Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

RAIS DKT.MAGUFULI ASAFIRI KWA KUTUMIA NDEGE BOEING 787-8 DREAM LINER KUEKEA MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 авг 2018
  • Mapema leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli amesafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali kwa lengo la kuimarisha shirika hilo, na akiwa ndani ya ndege abiria waliosafiri nae kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza wamemshangilia na kumpongeza kwa juhudi zake za kuifufua ATCL na wamemuombea dua

Комментарии • 69

  • @binurarassi8156
    @binurarassi8156 6 лет назад +15

    Raha tupu humo ndani ya Ndege, hongera kwa waliomuombea Dua Rais wetu Magufuli, Ndio mjue kwamba Rais tumepata, Mungu amlinde Na kumzidishia hekima.

  • @dominicponsian4360
    @dominicponsian4360 3 года назад +18

    Tanzania is in tears
    Our hearts shall always cherish your life until forever ends

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад +12

    Alikuwa Kipenzi cha Watu, Mwenyezi Mungu akurehemu na kukuweka Mahali Pema Peponi Mh Magufuli, Aamiin.

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 года назад +17

    Bado sijaona kama WEWE ! Bado Sana ! Pumzika kwa amani tu Rais wangu JPM

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      kafanya nini zaidi ambacho unaona hakuna mwingine wa kufananisha nae? kununua bombadire, reli ya kisiasa na bwawa la umeme??! kwani hayo yote kafanya pesa katoka mifukoni mwake? hizo pesa ni zetu watanzania wote ikiwemo wewe na hadi sasa katuachia madeni lukuki kutoka kwa aliowaita mabeberu tunalipa Polepole acha uchawa usio kuwa na maana kusifia mtu wakati uhalisia ni kwamba hizo ndege umenunua wewe na hayo maendleo yote umefanya wewe pamoja na watanzania wenzio wote pamoja na kuwa hizo bombadire watanzania walio wengi hawazipandi lkn kama angetuboreshea barabara za kiwango cha lami mpka vijijini maji na elimu bora tungepiga hatua kubwa ya maendeeo site kwa pamoja kuliko hivi sasa wachache ndio wananufaika

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 года назад +8

    Rahaa sana MUNGU iweke roho ya babayetu JPM peponi.mwanga wa milele umwangazie na raha za milele umpatie AMINA

  • @leskarlmollelmollel4805
    @leskarlmollelmollel4805 Год назад +5

    Ilikuwa mtu wa watu,mungu akuweke mahali pema peponi,🙏

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 2 года назад +4

    Kwa kazi kazi 💯👍 kazi We miss you always JPM bulldozer Tanzania..

  • @paulofesto4948
    @paulofesto4948 6 лет назад +9

    Rais Jpm ni mtu wa watu hongera sana

  • @kijanaa
    @kijanaa 4 года назад +5

    Vyema sana!. This is a definition of cutting costs!

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 3 года назад +9

    Where are you Magufuli, we wil miss you sana, and we still crying of your absent,,,, RIP

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 7 месяцев назад

      To me😭😭😭

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 3 года назад +4

    Dah mungu tulikosea wapi sisi watanzania

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 2 года назад +2

    President of Tanzania 🇹🇿 ❤ Magufuli no one like you

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 6 лет назад +5

    Raha sana kusalimiwa na Rais

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 3 года назад +4

    This is why we cry

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад +2

    Hadi unaskia mwili unasisimka alikua kiongozi jasiri mzalendo alithamini wananchi wake

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Год назад +1

    Mwenyezi MUNGU akuweke mahali pema peponi. JPM ulikuwa mtu wa watu sana 😭😭😭😭😭

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Год назад +1

    Nice.

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 Год назад +2

    Heart Warming

  • @mohameddias5536
    @mohameddias5536 5 лет назад +3

    I love this president

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 3 года назад +2

    TANZANIA IN LOVE

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад +1

    Hvi ndege zetu zipo wapii arzo nunua RAIS wetu magufuli mbo na hata angani hatuzioni au wameuza,,

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 Год назад +3

    Naamini huko uliko unawaongoza malaika polepole, yaan Kila mtu alikuwa anampenda, R I P uncle

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 3 года назад +1

    Love you mzee...

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 4 года назад +3

    Hata Raisi wa Ethiopia 🇪🇹 alisha wahi kusafiri na ndege ya abiria ya “Ethiopian Airline”, na abiria hawaku amini , wali shangaa sana!

