UNITALENTSHOW|PERFOMANCE|SEASON 04|UNTOUCHABLE (NIT) - NIRUHUSU NICHANE
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2023
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04 - Развлечения
Uyu jamaa asiposhinda msimu huu sijui mtatuambia Nini🙌🙌🔥🔥🔥
Yaan nitaacha kuangalia
WJB humjui?
anajuaaaaa Hadi ana kera
@@sautiyaradiramazani-xv3fr wjb hajui utunzi..sks ni zaidi
Oyaaa uhakika🔥🔥🔥
Tulio angalia zaidi ya mara 1 tujuane°°°🥳🥳chiiii yeeee!!🎁
I will still watch million times manze this man have a talent...
Untouchable sijui ilikuaje haukuwa hata in Top three, this talent is lit 🔥🔥🔥
Untouchable kma Jina lake vile 🔥🔥🔥🔥🔥
This guy deserved top 2. Pure talent🔥🔥🔥
Jmn,,naona kaligraph hpa
Skk beibe! Kutoka Kenya bro wee ni mzii
Siidharau kazi ya sks, na appreciate midundo yake, lakini kwa finally baba ongezaaa skills na madundo ya ma producer wengine tuimarishe huu ushindi wa hizi 10M, na usirwe sifa finally utaharibu, fikira na ubunifu vitangulie, mihemuko na papara tupa vikafie mbali
Best of lucky untouchable 🙌🏽
Oy babu we ni balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥usiposhinda niite mbwa nikopale nimekaa
mbna unitalent mpo kimya mmepotelea wp
Untouchable, mpeni huyu jamaa 10m yake.
Untouchable😢😢 why not you😮,but one day yes
Sks baaaby napenda sign yako bro
Jamaa ametishaa mno,🔥 untouchable 🙏🙏
Mshindi wetu sisi ❤🎉
Mwaka huu mwisho wa kufuatilia shindano lenu
You has my back bro👊🧠
SKS BABY UNTOUCHABLE 🔥🔥
DAMNNN... this guy has a BIG TALENT its time for rappers such as Wakazi and Gnako to support this guy
Nomaaaa sana
Nimeipenda hii kali san jamaa kauwa yaani ametisha
254 unatesa Sana broo uyoo msee asiposhinda this time ,lazma tuende kotini this guy is amazing 😂😂 ako fine Sana hatari sana
Bro hii ngoma haijawah nichosha
Milion 10 inaenda sehemu sahihi
Safi saaaaana mzee baba 🔥 🔥 🔥 🔥
talented rapper to exist🔥🔥🔥
YoungMAN He deserves crown 🔥🔥
PURE TALENT 🙌
Huyu jamaa asiposhinda sijui.. naamini atashinda,anajua sana na anajua sana.... taasis na watu wakubwa wamuone
🎉🎉🎉🎉🎉 fire 🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥oaaa weee
Kaka good.sana
He kill it 💯💯✅
nitafanya
..broo ngoma imetulia
Kijana naomba unitumie no yako please tupeane maua kdg🎉
WALIM NYIMA LAST YEAR , MSIMU HUU WATAJITETEA NINI
Jiniiiiiiiiiii,anajua ad anakeraa
Mwamba noma sana oyooh
Jamaa anajua sana Mimi nimpatia100%
Jamaaa anatisha sana
bro mwaka wakizingua tena tuna kata rufaa.🤝🤝🤝🤝
Uyu yan anaflow bila kuforce
Pure talent
Admin huyo mwanafunzi wa nit sio Dit ohooo😅😅😅 naona kwenye video umeandika DIT
Dha mwamba ametisha sana💯
Noma sanaaa
Go kid kid go
Big tallent
Very talented
Noma
Jamaa anajua
MILION 10 IPO KWAKE MPAKA G NAKO KASEMA NOMA
TALENTED NGOSHA
Kuamamkeeee umeuaa
Ni hatari sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana
Asipo shida naua mtu💪💪
Alwayss unafanya vizur
Mwamb nakukubal xan
Balaaaaaaaaaaaaaaaaa
Jamaa tuzo lazima
Jamaa kumbe n mkalii
✊🏿✊🏿👊🏿✊🏿👊🏿✊🏿👊🏿✊🏿✊🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali
Snaaa
🙋🙋🔥🔥🔥💯
Moto
✋✋✋🔥
@Untouchable kipaji unacho tunaamini utatoboa
💪💪💪💪
Mwambaaa
Huyu jamaa apewe maua yake hundred percent
Tuliorudi kuiangalia tena leo tujuane😁
Mshindi huyo
🔥🔥🔥🔥
Nomaa sanaa
Mpeni helq zake,kashashinda huyu
😊😊😊
Same song you can record it and can be your big hit
Bongo utapeli ni mwingi
Ni noooma
Yani hapo mpaka G-nako anatamani amuambie dogo amuandikie, maana du
Asiposhind huyu jamaa duuuh!! Nahs itakua huge disappointment
🔥🔥🔥