Jinsi ya Kufanya Maombi ya Kazi za Mashambani UK, Visa na Usafiri ni Bure

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Link ya email ya kuomba link ya kutuma maombi Hii hapa 👇
    FW-recruitment.services@markallengroup.com
    Link ya website ya kutuma Maombi Hii hapa 👇
    jobs.fwi.co.uk/
    Link ya Website ya Serikali ya Uingereza kama unataka kuona vigezo vya muombaji kazi Hii hapa 👇
    www.gov.uk/sea...
    Kama hukuangalia video ya kwanza kuhusu Nafasi hizi zaidi ya elfu 55 za kazi za Mashamabani UK Angalia hapa 👇
    • Zaidi Ya Nafasi Za Kaz...
    Kama hujaelewa iko video ingine ntakujua kukusaidia namna ya kufanya application vizuri unachotakiwa ni Kusubscribe ili uweze kuona video zinazokuja.

Комментарии • 590

  • @outinjesusname8268
    @outinjesusname8268 Год назад +5

    My brother naweza fanya aje kwa kweli manake napeda kazi ya shamba sana

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Fanya Application ya iyo kazi unaweza kuwa mmoja wapo atakae bahatika, Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

    • @notwextv4635
      @notwextv4635 Год назад

      Mbona ukifungua Ile link sioni sehemu ya kujaza hiyo application

  • @NeemRamadhani-j8h
    @NeemRamadhani-j8h 8 месяцев назад +2

    Kwa kweli hii so ya kupitwa,naomba niulize hii 2023 au 2024

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 5 месяцев назад +1

    Kusema kweli ninampenda sana huyu kijana na ushauri wake huwa ninauelewa sana ,❤

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 Год назад +1

    Ninao watoto wangu 2 wakiume mmoja kamaliza chuo kasomea kilimo na ufugaji lkn bado hajapata kz na kakake anafanya biashara tu hawana passport nisaidie tafadhali

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari yako Zainabu nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @Japhethniyogusenga-pl9xq
    @Japhethniyogusenga-pl9xq 9 месяцев назад +1

    Denis thank you so much kwakweri unatusanuwa zaidi ya tunavyoweza kufikilia mungu wetu akubariki your faithful japhete niyogusenga mnaeongea huko WhatsApp

  • @annyshayo1782
    @annyshayo1782 Год назад +1

    Ok, napenda kukupa shukrani zangu za dhati sana, naomba mawasiliano yako kama huto jari, ili nikutafute private kwa maana kwa sasa nipo safarini natokea congo nakuja Dar, hivyo nikifika nikutafute kwa maelekezo zaidi, nina ndoto za kwenda kufanya kazi ugaibuni na nahisi kwangu hii ni furusa ya kipekee, nakuomba brother MAGGESA nakuomba sana ushirikiano wako tafadhari

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Fanya maombi au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @alfredinamashasi9846
    @alfredinamashasi9846 Год назад +1

    Asante sana Mungu akubariki maana anatuwazia yaliyo mema ila mm napenda kufanya kazi nje je umri mwisho miaka mingapi

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Wenzetu hawana kimono ni uwezo wako wa kufanya kazi

  • @MarieLulu-k9u
    @MarieLulu-k9u Год назад +1

    Please nitafutie nitafanya kazi Bure ili nipate uaminifu na uzoefu. nitaftiye hapo jamani 🙏🙏

  • @thesavagegangkids9302
    @thesavagegangkids9302 Год назад +5

    Africa tungekuwa na watu 10 wa aina yako Basi tusinge kuwa namatatizo tunayo pitiya kwakweli Mungu akubariki Kaka yangu

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +2

      Asante sana The Savage Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

    • @AmiriIssa-np4hn
      @AmiriIssa-np4hn 4 месяца назад

      Kaka naomba uni saidie nipate kaz

    • @DenisDeodatus
      @DenisDeodatus 2 месяца назад

      Kweli kaka

  • @lovenessbakary-q1j
    @lovenessbakary-q1j 5 месяцев назад +1

    Mimi nimesomea kilimo cha matunda cha mda mfupi cha ubebeshaji wa vijicho na vikonyo nahitaji kazi

