"CONFIDENCE YA MWANAUME NI PESA, RAIS ATUPE WIZARA ITAKAYODILI NA JINSIA YA KIUME" MSAMBATAVANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024

Комментарии • 106

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 15 дней назад +4

    Huyu mama ni very smart, hongera kwako mbunge kwa kazi nzuri 👍

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 15 дней назад +6

    Hongera mama hayo ni maono kutoka kwamwenyezi mungu

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 15 дней назад +8

    wanaume mmeona mnatetewa na mwanamke 😢😢daah hongera mama

  • @EliudNgonya
    @EliudNgonya 11 дней назад +2

    Huyu mam apewe hii wizara jmn cz yupo na hoja nzuri sana

  • @amosmakabara3024
    @amosmakabara3024 15 дней назад +6

    Huyu Kigwangalla nae vp tukubaliane tu kwamba sisi hatufanyi kwa sera ya taifa tunafanya tu kusapoti walichoanzisha ndugu zetu wa ughaibuni ila ukirudi kwenye uhalisia 50/50 itakaaje kwenye nyumba japo ni nje ya mada lakini ni mule mule litafaa nn taifa lenye wanawake bila wanaume imara? Hongera sana msambatavangu

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 15 дней назад +3

    Huyu mama hatumtetei ila anafikiri nje ya box. Sio wa kukaririshwa. Hongera

  • @austorb.nyondo2708
    @austorb.nyondo2708 15 дней назад +8

    Naona idadi kubwa ya wanaume bungeni hawajui kuwa wao ni wanaume na vichwa vya taifa ndio maana hawaoni ujinga ulioko kwenye vipaymbele kwenye wizara hii. Na wanasababisha watu waendelee kusema na kuimba nani kama mama

    • @Az__2012
      @Az__2012 14 дней назад

      Ni ubinafsi ndo unawasumbua,, mtu akishapata yeye hana mda wa kufikiria wengine

    • @amosmakabara3024
      @amosmakabara3024 14 дней назад

      Wengi hawana cha zaidi cha kufikiria bora wanapewa posho za kila siku kifupi hawana maono yoyote

  • @mobilebeats3086
    @mobilebeats3086 14 дней назад +2

    Very bright huyu mama

  • @vitariamgimba7447
    @vitariamgimba7447 13 дней назад +1

    Wewe mama mungu akulinde Kwa maaono Yako, ila amlinde mama Samia Rais wetu inshallah.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 12 дней назад +1

    Bonge la Speech 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 15 дней назад +5

    huyu mama🙌🙌 anaongea point

  • @athumanimtamatale
    @athumanimtamatale 15 дней назад +4

    Wanaume tumepata mama wa kweli,huyu mama ni mtetezi wa wanaume

  • @nankalavahamisi6697
    @nankalavahamisi6697 15 дней назад +5

    Wanaume wanapiga makofi badala ya kuchangia

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 15 дней назад +7

    Makofi mengi sana kwako mh mbunge,na ndio maana ya usawa

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry5730 15 дней назад +2

    Mh. Jesca anatufaa, ikiwa Mh. Rais itampendeza kuunda wizara ya Ustawi na Maendeleo ya Wanaume.... Mama anatufaa sana, tangu ameingia mjengoni ni Mbunge anaewakingia kifua jinsia ya kiume,....
    Usawa wa kijinsia uwe chachu, utolewe bila kubagua makundi bali vipaumbele iwe ni kwa jinsia zote.

  • @kevinkatima4975
    @kevinkatima4975 15 дней назад +1

    AWAKENING,

  • @adamjlukas1696
    @adamjlukas1696 15 дней назад +3

    barikiwa sana mama kwautetezi

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 13 дней назад

    Wanawake mnataka 50/50 ukiangalia hata kwenye umbaji nilama mnamuambia Mungu kama kasosea mnamlekebisha

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 15 дней назад +2

    Serikali inaiga uzungu kutetea wanawake tu ila wanaume wanaachwa nyuma wapambane wenyewe. Mwisho wa siku serikali itasapoti ushoga kuunga mkono mizungu

  • @wahabisambali37
    @wahabisambali37 15 дней назад +2

    Nimekubali mama your very bright

  • @IreneKitaa
    @IreneKitaa 15 дней назад +2

    MUNGU akubariki sana wewe Dada.

  • @rozaliamwangwembe7115
    @rozaliamwangwembe7115 15 дней назад +1

    Jescar mama yangu pokea maua yako umenisemea sana. Ishi sana mh.

