Miss Shinyanga: Najuta kutembea na MC Pilipili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Aliyekuwa Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ameelezea penzi lake na MC Pilipili, pamoja na uamuzi wake yeye kuimba nyimbo za Injili.

Комментарии • 503

  • @zuhuraakida5932
    @zuhuraakida5932 7 лет назад +2

    You are so beautiful bby girl...utapata akupendae na atakaempenda mtoto wako...much love from sweden my love❤

  • @ansilaulotu7178
    @ansilaulotu7178 5 лет назад +1

    Don't regret love
    It is okay
    There's a good reason for everything that we pass through
    Look at that beautiful voice❤
    Nimekupenda tu

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 5 лет назад +3

    Honengera wajina wangu.mrembo unajiamini mzuri.safi sana

  • @fatmaahmed8141
    @fatmaahmed8141 7 лет назад +25

    She is sooooooo beautiful mashaallah

  • @rosechami649
    @rosechami649 7 лет назад +3

    Nimekupenda sana una confidence ya kutosha beautiful na sauti nzuri

  • @happythomas2676
    @happythomas2676 7 лет назад +49

    Nimempenda sana huyu mdada. Mungu akupiganie

    • @hosianakibona659
      @hosianakibona659 7 лет назад +1

      ar u like this woman??

    • @shigitau7548
      @shigitau7548 7 лет назад

      hosiana kibona hahahhaha why u asking are you team mafisi?

    • @hosianakibona659
      @hosianakibona659 7 лет назад

      Shi Gitau no. Nimependa tuu

    • @fibolychifunda6639
      @fibolychifunda6639 7 лет назад +1

      nyinyi wanawake wa kitanzania kuweni na akili,hao wasanii wanawatumia kuweka vichwa vya habari,katika Mila za watanzania kumpeleka mke ukweni huku Isha julikana katembea na watu kibaooo ni aibu.

  • @suhailaali4175
    @suhailaali4175 5 лет назад +2

    Mwanamke unamsimamo kweli! Ukisema no unamaanisha no! Hongera!

  • @omarally4237
    @omarally4237 7 лет назад +6

    damn! i like the way she speaks english. very beautfiul lady on board!

  • @hassansadallah8277
    @hassansadallah8277 7 лет назад +7

    Oooooh jaman pole sana Mdada, But worry out I'm her to Uuu come to me please jaman, me huw namkubal sana huyu Dada nimeumia sikia hivy nikutanishen nae mie baada ya Ima 🙏🙏..!

  • @naomidaniel5425
    @naomidaniel5425 5 лет назад +15

    Kuna watu wakorofi jmn mnamlaumuuuu kama nyie mpo perfect vile kwanza anajibu interview zake vzr tu na anaakil sana mnalalamaa nyoko sioni baya hata moja alilojibu

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 5 лет назад

      Sawa ila asitufanye cc mafala bana ata mtoto udanganywa ila kwa uyu bas mtoto kajua nimedanganywa au wewe nae nikama NICOLE au

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 7 лет назад +146

    fahari ya Dunia inabaki Duniani.
    hakuna jipya chini ya Jua. Yesu ndie njia kweli na uzima. kama unataka pendo la kweli liko kwa Yesu

    • @cuteisheroman764
      @cuteisheroman764 7 лет назад +4

      Gideoni Mathew yesu nwenyew kwani alioa??mmepotea sn njooni kwa MOHAMMAD (S.W.A)upate ngoma nne 😆😆😂😂

    • @elipidiussimon2621
      @elipidiussimon2621 7 лет назад

      Dada mrembo da

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 7 лет назад

      Cute Isher Oman 😂😂😂😂 shwaini kbs😊kanywe soda naleta jero la bili💃💃💃

    • @MariamsLifestyle
      @MariamsLifestyle 7 лет назад

      Habari karibuni kwenye channel yangu bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu

    • @mosesmlowe8033
      @mosesmlowe8033 6 лет назад

      amen your good God bless you

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 7 лет назад +1

    ameeen nmekupenda bure ubarikiwe Dada wimbo mzuriii

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 7 лет назад +1

    Masha allah uko muzuri sana akisha umeva vizuri san

  • @moudmwaifwani1355
    @moudmwaifwani1355 6 лет назад +2

    Umenigusa kwenye wimbo you're voice is mmwaaa

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 6 лет назад +2

    Your very talented, beautiful, confidently, truly, I love youuu pretty.

