Mgomo wa Daladala Mbeya, "Hatutaondoa Bajaji Barabara Kuu":RC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 мар 2021
  • #MbeyaYetuTv

Комментарии • 78

  • @faustinamsilanga6933
    @faustinamsilanga6933 3 года назад +2

    Big up Baba upo vizuri na jicho lako la tatu limeona mbaliiii !!

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 3 года назад +2

    Viongozi wa JPM wote kawachagua kama yeye mwenyew like father like son.💪🏿 hao wadaladala waache mambo ya binafsi kwanza wanachelewesha san watu ..bajaji ziongezeke

  • @nsajigwamwasambili494
    @nsajigwamwasambili494 3 года назад +3

    Tungekua na viongoz kama ww kila mkoa tz ingefikambal

  • @fataelipalangyo8992
    @fataelipalangyo8992 3 года назад

    Fataeli J Pallangyo poleni sana watanzania nisafari ya kila mtu aliye umbwa na mungu

  • @ommyommy1970
    @ommyommy1970 3 года назад +1

    Kunywa bia moja Brother Chalamila 💪💪💪

  • @zabibumwashitete777
    @zabibumwashitete777 3 года назад +1

    Asante mh.mkuu wa mkoa🙏🙏

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +1

    Nakukubali mkuu 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад +2

    sawa mkuu

  • @yudamgogo5752
    @yudamgogo5752 3 года назад +1

    Uko vizuri

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 3 года назад

    sema mkuu unakunywa bingwa au kitoko niwambie walete apo

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 3 года назад

    Mbeya utakuwa mji wa kwanza wa BAJAJI NI aibu Sana kwa mkoa kujaza bajaji barabara kuu na kusababisha foleni zisizo na tija na ajali zisizo na maana acha siasa simamia weledi na kazi

  • @lucholyungu4969
    @lucholyungu4969 3 года назад

    Veyaaa udzovile mkomi wangekuwa wanakupigia kula tukaa tukotovela dzongofu mtwa good advice

  • @asifiwesolo1213
    @asifiwesolo1213 3 года назад

    Big up kiongozi

  • @enizemwayingatv5196
    @enizemwayingatv5196 3 года назад +1

    Ziendelee bajaji Daradara zina rara sana

  • @geofreynoah9458
    @geofreynoah9458 3 года назад

    Sahihi kabisa mkuu

  • @ipyanangajilo226
    @ipyanangajilo226 3 года назад +1

    Sema .........KWENYE nauli ya elfu moja hapo yani

  • @salehrashid6003
    @salehrashid6003 3 года назад

    👏👏👏👏

  • @luganomwakasole4063
    @luganomwakasole4063 3 года назад +1

    Nimemwelewa mheshimiwa

  • @dismassabinus7031
    @dismassabinus7031 3 года назад

    Safi kabisa mheshimiwa mkuu wa mkoa

  • @AlphonceMoro
    @AlphonceMoro 3 года назад

    Umesema baba🙏

  • @yudamgogo5752
    @yudamgogo5752 3 года назад

    Safi mkuu

  • @kessylukombe1811
    @kessylukombe1811 3 года назад

    Wape somo kiongozi

  • @tyaisontranko860
    @tyaisontranko860 3 года назад

    Naona leo umeamka vizuli

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 года назад

    Mnawaonea sana wa dala dala

  • @brunomhume740
    @brunomhume740 3 года назад +1

    Hao wanataka kususa ugali kwa mama wa kambo!

  • @faustinamsilanga6933
    @faustinamsilanga6933 3 года назад +1

    Tena hawajui kwamba wanawatesa wanafunzi hao daladala !

    • @jastininjano262
      @jastininjano262 3 года назад

      Wanatesaje wanafunz wakati bajaji ndo mpngo

  • @feisalsalum1258
    @feisalsalum1258 3 года назад +1

    Nadhani na huko Musoma walisikie hili

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 3 года назад

    Tumekuewa baba

  • @feisalsalum1258
    @feisalsalum1258 3 года назад

    KUNA MWAKA ULITOKEA MGOMO KAMA HUU HUKO MUSOMA YAANI NILIBAKI NASHANGAA SANA KWA HUKUMU ALIYOPEWA BAJAJI,YAANI KWA MAJIBU YA LEO AISEE YAMENIFARIJI SANA TENA MKUU UKO SAHIHI SANA.

  • @peterjairours7194
    @peterjairours7194 3 года назад +1

    Zinaweza kusababisha ajali hiz kitu ka unataka kuamin njoo mafiati pale

  • @noelrichard8921
    @noelrichard8921 3 года назад

    Naona uko mbeya kwa wakwee zangu mmepata Kiongozi Bora..

  • @davidchambulila3028
    @davidchambulila3028 3 года назад

    Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 года назад

    Bajaj zinakimbia sana apo stendi ya kabwe akuna utalatibu mzuli niatal

  • @fetamusictz3690
    @fetamusictz3690 3 года назад

    Upo sahihi sikupingi

  • @f.a6043
    @f.a6043 3 года назад

    Vodacom kazi ni kwenu

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 3 года назад

    Kwa hili mkuu chalamila nimekukubali saana kuhusu daladala

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 3 года назад

    Hizi longolongo zote ni miundo mbinu ya barabara ya mji wa Mbeya!

