Mbunge Aliyepiga Sarakasi Awaka Kuwa Wizara ya Ujenzi Inadanganya, Asema Atazuia Bajeti Isipite

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Gregory Massay ameoneshwa kukasirishwa na Wizara ya Ujenzi kutokutimiza ahadi ya kujenga barabara ya lami katika jimbo lake. Akichangia katika mjadala kuhusu Wizara ya Ujenzi, Mbunge Flatei ametishia kuipa misukosuko bajeti hiyo kupita kama Waziri hata toa msimamo unaoeleweka.
    Bunge la Kumi na Mbili Mkutano wa 15 Kikao cha 36, Mei 29, 2024

Комментарии •