Assalamu alaykum. Sheikh mimi Alfajiri ya leo tarehe 8 jumatano mwaka huu 2025nimemuota baba yangu akiwa ananiambia nisikae nae mbali na hata kulala nisilale mbali nae niwe karibu nae kwa sababu yeye ni mgonjwa.. inshaallah nampenda sana Baba yangu Allah ampe umri mrefu na wenye manufaaa.. Amiin amiin🤲🤲🤲🤲🤲
Mim nikombali ya Tanzania sidhani kn nitapata wageni, walavsiumwi. .Baba yangu alishakufa nimemuota anafanyia watu dua lkn haonekani. Na anachuo anasomesha watoto
Habar shekhe kumuota baba analia akidai anahisi mauvivu nikampeleka kutibiwa mara rafikiangu akaja kuniambia babaako amekufa nikaanza kulia ila kuna mama akadai hajafa Mzima nini maana yake shekhe 🙏
Nimeota nmeokota mtoto mchanga kwenye choo karibu na shimo la choo ni kamubeba ni kamueka kwa nyumba na nkamulalisha mahali pazuri, Naomba Nijue maana yake
Jamani Mimi nasumbuliwa na ndoto moja kila nikiota ninatoka kimapenzi na baba angu mzazi mama angu ni wa kambo anajua anatufukuza Mimi na baba kisa baba angu kanipa zawadi za vitenge vizuri sana tunaondoka tunaenda nyumba nyingine hii ina maana gani
A.a.w shekhe nimemuota Baba yangu nachimba dhahabu akawa ananipa maelekezo chimba maeneo Fulanini kunadhaha nyingi na maeneo Fulani usichimbe kwani hakuna chochote na Mimi sio mchimbaji wa madini tena ni mwanamke nini shekhe
dah kadango pole sana unabii hawapeani kijomba na kiujamaa unabii unapewa na mwenyewe subhana ila yaaqub alitambua tu kuwa yusuf atakuwa nabii lakini alipokuwa mfungwa jela unabii alikuwa bado hajatunukiwa my friend
Mimi nimemuonata baba yangu tumefanya mapenzi nae na nilipoamka nilimchukia sana km kweli ila tupo mbali nae yeye yupo tz mimi nipo omani ina maana ndani
Nimeota Nmeona Babangu mzazi aliye fariki kitambo amevaa kanzu kaa za waisilamu, amekaa kwa kiti karibu na mti wa mpera then dadangu mdogo anamchunia mapera akila. Adi Baba akipewa ananionyesha ayo matunda, Naomba Nijue maana yake
Amina mimi nilikuwa nasema nawaza, mafanikio usiku wake nikawa Ota wote baba, mama na sgangazi zangu na bibi yangu mzaa baba naongea naye wakati tunaongea ndo akatokea baba na badaye akatokea mama
A aleikum mimi nimeota simba ameingia mtaani na kufukuza watu ila Mimi nilipo muona kwa mbali nilikimbia hakunipata ila sehemu niliokimbilia ilikua ni sehemu ambayo kuna jengo la gorofa zilianguka nondo na zikanipiga sehemu ya bega
Nime muota baba yangu kaniambia nipunguze sauti ya radio usiku ambapo nilikua nime lala chumbani kwangu halafu hapo hapo akaanza kutawaza kwa ajili ya swala
A alaykum sheikh. Mimi baba yangu anaumwa. Na niliota tumeingia mskitini tumetia Udhu pmj tu kaenda kuswali. Na kitu cha ajabu imamu alieongoza sala alikua ni baba mdogo ni mdogo wake kabisa na baba yangu mzazi. Baada ya swala tukapewa tunda aina ya tende tukala. Sheikh vp hapa
Mimi nimeota bba yangu lakini ameshafariki samani nimemuona nikiwa madrasa akapita ila ninemsemesha hakusema ila aliendelea kwenda na mm nikamfata hafla wakatokea watu wakanifukuza
Nini maana ya kumhota baba yako na halishafariki lkn amekuja na nguo alizokuwa akivaa za kazini (jeshi)nilipomhona tu nilimkimbilia na kumkumbatia nae alinikumbatia lkn hakunisemesha na kwenda kukaa kiti cha peke yake namimi nikaa peke yangu
Mbona hujatoa dalili yoyote. Mtume Amekataza na hajafundisha kutafsiri ndoto. Ndoto zote walizoota manabii na mitume zilikuwa Ni Wahayi. Mche Allah acha shirki. Kama Ni ya kweli usemayo toa dalili.
