Kumbuka Mama aliaminiwa na mtangulizi wake. Ana uzoefu wa kutosha. Yeye ni mwanasiasa mahiri, jasiri na mchapakazi. Tumpe nafasi ya kutuongoza, atatuvusha,,,
@@j.c.maxima816 kuwa mwanasiasa ni tofauti na kuwa kiongozi. JPM hakuwa mwanasiasa mahiri lakini alikua kiongozi bora. Huyu mama mvivu sana,hawezi kujituma. JPM alikua akimsukuma tu. Na tatizo la uvivu alikua nalo Mzee Mwinyi na Kikwete pia. Marais wachangamfu wa Tanzania Mkapa, JPM na Nyerere. Kama Kenya, Uhuru mvivu na Kibaki pia alikua mvivu.
Wawekezaji wezi wameshakuja sasa tulieni muone mziki. Viongozi wa chini hawa uwa wanatenda haki kulingana na speed ya anae waongoza vinginevyo tutashuhudia mengi.
Tanzanians are a great people. JPM was not the only man in this country. Mama Samia anaweza! And she's concerned with the people's issues as JPM was... or a lot more! Msisahau, yeye ni Mama ! Nani kama Mama!?
Sasa wakimkumbuka kuna kosa gani ??? Mbona Mwl Nyerere anakumbukwa ?? Ukifanya mema lazima ukumbukwe. Haya majizi yameanza kuja kwa jina la wawekezaji.. JPM lazima tutamkumbuka sana. Labda uwe mwizi ndio utafurai.
@@kaundasutikaunda7769 Zama za JPM zishapita. Tutamuenzi kwa utendaji kazi na nidhamu serikalini. Lakini hatutaomboleza milele! Lazima tusonge mbele! Na Mama Samia tumuamini na kumuombea. Kazi iendelee...
@@j.c.maxima816 ni kweli zimeisha na hatuna budi kumuombea Mama ali aendeleze yale mazuri na kuleta maono yake. Wasiwasi wa watu ni kuepuka yale yaliotokea nyuma baada ya Mwl Nyerere kukabizi kijiti kwa alie mfuata. Tanzania tulipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo ili ametuonyesha kimatendo JPM ndio maana ataendelea kuwa mioyoni mwetu. Mama tutamjua baada ya miezi 6 .
Baada ya JPM kufariki, niliandika hivi "NYANI ANARUDI UTUMWANI" Sasa nahis maneno yangu yametimia. Tumeanza kurudi utumwani hata mwaka haujaisha. Sasa nchi imegeuka kuwa ya WAWEKEZAJI na MATAJIRI. Mwananchi wa kawaida anaanza kuteswa kwenye nchi yake. This is too painful. Mungu atusaidie. Ahsante rais, Hayati Magufuri kwa uongozi wako uliotukuka kwa ajili ya kupigania Watanzania hasa wa Hali y chini. Tutakukumbuka daima. Inshort tushaanza kukukumbuka JPM.
@@j.c.maxima816 mwenye macho aambiwi tazama. Huitaji miaka ndo ujue mwelekeo w hii nchi kwasasa. If you think am negative, time will prove you wrong spontaneously
Mama samia pls wasaidia hawa wantanzania wanyoge hawa wakezaji ni hawana kitu tu wanyojaji kabisa kwanza wanzania msiwape nafadi watu wa nje kuna watanzania wako nje wa ndani ndio familiy yenu sio wengine naimani mama utatenda haki kweli Mungu ibariki Tanzania na watu wake na Rais wetu mama yeru mpendwa Samia tunakuamini sana sana unaweza
Kudadeeeeki 😆😂🤣🤣🤣🤣 nnafuraha sana nikiona mkiteseka maana wa TZ ni mizigo, , , mzee kafa hamna anaetaka kujua nn kimemtokea manina. Wachukue %100 kabisa.🚮🚮🚮🚮🚮🚮 kila kitu kibwebwe maisha yakiwa magumu ndipo tutafunguka akili
Lazimaa kazi iyendeleee umesemaaa mama samiaa ukiwa na maana misingi na madhumuni ni kuijengaa nchi kikazi tu wala siyo maneno matupu kuna raiaa wengi wamejitokeza wakizani wewe mwanamke unakuwaa siyo dhaifu na kulegezaa makali ya maghufuli na maghufuli alikuwa siyo mtu dhaifu bali alipenda nchi yake wananchi wake alitakaa mali za nchi yetu zisiiiibiwee na kupoteaa au kuchukuliwaa kirahisi hivyo maghufuli hakuwaa dhaifu wito wangu kwa mama samia raisi wa jamuhuri ya muungano kuna watu wengi wamejitokezaa kukupigiaa makofi na kuukuusifiaa hainaa maana wote wanakupendaa wanafanya hivyo kukuzubaishaa na kukufunga mafumbo ili usiwezee kujuwa niya zao hivyo mama yetu mpendwa kama ukivyojielezeee mwenyewe umekuwa katikaa chamaa unajuwaa kila aina ya misuko suko na mawimbi wazurii ni wale wale waliyokupigiaa kuna na makofi na wabaya ni wale wale waliyokupigiaa kura na makofi waswahili wanasema kipofu haoni njia lakini anajuwaa njiaa hivyo mzazi wetu itizamee njiaa ndani ya moyo wako kama kipofu watu wajiuulizee anaonajee njiaa wakali haoniii wajuwe kipofu anafuataa njia kwa maajabu ya mwenyezi mungu macho yale ya kipofu ukiyaonaa yanatizamaa kama yanaonaa kumbe mwenyezianawatuma malaikaa wake kumuongozaa
@@salumumakombo9136 maghufuli alikuwaaa kama mjumbe wa mwenyezi mungu aliwaaaambiaaa watanzaniaa kuwakumbusha lakini sikio la kifo halisikiii dawa mpaka kutamka mtanikumbukaa siku moja যে watanzaniaa wazalendo tumejifunzaa nini tumeelimikaaa nini au tutasuburi mtu mpakaa afe ndiyo tujuwee mazuri yake mama tunakuaaminiaaa tumiaa busara akilii na maarifaa yak kwa uzoefu wako usimuoneeee mtu haya mtu asiyeekuoneee haya haya yakikuwaa maneno ya mwalimu julius। k nyerere। utageukaa jiwe panda mlima mama ufike kileleeni wewe ufanye mapinduzi uwe mfano mwengine wa kihistriaa।kwamba kuwa rahisi mwanamke wa kwanza kwamba wanawakee wanawezaa
Washabiki wa simbaa au yanga timu ikishindaa sherehee nyingi lakini mabeki kwa kawaidaa hukindaa defence ili wasifungwe lakinii humo humo katikaa defence kunatokea beki mmojaa anahongwaa aachieee goli mojaa tu ili simbaa au yanga ishindwe hivyo Washabiki watashitukaa kwanini tumefungwaa na team ndogo hakuna jibu lakini nikuwaa ukiiingiaa।kiwanjani cheza zote dakikia 90 usijiaamini kamaa wewe simba au yangu kuna wachezaji wengine haawajali team wanajali sifa za maslahi yako kwani kuachia goli analipwa pesa nzuri
Hawa wanyang'ang'i hawatotoboa kwa Mama Samia Mama wasaidie wapiga Kula wako, mama vivae viatu vya JPM Mama Samia wasaidie wachimbaji Hawa wewe ndio final say , tunaimani na Samia mama usituangushe sisi wanyonge wako.
Njaa kali wameanza kushambulia JPM aliwapooza saivi wamerudi na kasi,,, Na hapo wanapimba reaction ya Mama.... Mama onyesha makucha yako kabla mambo hayajaharbika ever......kwa sababu hawa watu wametangatanga muda mrefu kupata mianya .....🤔😢
tutajuta sana watanzania kumpoteza magufuri raisi wa wanyonge hapo bado tu mtaaona mengi sana mama samia ni kiongozi wa matajiri na viongozi wastaafu wa kina kikwete ndo anawaangalia magufuri rip baba ulitutetea sana watanzania
From Burundi:nasapoti jitihada zenu ndugu zangu simama imala nyinyi ndio wenye khaki Alafu hao wanaotaka kufaidika na kifo Chababa yenu muliemupenda(tuliemupenda) washindwe nawalegee
Sasa walioo kufaa wamefufukaa , mungu saidiaa ,,, tenaa wasukuma mbwanyiee mlikuaa kila kitu sawa kila kitu sawa ,,,yaanii mungu awamshee mlikoo fiaa wajingaa sana
mimi nataka nione kazi ya doto biteko je alikua anafanya kazi kuogopa magufuri au na yeye ni mpigaji tutawajua viongozi wote wezi kama wakina jafo viongozi wanafki
Yes wanyonge msikubali👍🏽👍🏽👍🏽👏👏👏
Kamateni pangaaaaa imetoshaaaaa
Rest in peace JPM. vizazi vyako tunakuja
JPM alifanya kazi yake,,, Kila kizazi kina jukumu la kihistoria,,,
Tafakuri yako ndio tatizo. Jaribu kusoma Tena utaelewa.
