SAKATA SERIES : Episode No.14 : Starling : Tinwhite Kilangaso Dagobert Tausi Kiduchu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 344

  • @Lawimbosso
    @Lawimbosso 2 года назад +9

    Jaman na mm naomben leo like maan sio kwa kuxbili uko bila kulal

  • @falmaliciousfoods4638
    @falmaliciousfoods4638 2 года назад +7

    Amazing 👏 tunawapenda tin white na team yako 😍 👌 ❤
    Asanteeni sana kwa muendelezo

  • @bakariswaleh7563
    @bakariswaleh7563 2 года назад +5

    Hili kweli sakata mazee duh gonga like twende sawa👍😁😁🔥

  • @ashurajuma2671
    @ashurajuma2671 2 года назад +8

    Ningempata baba kama uyu ninge enjoy life 😂😂 familia fund friji Yani mpaka baba anakufundisha kamali😂😂😂

  • @rickwyse2840
    @rickwyse2840 2 года назад +22

    Nagwa is Back 🙌🙌🙌🙌Show tyme😁😁😁

    • @diaking6
      @diaking6 2 года назад +1

      Yes is back I'm happy😊😊

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 2 года назад +3

    Team #Tinwhit mpo wapiiii jmn👌 huku kazi kazi kaziiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai5183 Год назад

    Daaah!! Tausi ameridhi tabia ya babake Tin White, yaani hawezi kuambilika jambo. Nawaongera sana White films kwa kazi nzuri

  • @sahalabdiladif3517
    @sahalabdiladif3517 2 года назад +6

    Nime penda sana hii kutoka somalia 🇸🇴

  • @mariamfahari2431
    @mariamfahari2431 2 года назад +2

    Haujawah kuboa nagwa masta
    I did the great 👍👍👍
    Kuna mwna na mwanahamisi
    Wew km ni mwanahamisi unakaa nyuma unaskilzia milioo!!!!

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 2 года назад +14

    Wazee wa Sakata utamu ndo kwanzaaaa unaaanza 💥🔥🔥🔥

  • @muqbilyusuf7739
    @muqbilyusuf7739 2 года назад +2

    Ola nagwa...ujue nakukubali muhuni mwenzio...mzee wa haija filimba ulimbe..am watching from 🇶🇦 Qatar

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +6

    mwamb zakayo
    umeuwa sana
    umecheza ujinga
    wa hali ya juu sana

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      😂🤣🥰🥰🙏🙏🙏🙏💪

  • @patrickvove
    @patrickvove 2 года назад +9

    Kutoka Aladhin Sakata ndoitafatiwa kwa favorite 🤩

  • @Balogetv
    @Balogetv 2 года назад +7

    Nagwaaaaaaaaaaaaa Wow 😲 Is back 🔙 Welcome Brother Nagwa

  • @George-Njule
    @George-Njule 2 года назад +5

    I really appriciate you @tin white for the work you are doing. kudos!

  • @aliyamohammed4112
    @aliyamohammed4112 2 года назад +6

    😂😂😂kilangasoo Hana bhat n nagwaa anapelkwa utasema n gari la mogokaa 😂😂😂😂much love guys 🥰🥰💟

  • @ismailkilala404
    @ismailkilala404 2 года назад +12

    Tunaoangalia asubuhi hii tujuane 😆

  • @muhammadswaleh4678
    @muhammadswaleh4678 2 года назад +2

    Mzee wa kazi is back🔥💪....movie inazidii kubamba🤗

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 2 года назад

    WOW tiny yani katika ki2 ambacho ume nifulahisha kumu ludisha nagwaaaa ay love nagwa natimu yenuuuu good job guys

  • @blandinealonda1354
    @blandinealonda1354 2 года назад +23

    Like kwawale wanao mkubali nagwa 🤣🤣

    • @Vicentkipara
      @Vicentkipara 2 года назад +1

      Mimi naona alivyoingia huyo nagwa na move imehalibika yani Hata haina ubora tena

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 2 года назад +5

    Tin white Najuta kutembea na mademu wa tandale

  • @jamesblackjaguar2084
    @jamesblackjaguar2084 2 года назад +7

    Nagwa King Welcome back brother 🔥😂😂😂

  • @josephmasal1949
    @josephmasal1949 2 года назад +8

    First one congratulation guys🥰

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 2 года назад +1

    Nagwa anajuwa sana kabisa💪💪

  • @jdboyduclasse7341
    @jdboyduclasse7341 2 года назад +6

    Im the fast to watch🔥🔥🏃

  • @cheme-records69
    @cheme-records69 2 года назад

    Yes yes yes Aladin Iko bieee watching from #254

  • @ibraimomaulana3087
    @ibraimomaulana3087 2 года назад +2

    Seria mbwa mkia namba tisa 😂😂😂🤣🤣🔥🔥

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 2 года назад +2

    *1St one from kenya* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @josephmasal1949
    @josephmasal1949 2 года назад +15

