Live Video: LADYNAA Amuanika GIGYMONEY Aliomba Nimnunulie BANGI Kama TEJA Vile

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 135

  • @AmeenaIbrahim-p3l
    @AmeenaIbrahim-p3l Год назад +2

    Anavuta sawa ilaana akili ya maisha tuta mpenda hivyohivyo umemaliza kuongea au kunalingine tena ❤️❤️gigy

  • @SavanahGemimah
    @SavanahGemimah Год назад +7

    Gigy Hana asante mshamba sana Gigy mchafu sana😢😢😢

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 Год назад +14

    Iyo ndio faida yake ww ulimchamba zari sasa na ww zam yako acha gigi akuchambe tena bora ulivyo chambwa tulichukia ulivyo mtukana zari

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад +4

    Lady naa sijui legina si hatujali gigy kakufanyaje au mmefanyiana nini mtajiju wenyewe. Ila stay the helll away from Zari awkay ok👌. Just leave Zari alone. Hata ufanyeje haumfikii sio kipesa wala muonekano. Just stay away

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Год назад +4

    London nimji wazamani Sanaa hawuwezi tisha watu huna lolote

  • @habibamwema5614
    @habibamwema5614 Год назад +7

    I thought we were done with this story 😕 😔

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Akili za bangi 😂😂

  • @shabanigenya4708
    @shabanigenya4708 Год назад +2

    Bank zetu ziko coresponding na Citi bank ya Newyork, so swala la kutoa pesa na kadi za ki Africa, ni kawaida tuu.. Gigi bangi zinamsumbua tuu hajuy kitu huyo. Hakua na pesa..

  • @Xconxeo_399
    @Xconxeo_399 Год назад +1

    Ww mwanamke ebu tulia ww hauna akili zari tha boss lady

  • @marrybonephacy5245
    @marrybonephacy5245 Год назад

    Kwendraaaa bn ww unatafuta pa kutokea😮

  • @KinDanger-dw5sj
    @KinDanger-dw5sj Год назад +5

    akuna kuomba msama Gigi Money anavuta bang

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 Год назад +2

    Ebu kaa tulia ,,,jitasimini dear

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Год назад +2

    We Ladyna hawuna pesa yakulipa wasani . Jamani niwambiye ukweli ulaya watu hawana maisha wasiwashituwe . Tunazidiwa nawatu wa Africa. Suburi Acha bongo Gigi alisema kweli Zari sio mwenda wazimu aseme uwongo ss Gigi amekutowa inje Gigi tunakusubiri uku ujibu.

    • @josephineosen7337
      @josephineosen7337 Год назад +2

      Kabisaaaa uyu demu kicha mimi nimeshi ulaya miaka 20 sina kitu tena tunahangaika sana Ila uyu kujifanya anakitu😢

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад +2

      Sikila mtu hana maisha. Wengine wapo vzr tu. Ukiona ww hoe hahe usidhani wote wapo hvyo. Afrika wengi wao wanaiba maofisini, rush wa na ukiwaona wafanya biashara kodi hawalipi na wanakodisha pesa serikalini kwa riba kubwa. Ssa Ulaya ukitafute Isitoshe na ndugu na jamaa Afrika wanakisubiri kila mwezi na wengine hata wakianzisha vibiashara wanavivuruga na kula pesa zote. Na ndio mana unakuta wengi hawana maisha kwa ssbu ya kudhulumiwa na hao waliopo Afrika. Ila kwa ssa wengi washastuka.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@malak-lz6kx. Huyo muarabu wako akija anakuja na wafanyakazi wake au anategemea alipofikia ndio amgeuze mwenziwe boi na yy akae ukumbini atizame tv tu???

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@malak-lz6kx. Uk watu hawana shida ya kula vyakula vimejaa unakula mpaka unaacha Tena kila unachokitaka muulize yyte. Ttzo letu hatuna wafanyakazi tu. Mtu upike mwenyewe na unakuta unapirika zako nyengine km kupeleka wtto maskuli au kufanya kazi, kutembea na kula nje nk??? Utaendekeza kukaa jikoni upike mavyakula ya kila aina km mfanyakazi wa Uarabuni kila siku??? Huyo muarabu wako alivyokua hajiezi km si mfanyakazi huko kwake alipo angeweza at least kujipia mavyakula mengi na kulea na kusafisha nyumba??? Siku nyengine akija mwambie aje na wafanyakazi wake hakuna punda wake huku!!!

