WEMA SEPETU MCHAWI SHABIUSI❤️ PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • BONGO MOVIE New Film SHABIUSI Part One Full HD video OG...Washiriki KOKO BYANKO WEMA SEPETU BUMPU KIMAZI,JAQLINE WOLPER,MAMA KANUMBA Na wakali wengine wengi wamo ktk Film Hiii Ya SHABIUS pata uhondo Kwa Maumivu ya mapenzi,Ubaguzi Na Siri Za WACHAWI na MAJINI Na ROHOI Za Watenda Mabaya kufichuliwa na ECHUPEE MTU WA MUNGU Katika FILAM Hii Ya SHABIUSI ENJOY👍👍👍🔥🔥🔥 from Tanzania vijana wa magufulu For More Cont: +255718458457 +255652724436 or +255657862080 ,Email Sunzukoko@gmail.com INSTAGRAM KOKO_BYANKO,FACEBOOK KOKO BYANKO PII
  • КиноКино

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +621

    kama upendi wachawi nipe like basi tujuane.

    • @jordanfromyt2861
      @jordanfromyt2861 5 лет назад +4

      Josephine Makungu wachawi nonsense useless ppl

    • @zainabhassan4511
      @zainabhassan4511 5 лет назад +4

      Josephine Makungu
      mi nawachukia sanaaaa hata ningekua na uwezo ningewatokomezea mbali

    • @allylugome1762
      @allylugome1762 5 лет назад +1

      Sipendi uchawi san

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 лет назад +2

      Ya Josephine wajina wa dada yangu siwapendi wachawi kwasababu wanaludisha nyuma maendeleo

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 лет назад +2

      Mama sakina anavyosema hivyo amekuwa mama eti maisha yanichanganye na wewe unichanganye

  • @angelwilliam2948
    @angelwilliam2948 5 лет назад +401

    Jomon saut au mm ndo inazingua kama na ww saut inakta kata weka like

    • @husnamubarack7644
      @husnamubarack7644 5 лет назад +3

      Tuko weng

    • @allykihiyo8709
      @allykihiyo8709 5 лет назад +4

      Ndio sauti inakata sana hapo ndoutagundua jasili haachi asili

    • @Bongovillagex
      @Bongovillagex 5 лет назад +3

      Support me
      ruclips.net/video/XX6acAMUjQI/видео.html

    • @saudaissa7397
      @saudaissa7397 5 лет назад +3

      Ah saut inakata tuu hata mm

    • @antfaridaarsen2941
      @antfaridaarsen2941 5 лет назад +4

      nikweli kabxa move zuri lakini haina sauti raha ya move sauti

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +144

    wapedwa ombeni bila kuchoka kuna watu wana tembea usiku na mchana kutuangamiza .
    hii move ina mafunzo sana.🙇🙇🙇mjifunze kupitia hii move
    ushawi sai ni kila mahali tujifiche kwa maombi kila wakati

  • @mariambille4172
    @mariambille4172 4 года назад +31

    Kama upo hapa for Madam Sepetu, gonga like....... From 255+

  • @gstarboytzbongo2999
    @gstarboytzbongo2999 4 года назад +8

    Wale wezangu na mim wakusoma coment kwanz tujuane

  • @eishermohamedi8058
    @eishermohamedi8058 5 лет назад +391

    Worpa ukiwa na mimba unapendeza sana 😍😍 gonga like kama unakubaliana na mimi

  • @moonmonaj7735
    @moonmonaj7735 4 года назад +36

    Kwenye sauti apo nmeboreka sana kama na wewe umeboreka gonga like apo

  • @peterjulius3177
    @peterjulius3177 4 года назад +25

    Jamani kumbe na mama kanumba anakipaji cha uigizaji kama mwane kanumba hongeara sana mama kanumba gonga like

  • @princessemelda6858
    @princessemelda6858 5 лет назад +10

    Kama umeikubali hii muvi gonga like tujuane jooooh

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +66

    walper amsha dude kwa hii move Tuzo upewe
    nimenjifuza sana kupitia hii move
    love u walper umeitendea haki.