    Imagine nagwa kaingia itakuwaje😂😂😂

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 2 года назад +11

    Family ya jagwa wenda wazimu wote mama baba na watoto 🤣🤣🤣🤣

  • @enocksima3621
    @enocksima3621 2 года назад +3

    watu hatulali if we n mpenz wa movie hii gonga like

  • @zaudiashaban7509
    @zaudiashaban7509 2 года назад +1

    Ningependa na pili Angekuwepo ingenoga hatar jamani ila Well come nagwa my brother

    • @ally1702
      @ally1702 2 года назад

      Pili ana mimba ata kwenye kitim Tim tutamkosa

    • @zaudiashaban7509
      @zaudiashaban7509 2 года назад +1

      @@ally1702 ooh sawa pata poa sana kitm Tim bila pili

  • @jdboyduclasse7341
    @jdboyduclasse7341 2 года назад +3

    Fast view

  • @djpatruick
    @djpatruick 2 года назад

    Movies ilikuwa nzuri bila Nagwa mm sipendagi huyu uchezaji wake kbs

  • @ناجمهحسن
    @ناجمهحسن 2 года назад

    hahahahahahaaaa tin white jamani muko sawa nyotee yani nacheka mpaka basi

  • @binjackofficial6242
    @binjackofficial6242 2 года назад +7

    ngoma nagwa is back 😂😂😂🙌

  • @mustaphaishmael3237
    @mustaphaishmael3237 2 года назад +5

    I really admire the great job you guys are accomplishing but i wonder if Masantula could join this series how much amazing it could be 🤗! My Brother @tinwhite think about this ... we fans ; we together bro!👊

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 2 года назад

      kwa kweli kama ukiwa na demu baba yake akiwa hivyo utajuta. mzee pilika mwenyewe kule kwake hakukaliki anajuta kuzaa na wa tandale. Zakayo anapigwa akidanganywa anakuadiwa. majanga tupu hii dunia

    • @mutungambiti4066
      @mutungambiti4066 2 года назад

      Nangwa anatosha

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 2 года назад

    Nagwaa ndani ya nyumba kazi saf

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 2 года назад +1

    Waooo nimeflah kumuon Ngoma nagwa bendele chuma mlingot chum🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hij ndosakat bhn

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 2 года назад +1

    Naipenda sana from 🇩🇬🇩🇬🇩🇬

  • @ballylion6726
    @ballylion6726 2 года назад

    Tin nakupongeza sana kwakumuleta bendela chuma mulingoti chuma

  • @estherjuma6358
    @estherjuma6358 2 года назад +1

    Nawapenda bure hongera kwa kazi nzuri

  • @theohassan6534
    @theohassan6534 2 года назад +1

    Yan zakayo uwiiiiiiiiiiii 🙈🙈Mana ake kwanza nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      🤣😂🥰🙏😂🙈

  • @makawan_Bway5478
    @makawan_Bway5478 2 года назад +2

    Nagwaaaaaaa master🙌🙌🙌🙌

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 года назад +3

    Kilangaso utajua hujui 😂😂😂😂

  • @mtallitv9995
    @mtallitv9995 2 года назад

    baba mkwee mwizi anamfokoa mkwe wakee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kilangaso umeingia mvule mbaya

  • @kulusukulusu1061
    @kulusukulusu1061 2 года назад +4

    Hii na sisi wa kongo tunamsubiri Ringo nae please 🙏🙏 muwekeni na Ringo nae please 🙏🙏 Tin vs Ringo ni cheko hadi kifo 😁😁

  • @dariakanandi2648
    @dariakanandi2648 2 года назад +3

    Leo nimekuwa wa kwanza like for me

  • @rahmasarumaa2732
    @rahmasarumaa2732 2 года назад +1

    Jaman mnachelewesha mnooo wengine vijibando vya kukopa eeehhh alaf sakata itanifanya nifungwe na vibukubuku jamniiiii

