WIFI MCHARUKO EP 05 || Final Episode

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 148

  • @twahamachozi8018
    @twahamachozi8018 2 года назад +2

    Nimeipenda hii piya naombeni muangalie qaswida zangu you tube napatikana kama sheikh twaha machoz

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Inshallah Shaikh Twaha

  • @alistidespastory3108
    @alistidespastory3108 2 года назад +2

    Hongera sana kamanda pambana nimejifunza kitu.

  • @marioleonce246
    @marioleonce246 2 года назад +3

    Funzo wanaume muwe na msimamo kweny ndoa zenu nakuacha kukurupuka kuamini maneno ya ndugu pasipo ushahidi matokeo ndio haya unabaki unalia na moyo

  • @mushimiyimanaelena4329
    @mushimiyimanaelena4329 2 года назад +6

    Hhhhh !!! Jamani twende na WIFI yetu part 5 Lest gooo !!!! Am from rda if u like comment me here

  • @selinajuma8532
    @selinajuma8532 4 месяца назад +1

    Jaman wifi pili kaaibika kajiumbuw yemwenyewe😂😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  4 месяца назад

      🤣🤣🤣

  • @DotnataMateru-bk7ii
    @DotnataMateru-bk7ii Год назад +1

    Kiukwer mnajua Na pia nimeipenda Na inafubdisha junsi ya kuishi Na mawifi kama pili

  • @maryammaryam7773
    @maryammaryam7773 2 года назад +2

    Mganga mwisho roho itakutoka sio kwa pumzi hizo🤣🤣🤣🤣🤣

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hahaha Nikupe huyu

  • @zeddydefirst888
    @zeddydefirst888 2 года назад +5

    Rizzikii ya mtu itabaki Kwa mtu 😢😢mbaya njia yake fupi ,,pole mmakonde lakuambiwaa chunguza pia ,,tupeni kitu kipya mafunzo daima 🥰 Afghanistan twende nalo

  • @abudhabiimarat8622
    @abudhabiimarat8622 Год назад +1

    Yarab tujaaliye mawifi wazurii inshaallah

  • @niyonsabasaada234
    @niyonsabasaada234 2 года назад +2

    Waganga wa ibiris mashall mara inshallah wapumbavu wakumbwa kwel kuaibisha madin tu

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hahahaha ni kweli

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 2 года назад +4

    Movie nzuri sana ongeleni nabapenda sana 🙏 😢

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 2 года назад +4

    Nawapeda nimekuwa wakwanza leo naomba laiki

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hongera sana like zakooo hizoooo ❣️❣️❣️

  • @bakaryabdallah6699
    @bakaryabdallah6699 Год назад +1

    Ongela mafinzo mazuli sana katika maisha

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 года назад +2

    Hongereni Sana mawifi Wana magubu Sana Mungu atupe ujasili tuzilinde ndoa zetu

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Kabisaa Mungu awajaalie msipate mawifi wenye Gubu

  • @DotnataMateru-bk7ii
    @DotnataMateru-bk7ii Год назад +2

    Mwisho wa ubaya aubu pili

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад +1

    ni.mafunzo.na burudani.nzuri.tena ni.asilia kabisa , ahsanteni.sana tunaweza.kuangalia.hata tukiwa na familia

  • @mwanamisirama1836
    @mwanamisirama1836 2 года назад +3

    Jamani nimejifunza kweli...hongereni Sana..Allah awazidishie kipawa chenu

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana Msiache kutupa sapot

    • @mwanamisirama1836
      @mwanamisirama1836 2 года назад +1

      @@busatitv msijali tupo Kwa ajili yenu

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      ❤️❤️❤️❤️

  • @nassmaburudan5883
    @nassmaburudan5883 2 года назад +2

    Asanteni sana kw kazi nzuri pia mapoeo mazuri nawapongezi Crew nzima kuanzia Waigizaji hadi upande wa production Mmetoa vunzo zuri kwa jamii.. 👏👏👌👌

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад +1

      Asante sana Mr Director

  • @pilicharo4123
    @pilicharo4123 2 года назад +1

    achanirudi tena kwa comment wakati mwengine ukipata mwanamke anaye.kujali jua huyo ndie mwanamke nyote ❤️kwazi nzuri

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana Pili kwa Comment nzuri

    • @pilicharo4123
      @pilicharo4123 2 года назад

      @@busatitv karibu

  • @aronjonathan3297
    @aronjonathan3297 2 года назад +1

    Leo ndo nmeimaliza movies hii thanks

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Duu ulikuwa huioni?