  • @hanifakimaro2179
    @hanifakimaro2179 6 лет назад +2

    Awwwwwwww she is soooo beautiful 😘😘😘

  • @pendomasawe163
    @pendomasawe163 7 лет назад +1

    I like the way u have a confidence so good

  • @zuhuraakida5932
    @zuhuraakida5932 7 лет назад +7

    Love hurts so 💔💔much i understand you...😔😔😔

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 7 лет назад +7

    We dada unaimba vizuri mno mno Sana Tena Sana kwa Nini usiwe Muimbaji. Pia you're very beautiful

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 7 лет назад +22

    Nasema hiviiii!!! Hu mrembo na unaejiamini! Wala hujachelewa, namuona wazi Mume atakaekupenda Kwa dhati mbele yako!!! Unachohitaji ni kutulia ,,ngojea wakati wa Mungu Ufike.

    • @estercheyo6690
      @estercheyo6690 5 лет назад

      janet mwenye Heri. Umeongea mdada..watu wanavyomtukana na kumsema vibaya as if wao wako perfect..nmeoenda comment yako

  • @reydayson9166
    @reydayson9166 7 лет назад +1

    nimependa sana sauti yako Dada hongera unaimba vizuri

  • @bobjihn264
    @bobjihn264 4 года назад +1

    Tell her I am interested if she is still available

  • @BarakaKitale
    @BarakaKitale 6 лет назад +1

    Nice interview sana sana

  • @thomaslulu6723
    @thomaslulu6723 3 года назад +1

    Ndo tatizo la umiss,nadhani wengi wao wanatumiwa na viongozi waandaaji pamoja na waamuzi, kutimiza haja zao kimapenzi,mbaya sana.

  • @marydamian1967
    @marydamian1967 6 лет назад +1

    Sauti nzuri wew ni muzuri hongera sana

  • @kenyomarion5605
    @kenyomarion5605 7 лет назад +28

    Nikole you such a beautiful , gorgeous and classy woman, I love you so much...alafu the good thing about this girl she is from a well off family, I studied with her brother Deogratius , I know them very well , there is no a single man to stress her

  • @tinopascal7151
    @tinopascal7151 5 лет назад +1

    We Dada mzuki sana jmn hongera kwakujiamin

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 6 лет назад +12

    achana na kucheza na Mungu leave gospel dada, gospel is Holly, amua kutengeneza maisha yako na Yesu kwanza umeacha upo Tena na mwanaume na unaimba gospel utapata shida

    • @marypaul3480
      @marypaul3480 5 лет назад

      Asanteeee Mungu n mtakatifu anasifiwa ktk utakatifuu na c michanganyooo

  • @aneyshamelakiti7396
    @aneyshamelakiti7396 6 лет назад +4

    This woman is soo beautiful jamani, Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @saudatamiry1966
    @saudatamiry1966 5 лет назад +3

    Unajib vizuri we mdada...

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 5 лет назад +1

    Mungu akusaidie...

  • @rahisalovely9622
    @rahisalovely9622 5 лет назад

    Ur voice is a killer ila unaonekana unaringa Dada mmh..sura tu umejaaliwa mashaallah

  • @mcnjovu3525
    @mcnjovu3525 5 лет назад +2

    Njooo kwangu nikupe mahapa mubashara

  • @harunahussein6717
    @harunahussein6717 7 лет назад +8

    Mdada mzuri...... Anajibu vizuri...
    Big up mrembo

  • @irenethomas8654
    @irenethomas8654 7 лет назад +1

    your self awared and beautiful.... be strong

  • @rosekhamis3511
    @rosekhamis3511 5 лет назад +1

    Nmependa umejistili

  • @furahababy1169
    @furahababy1169 5 лет назад

    dada umrembo naunasauti nzuri mungu akubariki

  • @sayrachuna6705
    @sayrachuna6705 7 лет назад +11

    msichana mzuri sana..pilipili umenda kwa rose ndauka hata hamuendani huyu dada yuko poa sana

  • @happypa2027
    @happypa2027 5 лет назад +1

    Usijal dad uko poa tuliy wak ik njiyan mung anamuand nimepend saut yak😍

  • @ansilaulotu7178
    @ansilaulotu7178 5 лет назад +1

    She's so smart and beautiful

  • @edsonmbilinyi8551
    @edsonmbilinyi8551 7 лет назад +10

    She looks so clever! Kwakwel she's very much talented! Maelezo tu yapo clear Sanaa.......jaman kwenye miti hakuna ujenzi.....

