#MIZENGWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 30

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Год назад +4

    Napenda sana Sanaa mnayoifanya! Haijachakachuka,ni halisi kwa jamii na hata ninyi mna mwonekano wenye staha na mnajitambua vizuri sana.Hongera♥️👏

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 11 месяцев назад +1

    Nawapenda sana hawa watu 4! Wanafundisha saana. Michezo mifupi inafundisha saana na wangaliaa msaana sanaa

  • @anthonygikuri
    @anthonygikuri Год назад +1

    Hongereni sana kwa kuelimisha jamii. Nimejifunza mambo mazuri kwenu. Tofauti na wasanii wengine, nyie hamwingizi upumbavu wa mapenzi kwenye kazi yenu. Mnaelimisha jamii vizuri wazazi na watoto wanaweza kuangalia show zenu.

  • @cyriluskaijage4227
    @cyriluskaijage4227 Год назад

    mnafanya kazi nzuri sana, na zenye mafunzo makubwa sana. Hongereni sana Mizengwe

  • @user-nl3hd4li9s
    @user-nl3hd4li9s Год назад

    Hii imeenda katika uhalisia na mazingira ya maisha yetu na jamii funzo kubwa sana

  • @rasheedmganga4798
    @rasheedmganga4798 Год назад +2

    Raha ni kubwa sanaa but mnachelewa sana kutupa burudani bravo 👏🏽 mizengwe

  • @enockchiswagala3866
    @enockchiswagala3866 Год назад +1

    Hatareee

  • @HassanHalfan-j3g
    @HassanHalfan-j3g 7 месяцев назад

    Nakukbal xan ndg zang

  • @faudhi7426
    @faudhi7426 Год назад +3

    Wapo wengi tunanyumba kariakoo kazi awafanyi

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    Umekuwa kma mjusi kila Kona unaonekan😂😂😂

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +2

    Nime subscribe lakini sipati notification.

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Год назад +1

    Eti kuku kamkimbia mkononi 😂😂

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 Год назад +2

    Hahahaha

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 Год назад

    Muda wenyewe huu wa penati, penati yenyewe napiga dochi 🙌🙌😄😄😄

  • @ErickMillinga-bs4sc
    @ErickMillinga-bs4sc 2 месяца назад

    Hawa jamaaa ni zaidi ya walimu

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Месяц назад

    Petro Malayaga😂

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад

    Mimi ndo mwenye mkosi😂😂daah mzee anamajibu

  • @pilihamza2626
    @pilihamza2626 Год назад +1

    🏃🏃🏃🏃

  • @samally3136
    @samally3136 Год назад +2

    Penda sana

  • @selemankishuga948
    @selemankishuga948 Год назад +2

    Suburia auze nyumba 🤣🤣🤣

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Год назад +1

    😄😄😄😄🤓🤓

  • @ErickMillinga-bs4sc
    @ErickMillinga-bs4sc 2 месяца назад

    Wanaume hatupendi vuvuzela

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 Год назад

    Mm hizo rasta nazipenda hatar ni ndefuuuuu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад

    Watoto wa mjini hao kazi ni shida kwao.

  • @dilimkononi
    @dilimkononi Год назад +1

    888

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 Год назад

    Nawappenda nyinyi

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Год назад

    Baaabkubwa

  • @marthamshana6942
    @marthamshana6942 Год назад

    😂😂😂😂

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад

    😂😂😂😂