Salamu za Zamani Mama Shikamooo.... Marahaba Mwanangu Hujambo? Salamu za 2019 Mama Heshima yako..... Mama anapashwa kuitikia Nashukuru sana kijana Wangu... Nimewaza kwa SAUTI
Jina na muonekano wke ni swa japo mitihani ya binadamu haikoc we love you mma ningekuwa mtz ningekuwa nakupia ma but ni mkenya na life zenyewe za kuunga unga lkn mungu wetu sote we miss kanumba movie kwetu zilikuwa ziwika ata zilizima za Nigerian na za wahidi but god knows the best rest in peace kanumba
Mama pole pengo La mwanao halizibiki, tunakupenda Mungu Siku Moja nifanye kitu Kwa Ajili Yako,wema love hongera nausichoke, haijalishi mwanae alifanyaje ila Huyu mama anapofurahia unabarikiwa
Wema namjua kwa kumuona tu kwenye mitandao but aliye Mpa hili jina limesadifu na matendo yake hajisikii yupo humble kwa kila mtu hanaga mashauzi huyu Dada anatabasamu na kila mtu na nimwepesi kusamehe hata kama kakosewa
Huyu mama hongera uwa nampenda sana!!
Mama mwenye Hekima na Shukrani.Be blessed
Wema anaroho nzuri sana
Nakupenda mama unaongea point hongera sana
Mama kanumba jamani nakupenda sanaaaa....
Pole mama kanumba na hongera kwahekima
Salamu za Zamani Mama Shikamooo....
Marahaba Mwanangu Hujambo?
Salamu za 2019
Mama Heshima yako.....
Mama anapashwa kuitikia Nashukuru sana kijana Wangu...
Nimewaza kwa SAUTI
VICTORIA DAVID CHANNEL
Hahahaaa
Mama ka ukijua kwamba nakupenda sana wewe mama ningekua tz ningekutafuta ila usijali
Leo umeongea jambo.God bless you
Wema she is always humble
WENNCESLAUS MUSHI
Aisee mashalla wema mzuri urembo adi twabia jamani
Wema is a people person
Mama kanumba big up still heshma haishuki
Mungu akupe umri mrefu mama🙏
Mungu akupe umri murefu mama
Hongera sana mama nakupenda ubarikiwe sana Kanumba tutakukumbuka daima pengo lako halizibiki R.I.P
Live long mama❤️❤️❤️❤️
Big up kwa wema sepetu
Kifo kibaya kweli R.i.p kanumba
Maisha mrefu mama
Wema roho yake ni safii sana ndio maana Tz sweetheart
Jina na muonekano wke ni swa japo mitihani ya binadamu haikoc we love you mma ningekuwa mtz ningekuwa nakupia ma but ni mkenya na life zenyewe za kuunga unga lkn mungu wetu sote we miss kanumba movie kwetu zilikuwa ziwika ata zilizima za Nigerian na za wahidi but god knows the best rest in peace kanumba
Mama pole pengo La mwanao halizibiki, tunakupenda Mungu Siku Moja nifanye kitu Kwa Ajili Yako,wema love hongera nausichoke, haijalishi mwanae alifanyaje ila Huyu mama anapofurahia unabarikiwa
Safi sana mama
Good mamaa....love youuuuu
Mungu akutunze mama
Wema Tanzania 🇹🇿 sweetheart...❤️
Wema uypo na roho nzuri sana mashallah
Ubarikiwe sana mama.
Live long mama.
ruclips.net/video/hpWXatzNN1U/видео.html
Yess kbs
Jina lake ni WEMA....ladhima awe mwema...
She’s so lovely
NILILIA SAAAAANA KAMAAMBAE NILISHAWAI MUONA NA SIKUWAI ILA KAZI ZAKE NA UZURI WAKE DAH REST IN PEACE.
Maisha marefu bibi yangu nakupenda
Mama jipe guv.twakuobea
Iyo nikweli mama wema anakumbuka kila kitu
Kadadaah ushatolewa mama usisemege hivyo tna baki nayo moyoni
Jamani yaani kila nikimkumbuka kanumba najikuta nalia tu mungu akuweke maali pema kanumba nakupenda
Mungu akupiganie mama ....
Anae mkumbuka #Kadada akuje Apa
Cmjui n yupi huyo
Tupoooooo🔥🔥🔥🔥🔥
upendo kama wote nimekupnda bure mama....lov u wema one love madam
Uyu mama nampenda yupo vizuri
Wema uwe namoyo huo wakumsaidia mama kanumba
Kama jina lake🌹🌼🌸🍉🍎
Nakupenda mama.
Mama umependeza sana
Siuamkie wazungu wanafunza utamaduni wetu ila nyie wafrika mnatoa utamaduni wenu eti heshm yako😁
nakuelewa
kinyama anapendeza mtu?
Nakupenda pia wema
Wema namjua kwa kumuona tu kwenye mitandao but aliye Mpa hili jina limesadifu na matendo yake hajisikii yupo humble kwa kila mtu hanaga mashauzi huyu Dada anatabasamu na kila mtu na nimwepesi kusamehe hata kama kakosewa
Safi mama
Mama amegonda kweli 😭
Wema ni mwema,!mapungufu ni ubinadamu tuu
Mngu akutunze mama eetu mpendwa
Lips super
Masha Allah mama Mungu akuzidishie umri ww na wema
Nmekupenda mama ya ngu waongea vzur mungu Akupe moyo huohuo
Mtangazaji mbona una maswali ya uzushi?
Asha Ali Huo unaitwa umbea wa mwanaume
@@gggjjahhhh9419 🤣🤣🤣 Kwa kweli
Penda mama kanumba
Safi sana mama
Jina lake ni WEMA....ladhima awe mwema...