Jinsi ya Kufanya Maombi ya Kazi za Mashambani UK, Visa na Usafiri ni Bure
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Link ya email ya kuomba link ya kutuma maombi Hii hapa 👇
FW-recruitment.services@markallengroup.com
Link ya website ya kutuma Maombi Hii hapa 👇
jobs.fwi.co.uk/
Link ya Website ya Serikali ya Uingereza kama unataka kuona vigezo vya muombaji kazi Hii hapa 👇
www.gov.uk/sea...
Kama hukuangalia video ya kwanza kuhusu Nafasi hizi zaidi ya elfu 55 za kazi za Mashamabani UK Angalia hapa 👇
• Zaidi Ya Nafasi Za Kaz...
Kama hujaelewa iko video ingine ntakujua kukusaidia namna ya kufanya application vizuri unachotakiwa ni Kusubscribe ili uweze kuona video zinazokuja.
My brother naweza fanya aje kwa kweli manake napeda kazi ya shamba sana
Fanya Application ya iyo kazi unaweza kuwa mmoja wapo atakae bahatika, Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
Mbona ukifungua Ile link sioni sehemu ya kujaza hiyo application
Kwa kweli hii so ya kupitwa,naomba niulize hii 2023 au 2024
2024
Kusema kweli ninampenda sana huyu kijana na ushauri wake huwa ninauelewa sana ,❤
🙏
Ninao watoto wangu 2 wakiume mmoja kamaliza chuo kasomea kilimo na ufugaji lkn bado hajapata kz na kakake anafanya biashara tu hawana passport nisaidie tafadhali
Habari yako Zainabu nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Denis thank you so much kwakweri unatusanuwa zaidi ya tunavyoweza kufikilia mungu wetu akubariki your faithful japhete niyogusenga mnaeongea huko WhatsApp
Ok, napenda kukupa shukrani zangu za dhati sana, naomba mawasiliano yako kama huto jari, ili nikutafute private kwa maana kwa sasa nipo safarini natokea congo nakuja Dar, hivyo nikifika nikutafute kwa maelekezo zaidi, nina ndoto za kwenda kufanya kazi ugaibuni na nahisi kwangu hii ni furusa ya kipekee, nakuomba brother MAGGESA nakuomba sana ushirikiano wako tafadhari
Fanya maombi au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
Asante sana Mungu akubariki maana anatuwazia yaliyo mema ila mm napenda kufanya kazi nje je umri mwisho miaka mingapi
Wenzetu hawana kimono ni uwezo wako wa kufanya kazi
Please nitafutie nitafanya kazi Bure ili nipate uaminifu na uzoefu. nitaftiye hapo jamani 🙏🙏
Africa tungekuwa na watu 10 wa aina yako Basi tusinge kuwa namatatizo tunayo pitiya kwakweli Mungu akubariki Kaka yangu
Asante sana The Savage Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
Kaka naomba uni saidie nipate kaz
Kweli kaka
Mimi nimesomea kilimo cha matunda cha mda mfupi cha ubebeshaji wa vijicho na vikonyo nahitaji kazi
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Kaka naomba unijibu miezi gan ambayo hiyo kazi ukiaplay uhakika unaweza kupata nafasi au kila mwenzi wao awana shida au wanamisimu km sisi africa
Kaka mimi nipo dubai ila naitaji iyo kazi je mwenzi kazi hizo December ipo maan tz naenda December kaka naomba unijibu msimu wa hiyo kz alafu nije WhatsApp msimu wa hizo kz na mkataba wao ni mda gan au miez mingap viza napata ya mda gn
Nicheck whatsapp 0766048783
Nashukuru paspoti ninayo swali umri gani mwisho unaokubalika
hakuna kikomo cha umri
hiyo,,,,kka mmi nitaanza nao,,,,I believe,,,mengine mazuri atakuja,,,,
Mimi niko na passport naomba link yao nianze kufanya utaratibu ila kwa sasa mimi niko south Africa sasa sijui itawezekana?
Asante Sana Cathy unafanya ukiwa nchi yoyote ile, angalia hapa jinsi ya kufanya maombi
ruclips.net/video/dlu05ILGeFY/видео.html
Maelezo Link Na Email Ya Kutuma Maombi Hipo Kwenye Description ya hiyo video Unaweza Angalia Tafadahari Hakikisha Unasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi, Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Mr Dennis Mimi passport ninayo na nimekua nafatilia sana hizi nafasi ila sija wahi kubahadika.
