MWANZO-MWISHO: IGP Sirro aenda Kibiti na Mkuranga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июн 2017
  • Wiki moja tangu IGP Simon Sirro aapishwe na JPM kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, leo June 6, 2017 Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi amefanya ziara yake ya kwanza Kibiti na Mkuranga kutimiza ahadi baada ya kuombwa na wazee wa maeneo hayo.
    Eneo hilo la Pwani ni miongoni mwa maeneo ambayo mauaji yameripotiwa.

Комментарии • 152

  • @dicksonmagati5455
    @dicksonmagati5455 7 лет назад +17

    Safi kabisaaa kamanda Sirro piga kazi mungu akubariki katika kazi zako

    • @lukubamichael2993
      @lukubamichael2993 7 лет назад +4

      safi Sana kamanda! nakuamini hayo madogo Sana kwako

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 лет назад +18

    mungu awabariki maskari zetu mfanye kazi iende salama wananchi tuungane kwa pamoja kuwaombea hawa askari ili tu nchi iwe salama ila sasa police mcburuzee ovyo RAIA katika upelelezi wenu

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 7 лет назад +16

    huyu jamaa anapendwa na tz nzima

  • @sharomosses5516
    @sharomosses5516 7 лет назад +5

    Kamanda Sirro, yuko vizuri

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 лет назад +5

    kaz nzuri kamanda siro

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 7 лет назад +7

    huyu Sirro n Jembe aisee ataendana na kasi ya JPM

  • @sayunimairi2538
    @sayunimairi2538 7 лет назад +11

    siro uko Vizuri

  • @arafatimjungu2510
    @arafatimjungu2510 7 лет назад +18

    nakutakia kazi njema mh.IGP sirro

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 лет назад +4

    tunawatakia kazi njema polic wetu wa tz mungu awe nanyi kwa wote

  • @safinatv1599
    @safinatv1599 7 лет назад +10

    Allah nijalie nikutane na IGP siro mana namkubali sna anipe japo kazi ya kusafisha viatu vyake 😢

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 7 лет назад +2

      huko ni kuchupa mipaka. muogope Allah. jidhalilishe kwa Allah ni haki yako na siyo kwa mwanaadamu mfu wa kesho mchanga wa kesko kutwa

    • @faizysagari118
      @faizysagari118 7 лет назад

      Abdallah Ally allah akuzidishie imani

    • @user-ot4xr6uv7s
      @user-ot4xr6uv7s 7 лет назад

      Aaaaaa jamaniiii

    • @user-ot4xr6uv7s
      @user-ot4xr6uv7s 7 лет назад +2

      yaaaaani anafanya kazi kwakweliii ana wajari wana nchi wakeee MUNGU azidi kumjalia siro

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 6 лет назад

      Safina TV kazi alishatoa niwewe tu kujituma. Ukimjua muharifu ukamtaja mln 10.

  • @maryammaryamkiriwashwa1626
    @maryammaryamkiriwashwa1626 7 лет назад +4

    mungu akuoneshe njia

  • @kelvincosmas4692
    @kelvincosmas4692 7 лет назад +5

    Pamoja sirro

  • @kingplatnumzrivas6057
    @kingplatnumzrivas6057 7 лет назад +1

    pigakazi sirooo nakukubar ataivo mh....... alichelewa kukuteuwa ungukuwa umeshaimaliza hiyo inshu salut kwako siroooo nakutakia kazinjema

  • @peterpaul3350
    @peterpaul3350 7 лет назад +2

    Sirro fanya kazi yako

  • @suleshalley6412
    @suleshalley6412 7 лет назад

    Inshaallah mungu akuwezeshe SIRRO hakuna mafanikio bila ushirikiano na raia

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 7 лет назад

    Allah akujalie IGP Siro. ww ni zaid ya komando. Siro is the best.

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 лет назад

    hongera sana

  • @boazjohn2017
    @boazjohn2017 7 лет назад +3

    kweli kabisa tumezoea aman katika nchi yetu

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 7 лет назад

    Verry Good kamanda sirro

  • @yamikankaleso9456
    @yamikankaleso9456 7 лет назад

    safii sanaa kamandaa zirroo

  • @prosperkilatira4798
    @prosperkilatira4798 7 лет назад +3

    Mwenyezi Mungu akutangulie ktk operation hiyo mkuu!