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 лет назад +54

    Wolpa umeniliza kwa kwel siwez kujizuia hii movie ni kali mno imetisha hongeren sana kumbe na sisi bongo tunaweza yaan imekua kama movie ya marehem Kanumba

  • @mwanaidd1926
    @mwanaidd1926 5 лет назад +103

    Hii move nimeipenda kama nawe umeipenda gonga like twende p1

  • @safinamdee3825
    @safinamdee3825 5 лет назад +51

    Kiukweli wema na wolper mpo vizuri sana kwa mwendo huu 2tafika mbàl kàma uñakubaliana na mm like japo

  • @naturalme254
    @naturalme254 5 лет назад +21

    Mama sakina woyeee👏👏😁 anafaa ashirikishwe kwa kila bongo movie

  • @miriamabinery5695
    @miriamabinery5695 5 лет назад +3

    aaahahaha airports naina hata watu dege kubwa kasafiri peke yake na amepewa gari kuendesha ,leseni kapata wapi aaahahaha wabongo bana

  • @namreenkachal9083
    @namreenkachal9083 5 лет назад +159

    Nimesoma comment naona wanaisifia acha na me niangalie

  • @kocharama3293
    @kocharama3293 4 года назад +13

    Walper umetisha Sana
    gonga like Kama muvi umeipenda

  • @يحيىالسناني-ك9ش
    @يحيىالسناني-ك9ش 5 лет назад +57

    mama sakina kanogesha sana move much love😁😁😂😂😙😍😍

  • @ummyshom1439
    @ummyshom1439 5 лет назад +9

    Kama umeukubali mziki wa mama sakina tujuane mapema

  • @hemedimejumaa7369
    @hemedimejumaa7369 5 лет назад +49

    Kwenye sinema za kiswahili wabongo hoye eeeeeeeh .😍😍

  • @luuplutnumz8905
    @luuplutnumz8905 5 лет назад +194

    kama umetizama ukalia kama mm tujuane hapa mchezo mzury mpk tunalia😓😓😓

  • @suzeemnati8356
    @suzeemnati8356 5 лет назад +165

    Like za watu wa Saudi Arabia + 254 Ziko wapi..... Inauma ila nakumbuka nikuingiza natulia roho

    • @sumesume7928
      @sumesume7928 5 лет назад +3

      Tuko kama kawa ka movie kametulia sauti iko poa kila kitu poa hongereni nyote mloshiriki naburudika nikuwa saudi lkn ni +254 halisi

    • @aminasaid8311
      @aminasaid8311 5 лет назад

      Ndio naianza

    • @nasrakhamisi9525
      @nasrakhamisi9525 5 лет назад

      ✌🏼

    • @halimayusuf617
      @halimayusuf617 5 лет назад

      Nizuri

    • @labumua8656
      @labumua8656 5 лет назад

      Na wa Qatar watangonga wapi like zao

  • @rubymacofidance3958
    @rubymacofidance3958 4 года назад +16

    Worpa amenikosha Sana Kama na we pia gonga like hapa

  • @veesessy3318
    @veesessy3318 5 лет назад +50

    Mama sakina maneno yake😂😂nice movie jamani

  • @angelherman5464
    @angelherman5464 5 лет назад +28

    wolper jaman unapendezaa ukiwa na mimba mpenz your s swety

  • @stawapaul7908
    @stawapaul7908 5 лет назад +36

    mama sakin jicho 😂😂😂daah mov nzr sana ila 😭😭😭😭😭😭melia sana 😢😢😢😢jamn wachaw wakoje eet ooh lord plz prtct us 🙏🙏🙏😖😖😖😖

    • @UlimboTV
      @UlimboTV 5 лет назад +1

      bonge LA kazi brother

    • @nurfatabdul9460
      @nurfatabdul9460 5 лет назад

      Stawa Paul mama sakina ninoma 😂😂😂😂

  • @binzuadaudi7772
    @binzuadaudi7772 5 лет назад +36

    Movie nzuri tokea kanumba afariki hii ndo ya kwanza kuangalia Mungu awaongoze mzidi kutupa mafundisho mema yatakayotujenga kitabia

  • @celebratingunited4064
    @celebratingunited4064 5 лет назад +34

    huyu mama sakina kwa maneno

  • @didahassanhassan687
    @didahassanhassan687 5 лет назад +46

    Nipeni like za watu wa Dubai. Muko wapi

  • @pendopendo3008
    @pendopendo3008 5 лет назад +31

    Nimefurai san na sis tulio mbali na tz tunajisikia kam tupo tz hongera san muv ni nzuri koko

