UKIWA UNALETA STORY ZA WATU MAARUFU NA WANAOPENDWA SANA JITAID KUONGEZA DAKIKA ILI STORY IWE IMEKAMILIKA NA WASIOMJUA WAMJUE NA TUNAO MPENDA TUFARIJIKE LAKIN SIO KM IVO KM MTU AMJUI UYO PAUL AWEZ MUELEWA JITAID KUITOSHELEZA STORY KAKA
Mwaka 2013 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu sitoweza kusahau maishani kwangu mwaka huo ndiyo nikajua mbaya wangu ni nani kwenye maisha yangu na tangu mwaka huo sijaongea na wala kuonana na huyo mbaya wangu katika familia
@@omegachawangula980 ni mama yangu ndiyo kaniumiza tangu mwaka 2013 sijaongea nae yaani mama yangu alitaka mimi nisiwe na sehemu ya kuishi wala nisiwe na marafiki na wala nisiwasiliane na ndugu zangu bongo mpaka akafanya simu yangu mtu asinipate ni yeye tu ndiyo alikuwa ananipigia simu lakini sasa ni zamu yake yeye ndiyo hawezi kunipigia simu tangu mwaka 2013
Loooh leo umenipa wallah shukrani sana 💕💕❤
UKIWA UNALETA STORY ZA WATU MAARUFU NA WANAOPENDWA SANA JITAID KUONGEZA DAKIKA ILI STORY IWE IMEKAMILIKA NA WASIOMJUA WAMJUE NA TUNAO MPENDA TUFARIJIKE LAKIN SIO KM IVO KM MTU AMJUI UYO PAUL AWEZ MUELEWA JITAID KUITOSHELEZA STORY KAKA
Nimependa history ya paul walker,ni mwigizaji ninayemkubali sana pamoja na rafiki yake van,apumzike kwa amani
Leo ndo nimejua kuwa walifariki wawili
Tuletee story ya natalia la rose 😭
Mungu amlaze mahali pema
Rest easy man
Umetisha mzee
Kwa mara ya kwanza naangalia hii muvi nilikua cjui km amesha fariki nilivyo jua niliumia sn
Kaka bado naombaa video ya asili ya orthordox
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌🙏
Ikibidi utuletee na ya jason statham
Kisa cha jack Norris
Zungumzia hologram ya 2pac
Acha uongo hakufa mwaka ulioutaja
Mungu ailaze Roho yake Pahali Pema peponi
Uko vizuri kwa kusoma wikipedia😂😂😂🤭
Alitisha kinoma sema ndo hvyo tena aliyemuumba kamchua
nilikuwa namkubali sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kifo chake kimeniuma sana amefariki mapema akiwa na miaka 40 tu
Yoo kumbe arifariki jomoni😪😪
JUICE WRLD history please. Why are u responding to our comment 💓
Twende kaziii' maelezo ya kiufasaha sana sipenda kumiss haya.
Mimi naitwa Justin shed sasa twende kazi
My favourite actor my mentor
Alikufa 2015 sio 2013
Mzee upo mbali sana ilikuwa 2013 sio 2015
Wau
Walker lost it on his last movie .
😢😢😢😢😢😢 i miss you paul Walker❤
Asante Justin shedy
legend
Tupe story ya mwezake tyrese
Wow uko poa kabisa tafathali unaeza tuletea story ya Dolph Lundgren
Lit🔥✌️
Sasq twende kazi 🙏
Hana kashfa
Nilikua namkubali San jamaa
R I p p nilikua nakupenda sana tena hasa hayo macho yako
Napenda sana story zako kaka
Juicy wrld na shah rukh Khan bro
tupe ya Bruce Lee
Mwaka 2013 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu sitoweza kusahau maishani kwangu mwaka huo ndiyo nikajua mbaya wangu ni nani kwenye maisha yangu na tangu mwaka huo sijaongea na wala kuonana na huyo mbaya wangu katika familia
Pole happy wanaotuumiza s wa mbal wanatoka kwenye family kikubwa mung atupe moyo wa kusamehe
@@omegachawangula980 asante kwa kunipa moyo
@@omegachawangula980 ni mama yangu ndiyo kaniumiza tangu mwaka 2013 sijaongea nae yaani mama yangu alitaka mimi nisiwe na sehemu ya kuishi wala nisiwe na marafiki na wala nisiwasiliane na ndugu zangu bongo mpaka akafanya simu yangu mtu asinipate ni yeye tu ndiyo alikuwa ananipigia simu lakini sasa ni zamu yake yeye ndiyo hawezi kunipigia simu tangu mwaka 2013
@@happynelson1136 mmmhh...! I can see u have a very very "sad story" to share
Mam ako ni wa kutoka nje ya Bongo sio eeh?
@@chiefchacha2992 ndiyo mama yangu ni wa kutoka bongo
Billy dragon
Asante