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  5 месяцев назад

      Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783

  • @BarubinaNyoni-it9ol
    @BarubinaNyoni-it9ol Год назад +1

    Kaka naomba unijibu miezi gan ambayo hiyo kazi ukiaplay uhakika unaweza kupata nafasi au kila mwenzi wao awana shida au wanamisimu km sisi africa

  • @BarubinaNyoni-it9ol
    @BarubinaNyoni-it9ol Год назад +1

    Kaka mimi nipo dubai ila naitaji iyo kazi je mwenzi kazi hizo December ipo maan tz naenda December kaka naomba unijibu msimu wa hiyo kz alafu nije WhatsApp msimu wa hizo kz na mkataba wao ni mda gan au miez mingap viza napata ya mda gn

  • @AshaMubarak-vp2wv
    @AshaMubarak-vp2wv Год назад +1

    Nashukuru paspoti ninayo swali umri gani mwisho unaokubalika

  • @shallykaim
    @shallykaim 2 месяца назад

    hiyo,,,,kka mmi nitaanza nao,,,,I believe,,,mengine mazuri atakuja,,,,

  • @cathypeter
    @cathypeter Год назад +1

    Mimi niko na passport naomba link yao nianze kufanya utaratibu ila kwa sasa mimi niko south Africa sasa sijui itawezekana?

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Cathy unafanya ukiwa nchi yoyote ile, angalia hapa jinsi ya kufanya maombi
      ruclips.net/video/dlu05ILGeFY/видео.html
      Maelezo Link Na Email Ya Kutuma Maombi Hipo Kwenye Description ya hiyo video Unaweza Angalia Tafadahari Hakikisha Unasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi, Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @khamissuleiman2166
    @khamissuleiman2166 Год назад +4

    Mr Dennis Mimi passport ninayo na nimekua nafatilia sana hizi nafasi ila sija wahi kubahadika.
    Endelea kutusaidia Kaka.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante sana Mr Khasimu Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Год назад +6

    Wengine tunazo passport tusaidie jinsi ya kuomba

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante sana Zuena Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

    • @frankplatinam
      @frankplatinam Год назад

      Nashukuru Kaka nitakutafuta sisi ambaho tulisha zoheya kusimama mdahote saluni kuchuma mimeya sitabu nashukuru sana

    • @MutomboJeanThierry
      @MutomboJeanThierry Год назад

      Hata mimi nitakucheki kaka yani nataka kwenda Europe kutumika

  • @ednasiwale1722
    @ednasiwale1722 Год назад +1

    Kama visa na usafiri bure mm nahitaji passport ninayo na nimefanya kazi hizo kwa miaka 15 kwa nimefanya nchi tofauti tofauti

  • @GLORIAE.NYENZA-om1xv
    @GLORIAE.NYENZA-om1xv Год назад +3

    👏👏👏👏👏👏👏namba Yako kaka kwa mawasiliano zaidi

  • @judithchaomwangolo7764
    @judithchaomwangolo7764 Год назад +3

    Napenda kufwatilia sana channel yako. Na hii ya Leo ni nsuri altho Mimi niko Kenya. Je ukiwa Kenya unasaidikaje iwapo nataka kazi uk

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Judith Kazi hizi hazima limitation unaweza kuapply ukiwa nchi yoyote ili mradi una vigezo vyote vya kusafiri nje ya nchi, Asante sana ujumbe wako Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

    • @mwamuzi
      @mwamuzi 4 месяца назад

      ​@@DennisMagessa kaka Ni vigezo vya visa tu au kuna na vigezo vya elimu?