  • @doreenchris198
    @doreenchris198 5 лет назад +5

    Km unaona sio vzr kuwadharau maskin na km unaona usiku ni mida ya wanga gonga like LA nguvu hap

  • @radgamhhh3340
    @radgamhhh3340 5 лет назад +36

    naisi itakua tamu ngoja niangalie

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 5 лет назад +34

    Jamani namkubali @koko👍🏼,
    @wolper❣,@wema❣na wengine muko poa movie 👍🏼👍🏼👍🏼

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 лет назад +37

    Siangalii movie mpk nisome comments..nikisikia nzuri .... Ngoma ina tambaaA,,,,,bravo all the actors.my god....awafikishe mbali

  • @aaliyahassan8209
    @aaliyahassan8209 5 лет назад +16

    Looo cjapata Ona muv kama hii....Nimelia hataree! Jaman Dahhh yapo kabisa hayo

  • @mathalaishamsi5830
    @mathalaishamsi5830 5 лет назад +2

    kwa sauti hii kazima umakinike na movie,jaman nampenda mno hyu mdada mjue,,mko wapi wale wenzangu tunaompenda kipenzi chetu hebu tujuane

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 5 лет назад +24

    Hujawahi kosea wolper nimependa sana kazi hii

  • @furahanabaruma6239
    @furahanabaruma6239 5 лет назад +13

    Nafurai kumuona mama kanumba jamani

  • @margaretsam6696
    @margaretsam6696 5 лет назад +23

    Jacky amependeza na hiyo mimba kweli..+971 watching

  • @winieelvis2837
    @winieelvis2837 5 лет назад +18

    😂kama umesikia simbilisi mwenye mguu mmoja basi tujuane

  • @tyeuhsvsy1874
    @tyeuhsvsy1874 5 лет назад +56

    Wema na Jack fikieni alipofikia marehemu kanumba kazi nzuri sana jitahidi muinue ile talent yenye imepotea kwa MDA mrefu naona mpaka mama kanumba hapo hongereni

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 5 лет назад +9

    Yaan bongo movie me apo tu axa ndege imetoka ethiopia ad tz inamaana hyo ndege ilimbeba mtu mmoja tu au apa mmepoteza kwakwel😀😀😀😀😀

  • @yusraabdalla4848
    @yusraabdalla4848 5 лет назад +21

    Cjawah kuipita movie ya wema bila kuangalia....who's one else ?😘😘😘😘😘

  • @maryammwinyiali7813
    @maryammwinyiali7813 5 лет назад +16

    I like this movie good I like wolper

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 5 лет назад +51

    Palipo #wemasepetu ni balaaa 👏 nimesoma comments zinalizisha ebu na mm niangalie 😊

  • @fullziwa7457
    @fullziwa7457 5 лет назад +65

    Hiz ndizo film bongo niwape hngr mnaifanya kaz kwer inamafundisho meng mno nawa penda. Naitaji film kalzaid kutoka kwenu. Hiki ndicho watanzania tunataka imooooooo tz at/5apr 2019

  • @alialmaskari4363
    @alialmaskari4363 5 лет назад +7

    Nimelia jaman hii move inamafunzo san nimejifunza mengi

  • @mwanahamisimashaka9636
    @mwanahamisimashaka9636 5 лет назад +9

    Kama na we umeguswa na hii move like bac

  • @selinaaicha9350
    @selinaaicha9350 3 года назад +6

    Nimeipenda sana hii movie ila tu sound ilikuwa inapotea mara kwa mara nakukata stimu
    Hekooo kaka Koko kwa kazi nzuri muwe na uganalifu wa hali ya juu kwenye sound engineering edit 🙏

  • @gladysalfredy6539
    @gladysalfredy6539 5 лет назад +14

    jamani naombeni mnambie kipengele kilichowaliza...au kipo part two... mi nlikuwa napasubiria pa kulia na machozi nmeandaa...sipaoni

    • @jajasamila1147
      @jajasamila1147 5 лет назад +1

      😁😁😁😁atana mimi nimepakosa kweli

    • @neemachuya9311
      @neemachuya9311 5 лет назад

      We acha 2 wabongo kwa kutia chumvi

    • @AminaAmina-sx1jn
      @AminaAmina-sx1jn 5 лет назад

      Haaaa haaa jaman nimecheka

    • @aminamwajasho
      @aminamwajasho 5 лет назад

      nimepata mwenzangu😂😂😂

    • @rahmairakoze2148
      @rahmairakoze2148 4 года назад

      Rudi nyuma hapo sakina kafkiya hatuwa ya kujinyonga nimelia paka kitambaa kimejaa chozi

