Viongozi wa JPM wote kawachagua kama yeye mwenyew like father like son.💪🏿 hao wadaladala waache mambo ya binafsi kwanza wanachelewesha san watu ..bajaji ziongezeke
Mbeya utakuwa mji wa kwanza wa BAJAJI NI aibu Sana kwa mkoa kujaza bajaji barabara kuu na kusababisha foleni zisizo na tija na ajali zisizo na maana acha siasa simamia weledi na kazi
KUNA MWAKA ULITOKEA MGOMO KAMA HUU HUKO MUSOMA YAANI NILIBAKI NASHANGAA SANA KWA HUKUMU ALIYOPEWA BAJAJI,YAANI KWA MAJIBU YA LEO AISEE YAMENIFARIJI SANA TENA MKUU UKO SAHIHI SANA.
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji
Ila Mbeya imebadirika kinyama nilishangaaa bajaji nyomi dalaldala zimepotea bajaji toka kabwe mpaka mbalizi duuuuuh ila wezenu huku Mwanza bajaji na daladala shwali hakuna ugomvi
ILI KIDHIBITI BAJAJI BARABARA KUU INATAKIWA BARABARA ZOOTE ZA MITAANI ZITENGENEZWE ILI BAJAJI WAFANYE KAZI KWA KUJIACHIA (BARA BARA ZA MTAANI NI MBOVU NDIOMAANA BAJAJI WANAONA UGUMU KUFANYA KAZI KWENYE BARABARA MBOVU)
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇 ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Kwa uwelewa wangu ndogo nivigumu sana kuendelea kuziona bajaji balabala kuu maana daladala zipo kishelia na zimepangiwa je bajaji nazo zimepangiwa Yani zimelipia loute?
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini.👇 ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇. ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji
Big up Baba upo vizuri na jicho lako la tatu limeona mbaliiii !!
Viongozi wa JPM wote kawachagua kama yeye mwenyew like father like son.💪🏿 hao wadaladala waache mambo ya binafsi kwanza wanachelewesha san watu ..bajaji ziongezeke
Tungekua na viongoz kama ww kila mkoa tz ingefikambal
Fataeli J Pallangyo poleni sana watanzania nisafari ya kila mtu aliye umbwa na mungu
Kunywa bia moja Brother Chalamila 💪💪💪
Asante mh.mkuu wa mkoa🙏🙏
Nakukubali mkuu 👏🏼👏🏼👏🏼
sawa mkuu
Uko vizuri
sema mkuu unakunywa bingwa au kitoko niwambie walete apo
Mbeya utakuwa mji wa kwanza wa BAJAJI NI aibu Sana kwa mkoa kujaza bajaji barabara kuu na kusababisha foleni zisizo na tija na ajali zisizo na maana acha siasa simamia weledi na kazi
Veyaaa udzovile mkomi wangekuwa wanakupigia kula tukaa tukotovela dzongofu mtwa good advice
Big up kiongozi
Ziendelee bajaji Daradara zina rara sana
Sahihi kabisa mkuu
Sema .........KWENYE nauli ya elfu moja hapo yani
👏👏👏👏
Nimemwelewa mheshimiwa
Safi kabisa mheshimiwa mkuu wa mkoa
Umesema baba🙏
Safi mkuu
Wape somo kiongozi
Naona leo umeamka vizuli
Mnawaonea sana wa dala dala
Hao wanataka kususa ugali kwa mama wa kambo!
Tena hawajui kwamba wanawatesa wanafunzi hao daladala !
Wanatesaje wanafunz wakati bajaji ndo mpngo
Nadhani na huko Musoma walisikie hili
Tumekuewa baba
KUNA MWAKA ULITOKEA MGOMO KAMA HUU HUKO MUSOMA YAANI NILIBAKI NASHANGAA SANA KWA HUKUMU ALIYOPEWA BAJAJI,YAANI KWA MAJIBU YA LEO AISEE YAMENIFARIJI SANA TENA MKUU UKO SAHIHI SANA.
Zinaweza kusababisha ajali hiz kitu ka unataka kuamin njoo mafiati pale
Mkuu unasema ukwelli kabisa
Naona uko mbeya kwa wakwee zangu mmepata Kiongozi Bora..
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji
Bajaj zinakimbia sana apo stendi ya kabwe akuna utalatibu mzuli niatal
Upo sahihi sikupingi
Vodacom kazi ni kwenu
Hajaniingia akilin.sumatra hawatoi usajili wa
Kwa hili mkuu chalamila nimekukubali saana kuhusu daladala
Hizi longolongo zote ni miundo mbinu ya barabara ya mji wa Mbeya!
Mkuu wa mkoa nimekupata hapo kwenye online tv na tv za kawaida wakizubaa tu taarifa imesharuka online hapo mwenye masikio kaelewa
Mkuu wa mkoa wetu bwana ananipa Raha kweli kweli
Ingiza hizo gar kesho xx hatutaki kusumbuka
Yaani nakupenda Sana R C tena kwa hili yaani safi sana
Tatizo nauli zabajaji uyole bajaj elfu 1000 daladala 400
Umenena baba wanataka bajaji wakale wapi? Alafu wakizingua tushushie magari yako baba
Afadhali jamani awa daladala wanasumbua
Eti na hiyo barabara imetengenezwa na bibi yenu!?😃😃😃
Ila waisheni barabara jmn mpanue ili jiji liwe zuuri
Naona jiji linaludi kuwa wilaya
Uongo wako aliyekudanganya kua bajaji ni za wilayani nani? Una miliki daladala au?
Sio kweli.
ilikuwa hayina haja kuita jiji kwa kauli hiyo
Kwakauli hii hawatagoma tena
Watu tunagal za kutembelea tu.sajil tuingie barabaran mkuu wao c wanalinga
Ila Mbeya imebadirika kinyama nilishangaaa bajaji nyomi dalaldala zimepotea bajaji toka kabwe mpaka mbalizi duuuuuh ila wezenu huku Mwanza bajaji na daladala shwali hakuna ugomvi
Upo vizuri chalamila siyo kama wengine wanawanyanyasa bajaji na wana wapeleka kwenye barabara mbovu
Kila m2 anapanda usafir anaotaka
Nahiyo barabara imetengenezwa na Bibi yenu ?ndiheka nyela
Saf
Watembee uchochoroni
Ila wewe????
ILI KIDHIBITI BAJAJI BARABARA KUU INATAKIWA BARABARA ZOOTE ZA MITAANI ZITENGENEZWE ILI BAJAJI WAFANYE KAZI KWA KUJIACHIA (BARA BARA ZA MTAANI NI MBOVU NDIOMAANA BAJAJI WANAONA UGUMU KUFANYA KAZI KWENYE BARABARA MBOVU)
Point
Umeongea vzuli
Wanazingua dalala
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇
ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Kwa uwelewa wangu ndogo nivigumu sana kuendelea kuziona bajaji balabala kuu maana daladala zipo kishelia na zimepangiwa je bajaji nazo zimepangiwa Yani zimelipia loute?
Wewe unajua bajaji haiko kisheria ebu nipe kifungu kinachoikataa bajaji kama sio chombo cha usafili.
Kwani bajaj hawana Sumatra?
Unaongea pumba wewe nawanafunzi watapanda bajaji vina sababisha ajali
Amesema vzuli sana.
Maana ya jiji Nini?
Ndohapo hata hivo iload international nyimumeweka bajaji
Nimefurahi ulivya wachana hao
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini.👇
ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇.
ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html
Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji