STEVE NYERERE AMLIPUA MSIGWA - "NIMEKUCHUKULIA MKE , HUNA MATUNZO"
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- STEVE NYERERE AMLIPUA MSIGWA - "NIMEKUCHUKULIA MKE , HUNA MATUNZO"
Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa alisimama bungeni jana na kumtaka waziri wa utalii kuangalia sera na namna ya kupata watalii wa nje huku akibeza tukio la wasanii kupanda mlima kilimanjaro na kumtaja Steve Nyerere akiuliza yeye ni nani.
Steve Nyerere anamejitokeza na kumjibu Msigwa...
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co....
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv...
Habari za kugombea demu umezileta ww cha msingi ilitakiwa ujibu hoja zake sio kutueleza mambo ya ukahaba.
Yule kifo Ni mbumbavu tu Hana lolote hyuo msigw wako
Kwana msingwa kaongea rugha gani mbaya
Indeed
😂😂😂😂
Tanzania kuna maigizo
Steve huwezi kuingiza Vita na Mh.msigwa wewe bado Sana ktk kupangua hoja. Zaidi kuwa na Adabu wasanii walio juu Tz NI wale wa comed tuuu.
Shida ya huyu hapa tatizo lake anataka kugombea ubunge iringa kwa hiyo ameshaanza siasa tayari
Wasiovutiwa na bongo movie tujuane hapa
Huna jipya wewe unaongea upumbavu tu.
Huna jipya wewe unaongea upumbavu tu.
☝
@@basilwamba2182 na mi nimo🤣🤣
Hasa mimi
Duuh! Hoja za msigwa Steve kazijibu kitotoooo sana.
Hawez
Dawa zinamchanganyaaa
wewe ndio mpuuzi kabisa kwanza wewe ni msanii wa nini mbona hata sikujui na povu la nini sasa au amekushika mahali husika...hapo umekalia kivuri cha wasanii lakini upo kwa masilahi binafsi.. Msigwa kaongea ukweli tupu...BIG UP MSIGWA
Ignorance is bliss! Nyerere umejidhalilisha vya kutosha,huna busara na wala hukuhitaji kutueleza mambo ya wanawake,unatakiwa kujibu hoja,ni kweli Steve hujulikani kimataifa,ungelijibia hilo na sio mambo ya matusi,lakini pia tafuta wataalamu wa mawasiliano ujifunze namna ya Ku appear mbele ya Media,. Leo umejidhalilisha Sana, you have a Lee way to make it Mr! Comparing to msigwa,he is giant!
steve wewe ni msanii acha umalaya wa kugombea wanawake tafuta mmoja oa acha kuhangaika. mimi sijaona alichokosea msigwa yeye kasema tumieni watu wanaofahamika. asa steve wewe ni msanii gani hapa tanzania labda kukusanya michango katika misiba.
Hamna lolote watu hawachagui msanii tunahitaji vission, NYERERE HAKUNA ANAYEKUJUA USIJIVIMBISHE HAPO HUMUWEZI MSIGWA
Msiba pimbi sana kama ukwenda Shule ukwenda tu aka akanaga hata kazi kazi yake kuunganishia wadau wanawake pumbavu kabisa aka kajamaa
Misiba imepungua dar
Hahahaha
Msigwa fala tu,
Sasa kama hajulikani wewe umemjuaje kama sio undez uo uyo unae mwita mchungaji ndo anakufundisha kuwadharau wengine kweli kila mchungaji na kondoo wake😏😏
Anajulikana misibani huyuuu
Mh dude jifikirie usijivunjie heshima na kazi yako hizo siasa zitakuharibia
Stivu we Fara tu unajikomba sana kwa wenywe hela huwezi kushindana na msigwa kenge we unajulikana bongo tu umenichefua sana dogo
Mimi ni CCM lakini Msigwa alikuwa sahihi nadhan wewe ndio hujaelewa lengo lake...Sasa km ni personal issue Mbona wewe unawajibia wasanii Mzee 😂😂😂
Ifike mahali nchi hii iache kukuza ujinga km huu.
Hawa ndio watu wanaopendwa na ccm
Hats off, Bertold Benedict.
