Ndiokwaanza naona ep hii... Huyo video editor ni mtoto kiasi gani mpaka effects za fighting anaweka hizo!?... Na nyie inamaana kabla ya kupost ep hamuiangalii kwanza!?. Hizo effects ndizo ziliidhalilisha bongomuvi enzi zile na leo 2024 mnazitumia...
@@fatmafaki6163 video wditor wa BONGO wengi ni wavivu. Fighting sound nyingi nzuri zinauzwa kwenye blog za chrome kwa pesa ndogo sana. Akiweka dola 10 tu anaweza kudownload sound effect nyingi zikamsaidia katika kazi zake...
bombaaa mapema tumewahi kunako kikao
Hatimae I'm first like Zang jomn
Wa saba na mimi leo nimewah😂😂❤❤
Nawapend wote Tim king❤❤❤❤❤❤❤
Waw ni kali sana ❤❤❤
🎉🎉🎉 wow nimependaa hii move good good 💯💯
Lik man
Ila mnzongea sanna
Wa 4 sasa
❤❤❤❤❤
Hatar
Que mal pongan subtítulos en español por Dios
Ndiokwaanza naona ep hii... Huyo video editor ni mtoto kiasi gani mpaka effects za fighting anaweka hizo!?... Na nyie inamaana kabla ya kupost ep hamuiangalii kwanza!?. Hizo effects ndizo ziliidhalilisha bongomuvi enzi zile na leo 2024 mnazitumia...
nlijua nimeliona na kulisikia hilo mwenyewe kumbe ni wengi sound effect za kitoto kabisa wametumia kwenye hii movie
Kama mjuaji kweli wambie watumie zipi na sio kudo oa tu hapo upumbavu tu. Sio kuangalia madhaifu tu. Sema Nini kifanyike
@@mwitarhobi-r6q kwa mtu yeyote anayefatilia film akisikiliza hizo fighting sound lazima aishiwe nguvu ya kuendelea kuangalia film
@@fatmafaki6163 video wditor wa BONGO wengi ni wavivu. Fighting sound nyingi nzuri zinauzwa kwenye blog za chrome kwa pesa ndogo sana. Akiweka dola 10 tu anaweza kudownload sound effect nyingi zikamsaidia katika kazi zake...