  • @azizmbishi6653
    @azizmbishi6653 7 лет назад +1

    Sasa waTanzania tumepata IGP tuliokua tunamtaka kiukweli amenifurahisha sana kuomba radhi kwa wananchi kwa mateso na manyanyaso waliokua wakiapata wananchi juu ya askari, huku wahusika wakiendelea kufanya mauaji wananchi walikua katikati hawajui cha kufanya maana hofu iliwajaa juu ya kikundi cha wt wachache wanaofanya mauaji ya kinyama huku jeshi la polisi nalo likiwanyanyasa wnch, lakini hilo sasa kamanda Sirro umeliona sasa tupo pamoja na wewe umetupa imani nasi tunakutakia kila kheri, pongezi kwa mzee Magufuli kwa kututeulia kamanda wa kweli chapa kaz kamanda mungu atakuongoza kwa barka zake.

  • @hajjihusseinramadhan2774
    @hajjihusseinramadhan2774 7 лет назад +8

    endelea kuamuru kazi za kuhuzunisha kama ya imam Salum upande cheo zaidi

  • @marrykamera6893
    @marrykamera6893 7 лет назад

    good

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 7 лет назад

    safi sana watapatikana tu Mungu bariki jeshi letu la porice

  • @tukeimalinga1548
    @tukeimalinga1548 7 лет назад

    Bravo Sirro

  • @raphaelnestorymattambo8271
    @raphaelnestorymattambo8271 6 лет назад +1

    Safi xana IGP

  • @mwezanephta1107
    @mwezanephta1107 7 лет назад

    kazi njema IGP S irro

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 7 лет назад +3

    safi sana

  • @piusmaridadi1460
    @piusmaridadi1460 7 лет назад

    helloooo

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 7 лет назад +2

    huyu mzee is brilliant....
    kila la heri Mkuu Siro

  • @idrisarashid5038
    @idrisarashid5038 7 лет назад +4

    kazi njema baba

  • @papafikiri
    @papafikiri 7 лет назад

    Sirro unajua nakukubali sana

  • @jisamjose2184
    @jisamjose2184 7 лет назад

    inasikitisha

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 7 лет назад

    Fanya the best IGP hiyo hali inatisha sana

  • @happyminja1292
    @happyminja1292 7 лет назад

    hongera sana kamanda wewe ni bonge la mtu

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 4 месяца назад

    Huyu IGP apewe mauwa yake tz haijawai kupata IGP alietekeleza majukumu yake kizalendo kama silo

  • @mpelienock
    @mpelienock 7 лет назад

    Hongera kamanda Sirro kwa kutambua kua suluhu iko kwenye jamii na kutambua mchango wa jamii hasa wazee katika kutatua changamoto polisi ni jamii kwa ajili ya jamii police wote wajue hilo na kujali jamii big salute kwako kamanda Sirro.

  • @brightonpaul7281
    @brightonpaul7281 7 лет назад

    saf kamanda

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 7 лет назад +1

    safi kamanda tunakupenda Sana unawasikili watu wa ngazi ya chini!!!!!!

  • @masalimsuhitv6439
    @masalimsuhitv6439 7 лет назад +3

    chapa kazi

  • @salumsimai2728
    @salumsimai2728 7 лет назад +3

    sirro Fanya kazi muda ndio huu

  • @athumanikagimbo3396
    @athumanikagimbo3396 7 лет назад +1

    IGP SIRO NAKUKUBALI 100%

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 лет назад

    Hongera baba kwa kazi nzuri

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 7 лет назад

    wenje na masha wanakujua hupindishi mambo kama utakua hujabadili pambana haki kidogo hua haki kubwa barikiwa kamanda

  • @dannyhasaratupu3975
    @dannyhasaratupu3975 7 лет назад

    kazi ya siro naiyamini % 150 hadi LEO namba yake ninayo namkumbuka sana enzi Za tanga. big up

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад

    You should watch your back ma guys. Kutokana na vyombo vya habari hao "manunda" wana tabia za kuvamia! Kama wana silaha kali na nyengine ni mali za Polisi si ajabu pia wakawa na mabomu. Kuweni makini na ziara na safari zenu walinzi wetu!