  • @notwextv4635
    @notwextv4635 Год назад +1

    Mbona ulienda Kwenye hiyo link sioni sehemu ya kutumia maombi

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @kadipenda
    @kadipenda Год назад +1

    Ni vizuri sana kaka
    Shida mmoja apa adresse za ma kampuni maneno yani halifabeti hazionekani vizuri ili itusaidie ku apply
    Je yawezekana kuzitusukumia kwa miandishi Ya kuonekana. OK asante Mungu akubariki

  • @bekajoo1825
    @bekajoo1825 6 месяцев назад +1

    Alhaalh bless you every day....tutafika inshaaalh

  • @frolalinus6502
    @frolalinus6502 Год назад +1

    Naomba. Unisaidie kufanya maombi ya kazi. Uk. Kuchuma maapple me ninayo passport na. Unipe na. Ya whatsapp

  • @InnocentFaustin-fw7bs
    @InnocentFaustin-fw7bs Год назад +2

    Naitaji iyo kazi koz nauzoefu

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @rebanuszananiasz1248
    @rebanuszananiasz1248 Год назад +1

    Kaka mm nimekuskiliza vzuri sana na nakufatilia mno! Mm ni mtanzania ambae piah nipo abroad naish croatia-varazdin na nataman san nichangamkie hii fursa, sas ombi lako kwang ni kwamb kwamm ambae nipo abroad naweza kupata hii na procec zikoje..?

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Год назад +5

    Nataka niende nikajitowe muhanga huko elimu yangu ni bachelor degree ya Sheria, l'm ready to die while am there , nitakuwa shujaa

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +2

      Ha ha ha nimeipenda hiyo Mr Fikiri Hakika hakuna lisilowezekana chini ya Jua Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

  • @mageebwire922
    @mageebwire922 Год назад +6

    This is very informative and great information brother , i used to get information like this from Nigerians and Kenyans and they have been helpfully, this is more helpfully kutoka kwa Mtanzania mwenzetu

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Thank you for your Positive Feedback Mr Magee, Please make sure you subscribe, like and share so that many people can get these opportunities

    • @mageebwire922
      @mageebwire922 Год назад +1

      @Dennis Magessa and I happened to visit the website and registered, but I couldn't find the direct link to recruiters on weekly farms. There are so many recruiters. Kindly, if you can, get a direct link that one can post apply to will be useful. I happened to e mail them no response yet.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      @@mageebwire922 Go and watch this videowill help you, it has all the information, the link emails and website

    • @mageebwire922
      @mageebwire922 Год назад

      @DennisMagessa thanks I already did, and it is working well despite during filling the form the stage 6 and 7 for ag-hr /both agencies. Tanzania is not on the list of the countries , so it pose difficult to continue with the application.

    • @PhokambaleAdams-mq4bn
      @PhokambaleAdams-mq4bn Год назад

      ​@@DennisMagessanimechelewa kupata habali zuri kama iyi brother plz help me how can I find this change from you

  • @aizackemmanuel1043
    @aizackemmanuel1043 6 месяцев назад +1

    Kk samahani naitaji kuuliza malekani akuna kazisashambani kaziyakuvuna maepo kama zipo naomba tufanye kaziote kwazia ss

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  6 месяцев назад

      Nitumie message WhatsApp tafadhari 0766048783

  • @vitelinenyambura5650
    @vitelinenyambura5650 Год назад +1

    Assist me plz, I have applied my passport, I'm just waiting for it, don't leave, God will bless you

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      For more more assistance please Contact me through My whatsapp number +255655171096

  • @SHAFIIAbdully
    @SHAFIIAbdully Год назад +1

    Kaka mimi sina paspot nanatakasan kwenda uko sinakazi namimi nifundi umeme nakini uku tanzania kupatakazi ngumu nikilipata diliilo ntafulai san

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Ndugu yangu si vizuri kuwainjoi watu mafakiri na kuwatia tamaa MUNGU hapendi....

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi255 Год назад +1

    Mimi nataka kazi ndani jee.zipo.kaka

  • @AbelEshengoma
    @AbelEshengoma 7 месяцев назад +1

    Sasa tunafanya vipi namna ya kuasiliana nao,na makampuni ya kupitia

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  6 месяцев назад

      Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783

  • @SalimoMaulide
    @SalimoMaulide Год назад +1

    Naomba nitumie hiyo website nipo intrested na fursa hii

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 Год назад +1

    NAOMBA MAWASILIANO TAFADHALI SANA DENNIS

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @evancekinabo2595
    @evancekinabo2595 Год назад +2

    Kazi nyingi kwenye hiyo link ya mwanzo wanataka mtu permanent na awe na kibali Cha kufanya kazi uk

