MWANZO-MWISHO: IGP Sirro aenda Kibiti na Mkuranga
HTML-код
- Опубликовано: 5 июн 2017
- Wiki moja tangu IGP Simon Sirro aapishwe na JPM kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, leo June 6, 2017 Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi amefanya ziara yake ya kwanza Kibiti na Mkuranga kutimiza ahadi baada ya kuombwa na wazee wa maeneo hayo.
Eneo hilo la Pwani ni miongoni mwa maeneo ambayo mauaji yameripotiwa.
Safi kabisaaa kamanda Sirro piga kazi mungu akubariki katika kazi zako
safi Sana kamanda! nakuamini hayo madogo Sana kwako
mungu awabariki maskari zetu mfanye kazi iende salama wananchi tuungane kwa pamoja kuwaombea hawa askari ili tu nchi iwe salama ila sasa police mcburuzee ovyo RAIA katika upelelezi wenu
huyu jamaa anapendwa na tz nzima
Kamanda Sirro, yuko vizuri
kaz nzuri kamanda siro
huyu Sirro n Jembe aisee ataendana na kasi ya JPM
siro uko Vizuri
nakutakia kazi njema mh.IGP sirro
arafati mjungu
tunawatakia kazi njema polic wetu wa tz mungu awe nanyi kwa wote
Allah nijalie nikutane na IGP siro mana namkubali sna anipe japo kazi ya kusafisha viatu vyake 😢
huko ni kuchupa mipaka. muogope Allah. jidhalilishe kwa Allah ni haki yako na siyo kwa mwanaadamu mfu wa kesho mchanga wa kesko kutwa
Abdallah Ally allah akuzidishie imani
Aaaaaa jamaniiii
yaaaaani anafanya kazi kwakweliii ana wajari wana nchi wakeee MUNGU azidi kumjalia siro
Safina TV kazi alishatoa niwewe tu kujituma. Ukimjua muharifu ukamtaja mln 10.
mungu akuoneshe njia
Pamoja sirro
pigakazi sirooo nakukubar ataivo mh....... alichelewa kukuteuwa ungukuwa umeshaimaliza hiyo inshu salut kwako siroooo nakutakia kazinjema
Sirro fanya kazi yako
Inshaallah mungu akuwezeshe SIRRO hakuna mafanikio bila ushirikiano na raia
Allah akujalie IGP Siro. ww ni zaid ya komando. Siro is the best.
hongera sana
kweli kabisa tumezoea aman katika nchi yetu
Verry Good kamanda sirro
safii sanaa kamandaa zirroo
Mwenyezi Mungu akutangulie ktk operation hiyo mkuu!
Sasa waTanzania tumepata IGP tuliokua tunamtaka kiukweli amenifurahisha sana kuomba radhi kwa wananchi kwa mateso na manyanyaso waliokua wakiapata wananchi juu ya askari, huku wahusika wakiendelea kufanya mauaji wananchi walikua katikati hawajui cha kufanya maana hofu iliwajaa juu ya kikundi cha wt wachache wanaofanya mauaji ya kinyama huku jeshi la polisi nalo likiwanyanyasa wnch, lakini hilo sasa kamanda Sirro umeliona sasa tupo pamoja na wewe umetupa imani nasi tunakutakia kila kheri, pongezi kwa mzee Magufuli kwa kututeulia kamanda wa kweli chapa kaz kamanda mungu atakuongoza kwa barka zake.
endelea kuamuru kazi za kuhuzunisha kama ya imam Salum upande cheo zaidi
Kazi ilishafanyika wajinga mlipnga
good
safi sana watapatikana tu Mungu bariki jeshi letu la porice
kazi njema kamanda sro Mungu akuongoze zaidi
Bravo Sirro
Safi xana IGP
kazi njema IGP S irro
safi sana
helloooo
huyu mzee is brilliant....
kila la heri Mkuu Siro
kazi njema baba
Sirro unajua nakukubali sana
inasikitisha
Fanya the best IGP hiyo hali inatisha sana
hongera sana kamanda wewe ni bonge la mtu
Huyu IGP apewe mauwa yake tz haijawai kupata IGP alietekeleza majukumu yake kizalendo kama silo
Hongera kamanda Sirro kwa kutambua kua suluhu iko kwenye jamii na kutambua mchango wa jamii hasa wazee katika kutatua changamoto polisi ni jamii kwa ajili ya jamii police wote wajue hilo na kujali jamii big salute kwako kamanda Sirro.
saf kamanda
safi kamanda tunakupenda Sana unawasikili watu wa ngazi ya chini!!!!!!
chapa kazi
sirro Fanya kazi muda ndio huu
IGP SIRO NAKUKUBALI 100%
Hongera baba kwa kazi nzuri
wenje na masha wanakujua hupindishi mambo kama utakua hujabadili pambana haki kidogo hua haki kubwa barikiwa kamanda
kazi ya siro naiyamini % 150 hadi LEO namba yake ninayo namkumbuka sana enzi Za tanga. big up
Danny HASARA TUPU nasikia alisafisha mitaa yote ikawa kimya!
