Harmonize na Kajala Nyuma ya Milango maandalizi ya Harusi yao yanukia Penzi Zitoo..! 😍😍😍

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #harmonize #kajala #mapenzi #jrawwtz
    ▶ Don't Click This Link: bit.ly/2Pg2zRU
    ▶ Ahsante kwa kuwa mwana familia, wa Jraww Tz kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza..Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    ▶ Follow on Instagram: / jrawwtz
    ▶ Follow us on Facebook: / jraww255
    ▶ Note:👇
    Jraww Tz, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
    Tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
    Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na mshauri na mwenzako pia Tufuatilie kwenye social media na application zetu hapa 👇
    👉Download Game Letu Pendwa hapa: play.google.co...
    👉Application Bomba ya Muziki na KUdownload hii hapa:
    bit.ly/3mGumqb
    👉PITIA TOVUTI YETU: jrawwmusic.com/
    👉VISIT AMAZON: www.amazon.com/...
    👉GET YOUR VIDEO VIEWS: sprizzy.com/?r...
    👉TAFADHALI USISAHAU KUSUBSCRIBE KUPATA HABARI ZETU KILA MUDA/DO NOT FORGET TO SUBSCRIBE TO GET MORE VIDEOS
    #JrawwTz

Комментарии • 99

  • @zulfahamis9940
    @zulfahamis9940 Год назад +18

    Nyie mnaosema kajara mzee, hebu subirini muwe na umli kama wake kama mtakuwa nauzuri aliyoanao kajala, aminini maneno yangu mtakuwa nyang'anyang'a yaani choka mbaya. Namsifu kwa umri wake bado anavutia sana, tena sana tu.

    • @getrudeshirima9524
      @getrudeshirima9524 Год назад +2

      Yaani anavutia pamoja na umri alonao, nadhani kuwa na mtoto mmoja tu imepelekea kuonekana hivo na mazoezi pia

    • @ZainabuMoody
      @ZainabuMoody Месяц назад

      nampendaga saana jmn kajalaa

  • @CatherineNzeki
    @CatherineNzeki Год назад +5

    Kajala na Harmonize walipendana sana sijui ni shetani gani aliingilia penzi lao

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Год назад +4

    kajala ni mzur tuu💞💞💞 hata bila makeup

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 2 года назад +6

    Mbona aonekana Mzee Sana

  • @CyprianNyakundi-m8d
    @CyprianNyakundi-m8d Месяц назад

    Kajala kweli unapendeza sana ❤

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 2 года назад +10

    Kazeekaje kumbe mzee

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Год назад +2

      😄nilijuwa nimimi tu ndo niliye muona

  • @josephinemakumwangala9542
    @josephinemakumwangala9542 Год назад +2

    hamo twakupenda broo,toa kipuli cha pua nawe kakaa,please,msalimie wifii

  • @Iamnia871
    @Iamnia871 2 года назад +4

    Kajala mzuri jmn 🥰🥰🥰

  • @mwesigyeglory215
    @mwesigyeglory215 Год назад +2

    Kajala wee mzuri sana Kwa umri wake

  • @patriciamukuka3979
    @patriciamukuka3979 2 года назад +4

    She looks so beautiful

  • @officialsharifa
    @officialsharifa Год назад +2

    safi sanaa

  • @MurekeziDeogratias
    @MurekeziDeogratias Месяц назад

    Kadjala nakupenda sana kua tufanye harusi niko Rwanda

  • @abdillahhassan2014
    @abdillahhassan2014 2 года назад +3

    Sura kama mwalimu nyerere

    • @claudiabakisa8052
      @claudiabakisa8052 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 Год назад +1

