Huu ni udhalilishaji wa mtoto mwanamke, hata kama mambo yalikuwa hivi karne hizo mbona hadi wanaumme hawajavaa ilivyokuwa. Mbona kujidunisha kiasi hicho jamani. Haipendezi, haivutii na hainufaishi bali kuudhi na kukera kabisaa. Hapa hakuna akili hata kijiko kimoja iliyotumika na waandalizi pamoja na wahusika
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌that dance without blouse wote😂😂😂😂😂😂
Hi
😂😂😂😂😂kumbe hata Wakurya wanacheza nusu uchi😂😂 am proud of Tarime Mara.
😃😃😃😅😅😅
Sio tarime bhana
Swali hawa ni wasichana ambao hawajaenda jandoni au waliotoka jando? am proud of my culture
Walio toka jando
I love this video it is mesmerizing. Their dancing seems some how so powerful.
Tiny Tree Its not so powerful as you think, it's because you have never practiced and once you become familia it's too normal
Tiny Tree Its not so powerful as you think, it's because you have never practiced and once you become familia it's too normal
Daudi na masiagha
Ok
Nice i support cultures noting like preserving your heritage.
Stella Mbah its true my ccter we should be proud of our culture and preserve our traditional values
Nice parfance from mara tz when isee that iremember home no 1 like my tradition
Apa Nyakimori hizi nadra kuziona!! Good this one has reminded Me long time ago!!!
Pamoja sana magoiga
magoigam magoiga
Pamoja sana
mmmmh kwa wadada hao matiti wazi sijaonaga labda kizamani sana ila kalne yangu hapana
Sasa sisi wakuria tunaendeleza Mila zetu
jamani wakurya gani wasichana wanacheza maziwa wazi!!mm nimkurya lakini cjawahi onaaaa!!
Hata mm n mkurya ila cjawahi kuona wanawake wakicheza matiti yakiwa waz
wakurya wapo matabaka mengi hao bado wanatimiza wajibu wa mila.
Wametoka Saro hao.
😂😂kabila zingn jmn
napenda sana my traditional dance,,,,iko poa
Daud
like Ritungu so much😁
remind home
Nothing iz wrong there mura coz itz our culture that iz known everywhere and it has to be known that way and not otherwise
Pamoja sana nkizipata ntaleta updates
Inapendeza vitu hizi kuziona
Please just wanna where is this country
Wakimaliza hapo kila mtu box moja la panadol mana hivyo vichwa kama kuku mwenye kideri
Huu ni udhalilishaji wa mtoto mwanamke, hata kama mambo yalikuwa hivi karne hizo mbona hadi wanaumme hawajavaa ilivyokuwa.
Mbona kujidunisha kiasi hicho jamani. Haipendezi, haivutii na hainufaishi bali kuudhi na kukera kabisaa.
Hapa hakuna akili hata kijiko kimoja iliyotumika na waandalizi pamoja na wahusika
Ndugu yangu tatizo lako ni ugoro wa kizungu ulionusishwa kidogo na sasa unakana na dharau kilicho chako. Mzungu avaa min skirt unasifia
Naipenda sana into a
Mangana
mpya za kikurya nazipata vipi jamani
sehem gani hii wanacheza ritungu matiti yakiwa waz? mbona cjawahi kuona hili?
Samwel Hechei #Mbona kawaida tu hii mila ipo toka zamani
@@lawrencek47nyakimori69 ukikua utaona
Hahaha hii ngoma nimeipenda
Eh mura ota konga mura
Haa hata Mimi sijaonaga wakicheza maziwa wazi
Salutiiiiii
Joxee Setty #pamoja sana usisahau ku subscribe kwenye acount yangu kwa video nying zaidi
Joxee Setty #pamoja sana usisahau ku subscribe kwenye acount yangu kwa video nying zaidi
Haha iritungu👍🏾
Saf sana
Hivi hapa ni wapi?.Licha kuwa kuria sijawahi ona wasichana wakicheza vifua wazi.
Itakuwa umri wako mdogo ndo maana hujawahi kuona ila zamani ilikuwa hivyo. Sijajua hapa ni wapi
kurya sehemu gani jamani?
MOKERERI MARWA #Tairo Bunda Mara kama unapafahamu mura
Penda sana
Pamoja joyce
pamoja sanaa broo👏👏👏💪💪💪🙏🙏🙏
Hii kiboko
very good
very nice mis home sana
Very nice and mutual to sustain our culture
Mbona kucheza uchi Ovyooo
Ndiyo asili yetu. We love it
Oliver home n wapi
jaman ili kabila siyo
Thatz good jane Never 4get u,r culture... Subscribe to my Account to get more updates of new cultural videozz
Lawrencek47 Nyakimori hawo wanatafuta wachumba ndio maana halic ya matiti kuwa nje
fake custom
Hi
Naipenda sana into a
Masenza ngarore IGA ufe magesa from Moro tz