STEVE NYERERE AMLIPUA MSIGWA - "NIMEKUCHUKULIA MKE , HUNA MATUNZO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • STEVE NYERERE AMLIPUA MSIGWA - "NIMEKUCHUKULIA MKE , HUNA MATUNZO"
    Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa alisimama bungeni jana na kumtaka waziri wa utalii kuangalia sera na namna ya kupata watalii wa nje huku akibeza tukio la wasanii kupanda mlima kilimanjaro na kumtaja Steve Nyerere akiuliza yeye ni nani.
    Steve Nyerere anamejitokeza na kumjibu Msigwa...
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co....
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv...

Комментарии • 820

  • @musawambura1229
    @musawambura1229 4 года назад +47

    Habari za kugombea demu umezileta ww cha msingi ilitakiwa ujibu hoja zake sio kutueleza mambo ya ukahaba.

  • @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
    @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718 4 года назад +33

    Steve huwezi kuingiza Vita na Mh.msigwa wewe bado Sana ktk kupangua hoja. Zaidi kuwa na Adabu wasanii walio juu Tz NI wale wa comed tuuu.

    • @emmanuelmakongoro8228
      @emmanuelmakongoro8228 4 года назад

      Shida ya huyu hapa tatizo lake anataka kugombea ubunge iringa kwa hiyo ameshaanza siasa tayari

  • @erickchande2544
    @erickchande2544 4 года назад +76

    Wasiovutiwa na bongo movie tujuane hapa

  • @sadathahmada9066
    @sadathahmada9066 4 года назад +16

    Duuh! Hoja za msigwa Steve kazijibu kitotoooo sana.

  • @noelkiwanga8089
    @noelkiwanga8089 4 года назад

    wewe ndio mpuuzi kabisa kwanza wewe ni msanii wa nini mbona hata sikujui na povu la nini sasa au amekushika mahali husika...hapo umekalia kivuri cha wasanii lakini upo kwa masilahi binafsi.. Msigwa kaongea ukweli tupu...BIG UP MSIGWA

  • @fredysanga7513
    @fredysanga7513 4 года назад +1

    Ignorance is bliss! Nyerere umejidhalilisha vya kutosha,huna busara na wala hukuhitaji kutueleza mambo ya wanawake,unatakiwa kujibu hoja,ni kweli Steve hujulikani kimataifa,ungelijibia hilo na sio mambo ya matusi,lakini pia tafuta wataalamu wa mawasiliano ujifunze namna ya Ku appear mbele ya Media,. Leo umejidhalilisha Sana, you have a Lee way to make it Mr! Comparing to msigwa,he is giant!

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 4 года назад

    steve wewe ni msanii acha umalaya wa kugombea wanawake tafuta mmoja oa acha kuhangaika. mimi sijaona alichokosea msigwa yeye kasema tumieni watu wanaofahamika. asa steve wewe ni msanii gani hapa tanzania labda kukusanya michango katika misiba.

  • @albertclavery3051
    @albertclavery3051 4 года назад +34

    Hamna lolote watu hawachagui msanii tunahitaji vission, NYERERE HAKUNA ANAYEKUJUA USIJIVIMBISHE HAPO HUMUWEZI MSIGWA

    • @dicksonfadhil7603
      @dicksonfadhil7603 4 года назад

      Msiba pimbi sana kama ukwenda Shule ukwenda tu aka akanaga hata kazi kazi yake kuunganishia wadau wanawake pumbavu kabisa aka kajamaa

    • @robertmagere29
      @robertmagere29 4 года назад

      Misiba imepungua dar
      Hahahaha

    • @qc5clickclick558
      @qc5clickclick558 4 года назад

      Msigwa fala tu,

    • @Kivuruge255
      @Kivuruge255 4 года назад

      Sasa kama hajulikani wewe umemjuaje kama sio undez uo uyo unae mwita mchungaji ndo anakufundisha kuwadharau wengine kweli kila mchungaji na kondoo wake😏😏