  • @fredmagge9247
    @fredmagge9247 Год назад +1

    Kaka Dennis kwanza awali ya yote nipende kusema mungu akubariki sana kwa moyo huo ulikuwa nao sasa Mimi ni mtanzania nina passport nahtaji hzo kazi nazid kukufuatilia zaidi nione ni namna gani naweza kupata fulsa hzo

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante sana Mr. Fred Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

  • @travixclay8990
    @travixclay8990 Год назад +1

    Mimi sina passport

  • @giselapeter5282
    @giselapeter5282 Год назад +1

    Kaka naomba nijue umri wanahitaji kuanzia miaka mingapi na mwisho ni miaka mingapi

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Kuanzia miaka 18 na kuendelea hawajataja mwisho miaka mingapi, watu wazima pia wanachukuliwa

  • @johnpeterbaraka4307
    @johnpeterbaraka4307 Год назад +4

    ubalikiwe kaka,natokea burundi nimependa sana kutujuza hizo habari nipo na wewe hatua kwa hatua nimependa sana youtube channel yako.nina passport nataka nianze harakati za kuomba nafasi hiyo

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Dennis Magessa
      3 minutes ago (edited)
      Asante sana Mr Johnpeter Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre

  • @swabahibatenga7478
    @swabahibatenga7478 Год назад +1

    Mimi ninayo passport naomba unisaidie jinsi ya kuomba

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp

  • @omamomanhelena9433
    @omamomanhelena9433 Год назад +1

    Hellow mimi naitaji na fasi kaka na paspot Ninayo

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @ramadhanvuai5100
    @ramadhanvuai5100 Год назад +1

    Broo mm nnakila kitu ila visa ndo changamoto naomb unifanyie maarif na mm nifanikiwe

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp

  • @veidianakawege-bh7pp
    @veidianakawege-bh7pp Год назад +1

    Nakupigia upatikana naomba tuongee naomba sanaaa

  • @octovinarichard7263
    @octovinarichard7263 8 месяцев назад +1

    Je Ina limit ya miaka? Na mwaka huu wa 2024 zipo hizo kazi za mashambani?

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  8 месяцев назад +1

      Kazi zipo nyingi tu na Hakuna limit ya miaka Nguvu yako tu,

    • @octovinarichard7263
      @octovinarichard7263 8 месяцев назад

      Asante sasa mie nahitahi hiyo ya mashambani ila aina hela Nina passport ambayo ndio ipo Ina process je itawezekana?

  • @alexndabatinya7953
    @alexndabatinya7953 Год назад +2

    Asante kwa video muhimu sana. Je hakuna limitation ya umri?

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +2

      Hakuna

    • @BakariChai
      @BakariChai 11 месяцев назад

      ​@@DennisMagessami Sina passport bro but nahitaji sana kazi utanisaidije

  • @AbiasMsumi
    @AbiasMsumi Год назад

    Magesa habari ya majukimu ninaitwa Denis Abias Nina miaka 46 nimekufuatiria Kwa muda kidogo nimekuelewa sana sasa je Kwa huu mwezi Wa Tisa je nitakua nimechelrwa kutuma maombi?

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Bado hujachelewa boss wangu Kama huwezi kufanya maombi nicheck WhatsApp 0766048783

  • @KarimChembela-pl2ic
    @KarimChembela-pl2ic Год назад +2

    Dah kaka umetumia akili moja ya ajabu god bless you bro

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +1

      Asante Sana Karim Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp

    • @NeemaAbdon
      @NeemaAbdon Год назад +1

      Asante Sana my. Bro

    • @NeemaAbdon
      @NeemaAbdon Год назад +1

      Ninaomba number yako Kakangu naweza kuongea na ww direct?