  • @bahatimohamedi8950
    @bahatimohamedi8950 3 года назад +2

    Magufuli kanyanga twende 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +5

    DUDE KUBWAA LAKINI LIMEJAA KWELI MAGU UNA NYOTA SANA

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze Месяц назад

      upendo ndio kila kitu kwenye hi dunia ishi na wtu wa khali ya chini ndio wenye mapenzi ya dhati

  • @MultiHeriel
    @MultiHeriel 6 лет назад +1

    Brilliant

  • @bahatimohamedi8950
    @bahatimohamedi8950 3 года назад +1

    Magufuli baba laoooooooooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 Год назад

    Nitakumbuka daima

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Год назад +1

    Magufuli alipendwa Sana na watanzania asimia 90

  • @lusatomichael7973
    @lusatomichael7973 Год назад

    My president

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni35 6 лет назад +1

    Safi sanaaaaa.

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 Год назад

    Hadi laha jaman

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 2 года назад +1

    Rip daddy

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад

    Safi sana

  • @moi_tz_999
    @moi_tz_999 6 лет назад

    Good Sir

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 года назад +1

    Sijaona kama JPM bado Sana sijaona Hata aliefikia robo ya JPM bado !

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 6 лет назад +2

    Asante san raisi wetu kwa upendo mkubwa san kwetu ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumzidishia upendo mkubwa kwetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 года назад +2

    Nimeshindwa kuyazuia machozi kwa video hii.

  • @yahayamaulana1561
    @yahayamaulana1561 2 года назад +1

    Mafisadi sasa yanafurahisana kuondoka kwako uliyekua unaukemea ufisadi tenasasa wanazidi kujaza vituo vyakujaza mafuta yalemafisadi

  • @dorismwenda7646
    @dorismwenda7646 Год назад

    magufuli lala salama mwendo umeumaliza. rip our beloved president

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 11 месяцев назад

    amesafiri ndege ya abiria na abiria wa kawaida😊

  • @wakalafundi4387
    @wakalafundi4387 2 года назад

    Daaaaa kwel inaumiza Sana lkn

  • @rukiasalum7628
    @rukiasalum7628 Год назад

    Masikini.rais wangu machozi machozi yananitoka sijuwi sijuwi nitakusahsu lini kipenzi changu rais wangu

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад

    Daah haki utanitoa machozi siku zote mpaka kwenye uzee wangu JPM 😭😭😭 MUNGU hivi imetokea je Kwa mfano?? Daah

  • @bennie7239
    @bennie7239 Год назад

    😢😢😢

  • @bakarinassoro5513
    @bakarinassoro5513 Год назад

    Rip

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 6 месяцев назад

    Rest in peace JPM

  • @0763206954
    @0763206954 2 года назад

    Dah! Eee Mungu kwanin umeruhusu kifo kwa mtu huyu, kwanin uliacha watesi wake wasimam juu yake😭😭nataman nikuamuru usimame kinyume na mipango yao tena uwaibishe na kuwafedhehesh kabs, Eee Mungu wa Ibrahim embu fany jambo tafadhar 🙏🏿🙏🏿

  • @asnaaali3264
    @asnaaali3264 Год назад

    Kila alipokua anaingia panakuwa na furaha
    Sijui kama atatoka mwenye upendo kama huyu

  • @nusaania2950
    @nusaania2950 Год назад

    Mama anaupiga mwingi

  • @sm_155
    @sm_155 2 года назад

    Mtu wa watu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 года назад

    Ht km. Ww HD Dunia inapinduka

  • @husseindhalla1187
    @husseindhalla1187 Год назад

    Innalillaah wainnaa ilaihi Raajiuun

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад

    Bado tunakukumbuka

  • @halimahassani8455
    @halimahassani8455 Год назад

    Nime jikuta nalia t

  • @safinashamshama4198
    @safinashamshama4198 2 года назад

    HATA MOBUTU SESEKO ALISHANGILIWA SANA PAMOJA NASHIDA ZOTE NA UKATILI ALIOKUWA ANAWAFANYIA WAKONGO LAKINI ALITUKUZWA SANA, UNAJUA DIKTETA YOYOTE DUNIANI ANATENGENEZA AINA YA KUWADHIBITI WATU WAKE ILI WASIMCHUKIE AU KUMUUA, HUJIFANYA KUWAPENDA SANA KAMA RAIS BOKASA ALIYEONA URAIS HAUNA THAMANI TENA AKAAMUA KUJIITA MFALME