Vyombo vya habari navyo vinakosa weledi sana,, Unaanzaje kupublish habari ya kipuuzi kama hii?? Yaani wote walioongea ni km wametumwa alafu wakashikwa na butwaa waongee nini bogas kbsa
Msigwa hakuwa sahihi kumtaja steve kihivyo
*HIVI PALIKUWA NA HAJA GANI KUJITAMBULISHA KUWA WEWE NI CCM*
*MAMLUKI TU WEWE HEBU REJEA COMMENTS ZAKO NYINGINE KISHA USEME TENA KAMA WEWE NI CCM*
Nyerere we kwa Msigwa bado sana Msigwa tulimwelewa mpaka huku Njombe makete
Nyerere, mimi si mwanasiasa wa chama chochote! Ila suala la utalii kaka wewe anakujua nani kimataifa? Huwezi si calibre yako mzee! Lengo ni utalii wa nje kwanza, wa ndani hauna mapato! Pole kama umekwazika.
Mimi pamoja na kuwa CCM ila msigwa alikuwa sahihi kabisa, tunahitaji kuwa na mikakati kutangaza utalii nje ya nchi zaidi hayo ya mwanamke ni uchokoraa tu
Upoo vizuriii kakaaaa
Wewe sio ccm .msigwa mpumbavu sana
nyerere steven na ss wananchi tumekupuuza kwa kweliiii
Nyie wapuuzi sana hamtaenda mbali kwa namna hii bado mnagombania wanawake nyakati hizi!! Hofyooooooo
Msigwa kwa kweli kakosea.Angemshauli waziri kwamba pamoja na kutumia wasanii wa ndani kuhamasisha utalii was ndani lakini uwatumie watu maarufu wa nnje kuhamasicha utalii was nnje.Lakini kumtaja msanii tens kwa dharau siyo vizuri.
Umeongea point lov
Tena msigwa ndo kakosea sana hakupaswa kusema hayo maneno usimzarau mtu kwan umaarufu n nn ni usenge tu yy n mheshimiwa pili ni mchungaj mbona anaropoka busara haijàtumika kabisa akili za makaratas
Hukuelewa msigwa alichokisema
Hamna Kaz mnaacha kutoa muvie mnaleta umbea ,,uyo Steve ana muvi gan ,sio mpka misibando unamuona ,,
Safi sana kazi Yake ni kukosoa tuu yani na ndio maana mimi sitakuja kuwapenda wapinzani hata siku moja yani HAWANA hoja ya kunishawishi kabisa ijapo kuwa sina Chama ila sijawahi wapenda wapinzani tokea Magu achukue hii Nchi
Nadhani pengine lugha ya Mchungaji Msigwa ndio shida. Ila hata mimi naunga mkono wasanii wetu hawatoshi kuitangaza Tanzania kama kituo cha utalii.
Tatizo la wapinzani ni kukataa kuisadia serikali kwa kufikiri kuwa kuisadiai serikali ni kukosa nafasi ya kwenda Ikulu..! Kwa hiyo siku zote wao ni kushambulia na kukosoa.. lakini ni lini wametoa proposal ili kuisadia serikali ya Uncle Magu, ambayo inawafanyia watanzania mamabo mengi. Hapo ndipo Msigwa alishindwa kuwasilisha hoja vile inavyotakikana.. huwezi kumdharau Steve Nyerere ktk kuhimiza utalii wa ndani. Alichotakiwa kusema sio kumsema kuwa Steve hafai ktk kukuza utalii.. angetoa maoni yake kuwa WAONGEZWE.. na wale watu mashuhuri wanaoweza kuiza Tz nje. lakini kum-belittle.. Steve au wasanii wengine wa Tz! Hiyo ni kujidharau na kuabudu wazungu kuwa eti wao ndio wanweza kukuza utalii hata ule wa ndani.? Ndio maana wanaenda na miswada ya kuichongea Tz nje ili tuwekewe vikwazo.. au tunyimwe visa! Wapinzani wamepoteza direction ktkt Tz.. uchu wa madaraka unawaonyesha walivyo wapumbavu..
Upooo good
Haka kajamaaa hakajielewi anaongea nonesense, anaropoka tuu.