    • @happyfiverickaldo4662
      @happyfiverickaldo4662 4 года назад

      Anajulikana misibani huyuuu

  • @sulemanmohammed7133
    @sulemanmohammed7133 4 года назад

    Mh dude jifikirie usijivunjie heshima na kazi yako hizo siasa zitakuharibia

  • @kingansanga4393
    @kingansanga4393 4 года назад

    Stivu we Fara tu unajikomba sana kwa wenywe hela huwezi kushindana na msigwa kenge we unajulikana bongo tu umenichefua sana dogo

  • @bertothegentleman2623
    @bertothegentleman2623 4 года назад +30

    Mimi ni CCM lakini Msigwa alikuwa sahihi nadhan wewe ndio hujaelewa lengo lake...Sasa km ni personal issue Mbona wewe unawajibia wasanii Mzee 😂😂😂
    Ifike mahali nchi hii iache kukuza ujinga km huu.

    • @amedeuschuwa2986
      @amedeuschuwa2986 4 года назад

      Hawa ndio watu wanaopendwa na ccm

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 года назад +1

      Hats off, Bertold Benedict.

    • @bertothegentleman2623
      @bertothegentleman2623 4 года назад

      Vyombo vya habari navyo vinakosa weledi sana,, Unaanzaje kupublish habari ya kipuuzi kama hii?? Yaani wote walioongea ni km wametumwa alafu wakashikwa na butwaa waongee nini bogas kbsa

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 4 года назад

      Msigwa hakuwa sahihi kumtaja steve kihivyo

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 4 года назад

      *HIVI PALIKUWA NA HAJA GANI KUJITAMBULISHA KUWA WEWE NI CCM*
      *MAMLUKI TU WEWE HEBU REJEA COMMENTS ZAKO NYINGINE KISHA USEME TENA KAMA WEWE NI CCM*

  • @madosasanga9424
    @madosasanga9424 4 года назад

    Nyerere we kwa Msigwa bado sana Msigwa tulimwelewa mpaka huku Njombe makete

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 4 года назад +1

    Nyerere, mimi si mwanasiasa wa chama chochote! Ila suala la utalii kaka wewe anakujua nani kimataifa? Huwezi si calibre yako mzee! Lengo ni utalii wa nje kwanza, wa ndani hauna mapato! Pole kama umekwazika.

  • @bestermlwafu3781
    @bestermlwafu3781 4 года назад +26

    Mimi pamoja na kuwa CCM ila msigwa alikuwa sahihi kabisa, tunahitaji kuwa na mikakati kutangaza utalii nje ya nchi zaidi hayo ya mwanamke ni uchokoraa tu

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 4 года назад +1

    nyerere steven na ss wananchi tumekupuuza kwa kweliiii

  • @ramadhanimwalimu6489
    @ramadhanimwalimu6489 4 года назад

    Nyie wapuuzi sana hamtaenda mbali kwa namna hii bado mnagombania wanawake nyakati hizi!! Hofyooooooo

  • @wigengemarcus7711
    @wigengemarcus7711 4 года назад +6

    Msigwa kwa kweli kakosea.Angemshauli waziri kwamba pamoja na kutumia wasanii wa ndani kuhamasisha utalii was ndani lakini uwatumie watu maarufu wa nnje kuhamasicha utalii was nnje.Lakini kumtaja msanii tens kwa dharau siyo vizuri.

    • @rosenginai5523
      @rosenginai5523 4 года назад

      Umeongea point lov

    • @awezaejohn4893
      @awezaejohn4893 4 года назад

      Tena msigwa ndo kakosea sana hakupaswa kusema hayo maneno usimzarau mtu kwan umaarufu n nn ni usenge tu yy n mheshimiwa pili ni mchungaj mbona anaropoka busara haijàtumika kabisa akili za makaratas

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 4 года назад

      Hukuelewa msigwa alichokisema

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 4 года назад +1

    Hamna Kaz mnaacha kutoa muvie mnaleta umbea ,,uyo Steve ana muvi gan ,sio mpka misibando unamuona ,,

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 4 года назад +2

    Safi sana kazi Yake ni kukosoa tuu yani na ndio maana mimi sitakuja kuwapenda wapinzani hata siku moja yani HAWANA hoja ya kunishawishi kabisa ijapo kuwa sina Chama ila sijawahi wapenda wapinzani tokea Magu achukue hii Nchi

  • @davidamani6893
    @davidamani6893 4 года назад +23

    Nadhani pengine lugha ya Mchungaji Msigwa ndio shida. Ila hata mimi naunga mkono wasanii wetu hawatoshi kuitangaza Tanzania kama kituo cha utalii.