Acha uongo Sheikh ndoto moja inaweza ikawa na tafsiri tofauti kutegemea na hali ya mtu na huo ndio ulikuwa mwendo wa wanazuoni wetu na maswahaba wetu waongofu katika kufasiri ndoto. Na tafsiri ya ndoto inaweza ikawa moja kwa moja ama kinyume chake na ndoto haiegemezwi katika vitabu vya tafsiri za ndoto bali hasa quran na sunnah
Dah usimuite shehe muongo mpenzi hata kama ni hivo hekima ni kitu kizuri sana zingatia ilo usikurupuke kwenye kuaminisha ukweli halkadhalika kutafuta haki 🚶🚶🚶🚶 napita tuu
Maulid Mnukwa ww hata baba ako n mama ako nahisi unawatukana n halafu ww jiona unaelimu yote unayo ww n peponi unaasilimia mia unaenda mtu mwenye adabu n anaemuogopa muungu hawezi kumwambia muongo bila sababu yoyote hivi ulimtafuta ukamuuliza elimu hii kaipata wapi namba za simu hakuweka hapo kw nini unashindwa kumtafuta ukamuuliza halafu unasema muongo mtu n heshima zake mmh hatari pengine mtu km ww hata swala yako huijuwi vizuri
Dazuu Juma yani hawa vijana wana kibri sana mtume muhammad alikaa n wanafiki lkn hakuwahi hata siku moja kumwambia ww fulani mnafiki n alikuwa anawajuwa mpaka anakufa ndio maswahaba wanajuwa huyu alikuwa mnafiki kw sababu mtume hashiriki mazishi yake sasa hawa wanaojifanya wamesoma alifu wao wanaumizwa n dini kuliko mtume wao
Mimi nimeota leo baba ana nifokea sana na kuna mzozo baina yake mimi na yeye namwambia baba wana uniingizia Wakati nataka kuondoka kwake kwa hasira ili muage niondoke ila sikuweza kuagana naye nika stuka maana yake nini?
Pia nlioto kuna harusi ila waliokwenda kuoa waliporudi walikua na majonzi eti yule biharusi walirudi nae afekufa sasa mie nikawa nawauli mulipata ajali au kafa kwa nini nikashtuka
Waislam mnakosea sana kumkosoa mtu bila kujua elimu yake I kiwango gani, Shekh we endelea na Tafsiri na kila anaepinga a nakosea sana kwanini impinge mtu kwani umelazimishwa kufuata, huu ni ukosefu wa adabu
WEWE KAMA MIMI MPENZI MARA YA MWANZO NILIMUOTA BABA NNA UMRI KAMA MIAKA 13 YAANI KAMA MAZINGIRA YA KWELI HASSA NIKAAMKA NIKALIA HADI KUNYAMAZISHWA IKAPITA MIAKA MARA YA PILI NIKAOTA TENA YAANI ANAKUFA YAANI MFANO WAKE KAMA UHALISIA MPENZ YAPATA MIAKA 4 MPAKA 5 SIJAOTA TENA SIJUI NNINI HICHI
Mimi niliota nlipokuwa naingia ndani pindi baba kaja kunitafuta hapo nje ya nyumba pembeni nliona joka kubwa mkiani anarangi nyeusi kwambele anarangi ya dhahabu lakin katikati na kichwani sikumuona maana alikaa sehemu kama kwenye pango nikamtazama baadae nikaingia ndani ndipo nikaonana na baba ambapo tulipoteana miaka mingi sana. maana yake sijaijua hadi leo waweza nisaidia?