Endelea kutusaidia Kaka.
Asante sana Mr Khasimu Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
Wengine tunazo passport tusaidie jinsi ya kuomba
Asante sana Zuena Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Nashukuru Kaka nitakutafuta sisi ambaho tulisha zoheya kusimama mdahote saluni kuchuma mimeya sitabu nashukuru sana
Hata mimi nitakucheki kaka yani nataka kwenda Europe kutumika
Kama visa na usafiri bure mm nahitaji passport ninayo na nimefanya kazi hizo kwa miaka 15 kwa nimefanya nchi tofauti tofauti
Fanya maombi Boss au nicheck 0766048783
👏👏👏👏👏👏👏namba Yako kaka kwa mawasiliano zaidi
Asante Sana Gloria
Nicheck +255655171096 Whatsapp
@@DennisMagessaNaomba nafasi
@@DennisMagessanaomba number
Napenda kufwatilia sana channel yako. Na hii ya Leo ni nsuri altho Mimi niko Kenya. Je ukiwa Kenya unasaidikaje iwapo nataka kazi uk
Judith Kazi hizi hazima limitation unaweza kuapply ukiwa nchi yoyote ili mradi una vigezo vyote vya kusafiri nje ya nchi, Asante sana ujumbe wako Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
@@DennisMagessa kaka Ni vigezo vya visa tu au kuna na vigezo vya elimu?
Mbona ulienda Kwenye hiyo link sioni sehemu ya kutumia maombi
Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Ni vizuri sana kaka
Shida mmoja apa adresse za ma kampuni maneno yani halifabeti hazionekani vizuri ili itusaidie ku apply
Je yawezekana kuzitusukumia kwa miandishi Ya kuonekana. OK asante Mungu akubariki
Asante kwa ushauri
Alhaalh bless you every day....tutafika inshaaalh
🙏🙏🙏
Naomba. Unisaidie kufanya maombi ya kazi. Uk. Kuchuma maapple me ninayo passport na. Unipe na. Ya whatsapp
Fanya maombi Boss au nicheck 0766048783
Naitaji iyo kazi koz nauzoefu
Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Kaka mm nimekuskiliza vzuri sana na nakufatilia mno! Mm ni mtanzania ambae piah nipo abroad naish croatia-varazdin na nataman san nichangamkie hii fursa, sas ombi lako kwang ni kwamb kwamm ambae nipo abroad naweza kupata hii na procec zikoje..?
unaweza kupata kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
@@DennisMagessa Ahsante sana kaka
Nataka niende nikajitowe muhanga huko elimu yangu ni bachelor degree ya Sheria, l'm ready to die while am there , nitakuwa shujaa
Ha ha ha nimeipenda hiyo Mr Fikiri Hakika hakuna lisilowezekana chini ya Jua Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
This is very informative and great information brother , i used to get information like this from Nigerians and Kenyans and they have been helpfully, this is more helpfully kutoka kwa Mtanzania mwenzetu
Thank you for your Positive Feedback Mr Magee, Please make sure you subscribe, like and share so that many people can get these opportunities
@Dennis Magessa and I happened to visit the website and registered, but I couldn't find the direct link to recruiters on weekly farms. There are so many recruiters. Kindly, if you can, get a direct link that one can post apply to will be useful. I happened to e mail them no response yet.
@@mageebwire922 Go and watch this videowill help you, it has all the information, the link emails and website
@DennisMagessa thanks I already did, and it is working well despite during filling the form the stage 6 and 7 for ag-hr /both agencies. Tanzania is not on the list of the countries , so it pose difficult to continue with the application.
@@DennisMagessanimechelewa kupata habali zuri kama iyi brother plz help me how can I find this change from you
Kk samahani naitaji kuuliza malekani akuna kazisashambani kaziyakuvuna maepo kama zipo naomba tufanye kaziote kwazia ss
Nitumie message WhatsApp tafadhari 0766048783
Assist me plz, I have applied my passport, I'm just waiting for it, don't leave, God will bless you
For more more assistance please Contact me through My whatsapp number +255655171096
Kaka mimi sina paspot nanatakasan kwenda uko sinakazi namimi nifundi umeme nakini uku tanzania kupatakazi ngumu nikilipata diliilo ntafulai san
Fanya maombi au nicheck 0766048783
Ndugu yangu si vizuri kuwainjoi watu mafakiri na kuwatia tamaa MUNGU hapendi....