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 4 года назад

      Tatizo la wapinzani ni kukataa kuisadia serikali kwa kufikiri kuwa kuisadiai serikali ni kukosa nafasi ya kwenda Ikulu..! Kwa hiyo siku zote wao ni kushambulia na kukosoa.. lakini ni lini wametoa proposal ili kuisadia serikali ya Uncle Magu, ambayo inawafanyia watanzania mamabo mengi. Hapo ndipo Msigwa alishindwa kuwasilisha hoja vile inavyotakikana.. huwezi kumdharau Steve Nyerere ktk kuhimiza utalii wa ndani. Alichotakiwa kusema sio kumsema kuwa Steve hafai ktk kukuza utalii.. angetoa maoni yake kuwa WAONGEZWE.. na wale watu mashuhuri wanaoweza kuiza Tz nje. lakini kum-belittle.. Steve au wasanii wengine wa Tz! Hiyo ni kujidharau na kuabudu wazungu kuwa eti wao ndio wanweza kukuza utalii hata ule wa ndani.? Ndio maana wanaenda na miswada ya kuichongea Tz nje ili tuwekewe vikwazo.. au tunyimwe visa! Wapinzani wamepoteza direction ktkt Tz.. uchu wa madaraka unawaonyesha walivyo wapumbavu..

    • @happyfiverickaldo4662
      @happyfiverickaldo4662 4 года назад

      Upooo good

    • @dannyambita5626
      @dannyambita5626 4 года назад

      Haka kajamaaa hakajielewi anaongea nonesense, anaropoka tuu.

  • @oscarsospeter8034
    @oscarsospeter8034 4 года назад +1

    Ila kweli Steven Hapo Kumuelewa msigwa inahitaji Kipaji Siasa Huziwezii

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад

    Safi sana vijana wazalendo

  • @aminailleme3071
    @aminailleme3071 4 года назад +1

    Hahaaaaa steve wajumbe walikuweza kumbe walijua kichwan pumba

  • @paulmasoli5886
    @paulmasoli5886 4 года назад +19

    We kenge maji eti mpuuzi we ndo mpuuzi unaejijua eti nimempiku nimebeba mzigo.kumbe unajua umebeba mzigo.wanao wanawasikia unayosema.njaa mbaya misiba dar imepungua.

    • @kazembally6032
      @kazembally6032 4 года назад

      flowers ndyo nn point ilikua ni kutangaza utalii kimataifa acha ujinga ww stiv

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 года назад +17

    Tanzania population: est.55mil.Artists:60 mil..WOW..jazba mbaya.

  • @mosesdeogratius6482
    @mosesdeogratius6482 4 года назад +1

    Aisee we Nyerere ndo mpuuzi no1 huo ugomvi wenu umeingiaje hapo unalete umalaya hadharani na nahc ndo umechochea wenzako wakasilike

  • @gabrielchakupira3712
    @gabrielchakupira3712 4 года назад

    Alafu sijui bongo move alitumia vigezo gani kumchagua kua mwenye kiti

  • @lilianraymond3496
    @lilianraymond3496 4 года назад

    Mm huwez kunifananisha na msigwa..,.....

