Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

DUA WALIZOTUMIA WAZEE WA KILWA KUIGEUZA MELI YA WAGIRIKI KUWA JIWE MPAKA LEO ..FUATANA NA IMAM WALID

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июн 2020

Комментарии • 95

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 3 года назад +15

    Kam umekubali somo gonga like

  • @omarjumanne6744
    @omarjumanne6744 4 года назад +10

    Asalamu alkum shehe weye ndo lmamu hasa maimamu wengine hawatoi dawa misikitini kwao allah.akupe afya na elimu mimi nakusikiza sana

  • @jamalrashid7459
    @jamalrashid7459 4 года назад +8

    Shukrana hseikha walid umezungumz maneno mazito napia umetuelimisha M/aukujaalie kheri na akuondeshee kila balaa na aukipe khatma njema ww pamoja na cc

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 года назад +2

    Maa sha Allah shukran sheikh wangu yani mie kuanzia leo nitakaa nisome haswa vitabu vyote hivyo nnavyo dunia imetushuhulisha wallah msiba mzito

  • @aishahajji9461
    @aishahajji9461 4 года назад +5

    Nikweli shekhe wangu nimelishuhudia Hilo jiwe babu.alinipeleka .kuna makaburi.ya mashekhe 40

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 2 года назад

      Na misikiti tisini na tisa bado ipo kwenye hicho kisiwa au imeongezeka au kupungua

  • @vanbraiysee2858
    @vanbraiysee2858 4 года назад +6

    Hilo jiwe lipo kweli ktk sehem ya bahari

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 4 года назад +3

    Allah ameubariki sana dini yetu

    • @omarjumanne6744
      @omarjumanne6744 4 года назад

      Uislam raha najipenda mimi kuwa mwislam thamani ya uisikam ni kubwa kwa wenye akili

  • @hemedysaidy7020
    @hemedysaidy7020 2 года назад +1

    Subuhaana llaah huu ni mtihani kweli watu wasio kua na Elimu cku zote ndio wabishi kusoma hawataki na hata wakisoma elimu yao haina faida kwasababu hawana fadhila na mashekhe zao elimu zao zimejaa kiburi

  • @ummytz7145
    @ummytz7145 4 года назад +7

    Nimekupenda kwa ajil ya allah mung akupe kaul thabit hap dunian mpak akhera

    • @rajabutwalha6651
      @rajabutwalha6651 3 года назад +1

      Assalaamu Alaykum warahmatu ALLAH wabarakaatuh samahani sana kwamba yeyote anayeifahamu namba Za sheikh WALID anirushie mm zangu Kuna Jambo amesahau nataka nimkumbushe au naomba mfikishieni nambari zangu hizo 0683240922 niongee naye

    • @ummytz7145
      @ummytz7145 3 года назад

      @@rajabutwalha6651 saw nitampatia mwanafunzi wake ili ampatie mwalim wake

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 года назад +4

    MashaAllah. Hiyo hisotri ya meli kugeuzwa jiwe ndio naisikia kwanza. SubuhanAllah jamani histori ziko nyingi hatuzijui na hii yote kukimbizana na dunia hatuendi madrsa. Allah atufanyie wepesi

  • @minabaka1910
    @minabaka1910 4 года назад +8

    Nimekuwa wakwanza tena nakaa kilwa

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 3 года назад +1

    Allah barik ustadh wangu walid.

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 года назад +2

    Nakukubali sheikhe

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb 6 месяцев назад

    Mashallah
    Jazakallah
    Zilete...hawakuweziiii

  • @kasimumatengo1318
    @kasimumatengo1318 3 года назад +4

    Kwanza tusome ndio tuanze kupinga kwa dalili lkn kama elimu atuna tukae kimyaaa acheni kuwadharau mashekh dua ya kuingia chooni aujui leo unapinga mashekh mtihani mkubwa shekh tupo faida

  • @abigaelnasir1698
    @abigaelnasir1698 3 года назад +1

    Swaddakta Shekh Walid Alhad Ukimpata mke mwenye Dini mume siyee,Mume Mshirikina tena Muongo, Fitna, Allah atuepushe na waume wenye swifa hizo

  • @kababayeemc6714
    @kababayeemc6714 4 года назад +2

    Swadakta maalimu exactly maalim

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 4 года назад +3

    Nko kenya . Nakufwata sana walid kuliko mashekhe wangu hapa.