  • @faithjohn7632
    @faithjohn7632 2 года назад +1

    Nagwa is back wow 🔥🔥🔥

  • @brighttv7572
    @brighttv7572 2 года назад

    Dah 😅 zakayo ananikumbusha mbali sana yan

  • @jumaabeid4490
    @jumaabeid4490 2 года назад

    Nagwaa mnyama on the building 💪💪

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 2 года назад +2

    Nagwa pia yumo ndani ili KWELI SAKATA 💪

  • @mirriamnalupya4684
    @mirriamnalupya4684 2 года назад +1

    Second one congratulations guys

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 2 года назад +3

    Tin white kazi unayo mzeewangu😂😂😂

  • @humalysaidy1214
    @humalysaidy1214 2 года назад

    Dah humu ndan jamn. Nawependa San ♥️♥️♥️♥️ mnanipa rahaa San

  • @obadiahlukumay3810
    @obadiahlukumay3810 2 года назад

    😂😂😂nagwa da umenifurasha

  • @fatmasaid9321
    @fatmasaid9321 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂 kilangaso Leo kafanya nifurahi sana

  • @DiamondMatandala-xq9io
    @DiamondMatandala-xq9io Год назад

    Oya weee nagwa salut

  • @shishisia1878
    @shishisia1878 2 года назад +1

    Abdul cpnd bhnaaa unavyomfnyia Zakayo wang 😂😂

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад

      🤣😂🤣😂🥰🙏🙈

  • @muidinimohamedy2381
    @muidinimohamedy2381 2 года назад +3

    Wao nimekuwa wa kwaza leo

  • @rosemaganga1619
    @rosemaganga1619 2 года назад +1

    Nagwa ameharibu kbx yaaan

  • @mtallitv9995
    @mtallitv9995 2 года назад +2

    zakayo boya sana yani anapitwa pesa tu arafu demu amuoni chizi sana

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      😂🥰😂🤣🥰🙏🙈

    • @mtallitv9995
      @mtallitv9995 2 года назад +1

      @@Mustykhan ila mwanangu nakukubali sana ujawahi kuyumba kwenye vipande vyako kaka

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      @@mtallitv9995 😃😃🙏🙏💪🙏

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 2 года назад +4

    Najuta kutembea na mademu wa tandale 😂😂😂😂

  • @issaamirishenkarwa3391
    @issaamirishenkarwa3391 2 года назад

    Nagwa mtu mbayaa nakubali sana

  • @LaBboogo
    @LaBboogo 2 года назад +1

    Ahahahahah Ninja 🥷 yupo kumbe Naaaagwa

  • @cheme-records69
    @cheme-records69 2 года назад +1

    Me I think tin White amechukua pengo la king majuto. Coz He's so funny sai anaongoza 255 Kwa kipaji icho

    • @nuruchande8848
      @nuruchande8848 2 года назад +1

      Tim n binge la comedy alaf atumiii nguvu Kama ataki lkn utacheka mpakaa

    • @cheme-records69
      @cheme-records69 2 года назад +1

      Yap Mzee Pilika anaweza

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    😁😁😁🤣baba mkwe mbona tama ivo kwamkweho

  • @mohamedefranciscoxavier4440
    @mohamedefranciscoxavier4440 2 года назад +1

    Nagwa big up 🥰🥰🇲🇿🇲🇿🇲🇿🥰🇲🇿

  • @lilianishirima2391
    @lilianishirima2391 2 года назад +1

    Nakubali nikajuwa mmezinguana sema nimemmc Sana ligo kaka

  • @shaydebby5678
    @shaydebby5678 2 года назад

    Uzuri wa bod mashine😂😂😂mke wa nagwa kaupiga mwingi🤣

  • @hilalimohammed9396
    @hilalimohammed9396 2 года назад +1

    😂😂😂😂 huishi kujisifia kilangaso haya toa kuku mmoja asepe nae 😂😂😂😂

  • @mtallitv9995
    @mtallitv9995 2 года назад

    😄😄😄😄 niangalie usoni nagwa mbona mtemi mzeee kilangaso mpe kichwa ukimbie

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +1

    Sakata 🔥🔥🔥🔥 naipenda sana

  • @bahatijuma1626
    @bahatijuma1626 2 года назад +5

    Thanks brother Tiny white 😍

  • @mimahogtz597
    @mimahogtz597 2 года назад +2

    Nliisbr kwaham❤️❤️🤣🤣🤣likes kwng

  • @reubenpeter6052
    @reubenpeter6052 2 года назад

    hahahahaha apoo nilijua tuh Nagwa atachukua kuku...daah kiukwer team yote wamecheza fresh kwenye kila nafas si Kilangaso wala wala Zakayo

