Rizzikii ya mtu itabaki Kwa mtu 😢😢mbaya njia yake fupi ,,pole mmakonde lakuambiwaa chunguza pia ,,tupeni kitu kipya mafunzo daima 🥰 Afghanistan twende nalo
Uyu kaka mtu akili amebebewa na nduguye kwn mbn yuwapelekeshwa km kigari kibovu mara sakina akufai nae alubali aya anae mfaa pia afai ssa🙄loooh mawifi mbinguni tutafika hoi sna🤣🤣🤣🤣🤣hongera kwa washirika wte kwa mafunzo yenu mazur🙏
@@busatitv si yule dada kwenda kwa mganga ampe midawa yaani muliaza vizuri MashaAllaah hila sehemu za mwisho hizo za kwenda kwa wanganga sio zuri hila hongereni kwa kazi
Nimeipenda hii piya naombeni muangalie qaswida zangu you tube napatikana kama sheikh twaha machoz
Inshallah Shaikh Twaha
Hongera sana kamanda pambana nimejifunza kitu.
Asante sana
Funzo wanaume muwe na msimamo kweny ndoa zenu nakuacha kukurupuka kuamini maneno ya ndugu pasipo ushahidi matokeo ndio haya unabaki unalia na moyo
Kabisaaaa
Hhhhh !!! Jamani twende na WIFI yetu part 5 Lest gooo !!!! Am from rda if u like comment me here
❤️❤️❤️❤️
Asante sanaaa
Asante na nyii pia
Tayari ya 5
Jaman wifi pili kaaibika kajiumbuw yemwenyewe😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kiukwer mnajua Na pia nimeipenda Na inafubdisha junsi ya kuishi Na mawifi kama pili
Asante Sanaa
Mganga mwisho roho itakutoka sio kwa pumzi hizo🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha Nikupe huyu
Rizzikii ya mtu itabaki Kwa mtu 😢😢mbaya njia yake fupi ,,pole mmakonde lakuambiwaa chunguza pia ,,tupeni kitu kipya mafunzo daima 🥰 Afghanistan twende nalo
Asanteeee
Yarab tujaaliye mawifi wazurii inshaallah
Inshallah
Waganga wa ibiris mashall mara inshallah wapumbavu wakumbwa kwel kuaibisha madin tu
Hahahaha ni kweli
Movie nzuri sana ongeleni nabapenda sana 🙏 😢
Asanteeeeee
Nawapeda nimekuwa wakwanza leo naomba laiki
Hongera sana like zakooo hizoooo ❣️❣️❣️
Ongela mafinzo mazuli sana katika maisha
Asante Sanaa
Hongereni Sana mawifi Wana magubu Sana Mungu atupe ujasili tuzilinde ndoa zetu
Kabisaa Mungu awajaalie msipate mawifi wenye Gubu
Mwisho wa ubaya aubu pili
Ni kweli kabisa
ni.mafunzo.na burudani.nzuri.tena ni.asilia kabisa , ahsanteni.sana tunaweza.kuangalia.hata tukiwa na familia
Asanteee sana
Jamani nimejifunza kweli...hongereni Sana..Allah awazidishie kipawa chenu
Asante sana Msiache kutupa sapot
@@busatitv msijali tupo Kwa ajili yenu
❤️❤️❤️❤️
Asanteni sana kw kazi nzuri pia mapoeo mazuri nawapongezi Crew nzima kuanzia Waigizaji hadi upande wa production Mmetoa vunzo zuri kwa jamii.. 👏👏👌👌
Asante sana Mr Director
achanirudi tena kwa comment wakati mwengine ukipata mwanamke anaye.kujali jua huyo ndie mwanamke nyote ❤️kwazi nzuri
Asante sana Pili kwa Comment nzuri
@@busatitv karibu
Leo ndo nmeimaliza movies hii thanks
Duu ulikuwa huioni?
