"Mimi sio chizi" ~ Q Jay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Aliyekuwa staa wa bongo fleva kwenye kundi la wakali kwanza Q Jay amesema yeye sio chizi na wala hajachanganyikiwa,
    Habari za mitandao ndio zilisambaa na kusema yeye anatatizo la akili ila sio kweli, haezi kumlaumu Makamua sababu yeye mwenyewe alikuwa anaona taarifa kwenye mitandao , hawajaonanan kwa muda mrefu

Комментарии • 45

  • @catalanink174
    @catalanink174 6 лет назад +2

    Dah, pure talent, bonge ya sauti, muziki hautendi Haki😢😢

  • @Hashdough
    @Hashdough Год назад

    'VIPI UM'EPONA KWENYE UCHIZI WAKO AU SASA HIVI UKOJE?"" AHAHAHAHAHAH

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Nakukubali sana QJAY, Nakupenda mpaka kesho, sauti ya kumtoa nyoka pangoni.

  • @hosearioner3637
    @hosearioner3637 3 года назад

    Nakuaminia Sana Qjay..upo juu Sana na nakuombea mungu mema.#QjaySIFAI

  • @mnyamwezitv382
    @mnyamwezitv382 4 года назад +1

    Mzk wenu ni mzur sanaaaa chakushangaza saiv tunaimbiwa kanyaga na dochido

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +15

    Mimi napenda sana wimbo wako wa #SIFAI ft JOSLIN, Uwa nausikiliza mara kwa Mara na nili comment Alafu kuna jamaa mmoja "akaniambia kuwa #QJAY kawa kama chizi na stress za maisha Aiseee nilisikitika sana, sasa leo nashangaa kukuona hivi, Kumbe uko vizuri na sauti yako ileile yakumtoa nyoka pangoni 😜😂😀😂 love you #QJAY hata wimbo wako #SIFAI Nimeu download upo hapa kwenye Cm yangu, mimi shabiki yako mkubwa sana, nafurahia uwepo wako ukiwa mzima wa akili na Afya njema kama hivi ninavyokuona hapa kupitia cm yangu. 😘😍🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😲😲Nyei kitambo 😳😳ndo hy kumbe 2023

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 6 лет назад +1

    Hii sautii + ya makamua ngoma n kalii

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 3 года назад

    Qj nimemuona Dodoma jana...december 31 2020,,amekata tamaa ya maisha kabisa mlevi

  • @MiraclesHimself
    @MiraclesHimself 6 лет назад +2

    Nimefurah sana kumuona brother q

  • @asmaguga7293
    @asmaguga7293 6 лет назад +3

    Welcome back wakali kwnz

  • @mndigaboy2534
    @mndigaboy2534 6 лет назад +1

    daaah q Jay ludi kwenye gem kaka

  • @georgeburtonburton6740
    @georgeburtonburton6740 5 лет назад

    Jamaa namkubari sanaaa na anajua sanaaa

  • @darasahuru4532
    @darasahuru4532 6 лет назад +2

    Daaaah pole kaka nakubali xana kaz zako.kaka

  • @ajuayejumaomari7577
    @ajuayejumaomari7577 6 лет назад +7

    Dah jamaa ana saut kama yote

  • @jointjoint4507
    @jointjoint4507 2 года назад

    Da naupenda wimbo wa mi sifai

  • @allydiss6131
    @allydiss6131 6 лет назад +2

    njoo kindimbajuu umsalimie mamayko hautakuwachz tena

  • @KIZOB
    @KIZOB 4 года назад

    Ooomy legend mbona ulikimya bwana

  • @kelvinjeremia8763
    @kelvinjeremia8763 Год назад

    Kuwa mkweli tulikuona mwanza mitaa ulikuwa unaonekana hauko sawa

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 2 года назад

    Qj wewe ndio wale ambao kwasasa ili bidi muwe baba wa bongo flava

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 6 лет назад +2

    Jamaa anajuwa Sanaa kuitendea sauti yake

  • @gisilalikomba3980
    @gisilalikomba3980 6 лет назад +1

    hiyo sauti ndo imenifanya nikubali Q Jay music

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Год назад

    Mtangazaji wewe ndio utakuwa chizi swali gani la kumuuliza mtu hilo

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen475 6 лет назад

    Awa jamaa mbn wana roho mbaya wakina makamua mtu mzima uyo mbona anaongea vzr na wala aonekani kama chizi na sio chizi kbx jamaa yuko vzr acheni kumzika mtu akiwa hai all you need is to sapoti him

  • @mackenziengolo7mabula132
    @mackenziengolo7mabula132 6 лет назад +1

    Duh nlisoma vibaya nini mbona nliona kama snura hatumii fursa

  • @frankjully5457
    @frankjully5457 6 лет назад +5

    jamaa ana sauti hivi ndo vipaji halisi sio sijui whozu

    • @Nyamko-christmas
      @Nyamko-christmas Год назад

      Humjui whozu wewe ana ngoma ambazo ni kali na sema anaimba kulingana na soko weta tafuta ngoma zake

  • @mpuwanyahamza5188
    @mpuwanyahamza5188 6 лет назад

    Mbona yupo bright tu

  • @hellencatherinemhagama4671
    @hellencatherinemhagama4671 4 года назад

    Best RNB singer ever.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😲

  • @ramadhanjumanne6370
    @ramadhanjumanne6370 6 лет назад

    wew ni FUNDI snaa

  • @selemansalehe9165
    @selemansalehe9165 2 года назад

    Tupo nae majohe

  • @manawaaporinary9635
    @manawaaporinary9635 6 лет назад +2

    Umepona kwenye uchizi wako

  • @adennis762
    @adennis762 6 лет назад

    Free Qj!!!

  • @jaguarpaw113
    @jaguarpaw113 6 лет назад

    humble man

  • @farajaabia7667
    @farajaabia7667 6 лет назад +1

    Bado afya ipoo

  • @johnmarunda653
    @johnmarunda653 6 лет назад

    Nilishakutana nae uwanja wa fisi

  • @yasirdahasra3186
    @yasirdahasra3186 6 лет назад +2

    huyu mwana anakipaji akhi

  • @adamgeorge8256
    @adamgeorge8256 6 лет назад +1

    brow unasauti nzur ya mzk

  • @mayagillamussa9486
    @mayagillamussa9486 6 лет назад

    jamaa bado mkali

  • @raygunmaterial1344
    @raygunmaterial1344 6 лет назад

    Eti umepona kwenye uchizi wako

  • @allyking324
    @allyking324 6 лет назад

    Eti uchiz wako