  • @emilysaimon481
    @emilysaimon481 4 года назад

    Tatzo ukishakuwa mfupi unakuwa mremavu ko Amna namna sema una akir fupii kama wew una mawazo mapana msanii una face life ...una ubongo wew jalbu la bab ako wew Sana'a ilishakufa saiz kuna waigizaj

  • @lotamdewa3517
    @lotamdewa3517 4 года назад

    Ongea unacho kitaka si kumtusi msingwa au kunakitu unajivunia wew unaonekana siasa badoo wew. Kaka pole

  • @johnulimbo7376
    @johnulimbo7376 4 года назад

    Kijana bado sana umekurupuka haujajipanga yaani maongezi yako yanaonesha kama umeagizwa yaani umezungumza ukafika mwisho alafu ujui namna ya kuendelea tena shule inasaidia sana

  • @fundimchizi5225
    @fundimchizi5225 4 года назад

    Msigwa amekuzidi ujuzi naakili ubateta bongo movie,habari za mwanamke wa sinza tunajua umepaniki na uzushi tuliza mshono huwezitanga utalii wewe sisi tupo arusha tunajua umuhimu wa alichosema msigwa,,,nani anakujua wewe pimbi

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад +1

    2020 msigwa akafungue bucha la mbwa kwao

  • @fordia1
    @fordia1 4 года назад +6

    Msigwa is right...Steve you dont have influence at global level.

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 4 года назад +5

    Hivi hiki kijamaa kina umri sawa na Polepole au ni ndg mn siyo kwa kukomaa huko💪🔥💉

  • @fredrickmangera9520
    @fredrickmangera9520 4 года назад +23

    Steve Nyerere, huna hoja. Wewe huna umaarufu, wowote, wa kuitangazaTanzania kwa hadhi aliyoizungumzia Msigwa. Rwanda wali double watalii, kwa kuweka neno visit Rwanda kwenye Jersey za Arsenal, wewe na wenzako mmeleta, impacts gani?

    • @mymussept3662
      @mymussept3662 4 года назад +1

      Huezi anzia nje km ndan hujafanya vzur mm nafikili msigwa kuna kipande alikua sawa isipokua kwenye kubeza kwamba hamna kitu kabisa

    • @DPW665
      @DPW665 4 года назад +1

      Unaongea kama nani na matusi hadharani wakati haya masuala yaliongelewa Bungeni. Huoni unadhalilisha Bunge. Ungepuuza tu kwani kutukana hadharani ni kosa la jinai

    • @kipokendirangu2572
      @kipokendirangu2572 4 года назад

      Fredrick Mangera ndugu biashara ya utalii ni ngumu sana sana kwa mwafrika hawa wazungu walitangulia.sisi tunavyo weza kufanya ni kama alivofanya rais wetu John pombe magufuli yakuwekeza kwenye miundo mbinu ya mabarabara.usafiri wa meli usafiri wa mabasi ndege hapo tumeweza utalii.wa nje na ndani.bila kusahau amani ya nchi nayo ni mchango mkubwa kwa kuvutia watalii kwa hiyo msigwa hajui biashara ya utalii inavyo endeshwa hiyo biashara ni kama ya mafuta

    • @fredrickmangera9520
      @fredrickmangera9520 4 года назад

      Msigwa anaifahamj, biashara ya utalii, bro. Na alichoongea kina mantiki, sababu, utalii wa ndani una faida kidoogo sana, sawa na hamna tusidanganyane! utalii tunaotarajia kupata fedha ni wa nje, Waziri awatumie hata akina Samatta, Diamond na hao goats. wa nje tutaona impacts. Sio Steve Nyerere, huyo analipwa ila impacts yake na wenzake hata humu Bongo ni ndogo, hana umaarufu huo, na kama anao pia hana ushawishi huo. Bado Msigwa ana hoja hapo

    • @fredrickmangera9520
      @fredrickmangera9520 4 года назад

      @Heleina Mwalyoyo Namjua kwa kula hela za rambi rambi, sasa sijui kama huko kwenye utalii kuna misiba ya pundamilia, simba, twiga n.k ili akapige!? hah hah haht tusipotoshe ukweli, kwa agenda zenu za kisiasa

  • @dicksonfadhil7603
    @dicksonfadhil7603 4 года назад +1

    Kwani wee Steven nyerere una fanya gani unakula mataputapu mpumbavu sana

  • @robertmwasaga7190
    @robertmwasaga7190 4 года назад

    Kama ndiyo mumefanya Steve Nyerere Mwenyekiti wa wasanii Tanzania, Kweli nyote wasanii mtakuwa amkutumia ubongo wenu uyo afai ata kuwa ktk ujumbe wa nyumba kumi

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 4 года назад +23

    We ndo mpuuzi

  • @lotamdewa3517
    @lotamdewa3517 4 года назад

    Acha uwongo wew nyerere

  • @juliuscharlesmukheben9158
    @juliuscharlesmukheben9158 4 года назад

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu Mpendwa mtumishi wa Mungu na kiongozi wa wote. Baada ya JPM naomba aje Mh. KASSIM MAJALIWA je, wewe umemuona yupi wa kuendeleza mema ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI?

