WASOMA MAULIDI WANAJUWA KUKATA MBUNO TU SHEIKH SALUM MSABAH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 71

  • @IssaSalimu-gi7zz
    @IssaSalimu-gi7zz 6 месяцев назад

    Mungu akubariki wemkweli ☝️☝️☝️❤️❤️❤️✌️

  • @UrindaAthumani
    @UrindaAthumani Год назад

    Shukran Sheikh Musabah kwa kuwapa maneno wajue... Siasa iliingzwa katika Dini

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 Год назад +10

    Shekh wewe ni phylosofer mzuri na msomi mzuri wa kufuatwa. Allah sw akujalie uzidi kutuelimisha.

  • @MohamedMohamed-ge8fi
    @MohamedMohamed-ge8fi Год назад +1

    AL hamdulillah hayo ndio Mawaidha Insha Allah akuzidishe Elimu zaidi

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Год назад

    Shukran sheikh kwa kuhimiza watu wasome

  • @JumaMachano-b8t
    @JumaMachano-b8t Год назад +2

    Mwanachuni mzuri na msomi sana mashalllah

  • @HijasSaidy-ke2tm
    @HijasSaidy-ke2tm Год назад +2

    Sheikh hao unaewapa ilmu hii, wametia Pamba ktk masikio, wamechificha kwenye dini,

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 Год назад +5

    Uislamu ilikwepo tangu adam(A.S) ila uliwafikia wa kwanza kwa wakati wao ni bi khadijah(R.A)

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Год назад +1

    MASHAALLAH

  • @ramadhankheir4793
    @ramadhankheir4793 Год назад +3

    Maulid uzushi tu tusizungushane sana

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Год назад

      Hujalazimishwa

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 Год назад

      @@aliabdalla9297 ata ww pia hujalazimishwa kuacha ww endelea kufuata

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 Год назад

      AKILI HUNA WEWE.
      MTUME HAKUPANDA GARI MBONA WEWE UNAPANDA.

  • @rashid3562
    @rashid3562 Год назад +2

    Huyu ni genius

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад +1

    Sijui kama kitana kinaingia kwenye hizo nywele subhanallah unaonekana kama chokoraa fulani

    • @ameirmanzi2684
      @ameirmanzi2684 Год назад +1

      Iyo subuhanawah ya nn apo wakati wewe umemchunguza wakat nikosa kuchunguzana

    • @elhelaaltraders7233
      @elhelaaltraders7233 7 месяцев назад +1

      Chokoraa ni wew usiejielewa

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      Fay huko chini na wewe umechana?! inavyomegwa unaisafisha vizuri kweli?!

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 21 день назад

      Chukua mawaidha nywele hata hao mashekh wako wanaweka

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Год назад +1

    Sisemi hivi kwa Majigambo lkn muhimu Tusiwazugushe waislamu..wakawa wanabeb ufahamu usio sahihi..Allah s.w atusamehe tunapokosea..

  • @feisalhanafi7332
    @feisalhanafi7332 Год назад +1

    Kwa komedi upo vizuri.

  • @WajihiAbdalla
    @WajihiAbdalla Год назад +1

    Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Год назад +2

    👏👏

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s Год назад +2

    Duh mashehe wengi sikuizi

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 Год назад

    Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  Год назад

      kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Год назад +3

    Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Год назад +1

    kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .

    • @omadal1
      @omadal1 Год назад

      Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd Год назад

      ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 21 день назад

      Sasa kama amepata dalili Mzuri zaidi na mwalimu kachelea ulitaka aache dalili afuate mwalimu?

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Год назад +1

    Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 6 месяцев назад

    hamtaki kuambiwa ukweli

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 6 месяцев назад

    shida hamtaki kuambiwa ukweli

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg Год назад +1

    leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 Год назад

      Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر Год назад +1

    Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Год назад

      Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Год назад

      ​@@sautikuu212qawli enye nguvu 28

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Год назад

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Год назад

      @@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Год назад +1

      @@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 Год назад

    Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад

    Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Год назад

    Huyu ni Naga bawa wa india

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Год назад

    Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 Год назад +1

    Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Год назад

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 Месяц назад

      UONGO ukitungwa pia hua na Malengo.
      Je UONGO huo Ulikua na Malengo Gani!?

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Год назад +1

    Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Год назад +1

    Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 Год назад

      Fanya Adabu na masheikh zetu

    • @showshowtv1854
      @showshowtv1854 Год назад

      Afu ww kuwa na adab

    • @AnsabMahmoud-h8j
      @AnsabMahmoud-h8j 11 месяцев назад

      Hhhhhhhhhhhh

    • @JK-um6op
      @JK-um6op 11 месяцев назад

      @@AnsabMahmoud-h8j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Год назад

    Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,

    • @mwarabuwamafia5590
      @mwarabuwamafia5590 Год назад

      Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  Год назад

      kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo

  • @asiahsaidsaid1388
    @asiahsaidsaid1388 Год назад

    Kumbeeee niwale wale

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر Год назад +1

    At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅

  • @AllyNgale
    @AllyNgale Год назад

    Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli
    كأنك الشيطان
    Mtume hakua hivyo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Год назад

      ​@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya

    • @ismailgumbo289
      @ismailgumbo289 Год назад +2

      Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.

    • @HappyAlpineVillage-rt2jw
      @HappyAlpineVillage-rt2jw 11 месяцев назад

      Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 11 месяцев назад

      @@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah