Mashaallh mumerudiana jmn nawapend umeona hasara kupoteza ulichonacho Dada ulivo kuwa bila beka ulichoka ulifubaa una sas sas ❤❤❤ ni morooo tunafubirii ndoaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna bebe zennnnnnnu 😊😊alafu kuna wangu ni mtu na nusuuuu🎉🎉❤❤❤ penzi lina wakawaka si umeme wa lukuuuuuuu😂 kwaniin umeme wa luku lakini 😂😂 hahahha wimbo ni mzuri banaaa hata ingekuwa sio valentine dah ningelazimisha iwe valentine kwangu🔥🔥🔥
Niulizie happy kama ana mdogo wake😂😂 ntakuja nimuimbie iyo nyimbo❤❤
beka beka hongel my brother una mke muzuri mung awajalie katika ndoa yenu na uk burundi tunajifunz kupitia kwenu peace ndung yang
Usimwache mwanamke ulietokanae mbali nimefurah sana kaka beka chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤
beka beka hongel my brother una mke muzuri na uk burundi upend wenu tunajifunza kupitia kwenu mungu aw aw
Oya beka kazi nzuri sana
wimbo mzuri na babymama wako ana uzuri wa asili ajajizoom na madubwasha kama wengine. Hongereni sana kaka🎉
Manshallah toto la kibarbaigi, Mburu mmependeza kama Kulwa na Doto .Allah awafanyie wepesi.
Unaropoka tu nani alikwambia ni mbarbaig
Mashaallh mumerudiana jmn nawapend umeona hasara kupoteza ulichonacho Dada ulivo kuwa bila beka ulichoka ulifubaa una sas sas ❤❤❤ ni morooo tunafubirii ndoaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa muheshimishe kwa wazazi love you from kenya
From Kenya nasema Beka brother kuwa na huyo mwanamke ni mzuri na ako mtoto wako bro hakuna wanawake wakuishi nao hapa nje vumiliana na oana kabisa
Lots of love from Kenya big up bro❤❤🇰🇪🇰🇪
Wimbo wa valentine tayari nimeshapata❤❤❤❤❤ bado huyo valentine mwenyewe sasa😅😅😅😂🎉🎉
😅.😅😅
😂😂
hayo ni mambo mawili yofauti...😂😂😂
Nawapenda sana kweli mungu awalinde katika ndowa yenu❤❤
Nasikiliza ngoma kali nikiwa kwa bed na toto lakishua from 254
Mungu awape maisha marefu jaman
Wimbo mzuri umebeba vitu vizuri vya musiki, hongera beka
Tunakuamini kaka yetu❤
From BURUNDI 🇧🇮🇧🇮
Ski nmerai sana nyi kurudiana much love from kenya
Kwanza nimeshelewa kuwa wakuwanza ila nasema boa noite pipos de Tanzânia 🇹🇿 uku kwetu jama tunamiitaga ommy dimpoz tunakubari sana beka 🇲🇿🙏🇹🇿
Tomorrow trending no 1🔥🔥🔥
Mungu awabarik muwe na mwisho mwisho👏👏🙌🙌
MASHAALAH muoane tunawapenda sana♥♥♥♥♥♥♥
Mistari za hyu jamaa are of High level we love you from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Just avoid looking at them and listen to that masterpiece 😵🥰. Pure talent ❤😊
Beka is the best love from Dubai❤❤❤❤❤
Bro ngoma kali sana ..upo vzr
Maa shaa Allah Allah awape wepesi nawapenda jaman ❤❤❤
Wimbo mzurii sana much love from kenya
Big xan kaka unaupig mwngi xan
Mungu akulindeni muishi milele msiachane tena tunapenda maisha yenu.
Hii Ngoma Kali kinanda kimenivutaa💖
Happy ninamuona kama mke wa Roma.
Nancy.
Nnawapenda saaana
Kudadadeki imeisha iyo ole wenu nisisikie..........! nawpenda sana
WA kwanza from Burundi 🇧🇮
Nyimbo ni kali kaka ❤❤❤❤❤❤
Ni mimi tu ndo nasikia sauti ina kwaluza au simu yangu. Any way kaz ni nzuri sana brother you're representing well ❤❤❤❤
Big up bro 🎉
He's back...... 🙏🙏🙏
Hapo umetisha sana unajuwa mpaka unakera duuuh
Masha'Allah Masha'Allah ❤❤
Good job to producer......and nice idea.....💪💪💪💪💪💪💪
Nyie raha nasikia mm ❤❤❤😂
Daaaaaah Mmependezana aseeeee na hii video ndio imefanya nimependa zaidi hii ngoma 😂😂😂😂
Kuna bebe zennnnnnnu 😊😊alafu kuna wangu ni mtu na nusuuuu🎉🎉❤❤❤ penzi lina wakawaka si umeme wa lukuuuuuuu😂 kwaniin umeme wa luku lakini 😂😂 hahahha wimbo ni mzuri banaaa hata ingekuwa sio valentine dah ningelazimisha iwe valentine kwangu🔥🔥🔥
Mwijaku wewe😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Nawapenda sana ,♥️♥️♥️🇧🇮🇧🇮
Bien kk Beka Flavou🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nakubali kaka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hongera beka kwa kurudiana na mkewako
Kaliiiiii🔥😍
npeni maua yangu kwa kua 1st viewer
Napenda hiyo couple
Mashallaah😍
❤❤Wow amazing big up bro
Rest in peace 😭😭🙏Beka flavour😭😭😭 🙏🙏you will forever be in our hearts❤💞 😭😭🙏🙏
Beka ako so talented and has a great voice, shida ni promo ya nyimbo aki😢 hii nyimbo ni kubwa but airplay ni ndogo
Beka i loved your songs uko sawa bro
Kupendana raha nyiee adi bac tu
Good work ❤
Mwijaku mungu anakuona😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤ gere tu
Aki hii Wimbo naipenda saaaana
Mashallah mnapendeza
Dem akupendi uyo
Kwakweli hi nyimbo tamu sn 🇰🇪🇰🇪
A top song 🎧 🔥🔥
Nipo tayari kuwachangia mufunge ndoa inshaallah
Hii nyimbo naipenda sana yan❤
Mwijaku dah nakukubar sana kak
Ngoma kali ya mwaka
Kali aisee
Happy mama k
Ninampigia mke wangu ❤
Unajua kutunga kaka chukuahilo🎉
Hapo sasa Beka umecheza kma pele kurudiana na heppy
Wow Nawapenda sana guys
Muhishi kwenye furaha na amani nimependa sana
❤❤❤You kill it bro weeh
Big up
Hii couple nmeipenda usiache uyo mtoto home boy
NAKUPENDAAAAAAA ❤🎉❤🎉❤🎉
Atar sana
so good
Nice song❤❤❤❤
🔥🔥🔥
fikeni kwangu wadau
Mwijaku uchezaji wako cheza mwenyew😂😂😂😂😂😂
Wow 😲
good song congratulations
❤❤❤❤❤
Mungu awape wepes nduzangu
🙌🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
I love beka flov
💥💥
Respect for producer atal na nusu
Bro uko chonjo nimependa maamuzi yako napenda ngoma yako kutoka somalia
Bado kama wanaogopana... hata kukumbatiana kama wanaogopa😅😢😂
Beka Flavour anajuwa ajuwi tuwa mbiya mu comment ❤
Beka Flavour WE mukali sana mu brother
Beka chukua like ya 254
❤️❤️❤️🔥🔥