Asalam alaykum shekh mm nishamuota baba yng ananijia lkn hanambii kitu, nikamwambia mm nitakaa nyumba hii hii, mama yng akaniuliza yko hii nyumba nikamjibu hii nyumba nimepewa tangu nilipoolewa mwanzo baada ya wiki nikamuota tena baba kanijia lkn hanambii kitu lkn km anajambo maana alikuwa hana furaha inamaana gani hii ndoto tafadhali
Asalam alykum nimeota baba alishafariki lkn nimeota time una mpunga mwingi tunapakia kwenye magunia Nini tafsiri yake Ili hali baba alishatangulia mbele ya haki??
Assalamu alaykum. Sheikh mimi Alfajiri ya leo tarehe 8 jumatano mwaka huu 2025nimemuota baba yangu akiwa ananiambia nisikae nae mbali na hata kulala nisilale mbali nae niwe karibu nae kwa sababu yeye ni mgonjwa.. inshaallah nampenda sana Baba yangu Allah ampe umri mrefu na wenye manufaaa.. Amiin amiin🤲🤲🤲🤲🤲
Nimeota bb amenipokea mzgo NAMI nimetoka safari
aboo maryam sijui ni muislamu ww au dini ipi ambayo unachanganya ndoto na uganga Allahuakbar pole sana
Shehe asalla mwalaiku nimeota mdongo waga anapigwa na baba shehe na oba nitafrie samahani
Ukiota baba yako mzazi amekufa
Ukimuota baba yako mzazi anakwenda kazini,na hali yakua anaumwa namiguu nakipndi kikubwa hajaenda kazini,naomba fatua ya ndoto hii sheh
Wakenya acheni kukomenti kizungu wenzetu wa tz hawa waelewi 😂😂😂 from kenya nairobi
Mimi nimeota nsmpiga mama keasababu mama alimpiga mama
Kubota Na ngombe
Nime_kuelewA_sana_na_nimekuelewA
Mim nikombali ya Tanzania sidhani kn nitapata wageni, walavsiumwi. .Baba yangu alishakufa nimemuota anafanyia watu dua lkn haonekani. Na anachuo anasomesha watoto
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته
Mungu akujalie mwisho mwema Mimi nimeota she Nina nywele ndefu sana upamde 1nyeuci upande wa 2bluu nini maana yake
Shukran sheykh
Mmi naota na chawa mweupe
Nliota baba ananikumbatia
Nikweli kabisa yani
Mimi nimeota banging amefariki,,,ilihali ako mjonjwa Sana,, am praying that nothing will happen to My dad 🙏🙏🙏
😊😅😅😅😅duu. Mimi. Nime. Muotaa. Baba. Yangu. Tokaa. Nizaliwe. Sikuu. Wahii. Muotaa. Baba. Yangu. Jamani. Nakupenda😅😅🥺baba. Yangu
Habar shekhe kumuota baba analia akidai anahisi mauvivu nikampeleka kutibiwa mara rafikiangu akaja kuniambia babaako amekufa nikaanza kulia ila kuna mama akadai hajafa Mzima nini maana yake shekhe 🙏
Asante
Ndoto moja ina maana tofauti shekhe usitafsiri kwa jumla
Shukuran Jazakallah kheir In sha Allah
Assalamu alaykum
Shukran sheykh jee ukimuota baba kaja kwako lakini anaenda msikitini
Nimeota nmeokota mtoto mchanga kwenye choo karibu na shimo la choo ni kamubeba ni kamueka kwa nyumba na nkamulalisha mahali pazuri, Naomba Nijue maana yake
Asanteeee sn
Lahaulaaaa
Salam alaikum sheikh Mimi nliota babangu niende kwake ambako sijawai kufika kule nifurahia yake shukran
Shukran shekh wetu
🤲🤲🤲🤲
Nimeota baba ananiombea
Mimi nikita babangu ,lakini aliaga 2019 maana yake nini
Je ukimuota mlezi wako mpo wote wa kike inakuwaje shekhe
Jamani Mimi nasumbuliwa na ndoto moja kila nikiota ninatoka kimapenzi na baba angu mzazi mama angu ni wa kambo anajua anatufukuza Mimi na baba kisa baba angu kanipa zawadi za vitenge vizuri sana tunaondoka tunaenda nyumba nyingine hii ina maana gani
Mi nimeota nimembeba baba mgongoni huku baba akiwa ananiimbia nyimbo nzuri, niambie maana yake