Bada ya mweshimiaa JPM alipokufu tu lesen zikatoka daah inaskitisha sana tunakukumbuka jpm
Ulisema baba mtanikumbuka kwel tunakukumbuka..Mungu ibariki Tanzania
Mfukuzeniiii huyoo muwekezajiiii wametuchoshaaaaa
Inauma Sana 😭
Mnyonge mnyongeni tu r I pBaba jpM tunaangamia
Bernardo, you live in the past!!! Kazi ya Mungu haina makosa! Tumuache Baba JPM, apumzike kwa amani ! Tusonge mbele, ndugu yangu !!!
Kwanihiyo kazi iendelee yenyewe inasemaje
Hiyo kazi iendelee Sasa itakuwaje kwanini hawasaidiwi jamani
Jamani hata Rais wetu hayati magufuli hajaoza wanyonge wameanzwa kunyanyaswa mama samia na majaliwa wasaidieni hawa wachimbaji wadogo wadogo
Ishu anajifungia ndani
Mama mvivu kwelikweli, sidhani kama Tanzania ataiweza.
Kweli mvivu mzanzibari yule hawezi kutawala Tanzania 🇹🇿 hatumtakiiiiiii
Kumbuka Mama aliaminiwa na mtangulizi wake. Ana uzoefu wa kutosha. Yeye ni mwanasiasa mahiri, jasiri na mchapakazi. Tumpe nafasi ya kutuongoza, atatuvusha,,,
@@j.c.maxima816 kuwa mwanasiasa ni tofauti na kuwa kiongozi. JPM hakuwa mwanasiasa mahiri lakini alikua kiongozi bora. Huyu mama mvivu sana,hawezi kujituma. JPM alikua akimsukuma tu. Na tatizo la uvivu alikua nalo Mzee Mwinyi na Kikwete pia. Marais wachangamfu wa Tanzania Mkapa, JPM na Nyerere. Kama Kenya, Uhuru mvivu na Kibaki pia alikua mvivu.
😂😂
Siwezi kubadilisha mtazamo wako, lakini ujue umekosea ! Huyu Mama anastahili Tuzo ya Nobel!!!
Mh. Simiah Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.. Listen Tanzanians crying for their resources. 🇹🇿Ibariki Tanzania, Ibariki Africa
Wacha waibe .
Duh. Mambo yamekuwa mazito tena. Kwani viongozi husika wako wapi.duh mungu tuokoe kwa hili Allah
Tutakukumbuka baba Magufuli
Inchi isha ludi enzi za akina vigogo 2taona mambo mengi sana r.i.p jemedar we2 jpm
Kwa nini? Nchi haiwezi kuendeshwa bila JPM?
@@j.c.maxima816 jibu unalo mwenyewe
Mama Samia yupo... Serikali ipo... CCM chama tawala kipo... Na kazi inaendelea 👣 👣 👣
@@j.c.maxima816 amnesty imesema Tanzania imekubali chanjo. Endelea kumwamini huyo mwanamke
Margareth, unapotumia mwanamke, unamaanisha nini ?
Rip comred magufuli
Kitaeleweka tu
Hivi hata miezi miwili tayari Toka MZALENDO wa kweli afariki imefika????@J.P.M Rest in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️
😭😭😭😭😭😭🙆♂️
Kwa hiyo, kulikuwa na mzalendo mmoja tu, katika Nchi nzima? Hayo ni mawazo yako peke yako. Tz haijasimama, na kazi inaendelea,,,
@@j.c.maxima816 kazi inaendelea ya awamu ya nne sio ya awamu ya tano ya mzalendo
@@j.c.maxima816 umekulupukaaaa,😂😂😂😂😂
@@omarymtegwa2299 Ninazungumza tu... na hoja zinazoonekana !!!