Danny HASARA TUPU naomba namba yake
Danford mwigune wataka namba ya nani
You should watch your back ma guys. Kutokana na vyombo vya habari hao "manunda" wana tabia za kuvamia! Kama wana silaha kali na nyengine ni mali za Polisi si ajabu pia wakawa na mabomu. Kuweni makini na ziara na safari zenu walinzi wetu!
watu wamepigwa na wamepoteza lasilimali zao ,usiwaombe radhi bali walipwe kwani jeshi ndio limesababisha baada ya kulinda wakaamua kuchukua mali zao,
Huyu jamaa ni Mashine balaa, namkubali lazima afanye kweli
kulinda raia na malizao ,
Kibiti safiiii, shikamoo afande siro
hao watu watafutwe wandhalilisha tz yetu
HAO WANAOJIITA MAGAIDI UA WOTE....HALAFU HAWANA NGUVU YOYOTE KWANZA WAKONDEFU KAMA NINI....
Nimempenda bure huyu IGP.
ivi kwa mfano yan ao mkiwakamt itakuaje yan ,,,yan siku iyo piken tu ugali mishkak kwa saan
tuko Pamoja mkuu
pongezi za dhati kwa kamanda IGP Sirro.Kila LA kheri katika kuwafikia waarifu.Ila kinacho niuzi ao walio vaa mikofia ya chama Na nguo za chama. kwani apo kulikua Na mkutano Wa chama. wana boa Sana😈😈😈
Hapa Magu hakukosea. Sasa jeshi la polisi litabadilika na kuanza kushirikiana na raia. Watu pelekeni taarifa shida hii iishe.
safi sana Ayo Picha ni Clear balaa
simba wa vita huyoo!!
Peace & Love
siro mm cnaga ofu na ww uko vzuri uliituliza dar ualifu umepungua sana
keep it up IGP SIRO.
Mungu akupe nguvu na intelligence ya kutosha kufanya kazi..
swadakta
kazi njema mzee sirro
احساس احساس m
Very nice
IGP SIRO yuko vzr
Baba fanya Kazi anayeua kwa upanga nae anastahili kufa kwa upanga
Damage have been done
mmm
Mungu akubariki katika shughuli zako ili amani iweze kutawala
Ramadhani Njema Wote
ni nahitaji namba yako IGP Siro
Mimi wananiuzi wakienda kwenye vikao lazma hata visivyohusu chama lazma wavae misale yao
wewe charles hujielewe kwahiyo ulitaka wavae nguo za mkeo unajua maana yakazi yao akiwa kazin lazima youn form zivaliwe uwe unajiuliza sio kulaumu
Stupid Lucy mgulunde
Tena jieshimu pumba ww
+Charles Chasila mwenyewe wewe ndio unaongea pumba
Lucy Mgulunde tatzo akili huna
umarikiwesana mzee sirro
sina shaka na IGP"
mshadanganywa
Soma post yako leta majibu tahra wewe
Kaz kaz!!!! Kamanda sirro bg up
100% IGP
kazi njema kamanda SIRRO,watanzania wote wapo nyuma yako,tanzania yetu ni ya amani ,Rais amajua wewe ni kamanda wa operation, safisha uchafu wote
asant ayotv nipnd sn
kamanda sirro "Atakae kamatwa no man leave behind
our leader done well
hapa isingefaa kabisa kuvaa mavazi ya kivyama...hili ni tatizo
nakubali Sana kamanda fanya yako ndugu
big up
Thanks
Watu wanamagari mpaka ya milioni 500 wakati wengine hata baiskeli kitendawili..
Salehe Innocent kuna mtu kakuzuiya kununua gari acha porojo fanya kazi
+Emanuely Chacha kaz iko nyuma yako waniruhusu niifanye wagu?
Sisi tumeona kitu kwa Mh Rais kukuteua kuwa mkuu wa jeshi ila mtangulize Mungu mbele utafanikiwa jiamini rudisha tena matumaini ya amani tuliyoanza kuyapoteza mungu akuonyeshe njia
pikipīki zipigwe marufuku mijini ndio chanzo cha uharifu sana mijini namuunga mkono kamanda wetu siro
Godfrey Sanga mi nashangaa izo bodaboda.,waweke tu baiskeli mijini! 😆😉
kazi ningum ila pambana father utamaliza xlama
Bongo Environmental problem .Sisomi .niwe ..............
Safina mbavu zangu hahaaa
Hivi kuna kampeni bado vipi makofia hayo na hizi brauzi
hicho ndicho kinachotakiwa katika uongozi sio mabavu
ubabe mwingi namabavu kuwakandamiza wapizani nakuwapiga viwete marungu lkn maarifa hamuna sas iyo misare yaccm niyanin umo
hizo ndio mbinu za mapambano
Mwendo ni uleule baba hii ndio yenyewe lazima wajue tu kazini
tunakuaminia kamanda
hao majambazi wapo hapo hapo wanawachora tuu,wamekuja kuwasikiliza
siro siro siro siro siro👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
sasa tuwakusanye waganga maana mambo magumu ,kweli waganga wanasaidia sasa Mungu anaambiwa asiwahukumu Mungu simwanadamu ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga
akunaga polisi mzuri ww jiongeze
wanakibi ,ikwiriri,rufiji ,kaeni mkao wa kuibiwa na jeshi la polisi maana wao wakiingia sehemu wanawaza pesa sio
mmmmmmmmmmmh