Naukiota shamba la tungule limenawir zimewiva nzur nn maanayake
Al akh masjid mtoro endelezeni tu kutoa elimu za hadithi na tafsiri za ndoto mungu awajaalie kheri! Na hawa wasioelewa tuachieni sisi tuwape darasa tu
Sheikh nimemuota baba yangu ananikumbatia mwenye furaha ana chekaaa ila nimelia saaana
Mke jee
Mimi nimemuota baba ananipa nguo nyingi na zingine ni za shule nyingine za nyumbani
Maana yakenn maana Mimi ni MTU mzima nini tafsiri
Kumuota mama mjamuzito kifo na akichomwa moto
Nikweli hili nimeshuhudia
A.a.w shekhe nimemuota Baba yangu nachimba dhahabu akawa ananipa maelekezo chimba maeneo Fulanini kunadhaha nyingi na maeneo Fulani usichimbe kwani hakuna chochote na Mimi sio mchimbaji wa madini tena ni mwanamke nini shekhe
شكرا
Asalam aleykum mie nimeota analia
asante
Waalaikumu ssalam warajmatullahi wabarakatuh
Shukran
Ahsant akhuy
Mi nimemuota babaangu kanipa funguo ya nyumba
Ukiota unasoma shule au madrasa hii inamaana gani
dah kadango pole sana unabii hawapeani kijomba na kiujamaa unabii unapewa na mwenyewe subhana ila yaaqub alitambua tu kuwa yusuf atakuwa nabii lakini alipokuwa mfungwa jela unabii alikuwa bado hajatunukiwa my friend
Salam aleikum shekhe mimi naomba unisaidiye,nimemwota baba tunaugomvi kisha nikamwagia chai ya moto maana yake ni nini tafadhali
Mimi nimemuonata baba yangu tumefanya mapenzi nae na nilipoamka nilimchukia sana km kweli ila tupo mbali nae yeye yupo tz mimi nipo omani ina maana ndani
Fatma aly duuh
Nimeota Nmeona Babangu mzazi aliye fariki kitambo amevaa kanzu kaa za waisilamu, amekaa kwa kiti karibu na mti wa mpera then dadangu mdogo anamchunia mapera akila. Adi Baba akipewa ananionyesha ayo matunda, Naomba Nijue maana yake
Mm nimeota nikiona utupu wa babangu
aboo maryam mungu akuhifadhi na jitahidi kusoma kidogo kwanza plzzzzzzzzz
Sheikh Mimi Niko dar je vp nitampata dua
Allahalam 🤐
Amina mimi nilikuwa nasema nawaza, mafanikio usiku wake nikawa Ota wote baba, mama na sgangazi zangu na bibi yangu mzaa baba naongea naye wakati tunaongea ndo akatokea baba na badaye akatokea mama
A aleikum mimi nimeota simba ameingia mtaani na kufukuza watu ila Mimi nilipo muona kwa mbali nilikimbia hakunipata ila sehemu niliokimbilia ilikua ni sehemu ambayo kuna jengo la gorofa zilianguka nondo na zikanipiga sehemu ya bega
Niliota nikimpa babangu pesa
Mimi mala naota baba anaumwa au napewa nguo nimpereke
Waalleykum salaam Warhamathullah wabarakaatuuh,Aamiin.
Nime muota baba yangu kaniambia nipunguze sauti ya radio usiku ambapo nilikua nime lala chumbani kwangu halafu hapo hapo akaanza kutawaza kwa ajili ya swala
Na mzee wangu ambaye ni marehu sasa
Ndio tatizo la wabong sis tuelimishapo watuelimik
A alaykum sheikh. Mimi baba yangu anaumwa. Na niliota tumeingia mskitini tumetia Udhu pmj tu kaenda kuswali. Na kitu cha ajabu imamu alieongoza sala alikua ni baba mdogo ni mdogo wake kabisa na baba yangu mzazi. Baada ya swala tukapewa tunda aina ya tende tukala. Sheikh vp hapa
Shekh imenigusa hiyo topic had nmelia😭
Asalam alaiku shekhe hivi ukiota ndoto ya viaz vitam nn maanayake
Nimemuota baba yangu mzazi amekuwa kichaa na mama yangu mlezi wote wamekuwa kichaa inamana gani?
