Chuo cha CBE wameyazungumza haya baada ya kuripotiwa kwa tuhuma za ufisadi chuoni hapo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 14

  • @rosemengo8348
    @rosemengo8348 8 лет назад +1

    safi professor.watu kila kitu wanazani ni siasa.hakuna siasa professor mjema kuja cbe ni kama magukufuri kuwa rais wa tanzania,,mjema kabadilisha kila kitu cbe,majipu yametumbuliwa sasa yanaandika habari habari za uongo kwa magazeti ona sasa na nyie waandishi mmeponzwa mmeshakuwa majipu kinachofwata sasa ni kutumbuliwa kwa gazeti la DIRA.HABARI MNAYOOOO

  • @gersonmwiga1162
    @gersonmwiga1162 8 лет назад

    mwandishi kakurupuka, Professor Mjema anatoa evidence za surplus ya chuo na namna gan alikikuta na deficit pia CAG na PPRA report ni evidence tosha ktk auditing

  • @webpeter3460
    @webpeter3460 8 лет назад

    Sio hafai huyo mwandishi, mimi naona kuna jambo hapo kwa sababu huyo mwandishi siyo kichaa au kakurupuka.

  • @alleyramadanyusuph7765
    @alleyramadanyusuph7765 8 лет назад

    Mimi ndio maana siwaamini hawa makanjanja Wa Tanzania afadhali niangalie pornography au CNN,CBC,BBC,MNCBC,RT,AL JAZEERA

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 8 лет назад

    kwanini uongozi wa CBE usimshitaki mtu kama huyo hafai kwenye jamii anachafua

    • @jonathannkwabi2420
      @jonathannkwabi2420 8 лет назад

      Kweli kabisa, huyu mwandishi na mhariri wachukuliwe hatua.

  • @kilagane183
    @kilagane183 8 лет назад

    mzee anaongea kwa waxwax sana, hapo kuna jipu limeiva tayar haha

    • @jonathannkwabi2420
      @jonathannkwabi2420 8 лет назад

      Wewe angalia hoja za msingi sio poyoyo! Wasiwasi umeupimaje? Kama huna cha kucomment kaa kimya!

    • @jonathannkwabi2420
      @jonathannkwabi2420 8 лет назад

      Mwandishi kakurupuka mchezo wote ninaufahamu. Mwandishi amepewa rushwa na watu wanaotaka kumchafua Prof. Time will tell!

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 8 лет назад

    mwaandishi wa bongo wana miemko