Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu. Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.
Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi
We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼
Nikiwaona nakumbuka mzee wetu mungu ampunguzie azabu ya kaburi mlipendeza sana mlivo kuwa watano nawapenda sana
@@zuwenaodaizuwenaodai1999 Mzee matata yule aikua mwembamba
Amiin
Mume muungwana sana,anambekeza mke wake,anamuelewesha maisha yalivyo.Hongera sana Mr Mkwere
Et mbona unanifagia mimi😂😂
🎉🎉🎉 good job
asante auseee😊😊😊😊nimejifunza kitu
Nawapenda nyie hatari kila jumapili saa 3 lazima niwaangalie yaani.❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍👍😁😁🙏🙏🙏
Asante kwa kutuunga mkono.
Huyo mwana dada kanenepa ❤️Safina kamepenfeza
Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu.
Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.
Ahsante kwa ktunguunga mkono.
MIZENGWE long time sanaaaaa enzi hzo za TV za kishogooooooooooooo.
Tupooooo bado mzee babaaaaa!! vipi umetuchoka? tuvumilie bado tuna vichekesho 32,000 hatujavicheza.
Shukrani saner 🙏
Tunafuatilia toka Zambia
Mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu mazuri kupitia sanaa ya maigizo. Namkumbuka sana hayati Matata jamani 🤔.
Mko vizur hongereni❤️❤️❤️
I like it for sure nawatch nikiwa huku Qatar I feel at home waaaaaaah.......
Hiyo nchi ya Qatar kutoka dar mpk huko nauli bei gani na kunapatikana nini zaidi
Tuko wote goha ndug
Dah!! Ipo sahihi kabisa ktk hiloo
Umetisha sana mkwere
English translation for me 🤣🚮
Kiukweri mnatufundisha asanteni
Tunammiss mzee matata mu mungu ablaze roho yake mahala pema peponi
aisee uyu mdada mstaarabu sana
Tatizo mzee umekosea kuuliza mchele wa wapi huu ungevunga tu wala usingeulizwa umetoka wapi wala umebeba nini 🤣😃
Ushaur wangu angemwambia mume wake kwanza
Safina endelea na moyo wako mzuri mkwere unatbia mbaya
Safinna una miguu mizuri mhhh
Waaaaaoooooo niliwamiss
Mume Wa safina noma😂😂😂😂😄😄😁😁😁😁
Kaz ya kulala na viatu😂😂
Huyo nmemsahau jina anaeomba msaada wa Kodi, mbona amekonda sana jaman🙆
Maringo😂😂😂
Safina muonee huruma mmeo maisha magum
Yanatukuta sana sana Tena sana
Yanatukuta wengi tulio kwenye ndoa
Asante kwa kutuunga mkono
Hapana kwa kweli angetoa kidogo
❤
Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi
Safi sana
Nmekumbuka mzee Matata jaman😭
Fundisho tosha kabisa kwa akinamama wenyetabia kama hizo.
mzee MATATA 😭😭 🇹🇿
AisEEEEE munajua sana dah na
Munatoa sababu watu amuwawek nyia panda
sio sahihi bora angempa kidogo tu
Mzee matata😭😭😭😭
Saingine mtu unaweza ukawa unauwezo, wa kujikimu kimaisha angalau kidogo usihangaike. Ila ukiendekeza ndugu umakwama 😀
Yani wacha tuuuuu mrembo ukiwa na huruma kupitiliza ni tatizo sana
Mkongo anashida gan anakonda kila siku
Shukran
Xo sahh...Ilipaswa akushirikishe ww ndo utoe rukxa
Baadhi ya Wanawake sifa zinawaponza nia aonekane hana shida kumbe mumeo anaumia
Mbarikiwe sana! Namkumbuka sana hayati Matata jamani🤔
@@mauricemaungu8390 kwakweli alale pema peponi Mzee Matata
Mke boyaaa
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Sio sahihi kugawa vitu namna hiyo.
Amakweli kumbe Safina alikua bado mtoto? Kwa sasa ndo kwakua.
😃
Hayo ndy maisha ya wanawake hata uwapende vp huwa Hawana uruma na pesa ya mume
We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼
Safina mtani wangu umenenepa sana kupendeza sana ongera sana.
Poleni wana kashikashi mungu amuweke mahala pema peppni
uyo dada kanenepa
Michele mwenziwe maharage 😳🤪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio sahihi
Haya kimenuka
Fundisho
Hapana kwakweli
😂😂😂
Duuuh
🤣
😂
Hahaha