Ila kweli Steven Hapo Kumuelewa msigwa inahitaji Kipaji Siasa Huziwezii
Safi sana vijana wazalendo
Hahaaaaa steve wajumbe walikuweza kumbe walijua kichwan pumba
We kenge maji eti mpuuzi we ndo mpuuzi unaejijua eti nimempiku nimebeba mzigo.kumbe unajua umebeba mzigo.wanao wanawasikia unayosema.njaa mbaya misiba dar imepungua.
flowers ndyo nn point ilikua ni kutangaza utalii kimataifa acha ujinga ww stiv
Tanzania population: est.55mil.Artists:60 mil..WOW..jazba mbaya.
Kasemaje mil.6, sio 60
Hahahw wazungu wanasema when ur over react mind ur words
Haya masuala
Jazbaa na kukurupukaa kipi kibayaa?!?
Err deo umeona eeee.kumbe tz wt wasanii.hahahahaaaa
Aisee we Nyerere ndo mpuuzi no1 huo ugomvi wenu umeingiaje hapo unalete umalaya hadharani na nahc ndo umechochea wenzako wakasilike
Hilo Jina la Nyerere alifute,kwani huyo dogo Hana busara kwa hayo anotamka
Alafu sijui bongo move alitumia vigezo gani kumchagua kua mwenye kiti
Mm huwez kunifananisha na msigwa..,.....
Tatzo ukishakuwa mfupi unakuwa mremavu ko Amna namna sema una akir fupii kama wew una mawazo mapana msanii una face life ...una ubongo wew jalbu la bab ako wew Sana'a ilishakufa saiz kuna waigizaj
Ongea unacho kitaka si kumtusi msingwa au kunakitu unajivunia wew unaonekana siasa badoo wew. Kaka pole
Kijana bado sana umekurupuka haujajipanga yaani maongezi yako yanaonesha kama umeagizwa yaani umezungumza ukafika mwisho alafu ujui namna ya kuendelea tena shule inasaidia sana
Msigwa amekuzidi ujuzi naakili ubateta bongo movie,habari za mwanamke wa sinza tunajua umepaniki na uzushi tuliza mshono huwezitanga utalii wewe sisi tupo arusha tunajua umuhimu wa alichosema msigwa,,,nani anakujua wewe pimbi
2020 msigwa akafungue bucha la mbwa kwao
Msigwa is right...Steve you dont have influence at global level.
Dogo huelew unachoongea na ukuelewa alikuwa anamaansha
Hivi hiki kijamaa kina umri sawa na Polepole au ni ndg mn siyo kwa kukomaa huko💪🔥💉
Steve Nyerere, huna hoja. Wewe huna umaarufu, wowote, wa kuitangazaTanzania kwa hadhi aliyoizungumzia Msigwa. Rwanda wali double watalii, kwa kuweka neno visit Rwanda kwenye Jersey za Arsenal, wewe na wenzako mmeleta, impacts gani?
Huezi anzia nje km ndan hujafanya vzur mm nafikili msigwa kuna kipande alikua sawa isipokua kwenye kubeza kwamba hamna kitu kabisa
Unaongea kama nani na matusi hadharani wakati haya masuala yaliongelewa Bungeni. Huoni unadhalilisha Bunge. Ungepuuza tu kwani kutukana hadharani ni kosa la jinai
Fredrick Mangera ndugu biashara ya utalii ni ngumu sana sana kwa mwafrika hawa wazungu walitangulia.sisi tunavyo weza kufanya ni kama alivofanya rais wetu John pombe magufuli yakuwekeza kwenye miundo mbinu ya mabarabara.usafiri wa meli usafiri wa mabasi ndege hapo tumeweza utalii.wa nje na ndani.bila kusahau amani ya nchi nayo ni mchango mkubwa kwa kuvutia watalii kwa hiyo msigwa hajui biashara ya utalii inavyo endeshwa hiyo biashara ni kama ya mafuta
Msigwa anaifahamj, biashara ya utalii, bro. Na alichoongea kina mantiki, sababu, utalii wa ndani una faida kidoogo sana, sawa na hamna tusidanganyane! utalii tunaotarajia kupata fedha ni wa nje, Waziri awatumie hata akina Samatta, Diamond na hao goats. wa nje tutaona impacts. Sio Steve Nyerere, huyo analipwa ila impacts yake na wenzake hata humu Bongo ni ndogo, hana umaarufu huo, na kama anao pia hana ushawishi huo. Bado Msigwa ana hoja hapo
@Heleina Mwalyoyo Namjua kwa kula hela za rambi rambi, sasa sijui kama huko kwenye utalii kuna misiba ya pundamilia, simba, twiga n.k ili akapige!? hah hah haht tusipotoshe ukweli, kwa agenda zenu za kisiasa
Kwani wee Steven nyerere una fanya gani unakula mataputapu mpumbavu sana
Kama ndiyo mumefanya Steve Nyerere Mwenyekiti wa wasanii Tanzania, Kweli nyote wasanii mtakuwa amkutumia ubongo wenu uyo afai ata kuwa ktk ujumbe wa nyumba kumi
We ndo mpuuzi
Acha uwongo wew nyerere
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu Mpendwa mtumishi wa Mungu na kiongozi wa wote. Baada ya JPM naomba aje Mh. KASSIM MAJALIWA je, wewe umemuona yupi wa kuendeleza mema ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI?