Asalamualaykum mim nilimuota babangu ananipa maji ya dua eti yanisaidie kwsbb y magonjwa yngu nin manak?
Je ukimuota baba yako alafu ukamuota anakupa kitu kama pesa je maana yake ni nini
Mimi nimeota baba Yangu mlezi amekufa nawakati yeye anaumwa ndoto inamaanisha nini
Nimemuota baba yangu kikatwa kichwa nakuwekwa kwenye jineza wakat baba yangu ameshakufa zaman nn tafsili yake
🙏🙏🙏
Uwogo
Nadhir Alfane na ww muongo
Mimi nimeota bba yangu lakini ameshafariki samani nimemuona nikiwa madrasa akapita ila ninemsemesha hakusema ila aliendelea kwenda na mm nikamfata hafla wakatokea watu wakanifukuza
Asalam Aleikum shekh naomba unitafsirie plus mi nimuota baba angu kahama kisha kaenda arusini yupo anakula wali pamoja nawadogo zangu
Nini maana ya kumhota baba yako na halishafariki lkn amekuja na nguo alizokuwa akivaa za kazini (jeshi)nilipomhona tu nilimkimbilia na kumkumbatia nae alinikumbatia lkn hakunisemesha na kwenda kukaa kiti cha peke yake namimi nikaa peke yangu
Mbona hujatoa dalili yoyote. Mtume Amekataza na hajafundisha kutafsiri ndoto. Ndoto zote walizoota manabii na mitume zilikuwa Ni Wahayi. Mche Allah acha shirki. Kama Ni ya kweli usemayo toa dalili.
Kasome ndugu yngu acha ushamba, ndoto sio kwa manabii tu. Angalia Surat yusuf utakuta mfalme aliota wale ng'ombe saba
Acha uongo Sheikh ndoto moja inaweza ikawa na tafsiri tofauti kutegemea na hali ya mtu na huo ndio ulikuwa mwendo wa wanazuoni wetu na maswahaba wetu waongofu katika kufasiri ndoto. Na tafsiri ya ndoto inaweza ikawa moja kwa moja ama kinyume chake na ndoto haiegemezwi katika vitabu vya tafsiri za ndoto bali hasa quran na sunnah
Maulid Mnukwa hujamuelewa Vizuri wewe Huyu sheikh
Dah usimuite shehe muongo mpenzi hata kama ni hivo hekima ni kitu kizuri sana zingatia ilo usikurupuke kwenye kuaminisha ukweli halkadhalika kutafuta haki 🚶🚶🚶🚶 napita tuu
@@dazuujuma1211 anadanganya Kwani uongo
Maulid Mnukwa ww hata baba ako n mama ako nahisi unawatukana n halafu ww jiona unaelimu yote unayo ww n peponi unaasilimia mia unaenda mtu mwenye adabu n anaemuogopa muungu hawezi kumwambia muongo bila sababu yoyote hivi ulimtafuta ukamuuliza elimu hii kaipata wapi namba za simu hakuweka hapo kw nini unashindwa kumtafuta ukamuuliza halafu unasema muongo mtu n heshima zake mmh hatari pengine mtu km ww hata swala yako huijuwi vizuri
Dazuu Juma yani hawa vijana wana kibri sana mtume muhammad alikaa n wanafiki lkn hakuwahi hata siku moja kumwambia ww fulani mnafiki n alikuwa anawajuwa mpaka anakufa ndio maswahaba wanajuwa huyu alikuwa mnafiki kw sababu mtume hashiriki mazishi yake sasa hawa wanaojifanya wamesoma alifu wao wanaumizwa n dini kuliko mtume wao
Mm nilimuotaa lakini alishafarikii jamanii
Polee my dear... Mimi nilimwota babangu mara3 then akaja kufarikiiii😭😭😭😭😭
Mahitajio maana yake ninj
Ukimuota babagu akiwa amesima karibu n nyoka nanyosha kidole laki hata kuua manake n nn
Mimi nimeota leo baba ana nifokea sana na kuna mzozo baina yake mimi na yeye namwambia baba wana uniingizia
Wakati nataka kuondoka kwake kwa hasira ili muage niondoke ila sikuweza kuagana naye nika stuka maana yake nini?