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Madhali ndii mapenz yako mfuate kama na sie tunavyowapenda wa Mombasa

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 2 года назад +2

    Misikiti tisini na tisa
    Sasa kijiji kidogo misikiti tisini na tisa walikuwa wanaswali watatu watatu au
    Na kuna haja gani misikiti kurundikana sehemu moja na je sasa hivi imeshakuwa mingapi hiyo misikiti
    Wanaojua je bado ipo yote au imeongezeka katika hicho kisiwa au kijiji maana kasema kutoka msikitini kwake mpaka kigogo ukubwa wa kisiwa lakini misikiti tisini na tisa duh

    • @maidaamiri7490
      @maidaamiri7490 2 года назад

      Unachoshangaa kitu gani sasa wewe ukiangalia kutoka kichangani hadi kigogo Kuna nyumba ngapi na ukiambiwa kisiwa maana yake ni eneo sio barabara usipende kukurupuka kabla hujafikiri eneo lolote Lina urefu na mapana yake tumia akili wakati wa kujenga hoja usitumie mihemko

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 года назад

      Inawezekana kabisaaaaa,hata Zanzibar,mitaa miwili tu inaweza kuwa na misikiti hata50,pia mombasa, misikiti kila baada nyumba 5, usibishe.nenda kilwa ukajionee.

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад +1

    Usemayo_ni_kweli_karama_zimeondoka_kabisa_kwa_kujidai_kujua_sana_na_Kuwatukana_Mashekh_Baraka_zimeondoka_UNAFIQ_ume_kuwa_Mwingi_vongozi_hawaeshimiw

  • @shabanihamisi1146
    @shabanihamisi1146 4 года назад +1

    Upon vizuri;waislam Lazima tusomee ila watu wanapupia fatwaaa wanazosikia Sikia tu ila ni lazima tuamkee an tuachee mambo ya SHEKH kasema......LAZIMAAAAAAA TUSOMEEEE DINIIIIIIII

  • @josuzajsk398
    @josuzajsk398 2 года назад

    Mashaa Allah tabaraka arrahmaan Sheikh Walid ....

  • @gfrhajji5233
    @gfrhajji5233 4 года назад +3

    MashaAllah

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 4 года назад +2

    الحمد لله

  • @muhammadramadhab4996
    @muhammadramadhab4996 3 года назад +1

    jazakallah kher

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 года назад

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH.

  • @hamisilukanda1008
    @hamisilukanda1008 2 года назад +1

    Allahaa

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 4 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @yusufharoub4669
    @yusufharoub4669 4 года назад +3

    Masha Allah

  • @hudheifaathman315
    @hudheifaathman315 2 года назад +3

    Wacheni shiriki kwakusingizia ati mwasoma majina y Allah

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Год назад

      Ukimuamini ALLAH kila kitu kina wezekana

    • @abubakarbwika8397
      @abubakarbwika8397 5 месяцев назад

      Sasa hutaki atajwe Allah wataka kutajwa wewe ?? Pumbavu!

  • @user-tg9gm5rr8f
    @user-tg9gm5rr8f 11 месяцев назад

    Tatizo sisi saiv mashehk wetu wanatamaaa

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 4 года назад +1

    مشاءلله

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 4 месяца назад

    Sheikh Kawambwa wewe endelea tu na dhikiri hao walopoteza dhikiri itawadai
    Watatafuta pa kwenda wamepungukiwa baada ya kuita dhikiri ni bidaa sasa wanatafuta pakupatia umaarufu kwa kumuudhi Allah kwa kuwafurahisha watu Allah atawasalitisha nao si mbali sana mmoja baada ya mwingine ukiniomba mfano nitakupa live.