    • @aronjonathan3297
      @aronjonathan3297 2 года назад +1

      @@busatitv nilikuwa naipita tu kumbe n movies kali mno

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana humu kuna movie kali sana

  • @tato8979
    @tato8979 2 года назад +1

    Wifi umeumbuka na roho yako mbaya

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hafai hata kidogo

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 2 года назад +3

    Uyu kaka mtu akili amebebewa na nduguye kwn mbn yuwapelekeshwa km kigari kibovu mara sakina akufai nae alubali aya anae mfaa pia afai ssa🙄loooh mawifi mbinguni tutafika hoi sna🤣🤣🤣🤣🤣hongera kwa washirika wte kwa mafunzo yenu mazur🙏

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Kwakweli Mawifi muache gubu

    • @bintihassan6534
      @bintihassan6534 2 года назад +2

      @@busatitv twaachaje kwa mfano😅

  • @princessmniga9811
    @princessmniga9811 2 года назад +2

    Kaz nzuri hongera washiriki wote na viongoz

  • @fatumamwinyi1943
    @fatumamwinyi1943 2 года назад +2

    Wameweza mungu awazidishie kipaji zaidi

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 Год назад +1

    Movie nzuri sana, hongereni wahusika

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 2 года назад +1

    Move mzuri

  • @veronicajerome1184
    @veronicajerome1184 Год назад +1

    Wifi kiboko reo hii. Una mkumbuka sakina

  • @rajeshrajesh-lp2oy
    @rajeshrajesh-lp2oy 2 года назад +2

    Asanteni saner 🙏 piaa hongereni kwa kazi nzuri 💙

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 2 года назад +1

    Majuto ni mjukuu pole Sana broo move nzur Sana tena yenye mafunza ❤️❤️❤️❤️👌

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Usiache kuangalia movie zetu nyingine

  • @jeniphapetro2372
    @jeniphapetro2372 2 года назад +2

    asanten san kwa burudani

  • @mishkbmish3969
    @mishkbmish3969 2 года назад +1

    Funzo nzuri sana, I wish ingeendelea

  • @winfridajulius5357
    @winfridajulius5357 2 года назад +1

    Mmakonde leo analia kweli maji yakisha mwagika hayazoleki 😂😂😂

  • @timashee7403
    @timashee7403 2 года назад +1

    Wifi hayo ndo ulikua unayataka kumbe wajua kulia na ww Jinga sana 😂😂😂kimeumana

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hahaha kweli kimeumana

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 5 дней назад

    Nzuri San nawapenda San jaman busati ❤❤❤❤❤

  • @nuratmokiwa1636
    @nuratmokiwa1636 2 года назад +1

    Hongera sana ni funzo kubwa sana

  • @jacqueenlucah1087
    @jacqueenlucah1087 2 года назад +1

    Mawifi niliobarikiwa na mungu ndio kama pili jmn Daaah😢😢

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Eeeeh usinitanie bhana

  • @halimanj8544
    @halimanj8544 2 года назад +1

    Waaau nzuri sana hongereni jamani nawapenda Kwa kazi zenu

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante Mpenzi

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana tunakupenda pia

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana tunakupenda pia

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana

  • @godfreymwaisaka1598
    @godfreymwaisaka1598 2 года назад +1

    Nimejifunza kitu hapa asanteni kwa story yenye mafunzo

  • @marwamura6525
    @marwamura6525 2 года назад +1

    Hongeren sn mnajua balaa

  • @marianfilibert1464
    @marianfilibert1464 2 года назад +1

    Hakika movie tamu jmn

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana 🙏

  • @rehemakhamis8112
    @rehemakhamis8112 2 года назад +1

    movie nzuri inafunza kweli

  • @beatricesanga2662
    @beatricesanga2662 2 года назад +1

    Nzuri...piah inafundisha

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Kujiunga kwenye group letu la WhatsApp
      Bonyeza link itakupeleka 👇👇👇
      chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP

  • @zabibukayla8181
    @zabibukayla8181 2 года назад +1

    Jamani jamani ma wifi kaeni tena mutulie kabisa

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Yani mkae kwa kutulia kabisaaa

  • @mrkomba9312
    @mrkomba9312 2 года назад +1

    Mmetisha sana kari sana

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت 2 месяца назад

    Imetufunza sote jinsia 2 ❤

  • @rabinmaulidy7264
    @rabinmaulidy7264 2 года назад +1

    Big up...kazi ziendeleee

  • @jeanetemenge6658
    @jeanetemenge6658 2 года назад +1

    Jamani hisuti yawifijamani 🥰😂🤣😅

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hahaha mbinguni utapasikia

    • @RehamAlmamari
      @RehamAlmamari 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @najmasaleh5536
    @najmasaleh5536 2 года назад +1

    Ukome wifiii leo sakina nyooo

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Duuu hahaha

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Kujiunga kwenye group letu la WhatsApp
      Bonyeza link itakupeleka 👇👇👇
      chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa684 2 года назад +1

    Nzur sana asanten

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 2 года назад +1

    Filamu zuri hila haya manbo ya machawi haipendezi kabisa mwawapelekea watu kuamini machawi kama ya faa

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Hakuna sehemu tumeonesha kuwa uchawi unafaa tazama Filam mpaka mwisho na utoe Maoni yako

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 2 года назад +1

      @@busatitv si yule dada kwenda kwa mganga ampe midawa yaani muliaza vizuri MashaAllaah hila sehemu za mwisho hizo za kwenda kwa wanganga sio zuri hila hongereni kwa kazi

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Maana alisi ya huyo Dada kwenda kwa Mganga, yeye kamkataa Wifi Mzuri kaenda kuangukia kwa Mtu Mshirikina ambae hakustahili kuwa na Kaka yake

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 5 дней назад

    Episode ya 6 harak jaman tunasubir kwa hamu

  • @didamanyanya4893
    @didamanyanya4893 2 года назад +1

    Kapata kiboko yake kudadeki nawapata vizur pande za dubai hapa tupeni burudani

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana, Tunakupenda pia salimia Watu wote hapo Dubai waambie watazame Busati Tv

  • @irenejoseph8416
    @irenejoseph8416 2 года назад +1

    Muvi hii haina kasoro hata kidogo yaan mnajuwa

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Asante sana kwakweli

  • @zamdasaid7248
    @zamdasaid7248 2 года назад +1

    Congratulations all participants

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Thanks much ❤️

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +1

    Dada kavaa koti LA suti kama mbunge mstaafuu😂😂😂😂
    Sakina oyeeeeeee👌👌👌
    Dada Kilanga komo bhaaa🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️🤷‍♀️

  • @khaihusseyn
    @khaihusseyn 2 года назад +1

    good work

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      🙏🙏🙏 big Boss

  • @salmarashid3492
    @salmarashid3492 2 года назад +1

    Maskini Tola ila funzo maneno y kuambiwa changnya n yako

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      Kabisaaa Maneno ya kuambiwa changanya na yako. Si tola tu ni funzo kwetu sote

  • @peterndambo9446
    @peterndambo9446 2 года назад +1

    swali lagu ni nje bona haina epsode ingine plz... ziko poa sana

  • @princessmniga9811
    @princessmniga9811 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️

    • @busatitv
      @busatitv  2 года назад

      ❣️❣️❣️❣️

  • @abudhabiimarat8622
    @abudhabiimarat8622 Год назад +1

    Mdharu mwiba humchoma🤣🤣

  • @salharashid8437
    @salharashid8437 2 года назад +1

    next💅💋💔

  • @jokhasimba586
    @jokhasimba586 2 года назад +1

    Wifi kma hyu namtia mikwaju.tu.kisha.kama hyo kakaake ananiacha poteleapote

  • @ramlaabdallah8685
    @ramlaabdallah8685 2 года назад +1

    Ina

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 5 дней назад

    Pili pole san😂