Mimi nataka kazi ndani jee.zipo.kaka
Sasa tunafanya vipi namna ya kuasiliana nao,na makampuni ya kupitia
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Naomba nitumie hiyo website nipo intrested na fursa hii
Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
NAOMBA MAWASILIANO TAFADHALI SANA DENNIS
Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Kazi nyingi kwenye hiyo link ya mwanzo wanataka mtu permanent na awe na kibali Cha kufanya kazi uk
Zipo kazi boss wangu
Kaka Dennis kwanza awali ya yote nipende kusema mungu akubariki sana kwa moyo huo ulikuwa nao sasa Mimi ni mtanzania nina passport nahtaji hzo kazi nazid kukufuatilia zaidi nione ni namna gani naweza kupata fulsa hzo
Asante sana Mr. Fred Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
Mimi sina passport
Kaka naomba nijue umri wanahitaji kuanzia miaka mingapi na mwisho ni miaka mingapi
Kuanzia miaka 18 na kuendelea hawajataja mwisho miaka mingapi, watu wazima pia wanachukuliwa
ubalikiwe kaka,natokea burundi nimependa sana kutujuza hizo habari nipo na wewe hatua kwa hatua nimependa sana youtube channel yako.nina passport nataka nianze harakati za kuomba nafasi hiyo
Dennis Magessa
3 minutes ago (edited)
Asante sana Mr Johnpeter Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre
Mimi ninayo passport naomba unisaidie jinsi ya kuomba
Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp
Hellow mimi naitaji na fasi kaka na paspot Ninayo
Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Broo mm nnakila kitu ila visa ndo changamoto naomb unifanyie maarif na mm nifanikiwe
Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp
Nakupigia upatikana naomba tuongee naomba sanaaa
Pole
Je Ina limit ya miaka? Na mwaka huu wa 2024 zipo hizo kazi za mashambani?
Kazi zipo nyingi tu na Hakuna limit ya miaka Nguvu yako tu,
Asante sasa mie nahitahi hiyo ya mashambani ila aina hela Nina passport ambayo ndio ipo Ina process je itawezekana?
Asante kwa video muhimu sana. Je hakuna limitation ya umri?
Hakuna
@@DennisMagessami Sina passport bro but nahitaji sana kazi utanisaidije
Magesa habari ya majukimu ninaitwa Denis Abias Nina miaka 46 nimekufuatiria Kwa muda kidogo nimekuelewa sana sasa je Kwa huu mwezi Wa Tisa je nitakua nimechelrwa kutuma maombi?
Bado hujachelewa boss wangu Kama huwezi kufanya maombi nicheck WhatsApp 0766048783
Dah kaka umetumia akili moja ya ajabu god bless you bro
Asante Sana Karim Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
Asante Sana my. Bro
Ninaomba number yako Kakangu naweza kuongea na ww direct?
Tunakupenda sana kaka yangu usije tuagusha,wasaidie vijana
👍
Nashukuru sana kaka endelea utuelimishe tunapataje
Asante Sana Daniel Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
Asante kk sasa mm nataka sasa nafanyaje nipe muelekezo naomba namba zako pia ndio unijuze vzr
kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
@@DennisMagessa shukran sana kkngu
Kaka ubalikiwe nahitaji kazi namimi nimeishia la saba sina passport nisaidie kaka
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Kiongizi nafanyaje mchakato wa kujaza paspot? Online
Nicheck whatsapp 0766048783
Nko na passport
fanya maombi boss kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Nafuatilia pasi kwanza brother, tutawasiliana.
Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255766048783 Whatsapp
Kaka nimekukubali sana ila passport sina. Sijui nafanyaje boss wangu??
