ataenda wapi

    • @user-sv4er3xe7n
      @user-sv4er3xe7n Месяц назад

      Na je kwa lawi Sheria inasemaje sababu ya coast kuvunja mkataba wapo sahii.

  • @DaurdCharles
    @DaurdCharles Месяц назад +1

    Naomba kujua Simba na Ely mpanzu wamefikia wap