Shangazi ataja sababu kujiuzulu bodi ya wawekezaji Simba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Mlalo na mjumbe kamati ya bodi ya wawekezaji kupitia upande wa mwekezaji Mohamed Dewji, Rashid Abdallah Shangazi ameeleza sababu ya kujiuzulu kwake kwenye nafasi hiyo.
    Shangazi amesema kuwa miongoni mwa mambo yaliyomfanya ajiuzulu ni kupisha mwekezaji kutengeneza safu mpya ya bodi itakayoisaidia klabu ya Simba.

Комментарии • 12