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад

    Mkuu wa mkoa nimekupata hapo kwenye online tv na tv za kawaida wakizubaa tu taarifa imesharuka online hapo mwenye masikio kaelewa

  • @frankjoshua6869
    @frankjoshua6869 3 года назад

    Mkuu wa mkoa wetu bwana ananipa Raha kweli kweli

  • @emmanuelkyando2125
    @emmanuelkyando2125 3 года назад

    Ingiza hizo gar kesho xx hatutaki kusumbuka

  • @feisalsalum1258
    @feisalsalum1258 3 года назад +1

    Yaani nakupenda Sana R C tena kwa hili yaani safi sana

    • @andrewmteve7662
      @andrewmteve7662 3 года назад

      Tatizo nauli zabajaji uyole bajaj elfu 1000 daladala 400

  • @johnmuna7428
    @johnmuna7428 3 года назад

    Umenena baba wanataka bajaji wakale wapi? Alafu wakizingua tushushie magari yako baba

  • @devotajofrey9345
    @devotajofrey9345 3 года назад

    Afadhali jamani awa daladala wanasumbua

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 года назад

    Eti na hiyo barabara imetengenezwa na bibi yenu!?😃😃😃

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 3 года назад

    Ila waisheni barabara jmn mpanue ili jiji liwe zuuri

  • @eliahmwakasendeka8100
    @eliahmwakasendeka8100 3 года назад +1

    Naona jiji linaludi kuwa wilaya

  • @nawaberno888
    @nawaberno888 3 года назад

    ilikuwa hayina haja kuita jiji kwa kauli hiyo

  • @tithomhagama
    @tithomhagama 3 года назад

    Kwakauli hii hawatagoma tena

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 3 года назад

    Watu tunagal za kutembelea tu.sajil tuingie barabaran mkuu wao c wanalinga

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 3 года назад

    Ila Mbeya imebadirika kinyama nilishangaaa bajaji nyomi dalaldala zimepotea bajaji toka kabwe mpaka mbalizi duuuuuh ila wezenu huku Mwanza bajaji na daladala shwali hakuna ugomvi

    • @janehenry2544
      @janehenry2544 3 года назад

      Upo vizuri chalamila siyo kama wengine wanawanyanyasa bajaji na wana wapeleka kwenye barabara mbovu

    • @janehenry2544
      @janehenry2544 3 года назад

      Kila m2 anapanda usafir anaotaka

  • @davidchambulila3028
    @davidchambulila3028 3 года назад

    Nahiyo barabara imetengenezwa na Bibi yenu ?ndiheka nyela

  • @kambij2959
    @kambij2959 3 года назад

    Saf

  • @nostusmchilo5645
    @nostusmchilo5645 3 года назад

    Watembee uchochoroni

  • @veronicatweve9015
    @veronicatweve9015 3 года назад

    Ila wewe????

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 3 года назад

    ILI KIDHIBITI BAJAJI BARABARA KUU INATAKIWA BARABARA ZOOTE ZA MITAANI ZITENGENEZWE ILI BAJAJI WAFANYE KAZI KWA KUJIACHIA (BARA BARA ZA MTAANI NI MBOVU NDIOMAANA BAJAJI WANAONA UGUMU KUFANYA KAZI KWENYE BARABARA MBOVU)

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 3 года назад

    Wanazingua dalala

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад

    Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇
    ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html

  • @eliahmwakasendeka8100
    @eliahmwakasendeka8100 3 года назад

    Kwa uwelewa wangu ndogo nivigumu sana kuendelea kuziona bajaji balabala kuu maana daladala zipo kishelia na zimepangiwa je bajaji nazo zimepangiwa Yani zimelipia loute?

    • @jamessichimata3100
      @jamessichimata3100 3 года назад

      Wewe unajua bajaji haiko kisheria ebu nipe kifungu kinachoikataa bajaji kama sio chombo cha usafili.

    • @agapembukwa6185
      @agapembukwa6185 3 года назад

      Kwani bajaj hawana Sumatra?

  • @nostusmchilo5645
    @nostusmchilo5645 3 года назад

    Unaongea pumba wewe nawanafunzi watapanda bajaji vina sababisha ajali

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 3 года назад

    Nimefurahi ulivya wachana hao

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад

    Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini.👇
    ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html

  • @saidibunduki7683
    @saidibunduki7683 3 года назад

    Jamani ndugu zangu mtafutaji siku zote hachoki. Nami nawaomba radhi kwa kuendelea kutafuta VIEWS kwa kuweka link zangu za VIVUTIO VYA WATALII nchini👇.
    ruclips.net/video/-Mo9jjH69CM/видео.html

  • @davidchambulila3028
    @davidchambulila3028 3 года назад

    Miji yetu mingi imefeli kwenye barabara za pembeni ,kulitakiwa kuwe na barabara za pembeni mbili moja. Kushoto na nyingine kulia zitoke uyole Hadi mbalizi Kama ilivyo barabara kuu ,hizo mbili ndio wangepewa wa bajaji