  • @vitalisjohn2980
    @vitalisjohn2980 4 года назад +1

    hamna jipya nyiye wasanii Wote mafala 2

  • @bntrashidi3083
    @bntrashidi3083 4 года назад +11

    Steven nyerere
    Jibu hoja za mh.msigwa
    Sasa wewe unaanza porojo za ajabu ajabu utafikir hujaenda shule bana.
    Msigwa ni kichwa ndani ya bunge na ana heshima kubwa nchini

  • @johnmbise8996
    @johnmbise8996 4 года назад

    ongea point broo maswala ya wanawake ni ya nn sasa au ndo umezidiwa

  • @mlapikauma7660
    @mlapikauma7660 4 года назад +1

    Msingwa ujumbe umemfika stev kapanik

  • @Mike-yg7pb
    @Mike-yg7pb 4 года назад +3

    Point kabisa steve, well said brother,
    Hapo kachemka,,,

  • @kimjongun962
    @kimjongun962 4 года назад +36

    Shule huwa haidanganyi......... If you haven't gone to school lazima utakua mtu wa hovyo hovyo kama haka kajamaa........ Kameongea pointless tupu

  • @mohamedharoub3505
    @mohamedharoub3505 4 года назад

    Shida yako kiki haya tayari ushaipata kiki kupitia mheshimiwa Msigwa...usanii umekushindaa..muhuni wew....

  • @hamisipande4370
    @hamisipande4370 4 года назад

    Ujaelewa kilicho maanishwa pumba xna kaka du umeniangushà sana na wewe dude kuwa makin tulikuamin sana kaka dude

  • @joelmlavi400
    @joelmlavi400 4 года назад

    Alosikia tupo wachache hapa kuwasemea wasanii milion60 niwaone wafatiliaji..😊😊

  • @ernestkashunja1514
    @ernestkashunja1514 4 года назад

    We ni mpumbavu sana, hauna ubavu wa kupambana na Msigwa, kakojoe ulale

  • @abubakarmudir1147
    @abubakarmudir1147 4 года назад

    Stive umechemka Sana, jibu hoja acha kubwabwaja

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 года назад +16

    Usiwajibu wanasiasa walikua ktk majukumu yao wewe mfupi kama korosho funga mdomo wako huo mdomo wako utakuponza 😌😷😷

  • @magerebudodi8471
    @magerebudodi8471 4 года назад

    Mpuuzi sana Steve nyelele.

  • @samwelshao8449
    @samwelshao8449 4 года назад

    Steve never we subiria misiba ule rambirambi huwezi mtusi mchungaji utapigwa na mungu msigwa yuko sahihi and usitegemee atakuomba msamaha

  • @mundhirsleyum4413
    @mundhirsleyum4413 4 года назад +4

    Askofu alikua sahihi, steve pumba

  • @erastomatimbwi3573
    @erastomatimbwi3573 4 года назад +2

    Hilo jina la Nyerere hulitendei haki kabisa

  • @davidnicholaus5304
    @davidnicholaus5304 4 года назад +1

    Kumbe elimu ni muhimu sana.leo nimeamini haya

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 4 года назад +1

    Ahaa kumbe UGOMVI WA MWANAMKE unawatoa povu!
    Siasa za Tanzania bana.....!

