Harmonize na Kajala Nyuma ya Milango maandalizi ya Harusi yao yanukia Penzi Zitoo..! 😍😍😍
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- #harmonize #kajala #mapenzi #jrawwtz
▶ Don't Click This Link: bit.ly/2Pg2zRU
▶ Ahsante kwa kuwa mwana familia, wa Jraww Tz kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza..Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
▶ Follow on Instagram: / jrawwtz
▶ Follow us on Facebook: / jraww255
▶ Note:👇
Jraww Tz, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na mshauri na mwenzako pia Tufuatilie kwenye social media na application zetu hapa 👇
👉Download Game Letu Pendwa hapa: play.google.co...
👉Application Bomba ya Muziki na KUdownload hii hapa:
bit.ly/3mGumqb
👉PITIA TOVUTI YETU: jrawwmusic.com/
👉VISIT AMAZON: www.amazon.com/...
👉GET YOUR VIDEO VIEWS: sprizzy.com/?r...
👉TAFADHALI USISAHAU KUSUBSCRIBE KUPATA HABARI ZETU KILA MUDA/DO NOT FORGET TO SUBSCRIBE TO GET MORE VIDEOS
#JrawwTz
Nyie mnaosema kajara mzee, hebu subirini muwe na umli kama wake kama mtakuwa nauzuri aliyoanao kajala, aminini maneno yangu mtakuwa nyang'anyang'a yaani choka mbaya. Namsifu kwa umri wake bado anavutia sana, tena sana tu.
Yaani anavutia pamoja na umri alonao, nadhani kuwa na mtoto mmoja tu imepelekea kuonekana hivo na mazoezi pia
nampendaga saana jmn kajalaa
Kajala na Harmonize walipendana sana sijui ni shetani gani aliingilia penzi lao
kajala ni mzur tuu💞💞💞 hata bila makeup
Mbona aonekana Mzee Sana
Kajala kweli unapendeza sana ❤
Kazeekaje kumbe mzee
😄nilijuwa nimimi tu ndo niliye muona
hamo twakupenda broo,toa kipuli cha pua nawe kakaa,please,msalimie wifii
Kajala mzuri jmn 🥰🥰🥰
Kajala wee mzuri sana Kwa umri wake
She looks so beautiful
safi sanaa
Kadjala nakupenda sana kua tufanye harusi niko Rwanda
Sura kama mwalimu nyerere
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁
Huyu conde akiniona mimi haki ya mungu hatomtaka huyu mama tena
😂😂😂😂 kbsa
Looking awesome
Mmependeza bwana
Penda shaana kajalaaa
I represent konde boi in kenya
Wow amazing 😍😍😍
Sura ngumu kama harmonize
Mmmmmmmmm hizo ndio sura zao halisi🤣🤣🤣🤣
kwaiyo wanapendana
@@rynemac99 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me mwenyewe mgeni kwakweli
Pendaneni mpaka waumwe akina mwijaku ,hawana KAZI muda wao wanatumia kuvuruga maisha ya watu
Wew na kazeeka kazeeka...enhe ndo kapendwa na harmo...wewe na ubinti wako kila siku kuumizwaa...ata upati bwana wa kueleweka wabongo achen wivu
Yan kama wachawi wamekazana kazeeka kazeeka wala hata hajazeeka bhn ni wivu tu unawasumbua 😏
@@Iamnia871 🤣🤣🤣aaah jaman watu wasiseme ukweli Kwan uzee ni kitu cha ajabu jaman ndiyo kazeeka na asipopaka hayo madawa kichwan ana mvi kabisa na watu hawasemi kwa ubaya ila wanashangaa kumbe bila makeup ndiyo yupo hivi
Kbsa😂
Mmh mbona bibi?
Wo Safi nami nd ndot yangu musician nitakuwa
Sasa hapa ndio naona kajala mkubwa sana
Kajala mtu mzima ad sura inaonyesha
Mikono pia
Broo iyo pini ya pua umetoboa au umekibandika .... kama mebandia au umetoboa bc achana nacho broo akikupenzi kabisa ya dah ayo mambo tuwachie wenzetu tuuu nakukubali sanaaaaa broooo
Ila Kajala kazeeka😭😭😭
She got man look
Amezeeka sana kaokota zoba lake
Mbibi huyo kakomaaa
Wamefanana
jmn emuangalien iyo video vzr mekap zinatustili
Kajala kadhuri bhana
Heeeeeee kumbe ukiwa hujapaka mekapu unamsura mbaya ivyo Yani mzeeee kabisa
Duuuuh. Kibibi icho
Mekup Zina inua watu🤣🤣🤣
Nani hatawai zeeka ....ukiamka Kila siku ujue hauko vile ulikua Jana kwa hivo muache kusema kazeeka... Amependwa na Harmonize.....
Wote sura ngum
Sura ngumu kama uchumi ya kenya.......mashavu yametokomea kumbe ehh..jamani make up....🤔🤔
🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndo sula mbaya Ivo😁
Kajala ana shape lakini suraaa mmmmgh
Shetani ningemuona ningemuzaba makofi kabisa alie tenganisha kajala na hamo😢😢😢
Mzee usoo chaa
Kicheko tu endelea
Kumbe kizee kabisa hiki
Kwn wpo pamoja hwa
mtoto wa KIUME vipini vya pua vya nini mbona unatangaza ushoga
🥰🥰🥰
Make hap nichek kwanz
Uyo bibi kumbe kazeeka mikono ya kizee kabsa🗣🗣😂
🤣🤣🤣🤣
Jamani kwaniniivo
Zilizopendwa
Naona kama kajala amezeeka vile
Umri namba kumpenda hivyo hivyo
Huo hata mamvi kichwani
@@missangela6720 mvi gani ni bandit zile khaa ‼️ kajala yye kuoaka rangi nywele n kawaida kwake, nawapenda bure harmokajala
@@Ummu-Nauthar98 😳😳😳😳
🥰🥺💗
Asa una sura la kizee mzee wewe
Ati kunyamba nyamba..nimecheka kk kama mazuri
Oya broo unaowa mkweo au vp
Mvi kama zote
Hizo sio mvi ww
kajala mbaya bila mekap mweee
Sura kama ling'ombe
Na utakufa maskini mchawi ww
Mhh Ila jaman uyo c mwanao unamzaa kabisa Yani khaa unabaka
Bibi kajara huyo
Sasa hii ndio ya manisani au msikitini
mi nilijua ni macho yangu🤔
Mamb
Kifua unacho kaka angu
Kumbe mzee flt zambeb san
Kipini cha pua 4 me hamo hupendezi
Anamaana yake hajaeka bure wacha watusaidie mahalipengine
@@nurafedrick378 mzee