Wawekezaji wezi wameshakuja sasa tulieni muone mziki. Viongozi wa chini hawa uwa wanatenda haki kulingana na speed ya anae waongoza vinginevyo tutashuhudia mengi.
RIP JPM, ujambazi umerudi 😭
Mmmh pumzika kwa amani magufuli mambo yameanza
Kwakweli aliye fanya jama yakumuuwa Rais wetu Mpendwa J.p Magufuli Mungu atamuazibu ipo siku yake ikifika Ndio siku sisi wanyonge tutaongeya vizuri
JPM was only the answer. Samia can't do nothing. She's not interested
Tanzanians are a great people. JPM was not the only man in this country. Mama Samia anaweza! And she's concerned with the people's issues as JPM was... or a lot more! Msisahau, yeye ni Mama ! Nani kama Mama!?
@@j.c.maxima816 Samia the stupidest woman I ever seen and heard of
@@lenathequeeneverything268 Usimtukane Rais ! Jiheshimu mwenyewe ! Maadili ya Watz, jamaani !
Unajua watendaji wanaangalia mtu wa juu yupo vp ndio nao wanatenda...JPM tutamkumbuka dalili zimeanza.
@@j.c.maxima816 Samia can't handle this
Kufa tufu msikubali hao wawekeza wa samia alisema wanakuja na watu wao anapeleka zanzibar huku hakuna nafs
Hapa ndipo Magufuli atabaki mtetetezi wa wanyonge!.Atakumbukwa na watu wa hali ya chini daima.
Kila Magufuli Magufuli mfufueni kama yeye ndio alokuwa anaendesha maisha yetu tunaingia mpaka ktk kufuru Kwakweli mtihani Sana
Sasa wakimkumbuka kuna kosa gani ??? Mbona Mwl Nyerere anakumbukwa ?? Ukifanya mema lazima ukumbukwe. Haya majizi yameanza kuja kwa jina la wawekezaji.. JPM lazima tutamkumbuka sana. Labda uwe mwizi ndio utafurai.
@@kaundasutikaunda7769 Zama za JPM zishapita. Tutamuenzi kwa utendaji kazi na nidhamu serikalini. Lakini hatutaomboleza milele! Lazima tusonge mbele! Na Mama Samia tumuamini na kumuombea. Kazi iendelee...
@@j.c.maxima816 ni kweli zimeisha na hatuna budi kumuombea Mama ali aendeleze yale mazuri na kuleta maono yake. Wasiwasi wa watu ni kuepuka yale yaliotokea nyuma baada ya Mwl Nyerere kukabizi kijiti kwa alie mfuata. Tanzania tulipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo ili ametuonyesha kimatendo JPM ndio maana ataendelea kuwa mioyoni mwetu. Mama tutamjua baada ya miezi 6 .
Baada ya JPM kufariki, niliandika hivi "NYANI ANARUDI UTUMWANI"
Sasa nahis maneno yangu yametimia.
Tumeanza kurudi utumwani hata mwaka haujaisha.
Sasa nchi imegeuka kuwa ya WAWEKEZAJI na MATAJIRI.
Mwananchi wa kawaida anaanza kuteswa kwenye nchi yake.
This is too painful.
Mungu atusaidie.
Ahsante rais, Hayati Magufuri kwa uongozi wako uliotukuka kwa ajili ya kupigania Watanzania hasa wa Hali y chini.
Tutakukumbuka daima.
Inshort tushaanza kukukumbuka JPM.
Don't be so negative!!! Ni mapema mno kumdjuge Rais Samia! Hata siku 100 bado hajafikisha!!!
@@j.c.maxima816 mwenye macho aambiwi tazama. Huitaji miaka ndo ujue mwelekeo w hii nchi kwasasa.
If you think am negative, time will prove you wrong spontaneously
Tunamamlaka 2025 ya kuibadili hilo kama serikari itaendelea hivi
Inaendelea vipi? Siku zote changamoto za Wananchi zitajitokeza hapa na pale. Jambo muhimu ni kwamba Serikali hutatua migogoro hiyo,,,
@@j.c.maxima816 2025 tunachagua stop
Lazima Serikali italishughulikia hilo,,, Waziri Biteko upo?