    • @naomikileo8622
      @naomikileo8622 7 лет назад

      EDSON MBILINYI kweli

    • @edsonmbilinyi8551
      @edsonmbilinyi8551 7 лет назад

      Maelezo yake kwakwel ni clear.....na she's perfect. Kinachothibitisha kuwa huyu Dada aliachwa kwa hila ni ktk maelezo yake ambapo Dada hataki kumtuhumu (sue) kabsa pili²......hapo manake she volunteered love to him but pili² didn't appreciate it.....

    • @edsonmbilinyi8551
      @edsonmbilinyi8551 7 лет назад

      Kwenye miti hakuna ujenzi......lakn hatujui may be pili² anasabab ya msingi but hali hii nadhan issue ipo kwa pil²

    • @naomikileo8622
      @naomikileo8622 7 лет назад

      Mapenzi yana mambo mengi sana so stressful yani mpaka unatamani yasingekuwepo

    • @naomikileo8622
      @naomikileo8622 7 лет назад

      Sure

  • @officialneemareinhard544
    @officialneemareinhard544 5 лет назад +3

    mzuri miss shinyamga kiliko huyo mena

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 6 лет назад +2

    Piga kazi mama wala usijutie mtegemee Mungu utapata furaha ya kweli wenye chuki ukijua kuwapuuza hawakusumbui.

  • @didamugya6039
    @didamugya6039 6 лет назад +9

    Eti kilamtu alikuwa anajua unadate na Pilipili, mi ndo nimejua Leo. Ila kadada ni kazuri

  • @hamisiseleman5426
    @hamisiseleman5426 7 лет назад +2

    Hyu dada nampenda ndo roy yangu

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 6 лет назад +2

    Beautiful n Brilliant

  • @marydamian1967
    @marydamian1967 6 лет назад +1

    nakupenda wew mdada jmn

  • @hildakaaya6924
    @hildakaaya6924 7 лет назад +5

    jomoni....nmekupenda bure we dada

  • @happinesscharles3943
    @happinesscharles3943 5 лет назад +2

    huyu dada nimzur sana zaidi ya filomena

  • @rukiaomar4253
    @rukiaomar4253 5 лет назад +2

    Pilipili ana zalau hanasema ajawai kuwa name dem mzuli huyu mzuli mashallah

  • @lovekyungai2658
    @lovekyungai2658 6 лет назад +1

    unaongea vizuri sauti nzuri loveeeeeeeeeu

  • @aminalasuli3550
    @aminalasuli3550 7 лет назад +2

    hyu Dada n mzr sana jaman Mungu atampa wake

  • @hodhanfarah438
    @hodhanfarah438 7 лет назад +4

    Ana msimamo sana,She is really good!!!

  • @cathiemgesi8000
    @cathiemgesi8000 7 лет назад +1

    we mdada ni Mrembo jamani 👌😍

  • @vanyvine8903
    @vanyvine8903 7 лет назад +10

    dah mdada mzur saut nzur daaaaaaah,,uwe wiii wangu bathiii

  • @sarahyohana6400
    @sarahyohana6400 7 лет назад +1

    Uko vizuri Dada.

  • @immaculatejohn1288
    @immaculatejohn1288 5 лет назад +1

    huyu Dada nimempenda

  • @jupiterprey7027
    @jupiterprey7027 7 лет назад +3

    in all respect God made you huuuuuuuu nice

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 6 лет назад +3

    She is really dope

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 7 лет назад +1

    You're among of the beautiful girl in Tz.

  • @shamyandward4623
    @shamyandward4623 6 лет назад +1

    kazuriii sana 😘😘😘

  • @iddibama6819
    @iddibama6819 7 лет назад +1

    am impress with this Girl ....