  • @khamismaulidi4562
    @khamismaulidi4562 3 года назад

    Ma sha Allah

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 4 года назад +1

    Wanaompinga Nabahany mm nawaita school boys.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 года назад +4

    Kweli mimi kwetu kilwa

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 года назад

      natamani nije kuliona ilo jiwe

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 года назад

      Kivinje au masoko?
      Mimi kwetu miteja na njia 4

    • @abdulhamidhaji5056
      @abdulhamidhaji5056 4 года назад

      Amesema kilwa kisswani

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 года назад +1

      @@abdulhamidhaji5056 naam Kilwa kisiwani ndipo palipokuwa mji mkuu wa dola la Kilwa na Kilwa nzima ndiyo iliyokuwa sehemu zote za nchi hizi zinazounda Afika mashariki pamoja na nchi za Somalia, Kongo mashariki, Monomutapa (Zimbabwe) na Msumbiji kaskazini kabla ya kudondoshwa na wazungu na baadae wakaigawanya na kuikalia kimabavu chini ya kivuli cha ukoloni.

  • @sajdaahmed9895
    @sajdaahmed9895 2 года назад

    Mashaallah

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

    Ndio maana mashakil chungu nzima kwa kuambiwa kila kitu bidaa basi balaaa moja kwa moja

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 4 года назад +1

    Nko kenya

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 года назад

    Jala jalalu

  • @azadmtunzi6225
    @azadmtunzi6225 3 года назад

    JISHEHE POTOSHAJI..... JITU LA BID'AA, ALLAH ALIONGOZE.

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis9206 4 года назад +3

    swadakta ni kweli hi bidaa imechangia sana kudhofisha uislam ya rabbi tusimamie Kwa huruma zakp tuwe kwenye kundi uloridhia

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 4 года назад

      Its possible my dear sister, kama ukisoma kisa cha nabii Suleiman na yule mfalme mwanamke, yule aliyeleta kiti kwa kwa inawezekena kama tukimwamini Allah kiukweli

    • @jumashebby1666
      @jumashebby1666 4 года назад

      Hapa sijaelewa nyie mlosema bidaa, mnamaanisha hiyo historia ni uzushi au vipi?

  • @zamdinkilala8790
    @zamdinkilala8790 4 года назад

    Naam

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад +2

    Hebu tufahamieni waislam jamani nawaomba kwamtazamo wangu lakini simlazimishi mtu kunielewa navyoolewa mie sidhani kama kunamtu anaweza chukua fundi bomba akampa kazi ya umeme kwenye nyumba yake ndio leo uislam wetu ulivyo wale wasomi waliomaliza elimu za dini hatuwataki kabisa matokeo yake ndio hawa mashehe wetu sasa hiyo story mpaka unaogopa sijui katoa wapi do!!!

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 года назад

      ndugu kasome tarihi ya uislam Afrika mashariki hayo yote yapo acha kubisha, waislam wa zamani walikuwa na taqwa sio sasa.

    • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
      @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 года назад

      Akili si nywele mana watu awachoki kubisha njoo nipo kilwa nikupeleke katika hilo jiwe musituchezee watu wa kilwa na duwa zetu

    • @othmanally1230
      @othmanally1230 3 года назад

      Aslm alkm shekh hio historian nikwwli usibishe

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 года назад

      Kilwa sio marekani,nenda kilwa,kisiwa cha jahazi utajua kama sheikh walid hiyo story kaitoa wapi!kingine punguza dharau unapowakosoa wanazuoni bakisha maneno,kuna kesho.

    • @yasinomary2147
      @yasinomary2147 2 года назад

      Eti wasomi waliomaliza elimu ya dini hatuwataki,kuna msomi aliemaliza elim ya dini??? mmmh nakuwa na wasiwasi nawewe, utakuwa huntha mushkel wew!

