Huyu jamaa utafikili ni mtanzania. Maana anapambana km timu yakwake. Hongela Yako kaka Mm usipokuwepo uwanjani naumwa. Hapa pale ulivyotolewa nilichukia. Nakubali sana kazi Yako. Namuomba mungu azidi kukupa nguvu ya kucheza mpila. Tena ustafu ukiwa yanga. 1 love
Haya kolo igeni na hiyo masna injinia alitoa somo namna gani kiongozi wa mpira anatakiwa kuwa karibu na timu na kuusaka hushindi, msimu huu tumewaona viongozi wa makolo nao wameaka na kuongozana na timu.
Hili ni jambo zuri sana. Upendo wa kweli... Aucho the best midfielder of all time
Aisee Yanga umeweza kuwapambania wachezaji wetu hongeren sanaa wananchi wenzangu🎉🎉🎉❤❤❤
Huyu jamaa utafikili ni mtanzania. Maana anapambana km timu yakwake. Hongela Yako kaka
Mm usipokuwepo uwanjani naumwa. Hapa pale ulivyotolewa nilichukia. Nakubali sana kazi Yako. Namuomba mungu azidi kukupa nguvu ya kucheza mpila. Tena ustafu ukiwa yanga. 1 love
Hongera injinia hersi furaha tunapata huna baya President
Limenivuta hisia sana hii huyu mwamba anavuja dam na jasho yupo tayari aumie lakin tim iwe salama
Mu Favorite and all time Midfielder Aucho
Sema Aucho pia anaupendo na sisi ingekua mchezaji mwengine angekua ashaondoka zake we love you Doctor
❤❤wananchi wanavyopenda timu yao hongereni wananchi
Sijakosea kuipenda Yanga 💚💛💪
Aucho the best
this is what we call love,daima mbele nyuma mwiko
Hili jambo lina mpa hasira ya kupambana trh 8 , sijamtaja mtu😂😂 🏃🏽🏃🏽🏃🏽
Vizuri sana na appreciate
safi sana yanga tuna upendo na wachezaji wetu
Safi sana wananchi
So lovely ❤
We recognize you our friend 😂😂😂😂😂❤❤❤
Yanga ni timu yenye upendo sanaa
Ilo begi ni mshaara anao lipwa ateba
Mh sijapenda😄😄😄
😂😂😂 Acha basi.....
Na mkwala
Hilo nalo neno😅😅
😂😂😂😂
Adi Rahaa Bwana Hii Ndio Yanga Cjui Makolo Wanatesekeya Wapiii😂😂😂😂😂
Tazama ilivyo vema ndugu kukaa pamoja kwa upendo ❤❤❤❤
Mungu akuepushe na anasa za dunla
Mpira wenyewe upuuzi.
Mwenyezi Mungu akulinde uendelee kuipambania timu
Big up n 💪
Hii kibegi inaminoti 😮😮😮😮😮😮😮😮yangaa mnaupendo na wachezaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga rahh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dhambi za Aucho apewe Ahmed Ally 😂😂😂
Au ateba😅😅😅😅😅
Siyo vidhuli lakin 😂😂
😂😂😂😂😂
Jaman raha sana❤
YANGA BINGWA 💚💚💚👈
Dah hii yanga kila mchezaji anatamani kuichezeya
Doctor wa mpira🎉🎉🎉🎉🎉🎉aucho 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯
Ni zaid ya upendo. ❤
Lahah ll upati tz popote zaidi ya yanga timu yamfano
Aucho amepata ela nyingi san yani❤❤❤
Yanga raha sana 🎉🎉🎉
Good nice anastahili mechi ijayo diara
Hii zaidi ya Upendo. Big up Wananchi Big up Yanga💛💚
Hiyi ni rayon sports ya rwanda buana team za wanaichi 💪
Ongera San Wachezaji Watu Ninaimani Kubwa Kupitiya Ili Watatiya Bidii Sana Maana Wanajuwa Kuna Posho Kupitiya Mashabikiiiii
Hongera wananchi
Raha zote unazipata yanga 🙌🙌🎉🎉
Uwongo Raha zipo Kwa Mungu Kwa atakae shika amri zake
Love over love
Safi sana wanainchi 💚💛💛💚💚💚💛💚💚
Nachangieni mtaji wananchi hamna baya 🎉😊😊😊😊😊
Sema umeniwah tu ndugu😂😂
Nimependa sana na AUCHO Mimi nampenda sana mtu wa mpira alikuja kama utani hakuimbwa sana kiivo kawajibu uwanjani