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 года назад +11

    This MP is out 2020 I’m sure 😂😂😂😂 Steve you have spoken the truth my guy ,

  • @lotamdewa3517
    @lotamdewa3517 4 года назад

    Mbona iyo si mada wew

  • @ndesele0075
    @ndesele0075 4 года назад

    Tuiombee sana nchi yetu mana ina watu wapuuzi totally completely

  • @manenolugome934
    @manenolugome934 4 года назад

    Wasanii wamejitoa sana katika michango mbalimbali msigwa kawakosea tuache ushabiki

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 года назад

    Ukweli.unauma stop took 😎

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 4 года назад +6

    Kachokoza nyuki !MTU asiethamini watu wa nchi yake ni MTUMWA.....Hata wa China watalii wengi ni wa China wenyewe utalii wa ndani...Mimi nimekwenda China nimeona.....Wapinzani wao kazi yao kukosowa ....

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 года назад +31

    Watanzania mbona tunaacha mambo ya msingi kwa vitu vya kitoto. Steve kuwa muungwana na uungwana si utumwa. Nguvu nyingi hazijengi.

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 года назад

      Bakari Mngazija, I salute you!

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 4 года назад +1

      Anza na huyo mpumbavu anayejiita mchungaji.. Steve ana kila sababu ya kumweka huyo mshenzi mahala pake.. pa wapumbavu..! yeye anafikiri wacheza Tenis amabao ni wazungu ndio pekee wanaweza wakajenga utalii wa Tz.. anafikiri wazungu kupiga mpira wa tenis ni bure..? Kasahau kuwa kuna utalii wa ndani.. huyo Msigwa ni political hack..!

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 4 года назад

      @@josephgomalo41 *YOU'VE SAID IT ALL, CONGRATS*

    • @happyfiverickaldo4662
      @happyfiverickaldo4662 4 года назад

      Dawa zinamchanganyaaa

    • @lucyshula5669
      @lucyshula5669 4 года назад

      Kameekomaa sura hakajui kanalosema ananimalizia mb tu wahi sinza hk.

  • @laumbwana2681
    @laumbwana2681 4 года назад

    Hukumuelewa tatizo shule
    Nyerere ungemuelewa usingeropoka ujinga wamwanamke

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 4 года назад

    Leoooo! Msigwa apuuzwe. Kishauza heshma yake. Na ampeleke Sugu basi akatangaze utalii.☺☺☺

  • @rehemadongo1570
    @rehemadongo1570 4 года назад +1

    Wasanii mmevurugwa kifupi nyundo katajwa kama msanii akumtaja kama mzinzi mwenzie mjibu hoja mmekwisha ya msingi filamu hazinunuliwi dansi limekufa pambaneni na hali zenu

    • @herymbilinyi2032
      @herymbilinyi2032 4 года назад

      Steve wewe ni mwehu kabisa pamoja na huyo dude wako hamjui chochote kuhusiana na hoja ya Mh MSIGWA ila mmejipanga kudharirika hopeless!!

  • @manenojohn3800
    @manenojohn3800 4 года назад +9

    Unashindwa kuongelea masilahi mapana ya nchi unaongea umalaya na uzinzi kwenye media?

  • @hamisiadam5698
    @hamisiadam5698 4 года назад

    Wewe mbona umejikaza sielewi unachokingumza?wew stive nyerere unajigamba upuuzi ungekuwa k aribu yangu ningekupiga ngumi ya uso

  • @dominicmsunuka4476
    @dominicmsunuka4476 4 года назад +2

    alichozungumza msigwa Kijana hujaelewa bwana Tanzania inatakiwa ifanye kama ilivyofanya Uganda kuwa watafute vilabu balani ulaya kutangaza Nchi kwenye moja ya matangazo ya mpira kwenye moja ya jezi zao!!!

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti wabunge wenzake hawamfaham daaa!!! Steve umetisha baba lao

  • @abdulshabani4277
    @abdulshabani4277 4 года назад +6

    Watu weng wafup mnamatatzo sana😀😀😀😀

    • @gift-AA
      @gift-AA 4 года назад

      asante kaka

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 года назад +1

    hayo mambo ya mwanamke yametoka wapi tena haka kajamaa kasenge sana

  • @jumannekatalambula4302
    @jumannekatalambula4302 4 года назад

    Wanaoingiza pesa nyingi ni watalii wanaotaka nchi za nje, kwa hiyo anapendekeza Waziri aweke nguvu kwenye kutangaza vizuri utalii kimataifa ndo ambao wanaingizia pesa nyingi Nchi yetu.Utalii wa ndani ni mzuri ila maslahi yake ni madogo ingawa nao ni muhimu.Msigwa yupo sahihi ila wabongo uelewa wetu ni mdogo mno.