hamna jipya nyiye wasanii Wote mafala 2
Steven nyerere
Jibu hoja za mh.msigwa
Sasa wewe unaanza porojo za ajabu ajabu utafikir hujaenda shule bana.
Msigwa ni kichwa ndani ya bunge na ana heshima kubwa nchini
yeye ni kiongozi was wasanii na ndomahana anawajibia nyie bwana acheni mambo ya ajabu msigwa akuongea vizuli bungeni.
Asante
ongea point broo maswala ya wanawake ni ya nn sasa au ndo umezidiwa
Msingwa ujumbe umemfika stev kapanik
Point kabisa steve, well said brother,
Hapo kachemka,,,
Shule huwa haidanganyi......... If you haven't gone to school lazima utakua mtu wa hovyo hovyo kama haka kajamaa........ Kameongea pointless tupu
Full pointless plus pointless.
HAKA NI KAPUMBVU SANA..
Hata anachoongea hajui ! poyoyo kabisa.
nyerere hauna hoja issue ni kutangaza utalii ila cyo mdem
Shida yako kiki haya tayari ushaipata kiki kupitia mheshimiwa Msigwa...usanii umekushindaa..muhuni wew....
Ujaelewa kilicho maanishwa pumba xna kaka du umeniangushà sana na wewe dude kuwa makin tulikuamin sana kaka dude
Alosikia tupo wachache hapa kuwasemea wasanii milion60 niwaone wafatiliaji..😊😊
We ni mpumbavu sana, hauna ubavu wa kupambana na Msigwa, kakojoe ulale
Stive umechemka Sana, jibu hoja acha kubwabwaja
Usiwajibu wanasiasa walikua ktk majukumu yao wewe mfupi kama korosho funga mdomo wako huo mdomo wako utakuponza 😌😷😷
Mpuuzi sana Steve nyelele.
Steve never we subiria misiba ule rambirambi huwezi mtusi mchungaji utapigwa na mungu msigwa yuko sahihi and usitegemee atakuomba msamaha
Askofu alikua sahihi, steve pumba
Hilo jina la Nyerere hulitendei haki kabisa
Kumbe elimu ni muhimu sana.leo nimeamini haya
Ahaa kumbe UGOMVI WA MWANAMKE unawatoa povu!
Siasa za Tanzania bana.....!
This MP is out 2020 I’m sure 😂😂😂😂 Steve you have spoken the truth my guy ,
Nani kakwambia
Nimekusikia Nyerere
You Joke ! Steve shut up please!
hahaha who told you, we love him and we will vote for him again
Efraim John good luck kid ,
Mbona iyo si mada wew
Tuiombee sana nchi yetu mana ina watu wapuuzi totally completely
Wasanii wamejitoa sana katika michango mbalimbali msigwa kawakosea tuache ushabiki
Ukweli.unauma stop took 😎
Kachokoza nyuki !MTU asiethamini watu wa nchi yake ni MTUMWA.....Hata wa China watalii wengi ni wa China wenyewe utalii wa ndani...Mimi nimekwenda China nimeona.....Wapinzani wao kazi yao kukosowa ....
