Masha Allah Pemba Rahakweli kweli Allah Ibariki Pemba Mashekhe Wangu Fikeni na Pandani itapendeza zaidi shekhe wangu Allah Barik kazinjema kk zanguni🤲🤲🙏🙏☝️☝️❤❤🤝🤝
Ewe Allah wajaalie Hawa wazee wa kiibadhi wanao unadi na kuukuza uibadhi waajalie waache uibadhi wafuate manhaj sahihi ya mtume muhammad sala na salam za Allah ziwe juu yake nayo si nyengine ni njia ya salaf swaleh yaan wema waliotangulia manhaj ya salaf swaleh Ahlulsunnati waljamaa amiin wallahulmustaan 🤲🤲
Wewe wacha ujinga kuleta chuki katika dini hapo pamenadiwa kitu gani cha kiibadhi na kwani kuna tafauti gani kati ya Ibadhi na suni kama ingekua kuna tafauti hio unayo isema ingekua huku Oman tusegesalishwa na suni wewe kwanza soma halafu utaleta ujinga wako
@@ahmedzahor2975 najua limekuuma ukweli ndo huo tambua ibadhi ni potea la makhawarij ambalo liko mbali na Ahlulsunnati waljamaa ww ni miongoni mwa maibadhi ndo maana ukachukia kauli zangu ila ukweli ndo huo wallahulmustaan ✍️✍️
@@alikhamis6326 nyie ma salafy Sijawahi kuwaskia mnawalingania nanaswara waingie kwenye uislam, nyie nikuwakufurisha waislam wenzenu tu huu ndo mtihani upo kwenu
@@jumamohamedi4495 Kama ni ibadhi ndo wale wale na wanatakiwa kabla hawajafa wawe wametubia maana itkad zao ingne ni za hovyo mfno kuwasema hovyo kwa baadhi ya maswahaba, Allah awongoze wao na sisi 🤲
Pia wanapinga sifa za Allaah. Pia wanasema Allaah hayupo juu ya arshi pia wanasema Allaah hatoonekana na waumini siku ya qiyama na peponi. Pia wanasema mtu akifanya madhambi makubwa yasikuwa shrik,kufru na nifaq basi mtu huyo anakufuru. Mf mtu akiiba basi kakufuru. Wanaitikadi nyingi potofu ni ktk makundi yaliyopotea
Masha Allah Pemba Rahakweli kweli Allah Ibariki Pemba Mashekhe Wangu Fikeni na Pandani itapendeza zaidi shekhe wangu Allah Barik kazinjema kk zanguni🤲🤲🙏🙏☝️☝️❤❤🤝🤝
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤
MashAllah
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا...كلام من القلب إلى القلب
Mashaallah mashaallah namekupateni vyema nikiwa muscut oman .jazakallah kheir sheikh wangu zahor
Karibu Pemba inakutamani inakukumbuka
Mashallah, nimependa wamependeza kwa ndevu... Alhamdulilah
Amin
Mashallah allah atupe subra
MashaAllah
Allahu Akbar
Mashaalha
Amina
Ammen Yarabiy
Amiiin
Aaamiin
Ammin
mashaallah
Green island
Na ambao hawajaingia ktk uibadhi mungu awaingize ktk uibadhi
Waingie ktk uislamu sio uibadhi
@@tashone7884 hahahah
Mnawachukia Maswahaba nyinyi.
🍎🤝🍎
Ewe Allah wajaalie Hawa wazee wa kiibadhi wanao unadi na kuukuza uibadhi waajalie waache uibadhi wafuate manhaj sahihi ya mtume muhammad sala na salam za Allah ziwe juu yake nayo si nyengine ni njia ya salaf swaleh yaan wema waliotangulia manhaj ya salaf swaleh Ahlulsunnati waljamaa amiin wallahulmustaan 🤲🤲
Wewe wacha ujinga kuleta chuki katika dini hapo pamenadiwa kitu gani cha kiibadhi na kwani kuna tafauti gani kati ya Ibadhi na suni kama ingekua kuna tafauti hio unayo isema ingekua huku Oman tusegesalishwa na suni wewe kwanza soma halafu utaleta ujinga wako
@@ahmedzahor2975 najua limekuuma ukweli ndo huo tambua ibadhi ni potea la makhawarij ambalo liko mbali na Ahlulsunnati waljamaa ww ni miongoni mwa maibadhi ndo maana ukachukia kauli zangu ila ukweli ndo huo wallahulmustaan ✍️✍️
Ameeen ya Allah kwa sote.
@@alikhamis6326 nyie ma salafy Sijawahi kuwaskia mnawalingania nanaswara waingie kwenye uislam, nyie nikuwakufurisha waislam wenzenu tu huu ndo mtihani upo kwenu
@@binseif2216 wallahulmustaanu alaaa maa taswifuuni
Namkubali sana huyu akhi,ila samahani naomba kuuliza huyu ni ibadhi a ahlu sunna
Huyu ibadhii hana lolote
@@jumamohamedi4495 ibadh nani
@@jumamohamedi4495 Kama ni ibadhi ndo wale wale na wanatakiwa kabla hawajafa wawe wametubia maana itkad zao ingne ni za hovyo mfno kuwasema hovyo kwa baadhi ya maswahaba, Allah awongoze wao na sisi 🤲
Pia wanapinga sifa za Allaah. Pia wanasema Allaah hayupo juu ya arshi pia wanasema Allaah hatoonekana na waumini siku ya qiyama na peponi. Pia wanasema mtu akifanya madhambi makubwa yasikuwa shrik,kufru na nifaq basi mtu huyo anakufuru. Mf mtu akiiba basi kakufuru. Wanaitikadi nyingi potofu ni ktk makundi yaliyopotea
Green island