      😁😁😁

  • @lovenesmaile3041
    @lovenesmaile3041 Год назад +3

    Huyu conde akiniona mimi haki ya mungu hatomtaka huyu mama tena

  • @TheMvenTvfamily
    @TheMvenTvfamily Год назад +2

    Looking awesome

  • @irenehamphurley6275
    @irenehamphurley6275 2 года назад +3

    Mmependeza bwana

  • @ZainabuMoody
    @ZainabuMoody Месяц назад

    Penda shaana kajalaaa

  • @danielkiplangattendet5695
    @danielkiplangattendet5695 Год назад +1

    I represent konde boi in kenya

  • @danielndichu8334
    @danielndichu8334 2 года назад +2

    Wow amazing 😍😍😍

  • @Jezco-g3l
    @Jezco-g3l 2 года назад +5

    Sura ngumu kama harmonize

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 2 года назад +17

    Mmmmmmmmm hizo ndio sura zao halisi🤣🤣🤣🤣

    • @rynemac99
      @rynemac99 2 года назад +1

      kwaiyo wanapendana

    • @nawechi4818
      @nawechi4818 Год назад +1

      @@rynemac99 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me mwenyewe mgeni kwakweli

  • @leahvenas4140
    @leahvenas4140 2 года назад +2

    Pendaneni mpaka waumwe akina mwijaku ,hawana KAZI muda wao wanatumia kuvuruga maisha ya watu

  • @agathapaul5202
    @agathapaul5202 2 года назад +5

    Wew na kazeeka kazeeka...enhe ndo kapendwa na harmo...wewe na ubinti wako kila siku kuumizwaa...ata upati bwana wa kueleweka wabongo achen wivu

    • @Iamnia871
      @Iamnia871 2 года назад +1

      Yan kama wachawi wamekazana kazeeka kazeeka wala hata hajazeeka bhn ni wivu tu unawasumbua 😏

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 года назад +2

      @@Iamnia871 🤣🤣🤣aaah jaman watu wasiseme ukweli Kwan uzee ni kitu cha ajabu jaman ndiyo kazeeka na asipopaka hayo madawa kichwan ana mvi kabisa na watu hawasemi kwa ubaya ila wanashangaa kumbe bila makeup ndiyo yupo hivi

    • @fatumafatumashariff3355
      @fatumafatumashariff3355 Год назад +1

      Kbsa😂

  • @yusuphmdaile4628
    @yusuphmdaile4628 2 года назад +4

    Mmh mbona bibi?

  • @brsirmuhonjwa7863
    @brsirmuhonjwa7863 2 года назад +1

    Wo Safi nami nd ndot yangu musician nitakuwa

  • @aishakuandika6694
    @aishakuandika6694 2 года назад +6

    Sasa hapa ndio naona kajala mkubwa sana

  • @almishyramadhan2676
    @almishyramadhan2676 Год назад +3

    Kajala mtu mzima ad sura inaonyesha

  • @stevenproin5459
    @stevenproin5459 2 года назад +1

    Broo iyo pini ya pua umetoboa au umekibandika .... kama mebandia au umetoboa bc achana nacho broo akikupenzi kabisa ya dah ayo mambo tuwachie wenzetu tuuu nakukubali sanaaaaa broooo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +1

    Ila Kajala kazeeka😭😭😭

  • @yassinm69
    @yassinm69 2 года назад +4

    She got man look

  • @isaackambofi1241
    @isaackambofi1241 2 года назад +6

    Mbibi huyo kakomaaa

  • @ruaichikiwira1692
    @ruaichikiwira1692 2 года назад +1

    Wamefanana

  • @KimnaahSaiddy
    @KimnaahSaiddy Месяц назад

    jmn emuangalien iyo video vzr mekap zinatustili

  • @clichytraveller8099
    @clichytraveller8099 Год назад +2

    Kajala kadhuri bhana

  • @zaynakhalfan4438
    @zaynakhalfan4438 2 года назад +1

    Heeeeeee kumbe ukiwa hujapaka mekapu unamsura mbaya ivyo Yani mzeeee kabisa

  • @frankfabian543
    @frankfabian543 2 года назад +2

    Duuuuh. Kibibi icho

  • @hilderndosi1333
    @hilderndosi1333 2 года назад +4

    Mekup Zina inua watu🤣🤣🤣

  • @annwambugu9578
    @annwambugu9578 2 года назад +4

    Nani hatawai zeeka ....ukiamka Kila siku ujue hauko vile ulikua Jana kwa hivo muache kusema kazeeka... Amependwa na Harmonize.....

