#WAZEEWAMBANGA
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- #soudybrown
Soudy Brown RUclips ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
Soudy Brown
Whatsapp: +255 714 108 600
Instagram: / soudybrown
Facebook: / soudybrowntanzania
Twitter: / soudybrown
Tiktok: www.tiktok.com...
Masantula handsome boy kwelikweli namuona nae zunde
Penda saaana Tin White na nakubali kazi zake mnoooo
Pitia frm 254🔥🔥
Napenda sana mtu na mdogowake wakiwa wanaelewana rahasana
Masantula bhn
Ukitaka kujua Mwijaku sio professional presenter ona anavyotumia mic
Tin white 🔥🔥🔥🔥🔥
Nakukubar mnya mwezi
Mwijahku Kwaninii Huwa Habadilii Nguo jamanii Haswaaa Iyo Barkashekh
Masadula💕💕💕💕🤣🤣🤣🤣
Tin white fala Sana et vueni nguo tuwachekeshe🤣🤣🤣
😂😂😂😂nimecheka sana
Waandishi wa habari kwa kuchokora mambo 🤣🤣
Jaman nawapendaa buuure
Ringo wapi jamaniiiiiiii daaahh!!!!!!!
Safiii sana
Nawakubari sana munto bom
Ila huyu TIN ni KIPAJI SANA😁😁😁
Zuunde 😂😂
Masantula bwana. Eti kanipiga buti🤣🤣
Ivi tinwit mambo anayo fanyiwa na pili mke wake aumii kweli
Caren nami nawaza Sana
Nawapenda wana kitimtim Jamani
Jamani TIN white uko so humble
Sauti
Sijamuona lingo
Mwijaku Utangazaji unaulazimisha, lakini wenyewe haukutaki
Mwijaku stukusikii wew
Hahahaha
Ila hz bang bna et vuen nguo tuwachekeshe😩😩😩
Tin white ndo kanifanya nipende bongo movie maana namkumbali tena zaidi ya sana namtakia mafanikio mema tin white
Masantula aaaaa
Ingewezekana sudi ungebadilisha mtuu mwijaku simkubali nawatu hawampendi anaskendo tele mdhalilishaji wanawake badilisha ilituzid kykusapot
Mwijaku hii kazi kaivamia tu ila hata haimtaki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa yaani😂😂 hana mishe mishe kabisa
@@amriamraan2612 kumbe na wewe umewaza Kama Mimi.
@@subirachuta8169 😂😂😂
Analazimisha afit kila sehem lkn wap
Me simuelewagi kabisa yan bora angebakia na filamu zake tu.
Wazee wa mbanga 😂 mtto pil u wap
Wanachekesha Hawa Jama Mpaka basi
😁😁😁
Maneno mengine hayasikiki
huyo jamaa hajui anaongea pembeni ya mic
Pili ana mahusiano yake acheni kuharibu maisha ya watu nyie.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Sorry broo nnashida Sana kujiunga na kundi lako me naitwa shuku nipo mbeya pia nimsani mnzuli wakomed pia nasiliasi nakwomb bwana mkubwa tini we nimsada kwandu ukijali maneno yangu
Masantula mzur jaman 🤣🤣comedy inazeesha jmn masantul napend tu voic yakooo zunde kama zundee 🤣🤣
Masantula kumbe unatokelezeaga hivyo!
😁😁😁
Haaaaaaaaaa me mwenyewe ckutegemeaa
Hawa jamaaa mpaka maisha yao ya kawaida ni comedy.
Hahahaha
😃😃😃😃😃😃
Una watoto wawili na pendo umamuachia nani mbon unamtenga na ni mtoto wako humtendei haki sema halafu wote p _p preshez prisca na pendo acha uhun
😄😄😄😄😄😄
Zunde zundeki ...
Sema nini wewee
Zunde
Zundekiiiiii