  • @saidilituli8510
    @saidilituli8510 4 года назад

    Ukweli unauma kalime una jipya

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 4 года назад +3

    Msigwa omba rathi omba msamaha haraka sana lau sio ubunge 2020 hautokuwa nao

    • @mwamvuasalumu9062
      @mwamvuasalumu9062 4 года назад

      Anza kuomba radhi ww . nani kakwambia msigwa anashida na ubunge.

    • @ochudanga5955
      @ochudanga5955 4 года назад

      Ww amuombe ladhi nani kwauwobupuuzi anaongea Stivu hana akili stivu yy nimshamba tu anatafuta kiki ss watu naakili zetu hatuwezi muunga mkono stivu ni mlopokaji tu

  • @christianmsigwa7701
    @christianmsigwa7701 4 года назад +2

    wewe ndiye mpuuzi zaidi...unajikweza wakati huna lolote la maana...wewe ni wa kawaida sanaa tofauti na unavyotaka kuuaminisha umma... wewe umewasaidia nini wana Iringa?mambo ya sinza unayajua mwenyewe... sisi tuache na mbunge wetu....

  • @robertmwasaga7190
    @robertmwasaga7190 4 года назад

    Mumeonekana nakuzibitika kuwa wasanii watanzania ni bure mawazo yenu bado machanga sana

  • @mwajejasson6995
    @mwajejasson6995 4 года назад +8

    Wewe steve Nani atakuelewa Mch msigwa umuwezi hata kidogo kasema ukweli wewe achaa wewe

  • @rajabmwanansoga8430
    @rajabmwanansoga8430 4 года назад

    Hao ndio wabunge wanaochaguliwa kwa mihemko.............hawana hoja za msingi kusaidia majimbo yao wao kaz kukosoa tu.......ila bora jiwe kuliko wabunge wa chama cha msigwa

  • @emanuelmathew3067
    @emanuelmathew3067 4 года назад

    Acha jazba mzee! Jibu hoja

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 4 года назад +3

    We Steve ni mshenzi sana

  • @officialkingpop2040
    @officialkingpop2040 4 года назад

    We bado boya mbona sion hata watu wakikusupport fala wew

  • @qassimislam5291
    @qassimislam5291 4 года назад +5

    Hahhhhhhh nawe umeickia hii Hapa tumekuja wachache kuwasemea wasanii (million.60) gonga like

  • @allysinkala8482
    @allysinkala8482 4 года назад +12

    We mzee wa rambi rambi una chochote na huyo Asha baraka na dude wote mafala hayo unayoyasema ss hatuyajui na hatuwataki kutangazia utalii hamjasoma kasomeni mm sijawaelewa mnachoenge

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 года назад

      Hahaha

    • @kazembally6032
      @kazembally6032 4 года назад

      iv kazi ya mbunge nikununua madawat.jaman nisaidien kweli uyu komedian

  • @masanjaelias5829
    @masanjaelias5829 4 года назад

    wew ni mpuuz tena ni kichaa wa njaa kali

  • @cryptoroyaltour
    @cryptoroyaltour 4 года назад +7

    STEVE NYERERE WE NDIO UNGEANZA KUMPUUZA, HUITAJI KUTUAMBIA TUMPUUZE, UNGEMPUUZA NA SISI TUNGEMPUUZA, WE NAWE NI MPUUZI TU

  • @uwezomayonko5815
    @uwezomayonko5815 4 года назад

    sasa kama ugomvi wako na mh msingwa niwa mwanamke kwa nini umehusisha wasanii wote? na kama mnaugomvi bas hata hicho ulicho ita walaka hauhusu wasanii wengine bali ni walaka wako! na pia ufahamu kwamba kitendo cha wewe kiingiza habari za kimalaya kwenye mambo ya kitaifa umedharaulika na kujidhalilisha zaidi! maana hapo hakuna hoja yenye mashiko! nafikiri ifike mahari vyombo vya habari muwe mnaangalia watu wa kufanya nao mikutano kupitia hivyo vyombo vyenu! maana kufanya mkutano na mtu kama huyu ni sawa na kujidhalilisha ninyi mwenyewe.