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      @@malak-lz6kx. Na hakuna anaejibana kula labda kafikia kwa wabaghili wenziwe mana hata huko nchi za kiarabu si wapo wengine mpaka wafanyakazi wao wanasikitika. Lkn kwa waliowengi nafasi ya kupika mavyakula mengi ndio ttzo.
      Na hao waarabu watu wamewachoka. Anakuja anajipweteka kochini na remote na wtto wao wakichafua nyumba. Wakiamka wtto wao wanawashinda kuwashughulikia sikwambii kusaidia watu kusafisha nyumba na kupika. Wao wakae tu natamani hki kile anategemea uingie jikoni upike mana km yy si m’ke. Anakata mwezi mzima….anakusudia kukutoa kibyongo???? Wavivu kupika kiasi!!!!

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +5

    Wewe unashida pia kila mtu anayekuja huko ukimuita munakwaruzana uwe makini

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад

      Kabisa

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Год назад

      Mkorof asa lady naa

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Год назад +2

      Gigy pia mkorofi ukubali ukatae kwani hapa Tanzania amefanya fujo mara ngapi bila sababu yeyote kupanic kwa kitu kidogo ndo zake pengine pia anavuta bangi kweli kwa hiyo tuseme tu wote wakorofi wamekutana

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +2

      @@agnesjohn9382 bangi na pombe hilo kweli hataki daktari kumjua ukimuangalia tu

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад +1

    Ukiiishii na machizi unakua chixiii ongesha machizi ndio kazi yangu na nyinyi wasanii acheni kubabaika na London

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Год назад +1

    Ww lady naa mshamba kweli

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Год назад +4

    Kwani wewe DADA ukinyamaza TU kimya utapungua WAPI⁉️ GROW UP LOL😅😅😅😅

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi Год назад

      She has the right to defend herself.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Anyamaze huyo mwendawazimu wenu. Wanakuja mawaziri na wakurugenzi UK na wanalala kwenye makochi mbona hawaendi huko Hotelini na pesa wanalipwa za trip? Ije kua huyo mvuta bangi???

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +5

    Bangi mbaya imeamza kumpeleka mental Hospital

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Год назад +1

    Uzuri wagigy hajui kusema uongo🤣🤣

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 Год назад +2

    tunajua ni mvutaji kaa kwa kutulia

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад

    Kumbee kichaaa

  • @KinDanger-dw5sj
    @KinDanger-dw5sj Год назад +1

    Bangi tumbako zinasumbua Gigi money

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Год назад +1

    Achana na wa jinga wavuta bangi watakuumiza kichwa njoo unichukue mimi

  • @Moregun619
    @Moregun619 Год назад +3

    Rayvany next💔😂

  • @said6494
    @said6494 Год назад

    Wewe dada unamatatizo achana na gigy

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Год назад

    Ladynaa ni mshamba kweli

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Год назад

    Uyu Mama alikuwa ana tafuta kiki nqye atoke vip😂😂Gigy bado hamja maliza. Ata ku sumbuwa we utakoma ma ubishi 😣😣😣

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Год назад

    Poleni

  • @sesiliatemu3851
    @sesiliatemu3851 Год назад +5

    😅😅😅 bado Rayvan nae atuambie yaliyo mkuta huko

  • @mundelejudith3940
    @mundelejudith3940 Год назад

    U Gigy simu taki ata kidogo tena ana imba nini uyo Gigy fukuza uchafu 😅😅😅😅😅😂😂😂

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Год назад +3

    Weee ladynaa usipokuwa makini utaingia matatizoni na wa British sasa ya ujinga wako na mdomo wako 😮😮😮 unajua kabisa umewaleta bila sababu za msingi na uongo juu 😮😮😮 eti mental health nurse grow up woman acha kuzidi kuji expose let it go

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Do you know her

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Год назад

      @@Mina.15 Did I say I know her 🙄🙄🙄

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      @@spreadlove5300 your comment sounds like you know 🤣

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Год назад

    Gygi mshamba we know her

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад +1

    Mhhh mtupumzishe

  • @missminnatz
    @missminnatz Год назад

    Huyo ladyna mjinga sana hapend kuambiw ukweli yaan unamunyonya mtu unajib nje ya mada hahahah kazi kweli kweli una ttz wewe unashindw kueleza jambo unaenda kwenye kumshambulia mtu kwa mamb binafsi 🙃 wewe ndio unamattz ladyn yaan unahitaji sukuhisho ila ujuaji mwingi na hupendi kujishusha wala kukubaki kosa lako, kwann uwatoe huku af malipo hujiwezi, kwann uache upromota huuwezi acha dada unawadharau waafrc wenzako ujuaj mwingi inaonekan wasanii weng hawasemi hasa wakiume wanakaa kimya coz hawapend wadhalilishwe maan huna stara utaanz kudhalikisha mtandaoni kutaka huruma za watu, wewe ni bint mpumbav huwez jib kitu tofaut na mada huo ni uchawi, ndio maan zari alikuchana ila ukaona njia pekee ni kumdhalilisha😏 umeeambiwa ukweli hata kama anavuta bangi gigy amekupa ukweli ila ndo hvy ujuaji ttz la akili linakutafuna hujijui.