  • @emmanuelnyina1789
    @emmanuelnyina1789 15 дней назад +3

    Huyo kigwangala tangu anyofolewe uwazir kashachanganyikiwa anataka sana uchawa huyooo kwa rais

  • @batonbernald9164
    @batonbernald9164 15 дней назад +3

    Very strong speech

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana7974 15 дней назад +3

    Huyu mama ana akili sana

  • @user-ss6ey3ge1d
    @user-ss6ey3ge1d 15 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chukua mauwa yako mama umesema ukweli aswaaaa

  • @user-zw6hk9rl8d
    @user-zw6hk9rl8d 15 дней назад

    Ubarikiwe sana mama, Mungu akupe wepesi katika maisha Yako na kazi yako na chochote unacho kifanya kisikilizwe Amen 🙏🤲👏👏👏

  • @husseinmsuya4353
    @husseinmsuya4353 13 дней назад

    Mama umeongea point sana nakuunga mkono 100

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 15 дней назад +1

    Huyu jamaa nae 😂😂😂😂 enzi zangu ningesema kaa chini

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 15 дней назад +2

    Mh. Mbunge zinamtosha. Budget ya kuua wanaume umeikataa kwa hoja

  • @hancemagembe6260
    @hancemagembe6260 15 дней назад +2

    Huyu mama anywe pespsi nakuja kulipa.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 15 дней назад +2

    Hili li kingwangwara ni li chiziiii na watoto wake wote ni wakike tupu

  • @ganakoluxurylodge7663
    @ganakoluxurylodge7663 15 дней назад +1

    MITANO TENA FOR MADAM JESSICA

  • @HamisaShaban-zh2dp
    @HamisaShaban-zh2dp 14 дней назад +1

    Nimekuerewa sana mueshimiwa

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 13 дней назад

    Mhe Jesca, Mungu akubariki.

  • @shd12m55
    @shd12m55 15 дней назад +1

    Hv kigwangwala ni doctor 😢?

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 15 дней назад +3

    Huyu mbunge natamani awe waziri

  • @zakiaramadhan8284
    @zakiaramadhan8284 13 дней назад

    Mama ni mama

  • @UkengeBungara-je7tl
    @UkengeBungara-je7tl 15 дней назад +1

    Kweli muheshimiwa wanawake wanapendelewa

  • @florianmsigwa
    @florianmsigwa 15 дней назад +2

    Kigwangala jau

  • @JumaHamisi-iy2ei
    @JumaHamisi-iy2ei 13 дней назад

    Kweli huyu daktar n shag

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 15 дней назад +3

    Inamaana wabunge wanaume wameisoma lakini mkabaki kimya tu Hadi mwanamke ndo anawatetea ...

  • @user-me3wn6ym3z
    @user-me3wn6ym3z 14 дней назад

    Kigwangara mbona haeleweki ana shida gan

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 10 дней назад

    Safi sanaa

  • @jamesmutabazi2114
    @jamesmutabazi2114 15 дней назад +1

    Asante sana mama wambie

  • @user-bi3ky7vy2q
    @user-bi3ky7vy2q 10 дней назад

    Taarifa yake siipokei na nashangaa inatoka kwa mwanaume tena daktari:)

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 12 дней назад

    Kamumalizaaa duuh Taarifa imetoka sehemu ya mwanaume kingwalla Haibu yake

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 10 дней назад

    Safi sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 15 дней назад +1

    Safi san be blessed naamin ipo cku haki itatendeka...Na huo mpango kazi waufanyie kazi c waandik kiini macho...kingwala umeyumba hapo...bas mbona hakun balance na kama wameshindwa kubalance bas ingekuwa ata 70/30

  • @sideKissinja-mj5bo
    @sideKissinja-mj5bo 11 дней назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-qy9qb9ul9z
    @user-qy9qb9ul9z 13 дней назад

    Kigwangwara ask ki zake jamani

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 15 дней назад +2

    Huyu mama apewe maua yake🎉

  • @angelabanzi8253
    @angelabanzi8253 13 дней назад

    Hongera Mh, maneno mazito hayo

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t 13 дней назад

    Na ndo maana madharau yamekua mengi kwa wanawake kwa sababu wao wanaamini wanaweza wenyewe bila mwanaume nasi tunaamua kuwaacha walee watoto wenyewe

  • @wanyalugendo4776
    @wanyalugendo4776 14 дней назад

    Huyu mwanamke sijui ni mpe Nini, kula 100$

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 15 дней назад +2

    Hawa ndio viongozi sahii au munger sahii sio wabunge vilaza wanapoga tuu mabench hawajielewi kama baaazi yamawaziri

  • @C.Ltv1
    @C.Ltv1 14 дней назад

    Hongera saba mama Mungu anajua alipokutoaaa

  • @jeremiakyomola4413
    @jeremiakyomola4413 13 дней назад

    hongera Mhe. jesca

  • @GloriaPaul-jz8tx
    @GloriaPaul-jz8tx День назад

    genious

  • @bonniegtmagabe2009
    @bonniegtmagabe2009 12 дней назад

    Kigwangala anakatwa

  • @ombengodbless4708
    @ombengodbless4708 11 дней назад

    Uyu mama ni kina kingwangala kumi na na mbili

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 15 дней назад

    Huyu Hamis Kigwangala mwangalieni kwa makin hana hata kidebu ni peupe kama batox la mtoto abaki na ushoga wake mama kaongea point sana

