"Mimi sio chizi" ~ Q Jay
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Aliyekuwa staa wa bongo fleva kwenye kundi la wakali kwanza Q Jay amesema yeye sio chizi na wala hajachanganyikiwa,
Habari za mitandao ndio zilisambaa na kusema yeye anatatizo la akili ila sio kweli, haezi kumlaumu Makamua sababu yeye mwenyewe alikuwa anaona taarifa kwenye mitandao , hawajaonanan kwa muda mrefu
Dah, pure talent, bonge ya sauti, muziki hautendi Haki😢😢
'VIPI UM'EPONA KWENYE UCHIZI WAKO AU SASA HIVI UKOJE?"" AHAHAHAHAHAH
Nakukubali sana QJAY, Nakupenda mpaka kesho, sauti ya kumtoa nyoka pangoni.
Nakuaminia Sana Qjay..upo juu Sana na nakuombea mungu mema.#QjaySIFAI
Mzk wenu ni mzur sanaaaa chakushangaza saiv tunaimbiwa kanyaga na dochido
Mimi napenda sana wimbo wako wa #SIFAI ft JOSLIN, Uwa nausikiliza mara kwa Mara na nili comment Alafu kuna jamaa mmoja "akaniambia kuwa #QJAY kawa kama chizi na stress za maisha Aiseee nilisikitika sana, sasa leo nashangaa kukuona hivi, Kumbe uko vizuri na sauti yako ileile yakumtoa nyoka pangoni 😜😂😀😂 love you #QJAY hata wimbo wako #SIFAI Nimeu download upo hapa kwenye Cm yangu, mimi shabiki yako mkubwa sana, nafurahia uwepo wako ukiwa mzima wa akili na Afya njema kama hivi ninavyokuona hapa kupitia cm yangu. 😘😍🙏
Mi mwenyewe naupenda
Msubirie kwa mambo makubwa sanaaaaa!!! Yaani 2019 ni fayaaaaaaa
😲😲Nyei kitambo 😳😳ndo hy kumbe 2023
Hii sautii + ya makamua ngoma n kalii
Qj nimemuona Dodoma jana...december 31 2020,,amekata tamaa ya maisha kabisa mlevi
God is good bro
Nimefurah sana kumuona brother q
Welcome back wakali kwnz
daaah q Jay ludi kwenye gem kaka
Jamaa namkubari sanaaa na anajua sanaaa
Daaaah pole kaka nakubali xana kaz zako.kaka
Dah jamaa ana saut kama yote
Da naupenda wimbo wa mi sifai
njoo kindimbajuu umsalimie mamayko hautakuwachz tena
Ooomy legend mbona ulikimya bwana
Kuwa mkweli tulikuona mwanza mitaa ulikuwa unaonekana hauko sawa
Qj wewe ndio wale ambao kwasasa ili bidi muwe baba wa bongo flava
Jamaa anajuwa Sanaa kuitendea sauti yake
hiyo sauti ndo imenifanya nikubali Q Jay music
Mtangazaji wewe ndio utakuwa chizi swali gani la kumuuliza mtu hilo
Awa jamaa mbn wana roho mbaya wakina makamua mtu mzima uyo mbona anaongea vzr na wala aonekani kama chizi na sio chizi kbx jamaa yuko vzr acheni kumzika mtu akiwa hai all you need is to sapoti him
Duh nlisoma vibaya nini mbona nliona kama snura hatumii fursa
jamaa ana sauti hivi ndo vipaji halisi sio sijui whozu
Humjui whozu wewe ana ngoma ambazo ni kali na sema anaimba kulingana na soko weta tafuta ngoma zake
Mbona yupo bright tu
Best RNB singer ever.
😲
wew ni FUNDI snaa
Tupo nae majohe
Umepona kwenye uchizi wako
Free Qj!!!
humble man
Bado afya ipoo
Nilishakutana nae uwanja wa fisi
huyu mwana anakipaji akhi
brow unasauti nzur ya mzk
jamaa bado mkali
Eti umepona kwenye uchizi wako
Eti uchiz wako