@@busatitv nilikuwa naipita tu kumbe n movies kali mno
Asante sana humu kuna movie kali sana
Wifi umeumbuka na roho yako mbaya
Hafai hata kidogo
Uyu kaka mtu akili amebebewa na nduguye kwn mbn yuwapelekeshwa km kigari kibovu mara sakina akufai nae alubali aya anae mfaa pia afai ssa🙄loooh mawifi mbinguni tutafika hoi sna🤣🤣🤣🤣🤣hongera kwa washirika wte kwa mafunzo yenu mazur🙏
Kwakweli Mawifi muache gubu
@@busatitv twaachaje kwa mfano😅
Kaz nzuri hongera washiriki wote na viongoz
Asante sana
Wameweza mungu awazidishie kipaji zaidi
Inshallah
Movie nzuri sana, hongereni wahusika
Asante sana
Move mzuri
Asante sana
Wifi kiboko reo hii. Una mkumbuka sakina
Hapo sasa
Asanteni saner 🙏 piaa hongereni kwa kazi nzuri 💙
Asante sana
Majuto ni mjukuu pole Sana broo move nzur Sana tena yenye mafunza ❤️❤️❤️❤️👌
Asante sana
Usiache kuangalia movie zetu nyingine
asanten san kwa burudani
Asanteeee
Funzo nzuri sana, I wish ingeendelea
Weeee
Mmakonde leo analia kweli maji yakisha mwagika hayazoleki 😂😂😂
Hapo sasa
Wifi hayo ndo ulikua unayataka kumbe wajua kulia na ww Jinga sana 😂😂😂kimeumana
Hahaha kweli kimeumana
Nzuri San nawapenda San jaman busati ❤❤❤❤❤
Hongera sana ni funzo kubwa sana
Asante sana
Mawifi niliobarikiwa na mungu ndio kama pili jmn Daaah😢😢
Eeeeh usinitanie bhana
Waaau nzuri sana hongereni jamani nawapenda Kwa kazi zenu
Asante Mpenzi
Asante sana tunakupenda pia
Asante sana tunakupenda pia
Asante sana
Nimejifunza kitu hapa asanteni kwa story yenye mafunzo
Asanteeee
Hongeren sn mnajua balaa
Asanteee sana
Hakika movie tamu jmn
Asante sana 🙏
movie nzuri inafunza kweli
Asante sana
Nzuri...piah inafundisha
Asante sana
Kujiunga kwenye group letu la WhatsApp
Bonyeza link itakupeleka 👇👇👇
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Jamani jamani ma wifi kaeni tena mutulie kabisa
Yani mkae kwa kutulia kabisaaa
Mmetisha sana kari sana
Asante sana
Imetufunza sote jinsia 2 ❤
Big up...kazi ziendeleee
Asanteeee
Jamani hisuti yawifijamani 🥰😂🤣😅
Hahaha mbinguni utapasikia
😂😂😂😂😂
Ukome wifiii leo sakina nyooo
Duuu hahaha
Kujiunga kwenye group letu la WhatsApp
Bonyeza link itakupeleka 👇👇👇
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Nzur sana asanten
Asanteee
Filamu zuri hila haya manbo ya machawi haipendezi kabisa mwawapelekea watu kuamini machawi kama ya faa
Hakuna sehemu tumeonesha kuwa uchawi unafaa tazama Filam mpaka mwisho na utoe Maoni yako
@@busatitv si yule dada kwenda kwa mganga ampe midawa yaani muliaza vizuri MashaAllaah hila sehemu za mwisho hizo za kwenda kwa wanganga sio zuri hila hongereni kwa kazi
Maana alisi ya huyo Dada kwenda kwa Mganga, yeye kamkataa Wifi Mzuri kaenda kuangukia kwa Mtu Mshirikina ambae hakustahili kuwa na Kaka yake
Episode ya 6 harak jaman tunasubir kwa hamu
Kapata kiboko yake kudadeki nawapata vizur pande za dubai hapa tupeni burudani
Asante sana, Tunakupenda pia salimia Watu wote hapo Dubai waambie watazame Busati Tv
Muvi hii haina kasoro hata kidogo yaan mnajuwa
Asante sana kwakweli
Congratulations all participants
Thanks much ❤️
Dada kavaa koti LA suti kama mbunge mstaafuu😂😂😂😂
Sakina oyeeeeeee👌👌👌
Dada Kilanga komo bhaaa🚴♀️🚴♀️🚴♀️🚴♀️🤷♀️
Hahahaha nimecheka kwa sauti
@@busatitv 😂😂😂😂pole
Asanteee
😂😂😂😂😂😂
good work
🙏🙏🙏 big Boss
Maskini Tola ila funzo maneno y kuambiwa changnya n yako
Kabisaaa Maneno ya kuambiwa changanya na yako. Si tola tu ni funzo kwetu sote
swali lagu ni nje bona haina epsode ingine plz... ziko poa sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️
❣️❣️❣️❣️
Mdharu mwiba humchoma🤣🤣
Aswaaaa
next💅💋💔
Tayari 🙏🙏
Wifi kma hyu namtia mikwaju.tu.kisha.kama hyo kakaake ananiacha poteleapote
Utamuweza lkn
Ina
👍
Pili pole san😂