Jaman hii anashid naipenda sana japo nlikuwa naiskia nusunusu uko TikTok ila sai nmeisaka mpaka nkaipata❤ ma shaa Allah tabarakaAllah 🎉nawapenda Bure brothers
Kwahakika moyo wasubrah kiwiliwili chenye uvumilivu ndio kitu tunatakiwa kumuomba mungu kwasabu Hii Dunia haitaka iishe matatizo namikasa kilasiku inavo itwa Leo tutayaona matatizo nahudhun katka nyuso zetu Allah akuongeze kipaj namaalifa kaka afaaizu nauzid kutuelimisha umma inshallah ❤️❤️
Maa shaallah , beautiful nasheed ❤️, congratulations brother Afaaizu, Allah akupe umri mrefu wenye manufaa Ili uzid kuelimisha jamii, akuepushe na husda inshaallah 🤲🤲
Mashaallah very nice Nasheed. this Nasheed gives me hope through my life alhamdulilah I thank Allah.May Allah keeps you shine my brothers for your nice Nasheed congratulation to you
Huyu brother lee mbona pigo hizo ni zakisanii kabisa!!!🤔 anashiid iko good na mafundisho mazur kwa namna na namna nyingine upo upotov wakujifananiza na qawm haribif ambao ni wahuni na wasanii.hivo kanzu na barakashia ndio lilihitajika zaid katika nasaha zenu hizo ili kuiga nadwariya ya mtume sabab ndie anaepaswa kuigwa zaid, hapo pia na nyinyi ndipo mtaigika vema katika kauli zenu.
Mashaa Allah 🤝👌 mashaa Allah nasheed nzr
Jaman hii anashid naipenda sana japo nlikuwa naiskia nusunusu uko TikTok ila sai nmeisaka mpaka nkaipata❤ ma shaa Allah tabarakaAllah 🎉nawapenda Bure brothers
Alieee muona marehenu #AGASHI. NAOMBA LIKE YAKEEE
Marehemu kama marehemu
She hhbu n we uk vzr kweny action🤗🤗🤗🤗
NIMEFURAHI SANA KUMUONA *AGGASH* KWAMALANYINGINE TENA. Afaaizu, naomba sana Aggash aimbe na yeye nasheed 🤝🤝🙏🙏🙏
Afaiz Allah bless you na pia uzid kuigiza naustadhi wangu habibu
Kwahakika moyo wasubrah kiwiliwili chenye uvumilivu ndio kitu tunatakiwa kumuomba mungu kwasabu Hii Dunia haitaka iishe matatizo namikasa kilasiku inavo itwa Leo tutayaona matatizo nahudhun katka nyuso zetu Allah akuongeze kipaj namaalifa kaka afaaizu nauzid kutuelimisha umma inshallah ❤️❤️
MASHAALLAH MASHAALLAH MASHAALLAH Kwa hakika ALLAH yuko pamoja na wenye kusubir ALLAH awalipe kher nying na azid kukikuza kipaji chen
Kazi nzuri Mungu akuzidishie vina na mizani tuzidi kupa elimu kupitia kipaji chako
MAAA SHAAA LLAH penda sana nasheed zenu
Mashaalah Afaiz luheta hukosei daima ww na brother Lee ما شاء الله جميل جدا نشيد
Aah nakuona SH.habibu
Safi sanaaaa km namuona agash au sie
Mashaallah💞
Hongeren snaa👏👏 Mungu awazdshie kpaj chenu inshaalla👐
Mashallah
Ila sie wengine machozi mnatutoa KWELI jamani
Allah awasimamie kazi zenu, nawapendeni.
Washa🔥🔥🔥🔥 @Afaizu luheta
Maashaallah jazaakallaahu khair allah akujaalie kila la kheri
Hakika ya Allah yup na weny kusbir ..Alhamdulillah kwa kila jamb 😭😭
Bonge moja la nasheed, safi sana
Masha Allah Nimechelewa kukupa hongera zenu Afaizu luheta na brother lee ila Allah awalinde na husda na mabaya ili mzidi kutupa mazur🥰🥰
❤❤ MAA SHAA ALLAH ❤❤
Allah awazidishieni kheri kwa nasaha nzuli mnazotupatia kupitia nasheed nzuri.
🤲💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞❤
Masha Allah kazi bulbul subiria safi kbisa
Nicely ❤ kila kitu kinahitaji subra allah awalinde afaaizu luheta and brother Lee by me THANISH
Mashallah allah awafikishe mnapopataka mupo vizury sana😍
Masha Allah akhuy huw huharbu kzi kiukwl Allah akuzidishie
Mashaaallah mashaallah safiii saanaaa bulbul kabisaa
Mashaallah emotional nasheed nmemkumbuka na Aggash kwa mbaali
Mashaallah
Nasheed nzur Sana 😍, na imenigusa sana wallah😔
ALLAH awazidishie #Nasaaim luheta🔥❤️
Nassaim mara hiii kwajuuu tu mashaa Allah kwa ujumbe adhim....big up akhui A.luheta
Mashallah yaani inagusa hisia za KILA mtu, maana KILA mtu anamitihani na wakati mgumu anaopitia kwa hali anayoiyelewa . Allah atupe SUBRA za nafsi.