  • @robertmwasaga7190
    @robertmwasaga7190 4 года назад

    Hoja ya msigwa nikuongeza utalii kwakutumia wasanii wanaye julikana kimataifa sasa Steve anajulikana wapi zaidi ya Dar ata ukija Arusha atumjui wala ana mvuto kama msani ata mikoa mingi tanzania kuna wasanii hawajulikani

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 4 года назад +4

    Ukweli namuunga mkono msigwa 100% We ropoka tu ila hukumuelewa

  • @somekekibandiko8281
    @somekekibandiko8281 4 года назад +6

    jaman maendeleo ni kupenda na kukithamini chako......tuache fitina tukuze uchumi wetu kwa kujali utalii wa ndani. afu tuwathamin wasanii wetu. msigwa ni mtumwa wa wachina.

    • @anastaziuscyriacus5415
      @anastaziuscyriacus5415 4 года назад +1

      Ndugu yangu, tanzania hatuna hela, inabd tuwalete ndugu zetu atleast wachangie hela...fedha yetu inathamani ndogo ukilinganisha na doller, YEN, Pound n.k... Haka kastivu kamekurupuka

    • @patrickmashauri7045
      @patrickmashauri7045 4 года назад

      @@anastaziuscyriacus5415 Stive yupo sahihi kabisa afu sio kutegemea tu watalii kutoka nje, unazani Tanzania hakuna watu wenye pesa ambao wanaweza kutalii, acha ushamba penda chako kwanza Huyo Msigwa nahisi haelewi nini maana ya utalii

  • @fredriquechale6410
    @fredriquechale6410 4 года назад

    Hauna jipya Steve ,tafuta hoja za msingi

  • @emmanuelkilindu9075
    @emmanuelkilindu9075 4 года назад +5

    Ndipo Nchi tulipo ifikisha maadiri yanazidi kwisha kila siku, imekuwa kila mmoja ni msemaji, mwingine ataita vyombo vya hbr ooooh!! Mimi mtetezi wa Rais kazi kweli.

  • @eliezakalaita7433
    @eliezakalaita7433 4 года назад +6

    Tanzania ina wasanii million 60 kulingana na takwimu za Steve 😀😀
    Tuna safari ndefu kweli.

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 4 года назад

      wewe kasema 6m 🤣🤣 afu mwisho kasema 60m kwaiyo
      60m +6m =66m

    • @eliezakalaita7433
      @eliezakalaita7433 4 года назад

      @@nasibugunda7927 sikiliza vzr.

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 4 года назад

      Katika yooote aliyoongea wewe umenasa alipokosea tu kusema milioni 60 badala ya milioni 6 mbongo mbongo tu.

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 4 года назад

      @@salummuhija4435 ulipokosea hapo hapo utakosolewa tuu

    • @restitutamelchiades902
      @restitutamelchiades902 4 года назад

      Hujamwelewa wasanii sio tu watanzania wanawajua hata wa nje ya nje pia. Lkn kigwangala yuko sahihi biashara ni matangazo

  • @bukheribukheri798
    @bukheribukheri798 4 года назад +6

    🤣🤣🤣🤣Ugomvi wenu wa kugombania kahaba umeufanya wa wasanii wote!!! Una akili sana Steve Nyerere

  • @graceuha6177
    @graceuha6177 4 года назад

    Yawezekana uthubutu ni mzuri

  • @omarymbalinga8534
    @omarymbalinga8534 4 года назад

    Yann ww fanya mambo ya bongo movies swala la kujulikana ni huwez kumfikia msigwa

  • @kafwimbitv4541
    @kafwimbitv4541 4 года назад +3

    Huwez kujibizana na msigwa wew ndo mpuuz kwelkwel subir lambilambi tu