#MIZENGWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии •

  • @SabinaRashid-du3nb
    @SabinaRashid-du3nb 2 года назад +11

    Nikiwaona nakumbuka mzee wetu mungu ampunguzie azabu ya kaburi mlipendeza sana mlivo kuwa watano nawapenda sana

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 года назад +5

    Mume muungwana sana,anambekeza mke wake,anamuelewesha maisha yalivyo.Hongera sana Mr Mkwere

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    Et mbona unanifagia mimi😂😂

  • @AngelReims
    @AngelReims 24 дня назад

    🎉🎉🎉 good job

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 года назад +3

    asante auseee😊😊😊😊nimejifunza kitu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад +2

    Nawapenda nyie hatari kila jumapili saa 3 lazima niwaangalie yaani.❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍👍😁😁🙏🙏🙏

    • @lusese1
      @lusese1 2 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 2 года назад +8

    Huyo mwana dada kanenepa ❤️Safina kamepenfeza

  • @mtaniphinias
    @mtaniphinias 2 года назад +9

    Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu.
    Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.

    • @lusese1
      @lusese1 2 года назад +1

      Ahsante kwa ktunguunga mkono.

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 года назад +1

    MIZENGWE long time sanaaaaa enzi hzo za TV za kishogooooooooooooo.

    • @lusese1
      @lusese1 2 года назад +1

      Tupooooo bado mzee babaaaaa!! vipi umetuchoka? tuvumilie bado tuna vichekesho 32,000 hatujavicheza.

  • @rajeshrajesh-lp2oy
    @rajeshrajesh-lp2oy 2 года назад +2

    Shukrani saner 🙏

  • @marliusmajani3782
    @marliusmajani3782 2 года назад

    Tunafuatilia toka Zambia

  • @mauricemaungu8390
    @mauricemaungu8390 2 года назад

    Mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu mazuri kupitia sanaa ya maigizo. Namkumbuka sana hayati Matata jamani 🤔.

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha5804 2 года назад

    Mko vizur hongereni❤️❤️❤️

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 года назад

    I like it for sure nawatch nikiwa huku Qatar I feel at home waaaaaaah.......

    • @theclasinu9642
      @theclasinu9642 2 года назад

      Hiyo nchi ya Qatar kutoka dar mpk huko nauli bei gani na kunapatikana nini zaidi

    • @maphitamaphita3091
      @maphitamaphita3091 2 года назад

      Tuko wote goha ndug

  • @shabanhamza6814
    @shabanhamza6814 2 года назад

    Dah!! Ipo sahihi kabisa ktk hiloo

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 года назад

    Umetisha sana mkwere

    • @Swahili14
      @Swahili14 2 года назад

      English translation for me 🤣🚮

  • @abuumkamba1760
    @abuumkamba1760 2 года назад

    Kiukweri mnatufundisha asanteni

  • @yassinm69
    @yassinm69 2 года назад

    Tunammiss mzee matata mu mungu ablaze roho yake mahala pema peponi

  • @atepamashavu6122
    @atepamashavu6122 2 года назад

    aisee uyu mdada mstaarabu sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +1

    Tatizo mzee umekosea kuuliza mchele wa wapi huu ungevunga tu wala usingeulizwa umetoka wapi wala umebeba nini 🤣😃

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 2 года назад +3

    Ushaur wangu angemwambia mume wake kwanza

  • @musaamini401
    @musaamini401 Год назад +1

    Safina endelea na moyo wako mzuri mkwere unatbia mbaya

  • @yusuphmjengo924
    @yusuphmjengo924 2 года назад

    Safinna una miguu mizuri mhhh

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад

    Waaaaaoooooo niliwamiss

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 2 года назад

    Mume Wa safina noma😂😂😂😂😄😄😁😁😁😁

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад

    Kaz ya kulala na viatu😂😂

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 года назад +1

    Huyo nmemsahau jina anaeomba msaada wa Kodi, mbona amekonda sana jaman🙆

  • @tato8979
    @tato8979 2 года назад +2

    Safina muonee huruma mmeo maisha magum

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 года назад +1

    Yanatukuta sana sana Tena sana

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 2 года назад +6

    Yanatukuta wengi tulio kwenye ndoa

    • @lusese1
      @lusese1 2 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад +2

    Hapana kwa kweli angetoa kidogo

  • @Muna_mamoyo
    @Muna_mamoyo Год назад

  • @nashwaabubakar9382
    @nashwaabubakar9382 2 года назад

    Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад

    Safi sana

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 года назад

    Nmekumbuka mzee Matata jaman😭

  • @edwardandrew6726
    @edwardandrew6726 2 года назад +1

    Fundisho tosha kabisa kwa akinamama wenyetabia kama hizo.

  • @wowo1546
    @wowo1546 2 года назад

    mzee MATATA 😭😭 🇹🇿

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад

    AisEEEEE munajua sana dah na
    Munatoa sababu watu amuwawek nyia panda

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 2 года назад +1

    sio sahihi bora angempa kidogo tu

  • @mwanalau2457
    @mwanalau2457 2 года назад

    Mzee matata😭😭😭😭

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 2 года назад +5

    Saingine mtu unaweza ukawa unauwezo, wa kujikimu kimaisha angalau kidogo usihangaike. Ila ukiendekeza ndugu umakwama 😀

    • @josephmanyama9012
      @josephmanyama9012 2 года назад +1

      Yani wacha tuuuuu mrembo ukiwa na huruma kupitiliza ni tatizo sana

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 2 года назад

    Mkongo anashida gan anakonda kila siku

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 2 года назад

    Shukran

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein5556 2 года назад

    Xo sahh...Ilipaswa akushirikishe ww ndo utoe rukxa

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 года назад

    Baadhi ya Wanawake sifa zinawaponza nia aonekane hana shida kumbe mumeo anaumia

    • @mauricemaungu8390
      @mauricemaungu8390 2 года назад

      Mbarikiwe sana! Namkumbuka sana hayati Matata jamani🤔

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 года назад

      @@mauricemaungu8390 kwakweli alale pema peponi Mzee Matata

  • @coastermahenge8910
    @coastermahenge8910 2 года назад

    Mke boyaaa

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @edwardongori7734
    @edwardongori7734 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Sio sahihi kugawa vitu namna hiyo.

  • @japhetlameck547
    @japhetlameck547 2 года назад

    Amakweli kumbe Safina alikua bado mtoto? Kwa sasa ndo kwakua.

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 2 года назад

    😃

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад +7

    Hayo ndy maisha ya wanawake hata uwapende vp huwa Hawana uruma na pesa ya mume

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 2 года назад +2

      We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Safina mtani wangu umenenepa sana kupendeza sana ongera sana.

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 года назад

    uyo dada kanenepa

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 2 года назад +1

    Michele mwenziwe maharage 😳🤪

  • @vumiliakashindi8651
    @vumiliakashindi8651 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdurahmnsobo4810
    @abdurahmnsobo4810 2 года назад

    Sio sahihi

  • @modinakshy6276
    @modinakshy6276 2 года назад

    Haya kimenuka

  • @votiairdigital
    @votiairdigital 2 года назад

    Fundisho

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 2 года назад

    Hapana kwakweli

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 года назад

    😂😂😂

  • @williamgumbo8525
    @williamgumbo8525 2 года назад

    Duuuh

  • @amanimallya2451
    @amanimallya2451 2 года назад +1

    🤣

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад

    😂

  • @jenahando2747
    @jenahando2747 2 года назад

    Hahaha

  • @hhhhhhhgbhnnhn
    @hhhhhhhgbhnnhn Год назад