Wajua Zubeidah unatabasamu nzuri, na mimi hukupenda bure...ila katika ule mjadala niliipata ikiwa kinaya kwamba sikuuona uongozi bora wa mjadala ilhali wewe ni somo wa kiongozi wa Nairobi na vile vile sikuiona haki ilhali wewe ni somo wa jaji mkuu....tafadhali wacha utendakazi wako ufanane na sura yako...wamekusifia kwenye comments ila hawakuambii ukweli......wanaitwa lambistic
No o e is talking how Zubeida is beautiful, mnajifanya mujaona how his laughter is so appealing.😮😮😮😮
Nice nice...thank you ZKK
Zubeda is amazing, happy nd intelligent woman
Proud of you gal
Good work Zubeda... You remind me of Oprah Winfrey
Beautiful work. Keep on
Zubeidha nakupenda bure. Napenda sana kile kicheko chako Cha 2017 na ulivoshindwa kukithibiti. Tabasamu nayo!!! Mtoto wa watu si utaniua wewe!!
Zubeida you did a good job ...
Do not allow intimidation in your job sweetie...all will be ok
Congratulations
Your beautiful Zubeida, nakumbuka vile ulikuwa unakariri shairi hadi unalia.
Wajua Zubeidah unatabasamu nzuri, na mimi hukupenda bure...ila katika ule mjadala niliipata ikiwa kinaya kwamba sikuuona uongozi bora wa mjadala ilhali wewe ni somo wa kiongozi wa Nairobi na vile vile sikuiona haki ilhali wewe ni somo wa jaji mkuu....tafadhali wacha utendakazi wako ufanane na sura yako...wamekusifia kwenye comments ila hawakuambii ukweli......wanaitwa lambistic
You so beautiful.
You are good but you need to work on your interview ethics. Don't bring emotions in an interview. Emotions unaachia bwana yako nyumbani
Jambo ndio nini ? Mbona hukusema habari zenu?
Wewe si useme habari zenu basi. Yeye amesema jambo na tukaelewa ni salamu. Sawa Tony mswahili?