  • @hamisikumwalu7495
    @hamisikumwalu7495 7 лет назад

    watu wamepigwa na wamepoteza lasilimali zao ,usiwaombe radhi bali walipwe kwani jeshi ndio limesababisha baada ya kulinda wakaamua kuchukua mali zao,

  • @transmadale
    @transmadale 7 лет назад

    Huyu jamaa ni Mashine balaa, namkubali lazima afanye kweli

  • @hamisikumwalu7495
    @hamisikumwalu7495 7 лет назад

    kulinda raia na malizao ,

  • @dastanfussy4898
    @dastanfussy4898 4 года назад

    Kibiti safiiii, shikamoo afande siro

  • @isayambuba3335
    @isayambuba3335 7 лет назад +3

    hao watu watafutwe wandhalilisha tz yetu

  • @user-vv5xd3ye4i
    @user-vv5xd3ye4i 7 лет назад

    HAO WANAOJIITA MAGAIDI UA WOTE....HALAFU HAWANA NGUVU YOYOTE KWANZA WAKONDEFU KAMA NINI....

  • @LuisSilva-xp2nw
    @LuisSilva-xp2nw 7 лет назад +3

    Nimempenda bure huyu IGP.

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 7 лет назад

    ivi kwa mfano yan ao mkiwakamt itakuaje yan ,,,yan siku iyo piken tu ugali mishkak kwa saan

  • @husseinkazara8884
    @husseinkazara8884 7 лет назад +3

    tuko Pamoja mkuu

  • @tumainicharles8656
    @tumainicharles8656 7 лет назад

    pongezi za dhati kwa kamanda IGP Sirro.Kila LA kheri katika kuwafikia waarifu.Ila kinacho niuzi ao walio vaa mikofia ya chama Na nguo za chama. kwani apo kulikua Na mkutano Wa chama. wana boa Sana😈😈😈

  • @mamahustru
    @mamahustru 7 лет назад +5

    Hapa Magu hakukosea. Sasa jeshi la polisi litabadilika na kuanza kushirikiana na raia. Watu pelekeni taarifa shida hii iishe.

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 7 лет назад

    safi sana Ayo Picha ni Clear balaa

  • @iddgubwe1662
    @iddgubwe1662 7 лет назад

    simba wa vita huyoo!!

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 7 лет назад

    Peace & Love

  • @paulemmanuel9512
    @paulemmanuel9512 7 лет назад

    siro mm cnaga ofu na ww uko vzuri uliituliza dar ualifu umepungua sana

  • @livingstoneurassa4949
    @livingstoneurassa4949 7 лет назад +3

    keep it up IGP SIRO.

  • @lusekelorichard2787
    @lusekelorichard2787 7 лет назад

    Very nice

  • @michaelmagere4069
    @michaelmagere4069 7 лет назад +3

    IGP SIRO yuko vzr

    • @alfredmassesa3714
      @alfredmassesa3714 7 лет назад +5

      Baba fanya Kazi anayeua kwa upanga nae anastahili kufa kwa upanga

  • @abdituke6037
    @abdituke6037 7 лет назад +1

    Damage have been done

  • @thisisjohnsule
    @thisisjohnsule 7 лет назад

    mmm

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 7 лет назад

    Mungu akubariki katika shughuli zako ili amani iweze kutawala

  • @geofreymkopi4905
    @geofreymkopi4905 7 лет назад

    Ramadhani Njema Wote

  • @fanueledmund6408
    @fanueledmund6408 7 лет назад

    ni nahitaji namba yako IGP Siro

  • @charleschasila2147
    @charleschasila2147 7 лет назад +2

    Mimi wananiuzi wakienda kwenye vikao lazma hata visivyohusu chama lazma wavae misale yao

    • @lucymgulunde7329
      @lucymgulunde7329 7 лет назад +2

      wewe charles hujielewe kwahiyo ulitaka wavae nguo za mkeo unajua maana yakazi yao akiwa kazin lazima youn form zivaliwe uwe unajiuliza sio kulaumu

    • @charleschasila2147
      @charleschasila2147 7 лет назад

      Stupid Lucy mgulunde

    • @charleschasila2147
      @charleschasila2147 7 лет назад

      Tena jieshimu pumba ww

    • @lucymgulunde7329
      @lucymgulunde7329 7 лет назад

      +Charles Chasila mwenyewe wewe ndio unaongea pumba

    • @charleschasila2147
      @charleschasila2147 7 лет назад

      Lucy Mgulunde tatzo akili huna

  • @babually5403
    @babually5403 7 лет назад

    umarikiwesana mzee sirro

  • @marcosabun4774
    @marcosabun4774 7 лет назад +3

    sina shaka na IGP"

