I really admire the great job you guys are accomplishing but i wonder if Masantula could join this series how much amazing it could be 🤗! My Brother @tinwhite think about this ... we fans ; we together bro!👊
kwa kweli kama ukiwa na demu baba yake akiwa hivyo utajuta. mzee pilika mwenyewe kule kwake hakukaliki anajuta kuzaa na wa tandale. Zakayo anapigwa akidanganywa anakuadiwa. majanga tupu hii dunia
Jaman na mm naomben leo like maan sio kwa kuxbili uko bila kulal
Amazing 👏 tunawapenda tin white na team yako 😍 👌 ❤
Asanteeni sana kwa muendelezo
Hili kweli sakata mazee duh gonga like twende sawa👍😁😁🔥
Ningempata baba kama uyu ninge enjoy life 😂😂 familia fund friji Yani mpaka baba anakufundisha kamali😂😂😂
Nagwa is Back 🙌🙌🙌🙌Show tyme😁😁😁
Yes is back I'm happy😊😊
Team #Tinwhit mpo wapiiii jmn👌 huku kazi kazi kaziiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah!! Tausi ameridhi tabia ya babake Tin White, yaani hawezi kuambilika jambo. Nawaongera sana White films kwa kazi nzuri
Nime penda sana hii kutoka somalia 🇸🇴
Haujawah kuboa nagwa masta
I did the great 👍👍👍
Kuna mwna na mwanahamisi
Wew km ni mwanahamisi unakaa nyuma unaskilzia milioo!!!!
Wazee wa Sakata utamu ndo kwanzaaaa unaaanza 💥🔥🔥🔥
kabisa
Ola nagwa...ujue nakukubali muhuni mwenzio...mzee wa haija filimba ulimbe..am watching from 🇶🇦 Qatar
mwamb zakayo
umeuwa sana
umecheza ujinga
wa hali ya juu sana
😂🤣🥰🥰🙏🙏🙏🙏💪
Kutoka Aladhin Sakata ndoitafatiwa kwa favorite 🤩
Nagwaaaaaaaaaaaaa Wow 😲 Is back 🔙 Welcome Brother Nagwa
Ametisha
I really appriciate you @tin white for the work you are doing. kudos!
😂😂😂kilangasoo Hana bhat n nagwaa anapelkwa utasema n gari la mogokaa 😂😂😂😂much love guys 🥰🥰💟
Tunaoangalia asubuhi hii tujuane 😆
🤣
Iv Huwa ga inaonexhwa chanel gan
Mzee wa kazi is back🔥💪....movie inazidii kubamba🤗
WOW tiny yani katika ki2 ambacho ume nifulahisha kumu ludisha nagwaaaa ay love nagwa natimu yenuuuu good job guys
Like kwawale wanao mkubali nagwa 🤣🤣
Mimi naona alivyoingia huyo nagwa na move imehalibika yani Hata haina ubora tena
Tin white Najuta kutembea na mademu wa tandale
Nagwa King Welcome back brother 🔥😂😂😂
First one congratulation guys🥰
Nagwa anajuwa sana kabisa💪💪
Im the fast to watch🔥🔥🏃
Yes yes yes Aladin Iko bieee watching from #254
Seria mbwa mkia namba tisa 😂😂😂🤣🤣🔥🔥
*1St one from kenya* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Imagine nagwa kaingia itakuwaje😂😂😂
Itakuw 🔥🔥🔥
Family ya jagwa wenda wazimu wote mama baba na watoto 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
watu hatulali if we n mpenz wa movie hii gonga like
Ningependa na pili Angekuwepo ingenoga hatar jamani ila Well come nagwa my brother
Pili ana mimba ata kwenye kitim Tim tutamkosa
@@ally1702 ooh sawa pata poa sana kitm Tim bila pili
Fast view
Movies ilikuwa nzuri bila Nagwa mm sipendagi huyu uchezaji wake kbs
hahahahahahaaaa tin white jamani muko sawa nyotee yani nacheka mpaka basi
ngoma nagwa is back 😂😂😂🙌
I really admire the great job you guys are accomplishing but i wonder if Masantula could join this series how much amazing it could be 🤗! My Brother @tinwhite think about this ... we fans ; we together bro!👊
kwa kweli kama ukiwa na demu baba yake akiwa hivyo utajuta. mzee pilika mwenyewe kule kwake hakukaliki anajuta kuzaa na wa tandale. Zakayo anapigwa akidanganywa anakuadiwa. majanga tupu hii dunia
Nangwa anatosha
Nagwaa ndani ya nyumba kazi saf
Waooo nimeflah kumuon Ngoma nagwa bendele chuma mlingot chum🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hij ndosakat bhn
Naipenda sana from 🇩🇬🇩🇬🇩🇬
Tin nakupongeza sana kwakumuleta bendela chuma mulingoti chuma
Nawapenda bure hongera kwa kazi nzuri
Yan zakayo uwiiiiiiiiiiii 🙈🙈Mana ake kwanza nicheke🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣😂🥰🙏😂🙈
Nagwaaaaaaa master🙌🙌🙌🙌
Kilangaso utajua hujui 😂😂😂😂
baba mkwee mwizi anamfokoa mkwe wakee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kilangaso umeingia mvule mbaya
Hii na sisi wa kongo tunamsubiri Ringo nae please 🙏🙏 muwekeni na Ringo nae please 🙏🙏 Tin vs Ringo ni cheko hadi kifo 😁😁
Amini ndugu
Leo nimekuwa wa kwanza like for me
Jaman mnachelewesha mnooo wengine vijibando vya kukopa eeehhh alaf sakata itanifanya nifungwe na vibukubuku jamniiiii
🐱🐱🐱🐱
Nagwa is back wow 🔥🔥🔥
Dah 😅 zakayo ananikumbusha mbali sana yan
Nagwaa mnyama on the building 💪💪
Nagwa pia yumo ndani ili KWELI SAKATA 💪
Second one congratulations guys
Tin white kazi unayo mzeewangu😂😂😂
Dah humu ndan jamn. Nawependa San ♥️♥️♥️♥️ mnanipa rahaa San
😂😂😂nagwa da umenifurasha
😂😂😂😂😂😂 kilangaso Leo kafanya nifurahi sana
Oya weee nagwa salut
Abdul cpnd bhnaaa unavyomfnyia Zakayo wang 😂😂
🤣😂🤣😂🥰🙏🙈
Wao nimekuwa wa kwaza leo
So,,?
