"RELI YA SGR NI MKOMBOZI KWA WADAU WA CENTRAL CORRIDOR KATIKA USAFIRISHAJI MIZIGO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 апр 2024

Комментарии • 12

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Месяц назад +1

    Hongera sana Trc! Boresheni zaidi miundombinu yote ya usafiri wa garimoshi na hakikisheni huduma ni endelevu,salama na uhakika zaidi.

  • @htx1873
    @htx1873 25 дней назад

    Hongereni sana TRC Tungependa kuona na video ambazo zitaonyesha utayari wenu wa Kuzibiti RUSHWA na mtatuhakikishoa vipi kwa hili ? Na bila Kusahau , elimu ya kutunza mazingira na usafi , tafadhali tunaomba sana hizi video za namna hii zionyweshwe kwa wananchi.. niombi langu kwenu TRC .

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Месяц назад +3

    Anzeni kubeba abiria acheni kukusanya watu mnao wajua2

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Месяц назад +4

    Hao watu wa maana, sio mnapekeleka Makatibu wa staafu, kwenda kula chakula cha bure, pesa mvuja jasho maskini. Muwe na ubongo nyie Reli.

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 Месяц назад +1

    Tuanzeni kazi ziara zimekuwa nyingi jaman

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 25 дней назад

    Shida ni kwamba mtaweza kuendesha bila ufisadi? Tazara iliishia wapi?

  • @johnalexandermushi6720
    @johnalexandermushi6720 25 дней назад

    Ndani ya mahandaki kuna taa? Maana yanaweza kuwa maficho ya kuhujumu.

  • @johnalexandermushi6720
    @johnalexandermushi6720 25 дней назад

    Sasa bado SGR kutoka Dar-Arusha-Namanga

  • @issahmanyenye6267
    @issahmanyenye6267 28 дней назад

    Miradi ya reli inasimama waambie wananchi

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Waganye KAZI sio maneno tu jitihada na maarifa hongera Kwa viongozi Kwa kuwa na maono hayo

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 Месяц назад

    wadau wanatembelea au wanampango wa kuonganisha

  • @user-go1zq3mc5j
    @user-go1zq3mc5j Месяц назад

    ❤❤