  • @dayanalema2351
    @dayanalema2351 5 лет назад +15

    Koko byanko umetisha nimemuona best actress sepetu ninaemkubali❤❤

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 5 лет назад +45

    Jackline wolper my favorite actor ❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍

  • @elastomaluko7186
    @elastomaluko7186 5 лет назад +39

    Love wema Sepetu love jackirine Worlper love mama kanumba mmetuletea kitu kizuri xana

  • @agustrimoy4337
    @agustrimoy4337 5 лет назад +9

    Nasomaga comment kwanza mwenzenu

  • @mussajangwa9106
    @mussajangwa9106 5 лет назад +22

    Jaman mama Sakina anaongea

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +28

    Ka movie flan bila kujizuia waeza toa machozi hii imetulenga sote tuifeel yanatokea sana.

  • @deborahjm8890
    @deborahjm8890 5 лет назад +24

    Izo ndo movie ninazo tafuta kweli ohhh 🙏 Asante sana from Canada 🇨🇦🇹🇿🇨🇩🔥🙏🙏

  • @thabithmrisho6212
    @thabithmrisho6212 5 лет назад +9

    Muvi nzr sana shida sauti jamani.

  • @jojonostress486
    @jojonostress486 4 года назад +4

    Nimekuwa wamwisho kbs😂😂kama munaludie kusoma cmmnt munipe like

  • @ndaisabatheogene2948
    @ndaisabatheogene2948 5 лет назад +30

    But kitale number one maneno yakuambiwa

    • @lightnessmatiku1205
      @lightnessmatiku1205 4 года назад +1

      Uko vzur kaka napenda san kazi zako💋💋💋💋✌

  • @partiedojoshua5215
    @partiedojoshua5215 5 лет назад +3

    hahahahah😂😂😂navua nguo mm navuaaaaaaa😂😂😂ataki vuaaaaa🤣😃😃

  • @rossellabint3682
    @rossellabint3682 5 лет назад +15

    Who else is cutting onions here? Can someone teach me swahili,, movie nzuri jamani

  • @celestinbimenyimana5260
    @celestinbimenyimana5260 5 лет назад +42

    Mbona sioni comment za burundi??

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 5 лет назад +10

    Huyo mjomba ameapa kiasi kwamba anatoa na damu ambazo hazina hatia.Imeniuma wachawi walivo wabaya

  • @ramzmak7121
    @ramzmak7121 5 лет назад +14

    Mama Sakina Umeweza Kwa Part Zako Big Up To Sana.. From +974

  • @freyzagodyfreygodfrey7065
    @freyzagodyfreygodfrey7065 5 лет назад +1

    Wema umejitahid sweety women

  • @ceciliagunda4150
    @ceciliagunda4150 5 лет назад +12

    Dah movie nzur sana...endeleen kutoa kaz nzur zenye uhalisia zaid

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 лет назад +7

    Mm nna maon tu kwa hii movie ndo kwanza nasoma comment huku natazama...ila saut iko chini sana...hakukuwa na haja ya kinanda ikiwa saut ya mazungumzo ni hafifu...ila kwakwel Tanzanian Movies ni nzur hasa wakiigiza wasanii wenye kujua usanii kma hawa..ila plz mm naomba saut mrekebishe boom mananger vp ulikwama wap?! Nova nimemuona hapo amerud kwenye game.🤗✌👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @nuhsalehe5937
      @nuhsalehe5937 3 года назад

      Eti macho kama mjusi kabanwa na mlango

  • @KAZOZA10
    @KAZOZA10 5 лет назад +14

    nadhani ntakuwa wakwanza from +257 kuitazama
    halafu kilicho nisikitisha ni hii familia ya huu mwana mume kufanya unafiqi kujifanya hawajui kinacho endelea.
    mama nakufa Wema sepetu amekuwa jini ngoja ni tafute part 2

  • @annakashelo8519
    @annakashelo8519 5 лет назад +1

    Maisha yamenichanganya mwanangu na wewe unanichangaya

  • @jumabajurah6346
    @jumabajurah6346 5 лет назад +16

    Nakupenda mama sakina mama koko mama kanumba wolper ..koko..mjomba yani dah picha qaliiii sana hii😜😜