  • @ramlaisaac665
    @ramlaisaac665 2 года назад +2

    Wote sura ngum

  • @emaculatekamene319
    @emaculatekamene319 2 года назад +4

    Sura ngumu kama uchumi ya kenya.......mashavu yametokomea kumbe ehh..jamani make up....🤔🤔

  • @gudanemma1459
    @gudanemma1459 2 года назад +2

    Kumbe ndo sula mbaya Ivo😁

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Год назад +2

    Kajala ana shape lakini suraaa mmmmgh

  • @dianerukundo
    @dianerukundo Месяц назад

    Shetani ningemuona ningemuzaba makofi kabisa alie tenganisha kajala na hamo😢😢😢

  • @shufaaattass1920
    @shufaaattass1920 Год назад +1

    Mzee usoo chaa

  • @kakuletsetsere8157
    @kakuletsetsere8157 Год назад +1

    Kicheko tu endelea

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 Год назад +1

    Kumbe kizee kabisa hiki

  • @Aisha-cu4wh
    @Aisha-cu4wh Год назад +1

    Kwn wpo pamoja hwa

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 Год назад +1

    mtoto wa KIUME vipini vya pua vya nini mbona unatangaza ushoga

  • @maliasajabiry8860
    @maliasajabiry8860 2 года назад +2

    🥰🥰🥰

  • @neemarajabu9522
    @neemarajabu9522 2 года назад +3

    Make hap nichek kwanz

  • @madimpooo
    @madimpooo 2 года назад +3

    Uyo bibi kumbe kazeeka mikono ya kizee kabsa🗣🗣😂

  • @BarakaHarrison-l4t
    @BarakaHarrison-l4t Месяц назад

    Zilizopendwa

  • @marrykihiyo3341
    @marrykihiyo3341 2 года назад +4

    Naona kama kajala amezeeka vile

    • @neemamgogo4711
      @neemamgogo4711 2 года назад +1

      Umri namba kumpenda hivyo hivyo

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад +1

      Huo hata mamvi kichwani

    • @Ummu-Nauthar98
      @Ummu-Nauthar98 2 года назад +1

      @@missangela6720 mvi gani ni bandit zile khaa ‼️ kajala yye kuoaka rangi nywele n kawaida kwake, nawapenda bure harmokajala

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад +1

      @@Ummu-Nauthar98 😳😳😳😳

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 2 года назад +2

    🥰🥺💗

  • @salmanassour7357
    @salmanassour7357 Год назад +1

    Asa una sura la kizee mzee wewe

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Месяц назад

    Ati kunyamba nyamba..nimecheka kk kama mazuri

  • @khamiskhamis1205
    @khamiskhamis1205 2 года назад +1

    Oya broo unaowa mkweo au vp

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад +1

    Mvi kama zote

  • @lilylove8494
    @lilylove8494 2 года назад +1

    kajala mbaya bila mekap mweee

  • @thabitisango6068
    @thabitisango6068 2 года назад +1

    Sura kama ling'ombe

    • @Iamnia871
      @Iamnia871 2 года назад

      Na utakufa maskini mchawi ww

  • @Emmymajula5838
    @Emmymajula5838 2 года назад +1

    Mhh Ila jaman uyo c mwanao unamzaa kabisa Yani khaa unabaka

  • @majuraiddi2462
    @majuraiddi2462 Год назад +1

    Bibi kajara huyo

  • @naillanassor2589
    @naillanassor2589 2 года назад +1

    Sasa hii ndio ya manisani au msikitini

  • @theresiauhahula6710
    @theresiauhahula6710 Год назад +1

    mi nilijua ni macho yangu🤔

  • @AbdullAlly-r9s
    @AbdullAlly-r9s Месяц назад

    Mamb

  • @SwaumKimea
    @SwaumKimea Месяц назад

    Kifua unacho kaka angu

  • @sophiabeb2045
    @sophiabeb2045 2 года назад +1

    Kumbe mzee flt zambeb san

  • @muniraawadh2982
    @muniraawadh2982 2 года назад +4

    Kipini cha pua 4 me hamo hupendezi

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 2 года назад +2

      Anamaana yake hajaeka bure wacha watusaidie mahalipengine

    • @chikurashidi7085
      @chikurashidi7085 2 года назад

      @@nurafedrick378 mzee