Unaposema nikifa nikiwa USA, au Ulaya nizikwe Afrika, umejiandaa kifedha au unasubiria michango?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 мар 2024
  • Financial Education and Protection Inquiry Form for FREE Financial Consultancy with Dr. Vee ebmscholars.com/finance/
    Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
    2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

Комментарии • 16

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  4 месяца назад

    Financial Education and Protection Inquiry Form for FREE Financial Consultancy with Dr. Vee ebmscholars.com/finance/

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 4 месяца назад +2

    maashaallah mungu awabariki sana kwa mioyo mikunjufu mlonayo . kutoa elimu nzur na adimu kama hizi

  • @user-fq4ys9ws7u
    @user-fq4ys9ws7u 4 месяца назад +6

    Chamsingi nikujiandaa kiloho unaweza kuzikwa popote

    • @thebmcblackmiccatcher3949
      @thebmcblackmiccatcher3949 4 месяца назад

      Komenti yako inadhihirisha ni yaleyale maujinga tuliyoaminishwa na kukaririshwa generation ya watu weusi.
      Ni ujinga kuaminishwa kusali ndio kujiandaa kiroho wakati ulipokufa tu watu familia yako walifukuzwa ndan ya nyumba kwa mikopo, akili zetu sijui zimelaniwa. Fanya kazi clear modgage, clear bill zinazokuhus. Huko ndiko kujiandaa kiroho. Kujiandaa kwako ni mawazo ya KIMASIKINI, NA UBONAFSI. Kwamba ww uende mbinguni hata kama msiban watoto walikuwa wanalia wakikutaja baba tunaishi wapi jamn wanatufukuza. Ujinga mkubwa ni hayo mafundisho wanyowafunza wachingaj mamboleo wafanyabiashara ambao wamewapiga upofu kuwafunza FEAR OF THE UNKNOWN.

    • @howardbillionaire
      @howardbillionaire 4 месяца назад

      ukisema hivo ulaya kaka wanakushangaaa.. hii kauli ni ukiwa AFRICA tuu hiyo sio title ili itrendy hiyo ni kufunza wale ambao wak na ndoto za kuishi YUWES MKUU

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 4 месяца назад

    Dada zuri maashaallah imagine unamiliki chombo kama hiki kama mke wako ndani ❤❤❤❤

  • @user-cg9ef3iw4j
    @user-cg9ef3iw4j 4 месяца назад

    Just good interview brother EBM I like it❤

  • @jocelyneedward
    @jocelyneedward 4 месяца назад +2

    👏👏👏👏👏👏

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 месяца назад

    Ni kweli kabisa watu upendo lazima usiache madeni weka bima

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 4 месяца назад

    Hakuna haja kujiingiza kwenye madeni USA au Canada wana diaspora amkeni wekezeni kwenuu,$ elf 4 unajenga nyumba kwenu .wake up yol

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад +2

    Chukua bima tu

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 4 месяца назад

    will Kibongo bongo ni Wosia

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 месяца назад

    Jiunge NNB bank watakurudusha

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 4 месяца назад

    Acha hizo bro tuna insurance ya kufa na masiko

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 месяца назад

    Vitanda kaza hipo