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 5 месяцев назад +1

    Tunakupenda sana kaka yangu usije tuagusha,wasaidie vijana

  • @Daniel-bj2el
    @Daniel-bj2el Год назад +1

    Nashukuru sana kaka endelea utuelimishe tunapataje

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Daniel Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 Год назад +1

    Asante kk sasa mm nataka sasa nafanyaje nipe muelekezo naomba namba zako pia ndio unijuze vzr

  • @RehemaNyakupola
    @RehemaNyakupola 3 месяца назад +1

    Kaka ubalikiwe nahitaji kazi namimi nimeishia la saba sina passport nisaidie kaka

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  3 месяца назад

      Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783

  • @evancekinabo2595
    @evancekinabo2595 Год назад +1

    Kiongizi nafanyaje mchakato wa kujaza paspot? Online

  • @gladysmurage2076
    @gladysmurage2076 Год назад +1

    Nko na passport

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +1

      fanya maombi boss kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 Год назад +1

    Nafuatilia pasi kwanza brother, tutawasiliana.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Год назад +1

    Kaka nimekukubali sana ila passport sina. Sijui nafanyaje boss wangu??

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari yako nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia hapa
      ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
      Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @saidkigozi6726
    @saidkigozi6726 Год назад +1

    Niekusoma kaka mimi pasipoti ninayo naomba mawasiliano iri unisaidie

  • @Glorykimambo7888
    @Glorykimambo7888 Год назад +1

    Kaka nashukuru sana ila naomba unitumie link ya farmers ili ni create account

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari Glory Link ipo kwenye description au maelezo hapo, kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu, Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

  • @hamadiiddi5700
    @hamadiiddi5700 Месяц назад

    More blessings

  • @thesavagegangkids9302
    @thesavagegangkids9302 Год назад +2

    Kaka Mimi Niko Burundi naitajii musada unisaidiye gisi ya kupata kazi naitajii sana kazi

  • @christinamichael4626
    @christinamichael4626 Год назад +1

    Lakini pia nina swali je nimtandao gni wakuweza kuaplai hizi kazi mm ukwli sjaelewa hapa please 🙏 nisaindie

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      maelezo yapo kwenye description kama uelewi tafadhari kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @danvincentotieno1
    @danvincentotieno1 Год назад +1

    Sasa mi mkenya Sina international passport ninaye ya EAC

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Dan Tafuta Passport ni muhimu sana Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 Год назад +1

    Asante ila mie ndo kwanza naiona nakupataje ss nikukonekisheni na vijana wangu

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari yako Zainabu Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @floriansimwinga3037
    @floriansimwinga3037 Год назад +3

    Hongera sana kaka Dennis Mungu akulinde sana

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +1

      Nashukuru sana Florian tafadhari naomba share ili watu wengi wasubscribu na wajifunze pia lakini usisahau kulike video zangu hii inanipa kujua wangapi wananifatilia na wamependa video gani ili niweze kuendelea zaidi

  • @paromaprevious217
    @paromaprevious217 Год назад +1

    Hallo,tutumie link pls

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      sante Sana Maelezo Link Na Email Ya Kutuma Maombi Hipo Kwenye Description Hapo Unaweza Angalia Tafadahari Hakikisha Unasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi, Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @MariamChitanda-h6k
    @MariamChitanda-h6k 8 месяцев назад +1

    Mim nahitaji kaka hiyo kazi nimtazania Niko omani paspost ninayo😊

  • @davidmaina4379
    @davidmaina4379 Год назад +4

    Nakushukuru Sana Kaka Dennis Kwa kazi nzuri unayo zidi kuifanya , Mungu wetu azidi kukubariki Na akuonekanie Katika maisha yako

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante sana Mr. David Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

    • @twallybmabula9681
      @twallybmabula9681 Год назад

      Habar mi sina passport

  • @lucyemmanuel5721
    @lucyemmanuel5721 Год назад +1

    Kaka ubarikiwe sana, mm nahitaji sana hiyo nafasi na Sina passport nifanyaje pia naomba mawasiliano yako

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Nimetoa video ya passport unaweza kuangalia au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @muhamedally1962
    @muhamedally1962 Год назад +2

    kaka mimi sina passport utanisaidiajee

  • @JeremiahMpuli
    @JeremiahMpuli 8 месяцев назад +1

    Na taka sana lakn sielew nifanyaje

  • @theresiagratta5796
    @theresiagratta5796 Год назад

    Dennis
    Nipo tayari kwenda
    Ninayo passport
    Naomba mawasiliano
    Kama inawezekana