Mwamba kabisa,,mungu atujalie uzima
Doctaaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Beg mbona litajaa😅
Naomba next game apewe job the captain shark🦈
Aucho tunakupenda sanaaa❤
Saf sana mtukaz aucho 😊😊😊😊
Mmeweza xana wananchi Mungu awaingezeee mlipopunguza
❤❤❤❤
Haituhusu hata kama analipwa ateba kikubwa aucho kapewa hela
Ya aucho nilikuwa na isubiri mm nitatuma kwenye cm m pesa💚💛🙏 yanga laha ata ukitufunga tunalipa maomoti🙏🙏💚💛🙏🙏
Mchizo ujao apewe job sada ama diara
💚💛💚💛
🎉🎉🎉
Hiindioyanga asante wananchi ❤❤❤
Aucho 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aucho 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
💚💛💚💛💚👏👏
hongereni sana
🎉🎉🎉🎉
💚💛
Wananchi.mnatisha sana hongereni
Wananchiiiiiii hamna bayaa ila mueke no kuna watu wako nje ya nchi
Kuna watu wanaumia kwa hili jambo la kuwatunza wachezaji. Wataumwa sana😂😂😂
Ahaa Leo aucho kakusanya hela
Yani saivi mashabiki ndo wanalipa mishahara wachezaji imekwisha utopolo😢😅😅
Daaaaaaaah xina budi kukupa pole
@ElizaMwandezi pole ya nn imetangazwa hio kila mechi mnamchangia mchezaji sasa kwan hawana mishahara 🤣🤣
Ulivyo na roho ya kimaskini dume zima akili huna... Eti miahahara. Ka jinga.. Kolokwinyo Kolozidad
Kolo wanashida sana, kwani huo ni mshahara?
@uswegemwakalobo6220 ndo mishahara yenyewe sasa 🤣
Safi aucho
Nic San aucho
doctor
Saf Sana wanaishi mnajua kuishi na wachezaje hapo hata kama ukamwabia mchezaji aondok lazma aumize kichwa mana anaishi Kwa upendo sana
Hii ni zaid ya upendo kwake na kwetu kama mashabik huyu mwamba anajitoa sana arafu sio mtu wa mitandao Mwenyeez Mungu amlinde
Aucho hakuna kuondoka yanga plz tunataka ustafu mpira ukiwa yanga plz
Hii ndo yanga upendo mwingi...always happy💚💛
dah najikuta natoa machoz ya furaha kwa tim yangu
Safi sana
Semaji akilinda maokoto😅😅😅😅😅
Kweli yangaaaa rahaaaaaa Sasa apo wenzetu MASHUJAA badala ya kujifunza utawaona😂😂😂😂😂
Binge liwaaangalie sana Ali kamwe ; aakmed aliii na Christina muagala; wawawekee posho zao Kila wiki; wanapambania sana soka la kwe2 !!!!
Huo nimshahara wa😂😂😂ateba kabisa duu
Okota kk okota🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂❤❤❤
Hakuna timu nyingine yenye UPENDO KAMA HIVI zaidi ya YANGA. BRAVO SANA WANANCHI
Aya fanyeni na. Mikoni mukienda
Nimependa sana hakika sisi yanga tunaweza
Tutakums san doctor hakik unatup burudan san
Haya kolo igeni na hiyo masna injinia alitoa somo namna gani kiongozi wa mpira anatakiwa kuwa karibu na timu na kuusaka hushindi, msimu huu tumewaona viongozi wa makolo nao wameaka na kuongozana na timu.
Kwan mtaa wa pili mbona wachezaji wao awapewi maokoto😅 sijataja.jina
Haya sasa nawengine waige sasa hii ndio yanga hatupoi na hatuboi
Good wananchiiiiiiii
Yanga tamu
Nime pendanda sana hongereni wananch
WENYE D 2 TUMESHAELEWA. KONGOLE SANA MSEMAJI WETU KAMWE
Wachezaji wamekua omba omba😂😂
HAWA NDIO WANANCHI WENYE MAPENZI NA WANAJESHI WAO.MADUNDUKA WANAUUUMIIIA!!
Mm natabili leo hii isevuni hii siku ya leo talehe 8 yanga anashinda ambae atafunga goli ni mzize utabiliwangu kutoka kigoma asist atatoa k azizi
Hiii ndio yangaaaaa
Yanga bingwa