Nagwa ameharibu kbx yaaan
zakayo boya sana yani anapitwa pesa tu arafu demu amuoni chizi sana
😂🥰😂🤣🥰🙏🙈
@@Mustykhan ila mwanangu nakukubali sana ujawahi kuyumba kwenye vipande vyako kaka
@@mtallitv9995 😃😃🙏🙏💪🙏
Najuta kutembea na mademu wa tandale 😂😂😂😂
Nagwa mtu mbayaa nakubali sana
Ahahahahah Ninja 🥷 yupo kumbe Naaaagwa
Me I think tin White amechukua pengo la king majuto. Coz He's so funny sai anaongoza 255 Kwa kipaji icho
Tim n binge la comedy alaf atumiii nguvu Kama ataki lkn utacheka mpakaa
Yap Mzee Pilika anaweza
😁😁😁🤣baba mkwe mbona tama ivo kwamkweho
Nagwa big up 🥰🥰🇲🇿🇲🇿🇲🇿🥰🇲🇿
Nakubali nikajuwa mmezinguana sema nimemmc Sana ligo kaka
Uzuri wa bod mashine😂😂😂mke wa nagwa kaupiga mwingi🤣
😂😂😂😂 huishi kujisifia kilangaso haya toa kuku mmoja asepe nae 😂😂😂😂
😄😄😄😄 niangalie usoni nagwa mbona mtemi mzeee kilangaso mpe kichwa ukimbie
Sakata 🔥🔥🔥🔥 naipenda sana
Thanks brother Tiny white 😍
Nliisbr kwaham❤️❤️🤣🤣🤣likes kwng
hahahahaha apoo nilijua tuh Nagwa atachukua kuku...daah kiukwer team yote wamecheza fresh kwenye kila nafas si Kilangaso wala wala Zakayo
Pitia frm 254💥💥
Nagwa ata bak kua nagwa t🙋
Baba haongei ivo kazingua ngoma nagwa 🤣🤣🤣🤣🤝
Abduli Una dhambi ww 😅😅😅😅😅😅
Wazeee mko vizr 😂😂😂
Nagwa nomaa eti toa shuka la kimasai. Kilangaso toa shuka la kimasai🤣🤣🤣
alafu nagwa ni "kamfugo"🤣🤣🤣🤣🤣
Nagwa kaja haribu mchezo simpendiiii
kwa nagwa.kazingua.anahamasisha upuuzi baada amwambie mwanae arudi kwa mme wake.
Queen... my favorite na sija muona leo jameni!
Bwanaaeeee🤣🤣☝️👌
My sweet kapet😂😂😂😂sweet lotion
Bro apa umecheza kumueka uyu mwamba tena move ndokwanzaaa limeanza mzee mkojan akasome
Unapoibiwa unatulia😂😂😂😂🙌🙌
Mmh nagwa sasa kaja kuharibu..anarudisha Mambo nyuma
Hapo kilangaso lzma afilisike, na ndoa cjui Kama itakuepo😢😢😢
Jmn mumuache qeen ainjoy na mumewe!
Umeona mpaka sakata litapow
Kabisa wataifanya ikose uhondo, tusiifuatilie kwa hamu
@@falidamwasenga6398 mm nishaboreka tayar
Nagwa mzee wa ushwahilini kaingia mjini😂😂😂😂😂😂💪
Nakubali nagwa
Nagwa eti baba 😂😂😂
Jamani nagwa mbon katili ivo
😂😂😂mbegu flan iv amez
woyooooooooooosiki sakata ilikweli sakataaaaaaaaa
zAkaYo unafeLi waPi ?
- dada ake Jesca anakupenda, aLafu umekufa kwa kidemu kikavu hicho kiduchu🤣🤣🤣😔😒😀
Alaf nuru n pisi ya kwenda Yan❤️
@@nuruchande8848 dAh ! yani namuona Wema Sepetu kwa mbaaaaLi❤️
🥰🤣🥰🙏🙈🙈
@@dtv6734 alaf kweli walitaka kufanana kdg maeneo ya lipsi sanasana..hakunaga nuru mbaya🙈🤪😄
😁😁😁😁 babake wakambo kiduchu adaisha kesi ndipo inapo anzia
duuh nagwa kapewa ten anataka tena jogoo ikale family 😁😁😁😂