  • @liliankorsai8334
    @liliankorsai8334 5 лет назад +1

    Moise katumbi chwapwe weweeeeee

  • @jescarugely3643
    @jescarugely3643 5 лет назад +5

    Kweli wachawi wanakazi aiseee.. Yan uyo anafurahia kuwanga zis iz so fantastic

  • @vanessaaisha705
    @vanessaaisha705 5 лет назад +5

    Sauti tu ndo mumeharibu ndunguzanguni ila mumecheza Poa kbs 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @khadijahussen2763
    @khadijahussen2763 5 лет назад +67

    Duu nimejikuta nalia Hongera sana wolper

  • @angelmirambo5239
    @angelmirambo5239 5 лет назад +1

    nimelia jmn movie inatia uchungu

  • @anamganga8632
    @anamganga8632 5 лет назад +32

    Hahahahahaa. Koko huyo anakula kilo ngapi kwa siku mpaka anakuchanganya kiasi ichi. Hongera mama koko

  • @sirfabiano767
    @sirfabiano767 5 лет назад +6

    Kwa coment hizi naona ipo xawa ngoja niangalie

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 3 года назад +5

    Kama Kuna wa Oman gonga like

  • @damarissamba8007
    @damarissamba8007 5 лет назад +18

    Dah!nimeona Ndege ya Ethiopian nikaigiwa na Baridi

  • @chipagafashion
    @chipagafashion 5 лет назад +8

    Huyu mama sakina Namuona Bibi yangu kabsaaaaaa 😂😂😂si kwa hizo fujo!

  • @elizabethngejiro6140
    @elizabethngejiro6140 5 лет назад +2

    comment zimenita Amasa nitahagaria

  • @happythomas4160
    @happythomas4160 5 лет назад +6

    kama Mme muona mtu katoka chumba cha pili kabeba ndoo gonga like

  • @estherbugeraha3836
    @estherbugeraha3836 5 лет назад +1

    Hiv ndenge imemshusha pekeake au?

  • @jossyjosphin2587
    @jossyjosphin2587 5 лет назад +15

    Mkenya nimeikubali hii...imeweza

  • @raudhanaly1352
    @raudhanaly1352 5 лет назад +2

    wolper umetisha umecheza uzuri

  • @melkuledmartini4679
    @melkuledmartini4679 5 лет назад +7

    leooo nimeona wabongo wanaweza Ina mafunzo sana like tujuane hum

  • @vailethnyengela4849
    @vailethnyengela4849 5 лет назад +4

    Mtoto anafurahia kuwanga

  • @maudassi881
    @maudassi881 4 года назад +5

    Wa 867 kuangalia hii movie kama upo pamoja na mm gonga like twende sawa

  • @tofikiallymgenitofiki2254
    @tofikiallymgenitofiki2254 5 лет назад +8

    Mama sakina nakukubali sanaaaa

  • @neemaqueen8143
    @neemaqueen8143 5 лет назад +4

    Nice movie from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩👈❤️🔐

  • @selinamwende4653
    @selinamwende4653 5 лет назад +2

    I lyk dis muv to de maximum

  • @sabrinapiousy4789
    @sabrinapiousy4789 5 лет назад +16

    Sifa ya uchawi ni unafiki,,,,,,

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 5 лет назад +12

    Dah😢😢😢mama sakina kajuwa kuekti😢😢😢

  • @lemaoman1760
    @lemaoman1760 Год назад +5

    Sijui nimechekewa wap daa hui muvi kali sana mashallah ♥ 💖 😍 ❤

  • @mimahkidome5771
    @mimahkidome5771 5 лет назад +1

    sautii

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 лет назад +16

    Maskini mama kanumba amekonda kwa kumuwaza mwanae ata hapa alipompokea lazima awe alikumbuka mwanae

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 5 лет назад +20

    😂😂😂😂 uwiiii mchawi mwenyewe n Wema 😀😂😂😂😂😁

  • @sheyllahramah7462
    @sheyllahramah7462 5 лет назад +21

    Move nzuri kweli nmempenda mama sakina saana

  • @laurenceelibariki1770
    @laurenceelibariki1770 5 лет назад +1

    Jamani sauti au ni Mimi tu