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад

    🙏🙏🙏

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 года назад +3

    Maneno matupu yasiyokuwa na ushahidi wa Quraan wala Hadithi!
    Bidaa na Uzushi ndio sumu ya Uisilamu

    • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
      @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 года назад

      Masalafy munamatatizo Sana

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 4 года назад

      Tatizo lako ni uzushi ndani ya dini tu
      @@ukhtyanasabintimalikimalik7188

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 4 года назад

      Kwaiyo hata histori yakilwa unataka Aya nahadithi kweli punguwani kweli kweli

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 4 года назад

      @@hatibuahmadi7237 Punguani ni wewe unaeamini historia ya Kiisilamu ambayo haimo vitabuni.
      Kwani wewe unafikiri Uisilamu ni paukwa pakawa!?

    • @jamillahaidha8184
      @jamillahaidha8184 2 года назад

      @@abubakarmuhammadsaid3244 shekh inamaana Allah ameacha kufanya miujiza toka maswahaba waishe mbona Allah hashindwi Nani aandike kwenye kitabu..

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 4 года назад +3

    Hee mbona hiyo historia hatujaisikiapo hio ya kilwa

    • @shabanihamisi1146
      @shabanihamisi1146 4 года назад +1

      Kakwambia mwenywe panda gari nenda usibishee tuuu ukisikis habari zichunguze kwanza

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 4 года назад +1

      Panda gari nenda kilwa au mtafute mtu unaemuamini mpeleke kilwa au kama yupo kilwa muulizie hiyo hadithi sio kila kitu mpaka kiandikwe historia nyingine zikiwekwa wazi inakuwa kama ni kupandisha chati imani fulani na wao hawapo radhi mpaka tufate mila zao....hivyo historia kama hizi zenye athari kiimani mpaka uwe mtu wa kutoka.

    • @naswidiaabdulkarim5005
      @naswidiaabdulkarim5005 3 года назад

      Mm shahdi nmefka mpaka ktk jiwe na nmelishka ni mwka 2019 tuu walasio zamani

  • @ukhtyalpha1344
    @ukhtyalpha1344 4 года назад +1

    Naam tulikuwa tukisoma ndio tukaambiwa bidaa na khasa zile fatha zake.

    • @rabiayusuf8940
      @rabiayusuf8940 4 года назад

      Ukitaka kufanya kitu anaglia hii ni kinyume na uislam. Sio kila kitu bidaa. Hao wanaosema bidaakuna city ambavyo ni vizuri lakini sio Sunna wana vitenda kama kutumia mobile mtume hakutumia na mambo Tele wa Tele hayakuwepo kipindi cha mitume wala maswahaba.

  • @mtadehahahhhhhhjunior8525
    @mtadehahahhhhhhjunior8525 3 года назад +1

    Mnapewa ushahidi mpk w kisiwa kilipo bado mnabisha,nenda kisiwani ukakione upewe historia n ukumbuk historia huwa haipotei maan utunzwa kw kurithishwa,sio kukomaa n bidaa bidaa tu

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Год назад

    Yani uyu ni sheih ata maongez yake ni mwalimu kabisa

  • @guyogalge2243
    @guyogalge2243 2 года назад

    He

  • @rashidalbalushi8355
    @rashidalbalushi8355 2 года назад

    Kwa nini kugeuza jina la WARENO na kuweka WAGIRIKI sbb sheikh kasema ni jahazi la wareno

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 4 года назад +1

    Ipo kitabu gani hiyo historia tukaisome?

    • @omarjumanne6744
      @omarjumanne6744 4 года назад +1

      Tembeenii katika aridhi muone tulivyofanya sio kila kitu kiandikwe matukio yapo hujamwerewa shehe

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 4 года назад +1

      Kaka tembelea Kilwa akaangalie na ujifunze athari zilizoachwa na Uislam.

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 4 года назад +2

      Sio kila cha kujifunza ukikute ktk kitabu.
      Vingine utaona vingine utahisi na vingine utasikia.nenda kilwa ushahidi ushatolewa kathibitishe tu.

  • @abdulhamidhaji5056
    @abdulhamidhaji5056 4 года назад +1

    Kwa hiyo sheikh hapo darsa la Leo n bid'aa tu !
    Mh ! Nimejifunza baadhi y vitu shukran, ila bid'aa itabaki bid'aa.

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 4 года назад

    Welcome to our channel "busted Islam"