  • @suleimanali9939
    @suleimanali9939 7 лет назад

    mshadanganywa

  • @amocknghd8035
    @amocknghd8035 7 лет назад

    Kaz kaz!!!! Kamanda sirro bg up

  • @ahmedjamal5084
    @ahmedjamal5084 7 лет назад +3

    100% IGP

  • @andrew29468
    @andrew29468 7 лет назад

    kazi njema kamanda SIRRO,watanzania wote wapo nyuma yako,tanzania yetu ni ya amani ,Rais amajua wewe ni kamanda wa operation, safisha uchafu wote

  • @sakinatanzanian5000
    @sakinatanzanian5000 7 лет назад

    asant ayotv nipnd sn

  • @gozbertmmassy2943
    @gozbertmmassy2943 7 лет назад

    kamanda sirro "Atakae kamatwa no man leave behind

  • @josephharaja8290
    @josephharaja8290 7 лет назад

    our leader done well

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 7 лет назад

    hapa isingefaa kabisa kuvaa mavazi ya kivyama...hili ni tatizo

  • @carlosmfuru9125
    @carlosmfuru9125 7 лет назад

    nakubali Sana kamanda fanya yako ndugu

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 7 лет назад +1

    Watu wanamagari mpaka ya milioni 500 wakati wengine hata baiskeli kitendawili..

    • @emanuelychacha7903
      @emanuelychacha7903 7 лет назад +5

      Salehe Innocent kuna mtu kakuzuiya kununua gari acha porojo fanya kazi

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 7 лет назад

      +Emanuely Chacha kaz iko nyuma yako waniruhusu niifanye wagu?

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 7 лет назад

    Sisi tumeona kitu kwa Mh Rais kukuteua kuwa mkuu wa jeshi ila mtangulize Mungu mbele utafanikiwa jiamini rudisha tena matumaini ya amani tuliyoanza kuyapoteza mungu akuonyeshe njia

  • @godfreysanga2405
    @godfreysanga2405 7 лет назад

    pikipīki zipigwe marufuku mijini ndio chanzo cha uharifu sana mijini namuunga mkono kamanda wetu siro

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 7 лет назад

      Godfrey Sanga mi nashangaa izo bodaboda.,waweke tu baiskeli mijini! 😆😉

  • @kuswaikajiru9200
    @kuswaikajiru9200 7 лет назад

    kazi ningum ila pambana father utamaliza xlama

  • @ramaduki2561
    @ramaduki2561 7 лет назад +2

    Bongo Environmental problem .Sisomi .niwe ..............

  • @zubeliaskulanga8852
    @zubeliaskulanga8852 7 лет назад +1

    Safina mbavu zangu hahaaa

  • @josemkongwe4609
    @josemkongwe4609 7 лет назад

    Hivi kuna kampeni bado vipi makofia hayo na hizi brauzi

  • @TheAlman
    @TheAlman 7 лет назад

    hicho ndicho kinachotakiwa katika uongozi sio mabavu

  • @saidpolenikwamsbakinidi6232
    @saidpolenikwamsbakinidi6232 7 лет назад

    ubabe mwingi namabavu kuwakandamiza wapizani nakuwapiga viwete marungu lkn maarifa hamuna sas iyo misare yaccm niyanin umo

  • @suleimanali9939
    @suleimanali9939 7 лет назад

    hizo ndio mbinu za mapambano

  • @juliusntandu9232
    @juliusntandu9232 7 лет назад

    Mwendo ni uleule baba hii ndio yenyewe lazima wajue tu kazini

  • @jasminmwaluvalile1673
    @jasminmwaluvalile1673 7 лет назад

    tunakuaminia kamanda

  • @rukiasaid81
    @rukiasaid81 7 лет назад

    hao majambazi wapo hapo hapo wanawachora tuu,wamekuja kuwasikiliza

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie8580 7 лет назад

    siro siro siro siro siro👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @stevenbuberwa6583
    @stevenbuberwa6583 7 лет назад

    sasa tuwakusanye waganga maana mambo magumu ,kweli waganga wanasaidia sasa Mungu anaambiwa asiwahukumu Mungu simwanadamu ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga

  • @leonardcmonbolora8136
    @leonardcmonbolora8136 7 лет назад

    akunaga polisi mzuri ww jiongeze

  • @hamisikumwalu7495
    @hamisikumwalu7495 7 лет назад +1

    wanakibi ,ikwiriri,rufiji ,kaeni mkao wa kuibiwa na jeshi la polisi maana wao wakiingia sehemu wanawaza pesa sio

  • @emmanuelnyansiro8636
    @emmanuelnyansiro8636 7 лет назад

    mmmmmmmmmmmh