  • @emmanuelkhisa8453
    @emmanuelkhisa8453 2 года назад +1

    Pitia frm 254💥💥

  • @mgoswandimalushoto3204
    @mgoswandimalushoto3204 2 года назад

    Nagwa ata bak kua nagwa t🙋

  • @aloycekibaho8632
    @aloycekibaho8632 2 года назад

    Baba haongei ivo kazingua ngoma nagwa 🤣🤣🤣🤣🤝

  • @suzzyfredrick1874
    @suzzyfredrick1874 2 года назад +1

    Abduli Una dhambi ww 😅😅😅😅😅😅

  • @abdurahmmanibnauf
    @abdurahmmanibnauf 2 года назад +1

    Wazeee mko vizr 😂😂😂

  • @apalasimwenebato8779
    @apalasimwenebato8779 2 года назад +2

    Nagwa nomaa eti toa shuka la kimasai. Kilangaso toa shuka la kimasai🤣🤣🤣

  • @kadeshchege7455
    @kadeshchege7455 2 года назад +2

    alafu nagwa ni "kamfugo"🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Год назад

    Nagwa kaja haribu mchezo simpendiiii

  • @aishakiweru9259
    @aishakiweru9259 2 года назад +1

    kwa nagwa.kazingua.anahamasisha upuuzi baada amwambie mwanae arudi kwa mme wake.

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 2 года назад +1

    Queen... my favorite na sija muona leo jameni!

  • @bbycandy3979
    @bbycandy3979 2 года назад +2

    My sweet kapet😂😂😂😂sweet lotion

  • @vikramm2livu263
    @vikramm2livu263 2 года назад

    Bro apa umecheza kumueka uyu mwamba tena move ndokwanzaaa limeanza mzee mkojan akasome

  • @makawan_Bway5478
    @makawan_Bway5478 2 года назад +1

    Unapoibiwa unatulia😂😂😂😂🙌🙌

  • @nuruchande8848
    @nuruchande8848 2 года назад +1

    Mmh nagwa sasa kaja kuharibu..anarudisha Mambo nyuma
    Hapo kilangaso lzma afilisike, na ndoa cjui Kama itakuepo😢😢😢
    Jmn mumuache qeen ainjoy na mumewe!

  • @djkayumba
    @djkayumba 2 года назад +1

    Nagwa mzee wa ushwahilini kaingia mjini😂😂😂😂😂😂💪

  • @zefaniawilson2548
    @zefaniawilson2548 2 года назад

    Nakubali nagwa

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 Год назад

    Nagwa eti baba 😂😂😂

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 2 года назад

    Jamani nagwa mbon katili ivo

  • @baracktemba1746
    @baracktemba1746 2 года назад +4

    😂😂😂mbegu flan iv amez

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 года назад

    woyooooooooooosiki sakata ilikweli sakataaaaaaaaa

  • @dtv6734
    @dtv6734 2 года назад +5

    zAkaYo unafeLi waPi ?
    - dada ake Jesca anakupenda, aLafu umekufa kwa kidemu kikavu hicho kiduchu🤣🤣🤣😔😒😀

    • @nuruchande8848
      @nuruchande8848 2 года назад +2

      Alaf nuru n pisi ya kwenda Yan❤️

    • @dtv6734
      @dtv6734 2 года назад +1

      @@nuruchande8848 dAh ! yani namuona Wema Sepetu kwa mbaaaaLi❤️

    • @Mustykhan
      @Mustykhan 2 года назад +1

      🥰🤣🥰🙏🙈🙈

    • @nuruchande8848
      @nuruchande8848 2 года назад +1

      @@dtv6734 alaf kweli walitaka kufanana kdg maeneo ya lipsi sanasana..hakunaga nuru mbaya🙈🤪😄

  • @muljiali4308
    @muljiali4308 2 года назад

    😁😁😁😁 babake wakambo kiduchu adaisha kesi ndipo inapo anzia

  • @manvex2214
    @manvex2214 2 года назад +1

    duuh nagwa kapewa ten anataka tena jogoo ikale family 😁😁😁😂