🙏🙏🙏🙏
Masha'Allah 💞💞kweli kila kitu kinahitaji subra 💓
Maashallah brothers mzidishiwe
MashaAllah creativity 100% ...nasheed heluwa MashaAllah
umeuwa hapa kaka mm shabiki yako nakukubali kinoma
Maa shaallah , beautiful nasheed ❤️, congratulations brother Afaaizu, Allah akupe umri mrefu wenye manufaa Ili uzid kuelimisha jamii, akuepushe na husda inshaallah 🤲🤲
Kazi safi , Mashallah
Duh hataaaaaari mashaallah heavy message
Dah Masha Allah kaz nzur Sana'a subra ndio muhm
Mashaallah Afaiz 😍 Brother Lee
Afaidhu mashallah mzur fundisho tosha
Ujumbe mzuri my brother Allah akuweke
MashaAllah
Mungu akufanyie wepes kwenye kaz yako
Keep shinning my fellow brothers❤️
Hhhhhhhhhhhhhhh mumewah dah ila nzuri masha allah By Ml.Lyrics
Damn😔, this song breaks my heart,,, Allah tujaalie subra na Tawakal, 🥺🥺🥺
SUBIRIA, SUBIRIA,SUBIRIAA.
Mashallah ujumbe maridhawa kabsa👏🥰
Mashaallah 😘😘 Allah awajaze kher na baraka
Mashalaa napenda sana nashidizako kaka angu❤❤❤❤❤❤❤
Dahh wallhy Kwa Hali niliyopo nayo allhamdullilah nasheed imenigusaa.congrats guys
Hatari hatari hatari 🔥
Hatari kubwa sana !
Mashllah allah awaengezee nguvu ya kuelimisha ummah
Mashalah very nice. Napenda San so g zako mola azid kukuzidishia kipaj chako inshaallah
Yaan ile siku ya halawatu Nasam ndio nimejuwa vipaji vyenu🥰🥰 Baada ya kumalizika Tamasha ule wakat wa chai pale restaurant
Mashallah kazi safi kabisa
MaashAllah Nimeikubali.
Kazi imetulia hongereni 🔥🔥🔥
Masha Allah,🌹🌹kz n nzuri
Mashlllh brother's nawakubl 😘😘😘😘😘😘😍 muk bzr
masha allah kijan hujawah kutoa kaz mbay 🔥🔥🔥
Weka like kwa affaizu luheta
Mashallah Allah abrk kz nzr
mashallah nzur nasheed allah awabarik
Maashaallah kazi nzr 🌹🌹
Maa shaa Allah maa Shaa Allaah big up kwenu👏
mashallah akhuy best nasheed
nmemuona agash
Doooohhh Doooohhh acha tyu nilie 😭😭😭
Brother Lee na wewe umetisha perfect
Shukran afaiz and brother lee for your nasheed
sheikh affaizu i remember to see you @istiqama school tanga. masha allah keep it up ur nasheed are so touching alhamdulillah
Gudgud🎖 #subiria
maa shaa allaah kazi nzuri
Masha allah hatar kubwa sana
Masha Allah kz nzr hngrn sn
(Afaizu ft Lee) make one very perfect
🤍🤍🤍🤍🤍🧡🧡🧡🧡🤍🤍🤍🤍🤍
🌹وفقكم الله...
😂 😂 😂 Wa mwanzo leo
Wakwanza mimi
@@rashidjuma9888 😂😂😂😂
Hatari 🔥hatari 🔥hatar🔥
Congrats brothers 👏
Mashaallah good nasheed mashaallah brother Afaizu
Mashaallah very nice Nasheed. this Nasheed gives me hope through my life alhamdulilah I thank Allah.May Allah keeps you shine my brothers for your nice Nasheed congratulation to you
Mashaallah kazi nzur
Mashaallah 🥰🥰 keep going high inshallah 💕
Nasheed shawarmaaaaàaaaaaaaaa
الصبر كالصبر
مر في مذاقته
لكن عواقبه
أحلى من العسل
Asante abuu fikra
MAA SHAA ALLAH...good job
Nakupenda sana vizuri
Mashallah Nasheed mzuri
Kaz nzur
Mashallah
Vazi la kanzu kwa munshedeen linaanza kupotea 🤨🤨🤨
MashaAllah 💯🔥🔥🔥 MashaAllah
Nimepta kipande nina karibu mwaka natumia kiitikio kama muito wasimu leo ndio naiyona qaswda nzma 😭
MASHAALLAH KEEP IT UP
MashAllah
Mashaallah 😘 😘 😘
Masha Allah may Allah make easy for us it's pains wally
MaashaaAllah🔝🌹
مبارك عليك غالي🤲
Mashallah bro
Masha allah❤Naona nasheed ni kali sana Asante sana Luheta & Brother lee🤝
Mzee kweny kula hukutaka mchezo 😂😂😂😂
sehemu muhimu hiyo
lile jeki bora ungepigwa ww🤣
Huyu brother lee mbona pigo hizo ni zakisanii kabisa!!!🤔 anashiid iko good na mafundisho mazur kwa namna na namna nyingine upo upotov wakujifananiza na qawm haribif ambao ni wahuni na wasanii.hivo kanzu na barakashia ndio lilihitajika zaid katika nasaha zenu hizo ili kuiga nadwariya ya mtume sabab ndie anaepaswa kuigwa zaid, hapo pia na nyinyi ndipo mtaigika vema katika kauli zenu.