mama we jifungie tu ofisini usizunguke mikoani agiza tu ukiwa ikulu huu ni moshi tu
@@j.c.maxima816 umenielewa vp kwani
RIP Jpm
Mama samia pls wasaidia hawa wantanzania wanyoge hawa wakezaji ni hawana kitu tu wanyojaji kabisa kwanza wanzania msiwape nafadi watu wa nje kuna watanzania wako nje wa ndani ndio familiy yenu sio wengine naimani mama utatenda haki kweli Mungu ibariki Tanzania na watu wake na Rais wetu mama yeru mpendwa Samia tunakuamini sana sana unaweza
Kudadeeeeki 😆😂🤣🤣🤣🤣 nnafuraha sana nikiona mkiteseka maana wa TZ ni mizigo, , , mzee kafa hamna anaetaka kujua nn kimemtokea manina. Wachukue %100 kabisa.🚮🚮🚮🚮🚮🚮 kila kitu kibwebwe maisha yakiwa magumu ndipo tutafunguka akili
@Simon William ni🚮🚮🚮🚮🚮
Hata mwaka bado maruwe ruwe kila kona mara hii watu maji wataita mma
😭😭😭😭
Mambo Moto sana
angekuwepo magufuri angetatua hiyo kero nda ya dakika za kuhesabu tukaze mikanda wazee
Sasa tunaye Rais Mama Samia,,,
@@j.c.maxima816 na kazi inaendelea kweli
Jamani marehemu magufuli alisema wanyonge wasinyanyaswe
😭😭😭😭😭😭😭
Magufuli alisema tutamkumbuka. Haya ndio kwanzaaaa. Bado wanyonye watayongwa na haki yao itayongwa hadi kufa. Tanzania ikubali kurudi nyuma
na hi ni cha mtoto kaka kuna shoo kubwa zinakuja mbele tutasaga meno
Mtaomboleza mpaka lini? Magufuli ameondoka. Je, tuondoke naye? Tumuache Mama Samia afanye kazi,,, Tuwe na imani naye, jamaani !
Lazimaa kazi iyendeleee umesemaaa mama samiaa ukiwa na maana misingi na madhumuni ni kuijengaa nchi kikazi tu wala siyo maneno matupu kuna raiaa wengi wamejitokeza wakizani wewe mwanamke unakuwaa siyo dhaifu na kulegezaa makali ya maghufuli na maghufuli alikuwa siyo mtu dhaifu bali alipenda nchi yake wananchi wake alitakaa mali za nchi yetu zisiiiibiwee na kupoteaa au kuchukuliwaa kirahisi hivyo maghufuli hakuwaa dhaifu wito wangu kwa mama samia raisi wa jamuhuri ya muungano kuna watu wengi wamejitokezaa kukupigiaa makofi na kuukuusifiaa hainaa maana wote wanakupendaa wanafanya hivyo kukuzubaishaa na kukufunga mafumbo ili usiwezee kujuwa niya zao hivyo mama yetu mpendwa kama ukivyojielezeee mwenyewe umekuwa katikaa chamaa unajuwaa kila aina ya misuko suko na mawimbi wazurii ni wale wale waliyokupigiaa kuna na makofi na wabaya ni wale wale waliyokupigiaa kura na makofi waswahili wanasema kipofu haoni njia lakini anajuwaa njiaa hivyo mzazi wetu itizamee njiaa ndani ya moyo wako kama kipofu watu wajiuulizee anaonajee njiaa wakali haoniii wajuwe kipofu anafuataa njia kwa maajabu ya mwenyezi mungu macho yale ya kipofu ukiyaonaa yanatizamaa kama yanaonaa kumbe mwenyezianawatuma malaikaa wake kumuongozaa
@@salumumakombo9136 maghufuli alikuwaaa kama mjumbe wa mwenyezi mungu aliwaaaambiaaa watanzaniaa kuwakumbusha lakini sikio la kifo halisikiii dawa mpaka kutamka mtanikumbukaa siku moja যে watanzaniaa wazalendo tumejifunzaa nini tumeelimikaaa nini au tutasuburi mtu mpakaa afe ndiyo tujuwee mazuri yake mama tunakuaaminiaaa tumiaa busara akilii na maarifaa yak kwa uzoefu wako usimuoneeee mtu haya mtu asiyeekuoneee haya haya yakikuwaa maneno ya mwalimu julius। k nyerere। utageukaa jiwe panda mlima mama ufike kileleeni wewe ufanye mapinduzi uwe mfano mwengine wa kihistriaa।kwamba kuwa rahisi mwanamke wa kwanza kwamba wanawakee wanawezaa
