MZEE WENU KHALFAN ALADAWI NA VIPENZI VYAKE PEMBA PUJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 43

  • @muhammedkhamis1407
    @muhammedkhamis1407 3 года назад +6

    Masha Allah Pemba Rahakweli kweli Allah Ibariki Pemba Mashekhe Wangu Fikeni na Pandani itapendeza zaidi shekhe wangu Allah Barik kazinjema kk zanguni🤲🤲🙏🙏☝️☝️❤❤🤝🤝

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 Год назад

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Год назад

    MashAllah

  • @nabilalharrasi3400
    @nabilalharrasi3400 3 года назад +1

    بارك الله فيك وجزاك الله خيرا...كلام من القلب إلى القلب

  • @ridhwanfaki9738
    @ridhwanfaki9738 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah namekupateni vyema nikiwa muscut oman .jazakallah kheir sheikh wangu zahor

  • @khubeybjandal7435
    @khubeybjandal7435 3 года назад

    Mashallah, nimependa wamependeza kwa ndevu... Alhamdulilah

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 3 года назад

    Amin

  • @anabankhamis7951
    @anabankhamis7951 3 года назад

    Mashallah allah atupe subra

  • @jamshedaltiwani6481
    @jamshedaltiwani6481 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @zu3339
    @zu3339 3 года назад

    Allahu Akbar

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 года назад

    Mashaalha

  • @allykhamis3378
    @allykhamis3378 3 года назад

    Amina

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 года назад

    Ammen Yarabiy

  • @ngashfahimah9163
    @ngashfahimah9163 3 года назад

    Amiiin

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 3 года назад

    Aaamiin

  • @SeluSelu-lc8rp
    @SeluSelu-lc8rp 3 года назад

    Ammin

  • @mattarmohd2564
    @mattarmohd2564 3 года назад

    mashaallah

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 3 года назад

    Green island

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 года назад +1

    Na ambao hawajaingia ktk uibadhi mungu awaingize ktk uibadhi

  • @saidahmednassor145
    @saidahmednassor145 3 года назад

    🍎🤝🍎

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 3 года назад +3

    Ewe Allah wajaalie Hawa wazee wa kiibadhi wanao unadi na kuukuza uibadhi waajalie waache uibadhi wafuate manhaj sahihi ya mtume muhammad sala na salam za Allah ziwe juu yake nayo si nyengine ni njia ya salaf swaleh yaan wema waliotangulia manhaj ya salaf swaleh Ahlulsunnati waljamaa amiin wallahulmustaan 🤲🤲

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад +2

      Wewe wacha ujinga kuleta chuki katika dini hapo pamenadiwa kitu gani cha kiibadhi na kwani kuna tafauti gani kati ya Ibadhi na suni kama ingekua kuna tafauti hio unayo isema ingekua huku Oman tusegesalishwa na suni wewe kwanza soma halafu utaleta ujinga wako

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 3 года назад +3

      @@ahmedzahor2975 najua limekuuma ukweli ndo huo tambua ibadhi ni potea la makhawarij ambalo liko mbali na Ahlulsunnati waljamaa ww ni miongoni mwa maibadhi ndo maana ukachukia kauli zangu ila ukweli ndo huo wallahulmustaan ✍️✍️

    • @scottuk3055
      @scottuk3055 3 года назад +1

      Ameeen ya Allah kwa sote.

    • @binseif2216
      @binseif2216 3 года назад

      @@alikhamis6326 nyie ma salafy Sijawahi kuwaskia mnawalingania nanaswara waingie kwenye uislam, nyie nikuwakufurisha waislam wenzenu tu huu ndo mtihani upo kwenu

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 3 года назад +1

      @@binseif2216 wallahulmustaanu alaaa maa taswifuuni

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 3 года назад

    Namkubali sana huyu akhi,ila samahani naomba kuuliza huyu ni ibadhi a ahlu sunna

    • @jumamohamedi4495
      @jumamohamedi4495 3 года назад

      Huyu ibadhii hana lolote

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 3 года назад

      @@jumamohamedi4495 ibadh nani

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 3 года назад

      @@jumamohamedi4495 Kama ni ibadhi ndo wale wale na wanatakiwa kabla hawajafa wawe wametubia maana itkad zao ingne ni za hovyo mfno kuwasema hovyo kwa baadhi ya maswahaba, Allah awongoze wao na sisi 🤲

    • @jumamohamedi4495
      @jumamohamedi4495 3 года назад

      Pia wanapinga sifa za Allaah. Pia wanasema Allaah hayupo juu ya arshi pia wanasema Allaah hatoonekana na waumini siku ya qiyama na peponi. Pia wanasema mtu akifanya madhambi makubwa yasikuwa shrik,kufru na nifaq basi mtu huyo anakufuru. Mf mtu akiiba basi kakufuru. Wanaitikadi nyingi potofu ni ktk makundi yaliyopotea

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 3 года назад

      Green island