  • @ombengodbless4708
    @ombengodbless4708 11 дней назад

    Kingala aibu mama kakuzarauuuuu

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 15 дней назад

    Inatia huruma sana kwa wanaume hii kauli alitakiwa kutoa mmbunge wa kiume

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 12 дней назад

    HIYO NDIO MIPANGO YA KUTENGENEZA SINGLE MOTHER

  • @paulshayo4641
    @paulshayo4641 15 дней назад

    sharaut nyingi kwa mh mbunge wa iringa hakika kaonyesha utofauti wa kipekew sana na Yuko kupigania haki ya wananchi ubarikiwe mama hakika confidence ya mwanaume ni fedha mana mwanaume ni producer mwanamke ni consumer.

  • @badruhote4607
    @badruhote4607 15 дней назад +1

    Mama umeongea katikati🤝

  • @user-qg3bw3gc9l
    @user-qg3bw3gc9l 15 дней назад +1

    Safiiiiiiii,

  • @richardmrosso976
    @richardmrosso976 15 дней назад

    Waziri aiwezi wizara ajiuzulu

  • @ericdaniels2608
    @ericdaniels2608 15 дней назад

    Safi sana mbunge 👏👏👏

  • @user-it7he1pz5j
    @user-it7he1pz5j 15 дней назад

    Akili nyingi hii

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 15 дней назад

    Ndio maana mo alikata kumkopesha pikipiki Ile ajari hakili haijakaa sawa huyo

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 15 дней назад +3

    Ni kweli mama sisi wanaume hatuna wakutusemea huko bungeni jamani sisi wanaume tuna kazi nzito yakusomesha

  • @hancemagembe6260
    @hancemagembe6260 15 дней назад +1

    Huyu kigwangala hafai kabisa

  • @alibinjuma793
    @alibinjuma793 15 дней назад

    👏

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 7 дней назад

    Huyu mama ni mbunge sasa ana hoja

  • @JoyceWilliam-mz4dk
    @JoyceWilliam-mz4dk 15 дней назад

    👏👏👏

  • @robertmsigalla9259
    @robertmsigalla9259 14 дней назад

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 15 дней назад

    MAMA UKO VIZURI SANA KWA KWELI
    YAANI USAGAJI NA KUTOLEANA HAMU KWA WANAWAKE YAANI WATU WANAKULA MPAKA Mkongo MKONGO YAANI NI BALAAAA KABISAAA

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 15 дней назад +1

    Mama anaakili

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 15 дней назад

    Upo vzr sana mama jesca

  • @mariamwiston
    @mariamwiston 15 дней назад +3

    Upo vizuri mama, huwa unamadiniii sanaa

  • @Az__2012
    @Az__2012 14 дней назад

    Huyu dingiii nani sijui kingwangula,,, aache bangi ,, hayo ni mambo ya kukariri vitabu. Ila ukiangalia mambo yanayo zunguka jamii kwa sasa, mwanaume kweli yupo kwenye huo muhanga,, na ukiwezesha jinsia moja ni kweli mwanaume hawezi kuwa na confidence kabisa.Hadi wanawake wamekubali hili sasa, alaf Kingwangula analeta ugumu! Wauniiii ,,tumtoe nini huyuuuu?😂

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 15 дней назад

    Uyo jamaa wamakoti atakuwa ni mzungu uyu mumutizame vinzur

  • @ramadhanihamadi6304
    @ramadhanihamadi6304 15 дней назад

    Mama unajielewa sana

  • @robertmsigalla9259
    @robertmsigalla9259 14 дней назад

    Hapo umuhimu wanani kama mama

  • @sketchbabu
    @sketchbabu 15 дней назад

    Sasa huyu Mama ndio Kiongozi wa kweli. Usawa ni usawa

  • @user-cu4er9oy2q
    @user-cu4er9oy2q 14 дней назад

    Bela ulongite dada

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 15 дней назад

    Kigwangara analaki jambo

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 15 дней назад

    Mchangiaji wahovyo huyu

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 15 дней назад

    Discrimination

  • @zuhuraomary2782
    @zuhuraomary2782 13 дней назад

    Huyu mama katisha kwakweli wanawake siku izi ndo watakua waoaji kutukana na masera ya kijinga

  • @albinimichael1342
    @albinimichael1342 15 дней назад +1

    Nilishasema siku moja mwanamke atatutetea wanaume na sasa nashuhudia hapa

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 15 дней назад

    Mama hongera sana,umetuwakilisha vema.
    Ila pumzika kidogo maana naona kama goiter