Habari yako nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia hapa
ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Niekusoma kaka mimi pasipoti ninayo naomba mawasiliano iri unisaidie
Nicheck +255655171096 Whatsapp
Kaka nashukuru sana ila naomba unitumie link ya farmers ili ni create account
Habari Glory Link ipo kwenye description au maelezo hapo, kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu, Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
More blessings
🙏
Kaka Mimi Niko Burundi naitajii musada unisaidiye gisi ya kupata kazi naitajii sana kazi
Mfuate inbox atakusaidia
Kaka na Mimi naomba nisaidie nipate kazi U.K naomba msaada wako
Nicheck whatsapp 0766048783
Lakini pia nina swali je nimtandao gni wakuweza kuaplai hizi kazi mm ukwli sjaelewa hapa please 🙏 nisaindie
maelezo yapo kwenye description kama uelewi tafadhari kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Sasa mi mkenya Sina international passport ninaye ya EAC
Dan Tafuta Passport ni muhimu sana Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
Asante ila mie ndo kwanza naiona nakupataje ss nikukonekisheni na vijana wangu
Habari yako Zainabu Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Hongera sana kaka Dennis Mungu akulinde sana
Nashukuru sana Florian tafadhari naomba share ili watu wengi wasubscribu na wajifunze pia lakini usisahau kulike video zangu hii inanipa kujua wangapi wananifatilia na wamependa video gani ili niweze kuendelea zaidi
Hallo,tutumie link pls
sante Sana Maelezo Link Na Email Ya Kutuma Maombi Hipo Kwenye Description Hapo Unaweza Angalia Tafadahari Hakikisha Unasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi, Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Mim nahitaji kaka hiyo kazi nimtazania Niko omani paspost ninayo😊
Nicheck whatsapp 0766048783
Nakushukuru Sana Kaka Dennis Kwa kazi nzuri unayo zidi kuifanya , Mungu wetu azidi kukubariki Na akuonekanie Katika maisha yako
Asante sana Mr. David Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
Habar mi sina passport
Kaka ubarikiwe sana, mm nahitaji sana hiyo nafasi na Sina passport nifanyaje pia naomba mawasiliano yako
Nimetoa video ya passport unaweza kuangalia au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
kaka mimi sina passport utanisaidiajee
Kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
ok kiongozi asante
Na taka sana lakn sielew nifanyaje
Nicheck whatsapp 0766048783
Dennis
Nipo tayari kwenda
Ninayo passport
Naomba mawasiliano
Kama inawezekana
Asante Sana Tafadahari Hakikisha Uasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Mimi Sina passport nitamani kwenda jina hosana mwakilembe
Habari yako Mwakaliku nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
Kaka Mimi Leo nmepata video yako na ninatamani unisaidie ili mwaka huu nipate
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048787
Kaka hujambo nimefurahia kukutana nawe mara ya kwanza leo ,mimi mkenya nina passport yawezekana?na njia ni hipi? please maomba unijibu
tafadhari pitia video zangu utapata maelezo ya kutosha pia nimeweka contacts zote kwenye description kama link, number za simu na emails, Tafadhari hakikisha unasubscribe ili uwezekuendela kuangalia video zangu zingine, pia nitafurahi kama utashare ila ni muhimu sana kulike video uliona nzuri kwako ili mimi niweze kujua video hipi watu wako na interested nayo ili niendelee kutoa useful infirmation about it
ASante nitafatilia nishalike pia nitashare
@@user-cg3vf2bl6b oky asante sana
Kaka Mimi ndung yako nataka iyo nafas ila sijuwi lolot nisaidie kuniyombea
Fanya maombi Boss au nicheck 0766048783
11:46 mi niko kenya niko na passpost nitafanya aje
kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
Mimi naitwa daud khamis makame sasa hizo kazi mbona hamtubii na kiwango Cha mshahara
Nimeweka viwangi vyote Boss wangu kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
Fursaa tumezskia Sasa Kama ujui kingerezaa hapo inakuwaje na mtu kazi unazihitaji
nicheck WhatsApp kwa namba hii 0766048783
Kaka mm nahtaji ila sina passport help me pls🙏
Habari yako nimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia hapa
ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255766048783 whatsapp tu
Mimi naitwa Esau makumbo natokea Tanzania Sina paspot nafanyaje
Kama Hauna Passport ya kusafiria ni rahisi kwa njia ya mtandao ni wiki mbili tu unapata passport
Maitaji
Hii ni njia rahisi, salama na haraka, lakini pia inapunguza gharama unaweza kufanya mchakato wote kwenye simu yako ya mkononi, nimekuwekea linki ya video ya jinsi ya kujaza form ya passport Mtandaoni
ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
Hakikisha unafanya maombi, kwa Msaada nicheck 0766048783 whatsapp
Asante kaka nina paspoti
Fanya maombi Boss au nicheck 0766048783
Thank you so much...am Esther from Kenya
Thanks for your positive feedback
Asantee sana.Naitaji
Asante Sana Bahati kama unaitaji passport unaweza kuangalia hapa jinsi ya kufanya maombi ya passport
ruclips.net/video/DMU_qQZGvw4/видео.html
Tafadahari Hakikisha uUasubscribe, Unalike Na Kusahre Pia Ili Watu Wengi Zaidi Wajue Fursa Hizi kwa Msaada Zaidi Micheck +255655171096 Whatsapp
Passport Minato kaka
Passport ninayo kaka.