Watanzania mbona tunaacha mambo ya msingi kwa vitu vya kitoto. Steve kuwa muungwana na uungwana si utumwa. Nguvu nyingi hazijengi.
Bakari Mngazija, I salute you!
Anza na huyo mpumbavu anayejiita mchungaji.. Steve ana kila sababu ya kumweka huyo mshenzi mahala pake.. pa wapumbavu..! yeye anafikiri wacheza Tenis amabao ni wazungu ndio pekee wanaweza wakajenga utalii wa Tz.. anafikiri wazungu kupiga mpira wa tenis ni bure..? Kasahau kuwa kuna utalii wa ndani.. huyo Msigwa ni political hack..!
@@josephgomalo41 *YOU'VE SAID IT ALL, CONGRATS*
Dawa zinamchanganyaaa
Kameekomaa sura hakajui kanalosema ananimalizia mb tu wahi sinza hk.
Hukumuelewa tatizo shule
Nyerere ungemuelewa usingeropoka ujinga wamwanamke
Leoooo! Msigwa apuuzwe. Kishauza heshma yake. Na ampeleke Sugu basi akatangaze utalii.☺☺☺
Wasanii mmevurugwa kifupi nyundo katajwa kama msanii akumtaja kama mzinzi mwenzie mjibu hoja mmekwisha ya msingi filamu hazinunuliwi dansi limekufa pambaneni na hali zenu
Steve wewe ni mwehu kabisa pamoja na huyo dude wako hamjui chochote kuhusiana na hoja ya Mh MSIGWA ila mmejipanga kudharirika hopeless!!
Unashindwa kuongelea masilahi mapana ya nchi unaongea umalaya na uzinzi kwenye media?
Wewe mbona umejikaza sielewi unachokingumza?wew stive nyerere unajigamba upuuzi ungekuwa k aribu yangu ningekupiga ngumi ya uso
alichozungumza msigwa Kijana hujaelewa bwana Tanzania inatakiwa ifanye kama ilivyofanya Uganda kuwa watafute vilabu balani ulaya kutangaza Nchi kwenye moja ya matangazo ya mpira kwenye moja ya jezi zao!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti wabunge wenzake hawamfaham daaa!!! Steve umetisha baba lao
Watu weng wafup mnamatatzo sana😀😀😀😀
asante kaka
hayo mambo ya mwanamke yametoka wapi tena haka kajamaa kasenge sana
Wanaoingiza pesa nyingi ni watalii wanaotaka nchi za nje, kwa hiyo anapendekeza Waziri aweke nguvu kwenye kutangaza vizuri utalii kimataifa ndo ambao wanaingizia pesa nyingi Nchi yetu.Utalii wa ndani ni mzuri ila maslahi yake ni madogo ingawa nao ni muhimu.Msigwa yupo sahihi ila wabongo uelewa wetu ni mdogo mno.
Ukweli unauma kalime una jipya
Msigwa omba rathi omba msamaha haraka sana lau sio ubunge 2020 hautokuwa nao
Anza kuomba radhi ww . nani kakwambia msigwa anashida na ubunge.
Ww amuombe ladhi nani kwauwobupuuzi anaongea Stivu hana akili stivu yy nimshamba tu anatafuta kiki ss watu naakili zetu hatuwezi muunga mkono stivu ni mlopokaji tu
wewe ndiye mpuuzi zaidi...unajikweza wakati huna lolote la maana...wewe ni wa kawaida sanaa tofauti na unavyotaka kuuaminisha umma... wewe umewasaidia nini wana Iringa?mambo ya sinza unayajua mwenyewe... sisi tuache na mbunge wetu....