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Год назад +1

    😂😂😂Gigy kalipwa kwaiyo lazima kuchambe😂

  • @shaymaamlanza3949
    @shaymaamlanza3949 Год назад

    Una maongezi Kwan nani ajuh km Gigi avuti bagi unamaongezi

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Год назад +1

    sasa wewe dada unamudomo kweli,ulimuleta gigy uje kumushafuwa haaaaaaaa utakoma kwa gigy utakoma.

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و Год назад

    Kumbe gigy nimuvuta bangi🫢🫢

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад

    Na huyo ggy anaimba nn ? Sibora mngempeleka anjela. Mnapenda kuburuza vizaa zaa

  • @mamawamireille4872
    @mamawamireille4872 Год назад +1

    Uyo gigi ni mvuta bangi achana naye

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 Год назад +2

    Yan muombezari msamaha

  • @aminielmbise2013
    @aminielmbise2013 Год назад

    Bang inashida gan wee kengeee una lolote aya tumekuelewa nukundi Kiki au

  • @happinessmillinga387
    @happinessmillinga387 Год назад +1

    jamani nimeskia vibaya au eti twenty four seves🤣🤣🤣r.i.p kingee kumbe kukaa ulaya siyo kujua english

    • @Luckyme-b4i
      @Luckyme-b4i Год назад

      Ww twenty four seven ndo hujawah kusikia, it means kila siku yani siku Ina masaa 24 and seven means everyday (week contain 7days).

    • @agnessndomba5986
      @agnessndomba5986 Год назад

      It's ok tatizo nn hapi

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 Год назад

    Ndo ujue gigy Ana matatizo she has a problem with everyone,bad mouthing anyone who refused to take her nonsense.

  • @lildraco_k8977
    @lildraco_k8977 Год назад +1

    Siyo lazima ujibuu dada mengine ya ache tuu

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Год назад +1

    😂😂😂😂sasa bangi ndo kitu cha kupiga kelele

  • @KinDanger-dw5sj
    @KinDanger-dw5sj Год назад +1

    namini Gigi anavuta bangi ana akili

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Год назад +1

    Gigi niwa kukosa bangi kweli, kwanza Nyie wote niwadangaji msituchezee akili Gigi anamziki gani wa kumpeleka ulaya au ndiyo mnadangiana tu😏

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Год назад

    Acha tumsubiri gigy nae

  • @annickkabatesi-gn5su
    @annickkabatesi-gn5su Год назад

    Unalaza mutu kwako musicien.Nooooon,ungemulipia hotel yabeyi unaweza

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Hoteli ya bei UK ukamlaze mvuta bangi??? Kwa taarifa zenu wanakuja mawaziri na wakurugenzi wenu huku nawalala kwenye makochi mbona hawaendi huko mahotelini na pesa wanalipwa za trip?

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Год назад

      Ushasahau km Raisi wako alikuja akapanda basi???

  • @falouheart4329
    @falouheart4329 Год назад +1

    Do u mean that u are care worker? Not Nurse😂

  • @lucianagodson437
    @lucianagodson437 Год назад

    Daaaah hataree

  • @sesiliatemu3851
    @sesiliatemu3851 Год назад +1

    Ila kama mlikubaliana njoo nitakupa m 2 ilitakiwa kumpa au mkubaliane upya

    • @shabanigenya4708
      @shabanigenya4708 Год назад

      Hakufanya kazi waliuokubaliana sasa. Hata hiyo 1m alipewa tuu kwa kusaidiwa asitoke mikono mitupu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo1960 Год назад

    Ilo sio jipya kwetu tuna jua anavuta

    • @mr.yahzadochuno7914
      @mr.yahzadochuno7914 Год назад

      Bangi now says is normal mama hata mimi Mbona navuta acha ushamba

    • @dianamonyo1960
      @dianamonyo1960 Год назад

      @@mr.yahzadochuno7914 and what is wrong with what I wrote yenye inakaa ni ushamba

  • @gladysamdeso2623
    @gladysamdeso2623 Год назад +2

    Nacheka kama mazuri 😂😂😂😂😂

  • @hakiiki1767
    @hakiiki1767 Год назад +1

    U woman lwaki towewumuzako are u payed ama