  • @rahmamohamed2013
    @rahmamohamed2013 5 лет назад +1

    The girl she is so beautiful

  • @ockisiliarogation9731
    @ockisiliarogation9731 5 лет назад +1

    Nimempenda huyu dada

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 лет назад +1

    yaani huyu dada mzuri anatakiwakua miss tz

  • @mkamimatha2692
    @mkamimatha2692 6 лет назад +6

    hee huyu Dada anaongea sana anaonekana kwani kipindi anafanyanae mapenzi hakujua kua ni anamzidi umri maneno mengi sana

  • @twaiburashid2903
    @twaiburashid2903 5 лет назад +3

    yan uyu dada n mzuri kulko ata mchumba wa pilpil

  • @liliankamara4208
    @liliankamara4208 5 лет назад +1

    You are very beautiful girl ❤❤❤❤❤

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash9016 7 лет назад +13

    mdada mzuri sana

  • @raymondprosper7790
    @raymondprosper7790 5 лет назад +1

    Ila MC pilipili mjanja sana doohh

  • @mjsaidkeya822
    @mjsaidkeya822 6 лет назад +1

    U have voice

  • @natashaally192
    @natashaally192 7 лет назад +2

    this lady is stunningly gorgeous!..mungu amsimamie..

  • @KhadijaKhadija-ed5gj
    @KhadijaKhadija-ed5gj 7 лет назад +10

    dada wew mzur mashallah

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 5 лет назад +1

    She is beautiful jamani

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 лет назад +1

    Haya nimeona jaribu kupitia kwangu bonyeza picha kushoto utafurahi usisahau ku SUBSCRIBE

  • @dafrozakagali847
    @dafrozakagali847 6 лет назад

    Nicole wewe ni dada mzuri na unasauti ya kumtumikia mungu. Ila inaonesha ujui kusamehe Nicole. Ila tambua hakuna mkamilifu chini ya jua,hvyo ni vema ukamsamehe Emanuel na utakase moyo wako

  • @lucychacha1007
    @lucychacha1007 5 лет назад +1

    Sofa na utukufu vimrudie alone kuumba nimekupenda sana

  • @agnesdickson7612
    @agnesdickson7612 5 лет назад +3

    Beautiful than menaa,,,jikubali

  • @irynrobert7187
    @irynrobert7187 7 лет назад +3

    mekupenda dadaa duh majibu atar saffffffi sana

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 5 лет назад +2

    Kweli mama ni vizuri kuwa single

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 7 лет назад +1

    Looking good huh...

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 7 лет назад +1

    Uko vizuri kwa majibu.

  • @msigwaonestv9353
    @msigwaonestv9353 6 лет назад +1

    Good, nipe chance tu ya kuimba nawe gospel
    thanks

  • @janethmollel9618
    @janethmollel9618 5 лет назад +3

    Huyu dada mzuri sana ila anaonekana kuwa na majidai ^ maringo mno

  • @robertsindani5186
    @robertsindani5186 5 лет назад

    hongela dd

  • @benjaminmunkondya
    @benjaminmunkondya 7 лет назад +3

    Which Gospel My Sister?.

  • @lakimdiu2547
    @lakimdiu2547 7 лет назад

    nimekupenda

  • @nurumeshacki1788
    @nurumeshacki1788 7 лет назад +12

    Yaani katika watu wazinifu wakwanza ni wasaniii maraa ypo na huyu mara yupo na yule yaani ni uchafu tu

  • @ezekieljolam3961
    @ezekieljolam3961 5 лет назад

    Ujue wazur wataumizwa Sana kutokana na upuuz wao ndo unaperekea yawakute hayo mtupende makapuku utadumu

  • @maccrazy1456
    @maccrazy1456 5 лет назад

    Mzuri aisee

  • @godfreymwita1808
    @godfreymwita1808 7 лет назад +11

    MC pilipili ungemkaza vizuri huyu mtoto angeacha maneno mengi

  • @mafiaclic2544
    @mafiaclic2544 7 лет назад +4

    Nimekubali sura
    Dada simama nataka kukuona vizur

  • @droselafelix3078
    @droselafelix3078 7 лет назад +3

    Mh! dada achana nayo yote maisha tafta mwingne

  • @loveclinicaristotle5803
    @loveclinicaristotle5803 7 лет назад

    #spintanzania naomba namba yenu Nina shida na nyinyi pls

  • @minormine4417
    @minormine4417 6 лет назад

    I love it

  • @rauhiyaally3358
    @rauhiyaally3358 7 лет назад +32

    diamond hajamuona huyuuuu

  • @gloryanney5801
    @gloryanney5801 6 лет назад

    Dada we ni mzurii embu niacheee

  • @johnsemea751
    @johnsemea751 7 лет назад +6

    Nawe unajipandishaaa sanaaa....

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 5 лет назад

    Mungu akutunze mdogo wanngu

  • @y6y6hg77
    @y6y6hg77 7 лет назад

    Mashaallah my sester