MWIJAKU WA KENYA GENZ WAMEIHARIBU KENYA HAKUNA AMANI TUNATAMANI KUJA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #bongo24 #diamondplatnumz #harmonize

Комментарии • 18

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 День назад +3

    Karibu jamaa yetu uwa tunakufatiria sana uko vizuri sana

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 День назад +2

    Waa Africa sisi 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 День назад +2

    SAFI KAKA UNAONGEA KISWAHILI KIZURI PIA UNASEMA UKWELI

  • @deejeydaev
    @deejeydaev День назад +2

    Confidence 100%

  • @samirihassan893
    @samirihassan893 День назад +2

    Chawa kama chawa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 День назад +1

    Kazi ya huyu jamaa ni kubuludisha Kwa maneno tunakupenda sana karubu Tz 🇹🇿

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq День назад

      Acha basi kuharibu lugha yetu I say.
      " Kubuludisha" ndio nini?

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 День назад

    Kitanda usichokilalia............. kooh kooh🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 День назад

    Kihere here😂

  • @biutamusic1277
    @biutamusic1277 9 часов назад

    chawa siku zote ni chawa ataenekeza uchawa atakama nchi inauzwa atakama hali ya wakenya ni mbaya, yeye atajali tu maokoto yake💔. Ni vizuri umeenda nchi ya machawa fanya uchawa huko apa kenya tunarekebisha nchi mbwa ww

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin День назад

    Idd Amin ametua bongo🤣🤣🤣🤣

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ День назад

    Sai yuko tz anadiss Kenya akirudi Kenya anadiss tz kiazi sana uyu 😂

  • @suleboytv5853
    @suleboytv5853 День назад

    Huku kenya wewe na krg hatu watambui, utabaki kudanganya hao wabongo.

  • @presenternathan9490
    @presenternathan9490 День назад

    Hana lolote huyo ni mdomo Tu anayo but he is nothing here in Kenya

  • @presenternathan9490
    @presenternathan9490 День назад

    Wewe bonga ufala kuhusu Gen z na usifu Tu ..Kenya utarudi Tu na tutapita na wewe