Mumeonekana nakuzibitika kuwa wasanii watanzania ni bure mawazo yenu bado machanga sana
Wewe steve Nani atakuelewa Mch msigwa umuwezi hata kidogo kasema ukweli wewe achaa wewe
Hao ndio wabunge wanaochaguliwa kwa mihemko.............hawana hoja za msingi kusaidia majimbo yao wao kaz kukosoa tu.......ila bora jiwe kuliko wabunge wa chama cha msigwa
Acha jazba mzee! Jibu hoja
We Steve ni mshenzi sana
We bado boya mbona sion hata watu wakikusupport fala wew
Hahhhhhhh nawe umeickia hii Hapa tumekuja wachache kuwasemea wasanii (million.60) gonga like
We mzee wa rambi rambi una chochote na huyo Asha baraka na dude wote mafala hayo unayoyasema ss hatuyajui na hatuwataki kutangazia utalii hamjasoma kasomeni mm sijawaelewa mnachoenge
Hahaha
iv kazi ya mbunge nikununua madawat.jaman nisaidien kweli uyu komedian
wew ni mpuuz tena ni kichaa wa njaa kali
STEVE NYERERE WE NDIO UNGEANZA KUMPUUZA, HUITAJI KUTUAMBIA TUMPUUZE, UNGEMPUUZA NA SISI TUNGEMPUUZA, WE NAWE NI MPUUZI TU
sasa kama ugomvi wako na mh msingwa niwa mwanamke kwa nini umehusisha wasanii wote? na kama mnaugomvi bas hata hicho ulicho ita walaka hauhusu wasanii wengine bali ni walaka wako! na pia ufahamu kwamba kitendo cha wewe kiingiza habari za kimalaya kwenye mambo ya kitaifa umedharaulika na kujidhalilisha zaidi! maana hapo hakuna hoja yenye mashiko! nafikiri ifike mahari vyombo vya habari muwe mnaangalia watu wa kufanya nao mikutano kupitia hivyo vyombo vyenu! maana kufanya mkutano na mtu kama huyu ni sawa na kujidhalilisha ninyi mwenyewe.
Hoja ya msigwa nikuongeza utalii kwakutumia wasanii wanaye julikana kimataifa sasa Steve anajulikana wapi zaidi ya Dar ata ukija Arusha atumjui wala ana mvuto kama msani ata mikoa mingi tanzania kuna wasanii hawajulikani
Ukweli namuunga mkono msigwa 100% We ropoka tu ila hukumuelewa
jaman maendeleo ni kupenda na kukithamini chako......tuache fitina tukuze uchumi wetu kwa kujali utalii wa ndani. afu tuwathamin wasanii wetu. msigwa ni mtumwa wa wachina.
Ndugu yangu, tanzania hatuna hela, inabd tuwalete ndugu zetu atleast wachangie hela...fedha yetu inathamani ndogo ukilinganisha na doller, YEN, Pound n.k... Haka kastivu kamekurupuka
@@anastaziuscyriacus5415 Stive yupo sahihi kabisa afu sio kutegemea tu watalii kutoka nje, unazani Tanzania hakuna watu wenye pesa ambao wanaweza kutalii, acha ushamba penda chako kwanza Huyo Msigwa nahisi haelewi nini maana ya utalii
Hauna jipya Steve ,tafuta hoja za msingi
Ndipo Nchi tulipo ifikisha maadiri yanazidi kwisha kila siku, imekuwa kila mmoja ni msemaji, mwingine ataita vyombo vya hbr ooooh!! Mimi mtetezi wa Rais kazi kweli.
Tanzania ina wasanii million 60 kulingana na takwimu za Steve 😀😀
Tuna safari ndefu kweli.
wewe kasema 6m 🤣🤣 afu mwisho kasema 60m kwaiyo
60m +6m =66m
@@nasibugunda7927 sikiliza vzr.
Katika yooote aliyoongea wewe umenasa alipokosea tu kusema milioni 60 badala ya milioni 6 mbongo mbongo tu.
@@salummuhija4435 ulipokosea hapo hapo utakosolewa tuu
Hujamwelewa wasanii sio tu watanzania wanawajua hata wa nje ya nje pia. Lkn kigwangala yuko sahihi biashara ni matangazo
🤣🤣🤣🤣Ugomvi wenu wa kugombania kahaba umeufanya wa wasanii wote!!! Una akili sana Steve Nyerere
Yawezekana uthubutu ni mzuri
Yann ww fanya mambo ya bongo movies swala la kujulikana ni huwez kumfikia msigwa
Huwez kujibizana na msigwa wew ndo mpuuz kwelkwel subir lambilambi tu