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @mwakalikuhossana3942
    @mwakalikuhossana3942 Год назад +2

    Mimi Sina passport nitamani kwenda jina hosana mwakilembe

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari yako Mwakaliku nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

  • @FraziaKibuga
    @FraziaKibuga 3 месяца назад +1

    Kaka Mimi Leo nmepata video yako na ninatamani unisaidie ili mwaka huu nipate

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  3 месяца назад

      Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048787

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Год назад

    Kaka hujambo nimefurahia kukutana nawe mara ya kwanza leo ,mimi mkenya nina passport yawezekana?na njia ni hipi? please maomba unijibu

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      tafadhari pitia video zangu utapata maelezo ya kutosha pia nimeweka contacts zote kwenye description kama link, number za simu na emails, Tafadhari hakikisha unasubscribe ili uwezekuendela kuangalia video zangu zingine, pia nitafurahi kama utashare ila ni muhimu sana kulike video uliona nzuri kwako ili mimi niweze kujua video hipi watu wako na interested nayo ili niendelee kutoa useful infirmation about it

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Год назад

      ASante nitafatilia nishalike pia nitashare

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      @@user-cg3vf2bl6b oky asante sana

  • @RahullSaid
    @RahullSaid Год назад +1

    Kaka Mimi ndung yako nataka iyo nafas ila sijuwi lolot nisaidie kuniyombea

  • @isabellahnyatichi4472
    @isabellahnyatichi4472 Год назад +1

    11:46 mi niko kenya niko na passpost nitafanya aje

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @DaudKhamis-vp7nd
    @DaudKhamis-vp7nd Год назад +1

    Mimi naitwa daud khamis makame sasa hizo kazi mbona hamtubii na kiwango Cha mshahara

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Nimeweka viwangi vyote Boss wangu kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @sipekato5249
    @sipekato5249 11 месяцев назад +1

    Fursaa tumezskia Sasa Kama ujui kingerezaa hapo inakuwaje na mtu kazi unazihitaji

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  11 месяцев назад

      nicheck WhatsApp kwa namba hii 0766048783

  • @julietjotham8812
    @julietjotham8812 Год назад +2

    Kaka mm nahtaji ila sina passport help me pls🙏

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Habari yako nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia hapa
      ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
      Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255766048783 whatsapp tu

  • @esaumakumbo4047
    @esaumakumbo4047 Год назад +1

    Mimi naitwa Esau makumbo natokea Tanzania Sina paspot nafanyaje

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Kama Hauna Passport ya kusafiria ni rahisi kwa njia ya mtandao ni wiki mbili tu unapata passport
      Maitaji
      Hii ni njia rahisi, salama na haraka, lakini pia inapunguza gharama unaweza kufanya mchakato wote kwenye simu yako ya mkononi, nimekuwekea linki ya video ya jinsi ya kujaza form ya passport Mtandaoni
      ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
      Hakikisha unafanya maombi, kwa Msaada nicheck 0766048783 whatsapp

  • @ErikanaDada
    @ErikanaDada Год назад +1

    Asante kaka nina paspoti

  • @estherwaringer4664
    @estherwaringer4664 Год назад

    Thank you so much...am Esther from Kenya

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 Год назад +1

    Asantee sana.Naitaji

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Asante Sana Bahati kama unaitaji passport unaweza kuangalia hapa jinsi ya kufanya maombi ya passport
      ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
      Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp

    • @bahatiagape731
      @bahatiagape731 Год назад

      Passport Minato kaka

    • @bahatiagape731
      @bahatiagape731 Год назад +1

      Passport ninayo kaka.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      @@bahatiagape731 oky

  • @AbdurahmaniMhina
    @AbdurahmaniMhina Год назад +4

    Habri kaka hiyo fursa nahitaji sana kaka pasport sina halafu jana leo haukuingia RUclips

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Yes Abdurahmani ni kweli kwa hizi siku mbili nimekua busy kidogo na majukumu ya hapa na pale ila tupo pamoja, nimeanda video ya namana ya kufanya maombi ya passport kwa njia ya matandaoni (online) nitaiweka muda sio mrefu kuanzia sasa, Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi

    • @BakariChai
      @BakariChai 11 месяцев назад

      ​@@DennisMagessanitumie namba Yako bro next chance please 🙏 naomba sana kazi bro

  • @elizabethjulius8861
    @elizabethjulius8861 5 месяцев назад

    Mimi napenda kazi za shamba na mazingira kwa ujumla,niko tayari kupata hii kazi

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  4 месяца назад

      Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783

  • @Sira_vibes
    @Sira_vibes Год назад +1

    Sina passport brother.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Nimetoa video ya passport unaweza kuangalia au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @frolalinus6502
    @frolalinus6502 Год назад +1

    Naomba unisadie kufanya application

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783

  • @JuliethJunior-dw5nr
    @JuliethJunior-dw5nr 5 месяцев назад +1

    Natamani Sana niende Kazi za mashambani

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  5 месяцев назад

      Nicheck Whatsapp tafadhari 0766048783

  • @happynessprotaz4751
    @happynessprotaz4751 Год назад +1

    Bro sina passport, niambie nifanyeje natamani kufanya kazi uk

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +1

      Habari yako Happynessnimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu

    • @happynessprotaz4751
      @happynessprotaz4751 Год назад

      @@DennisMagessa , Bro uzidi kubarikiwa,asante sana ngoja niangalie, mimi kazi za shamba ndo mahala pake,

  • @emelesianaluambano5900
    @emelesianaluambano5900 Год назад +1

    Natamani nikuulize je kazi za mashambani umli unaangaliwa

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Emelesiana unatakiwa usiwe chini ya miaka 18 tu

    • @emelesianaluambano5900
      @emelesianaluambano5900 Год назад

      Sawa Sasa utanisaidiaje passport Haina sida nitapata mchakato wa kuanza nani atakae nisaidie manaka shule darasa la saba kingeleza tunabahatisha

  • @christinamichael4626
    @christinamichael4626 Год назад +1

    Kaka mungu akuzidishie je labuda uwa wanagalia umli ama mm nahitaji sana please

  • @AjraJuma
    @AjraJuma Месяц назад +1

    Mimi kaka napenda hiyo kazi ya shamba Ila viza Sina

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Месяц назад

      Nicheck whatsapp tafadhari 0766048783

  • @Ahmed26171
    @Ahmed26171 5 месяцев назад

    Brother mwaka huu tunafanya maombi mwezi wa ngapi 2024?

  • @ednasiwale1722
    @ednasiwale1722 Год назад +1

    Tusaidie kaka passport tunazo wengine

  • @CharlesMaduhu-r1k
    @CharlesMaduhu-r1k Год назад

    Ni Mtanzania,nimependa sanasana hizo kaz,nisaidie jinsi yakufanikisha kazi hiyo.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад +1

      Hakikisha umesubscribe na kulike video yangu kwa msaada Nicheck whatsapp 0766048783

  • @nadhifomar8752
    @nadhifomar8752 Год назад +1

    Au tusaidiye hiyo website

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp

  • @barakagwamikiko9707
    @barakagwamikiko9707 Год назад +1

    Tusaidie namna ya kupata passpot

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Hakikisha unasubscribe na kulike video hii, kwa msaada zaidi nicheck whatsapp 0766048783

  • @JentriceOchieng-jd4ky
    @JentriceOchieng-jd4ky Год назад

    Hello bro,Asante kwa kutupa fursa hii,mungu akuongezee🙏..so I'm in Saudi Arabia sai,na contract yangu imeisha tayari,kwa wiki mbili au tatu ntakua narudi nyumbani...so nlikua naomba msaada wa kuapply Niko tayari Kabisa.

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Welcome back kwenye hiyo video nimeweka link ya kuapply unawezafanya application, please hakikisha umesubscribe na kulike my video hii itanisaidia kujua wangapi tupo pamoja

  • @dableeemammio5946
    @dableeemammio5946 Год назад

    Niulize kaka im new subscriber kutoka kenya kiulizo ukishanaliza kazi kwa ioi miezi sita unapewa return ticket au unajilipia mwenyewe

    • @DennisMagessa
      @DennisMagessa  Год назад

      Hello Dableee inategemeana na makubaliano yenu na employer wako