@@bahatiagape731 oky
Habri kaka hiyo fursa nahitaji sana kaka pasport sina halafu jana leo haukuingia RUclips
Yes Abdurahmani ni kweli kwa hizi siku mbili nimekua busy kidogo na majukumu ya hapa na pale ila tupo pamoja, nimeanda video ya namana ya kufanya maombi ya passport kwa njia ya matandaoni (online) nitaiweka muda sio mrefu kuanzia sasa, Asante sana Tafadahari Mdau wangu hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi
@@DennisMagessanitumie namba Yako bro next chance please 🙏 naomba sana kazi bro
Mimi napenda kazi za shamba na mazingira kwa ujumla,niko tayari kupata hii kazi
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Sina passport brother.
Nimetoa video ya passport unaweza kuangalia au kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
Naomba unisadie kufanya application
kwa msaada zaidi Nicheck whatsapp 0766048783
Natamani Sana niende Kazi za mashambani
Nicheck Whatsapp tafadhari 0766048783
Bro sina passport, niambie nifanyeje natamani kufanya kazi uk
Habari yako Happynessnimeshatoa video ya kufanya maombi ya passport unaweza kuangalia Tafadahari hakikisha unasubscribe, unalike na kusahre pia ili watu wengi zaidi wajue fursa hizi kwa msaada zaidi nicheck +255655171096 whatsapp tu
@@DennisMagessa , Bro uzidi kubarikiwa,asante sana ngoja niangalie, mimi kazi za shamba ndo mahala pake,
Natamani nikuulize je kazi za mashambani umli unaangaliwa
Emelesiana unatakiwa usiwe chini ya miaka 18 tu
Sawa Sasa utanisaidiaje passport Haina sida nitapata mchakato wa kuanza nani atakae nisaidie manaka shule darasa la saba kingeleza tunabahatisha
Kaka mungu akuzidishie je labuda uwa wanagalia umli ama mm nahitaji sana please
kuanzia miaka 18 na kuenedela hivyo tu
Mimi kaka napenda hiyo kazi ya shamba Ila viza Sina
Nicheck whatsapp tafadhari 0766048783
Brother mwaka huu tunafanya maombi mwezi wa ngapi 2024?
Mwezi wa tano
Tusaidie kaka passport tunazo wengine
Fanya maombi Boss au nicheck 0766048783
Ni Mtanzania,nimependa sanasana hizo kaz,nisaidie jinsi yakufanikisha kazi hiyo.
Hakikisha umesubscribe na kulike video yangu kwa msaada Nicheck whatsapp 0766048783
Au tusaidiye hiyo website
kwa Msaada Zaidi Nicheck +255655171096 Whatsapp
Tusaidie namna ya kupata passpot
Hakikisha unasubscribe na kulike video hii, kwa msaada zaidi nicheck whatsapp 0766048783
Hello bro,Asante kwa kutupa fursa hii,mungu akuongezee🙏..so I'm in Saudi Arabia sai,na contract yangu imeisha tayari,kwa wiki mbili au tatu ntakua narudi nyumbani...so nlikua naomba msaada wa kuapply Niko tayari Kabisa.
Welcome back kwenye hiyo video nimeweka link ya kuapply unawezafanya application, please hakikisha umesubscribe na kulike my video hii itanisaidia kujua wangapi tupo pamoja
Niulize kaka im new subscriber kutoka kenya kiulizo ukishanaliza kazi kwa ioi miezi sita unapewa return ticket au unajilipia mwenyewe
Hello Dableee inategemeana na makubaliano yenu na employer wako