Washabiki wa simbaa au yanga timu ikishindaa sherehee nyingi lakini mabeki kwa kawaidaa hukindaa defence ili wasifungwe lakinii humo humo katikaa defence kunatokea beki mmojaa anahongwaa aachieee goli mojaa tu ili simbaa au yanga ishindwe hivyo Washabiki watashitukaa kwanini tumefungwaa na team ndogo hakuna jibu lakini nikuwaa ukiiingiaa।kiwanjani cheza zote dakikia 90 usijiaamini kamaa wewe simba au yangu kuna wachezaji wengine haawajali team wanajali sifa za maslahi yako kwani kuachia goli analipwa pesa nzuri
Huyu mwenyekiti anaongea kwa busara kuliko wabunge wengi Tz
Waziri uko wapi au ndio umeenda na magu
Mfukuzeniiiiii mshenzi sana
Huyu Raisiii saidiyaa sasa
Waziri yupo kwenye leseni
Makamu uko wp saut yako hatuiskii mbona msaidie mama wazir mkuu hatuwaoni
Watachakazwa mpaka wachakae
Shamba limebakwa na wabakaji,JPM alisema Kbsa na bado mambo yatatokea mengi mno
Hawa wanyang'ang'i hawatotoboa kwa Mama Samia Mama wasaidie wapiga Kula wako, mama vivae viatu vya JPM Mama Samia wasaidie wachimbaji Hawa wewe ndio final say , tunaimani na Samia mama usituangushe sisi wanyonge wako.
Mwenyezi Mungu atawasimamia.
Njaa kali wameanza kushambulia JPM aliwapooza saivi wamerudi na kasi,,, Na hapo wanapimba reaction ya Mama.... Mama onyesha makucha yako kabla mambo hayajaharbika ever......kwa sababu hawa watu wametangatanga muda mrefu kupata mianya .....🤔😢
tutajuta sana watanzania kumpoteza magufuri raisi wa wanyonge hapo bado tu mtaaona mengi sana mama samia ni kiongozi wa matajiri na viongozi wastaafu wa kina kikwete ndo anawaangalia magufuri rip baba ulitutetea sana watanzania
Please help my Tanzanian Peoples. Tutakkukumbuka Baba mtetezi wa wanyonge
Ndoo hapo tz Mhhh mieyusho kweli ccm oyeeeeeee😂😂😂😂😂😂
Huyu mama kazi anayo msikubari kama damu imwagike
Uko wap maguli wetu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwani huyo Maman Samia hijafika huko mliko? Mbona alikuwa Mwanza. Pia nasema huyo Mwekeshaji Apingwe Mawe kabisaa pia Mizimu ypte iamke kabisaa
From Burundi:nasapoti jitihada zenu ndugu zangu simama imala nyinyi ndio wenye khaki
Alafu hao wanaotaka kufaidika na kifo Chababa yenu muliemupenda(tuliemupenda) washindwe nawalegee
Uchafu wako unakwenda Kenya nchini yako tajili huyu mama samia mungu anakuona wewe shertani mkubwa
Kenda kenye kuchukua wezikuwaleta Tanzania Wakenya wezi tu ata mfano auwoni
Sasa kwa nini mnajiita wanyonge, acheni hizo aisee
Ni saa 11 Alfajiri!
Kwanini viongozi na wananchi wasishirikishwe fanyeni hivo kuepusha balaa
Uyu mama c Raisi kinyesi mama samia Wewe uozo
Magufuli amekufa Majambazi yanarudi tena
Sasa walioo kufaa wamefufukaa , mungu saidiaa ,,, tenaa wasukuma mbwanyiee mlikuaa kila kitu sawa kila kitu sawa ,,,yaanii mungu awamshee mlikoo fiaa wajingaa sana
mimi nataka nione kazi ya doto biteko je alikua anafanya kazi kuogopa magufuri au na yeye ni mpigaji tutawajua viongozi wote wezi kama wakina jafo viongozi wanafki
Tanzania Raisi alishakufa RIP JPM
Mwanzo wa ngoma ni lele.
Si mlisema sio wanyongee
Ukimuona mwenzio ananyolewa jiandae kutia maji
Jamani hao wawekezaji wamekaribishwa na wameambiwa wapewe vibali haraka na kazi iendelee
Wacheni kuchimba.
Ni saa 11 Alfajiri!