Pia nlioto kuna harusi ila waliokwenda kuoa waliporudi walikua na majonzi eti yule biharusi walirudi nae afekufa sasa mie nikawa nawauli mulipata ajali au kafa kwa nini nikashtuka
kweli aboo elimu huna kwa heri naona hata hujui unachoongea
Na ukiota mnagombana na mama aliyekufa maana yake
Waislam mnakosea sana kumkosoa mtu bila kujua elimu yake I kiwango gani, Shekh we endelea na Tafsiri na kila anaepinga a nakosea sana kwanini impinge mtu kwani umelazimishwa kufuata, huu ni ukosefu wa adabu
Mpuuzi mwingine huyu
Shekhe mmi nilimuota bba yangu amefariki hii inamaansha nni mana ndoto hii hujiludialudia
WEWE KAMA MIMI MPENZI MARA YA MWANZO NILIMUOTA BABA NNA UMRI KAMA MIAKA 13 YAANI KAMA MAZINGIRA YA KWELI HASSA NIKAAMKA NIKALIA HADI KUNYAMAZISHWA IKAPITA MIAKA MARA YA PILI NIKAOTA TENA YAANI ANAKUFA YAANI MFANO WAKE KAMA UHALISIA MPENZ YAPATA MIAKA 4 MPAKA 5 SIJAOTA TENA SIJUI NNINI HICHI
Njoo WhatsApp Kwa Maelezo zaidi +255765893020 au +255713439891
mimi na muota mama kira siku inamaana gan
waliopewa unabii wakati wachanga ni wawili nabii yahya na nabii issa wengine wote walitunukiwa wakiwa wakubwa tayari!
jibuni basi niwape elimu msikae kukashif mashekhe au wenye vipaji vya elimu tu
Shekhe nimeota baba yangu Kama ananitamani
Utafaulu mambo yako
dalili shekh
Mimi namuota baba angu ila alishakufa shida nini
Mimi niliota nlipokuwa naingia ndani pindi baba kaja kunitafuta hapo nje ya nyumba pembeni nliona joka kubwa mkiani anarangi nyeusi kwambele anarangi ya dhahabu lakin katikati na kichwani sikumuona maana alikaa sehemu kama kwenye pango nikamtazama baadae nikaingia ndani ndipo nikaonana na baba ambapo tulipoteana miaka mingi sana. maana yake sijaijua hadi leo waweza nisaidia?
Ubaya haangalii comment
Ukimuota akuombakitunaunamupaacho inamaanagani?
A.alykum. mm nmeota baba amenipa karatasi ya dua na kunambia zitafute hizo ila ckujua no nini
Sheh nimeota nimevishwa harini na dadaangu maana yake ni nini
Tafsiri hii nikweli kabisa wala sina shaka na ufasili wako
Asalam alaykum shekh mm nishamuota baba yng ananijia lkn hanambii kitu, nikamwambia mm nitakaa nyumba hii hii, mama yng akaniuliza yko hii nyumba nikamjibu hii nyumba nimepewa tangu nilipoolewa mwanzo baada ya wiki nikamuota tena baba kanijia lkn hanambii kitu lkn km anajambo maana alikuwa hana furaha inamaana gani hii ndoto tafadhali
Asalam alykum nimeota baba alishafariki lkn nimeota time una mpunga mwingi tunapakia kwenye magunia Nini tafsiri yake Ili hali baba alishatangulia mbele ya haki??
Vp ukiota ndoto baba yako amekufa vp inamaana gan?