Kaburi ukilitazama kwa juu kama una imani thabit machozi lazima yakutoke. Tunahudhuria mazishi lakini bado mienendo ya maisha yetu haibadiliki. Mola atufanyie wepesi apokee Toba zetu na kulainisha mioyo yetu ili tuishi kwa kufuata misingi ya Uislamu
Sheik Kipozeo Shukran Kwa Kuzidua Uma Kuhusiana na Umauti Dunia Inatuhaada Marejeo yetu ni Kwa Mollah Wetu Muhumba Uhai na Umauti Yaa Allah Tufishe Tukiwa Waislamu InsaaAllah.
NDUGU YANGU BETTY NIMEPENDA COMMENT YAKO NJIA YA KUJISALIMISHA NDIO HII NJOO KWENYE DINI YA HAKI NINA SPECIAL ZAWADI IWAPO UTAINGIA KWENYE UISLAM KWA MOYO WAKO
Maisha ya Dunia ni Mtihani Allah kishasema ktk Suratil Mulk aya ya Pili Kwamba Kaumba umauti na uhai ili kutujaribu nani ana vitendo vizuri zaidi. Ya Allah! Tupe mazingatio ktk muongozo wako na Tujaalie mwisho mwema.
Tena had hiv ssa wako waliomaliza sku 1 ,wako walomaliz wik, wapo waliomaliza mwez, wapo waliomaliza Mwaka, na wapo walomalza karne kwa karne, eee Mungu tusitir na adhab za kabri:
Asante sana Sheikh unatupa mawaidha mazuri, changamoto ni sauti jitahidi katika kurecord sauti ikae katika usikivu wakutosha.. Allah abariki kazi zako In Shaa Allah
Allahu akbar mungu atujaalie tujitaarishe nazawadi nzuri yakwenda nayo huko kwenye nyumba mpya yakuchimba allahumma aamiin Shukran yaa sheikh mungu akujaze nuur kifuani mwako uzidi kutuelimisha na dafari hii maandalizi yake amiin
Babu tale ndio alimdhulumu huyu sheikh akarekodi mawaidha na kuyauza bila kumpa sheikh pesa kumuwezesha atoe mawaidha mengine kwa jamii,wanadhulumu wasanii mpaka masheikh
Allah awaongoze mashekh Allah atujaalie mwisho mwema.
Kaburi ukilitazama kwa juu kama una imani thabit machozi lazima yakutoke. Tunahudhuria mazishi lakini bado mienendo ya maisha yetu haibadiliki. Mola atufanyie wepesi apokee Toba zetu na kulainisha mioyo yetu ili tuishi kwa kufuata misingi ya Uislamu
umenena kaka
Abdul Omari Amin yarabi
Hakika mwisho mwema ni kwaylle mwenye kuikumbua siku ya mwisho
Abdul Omari kabisa maana hilo tani ladongo tu tosha
Abdul Omari llmmm
MashaAllah TabarakaAllah sheikh mungu atupe mwisho mwema
Allahu Akbar..ya Allah tujalie mwisho mwema
Maashaallah mawaiza ni mazuri turudi kwa MWENYEZIMUNGU kwa kumuabudu yeye tu
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad ( saw ) rehma a amani ziwe juu yake inshallahu
Ee Mwezi M/Mungu tuepushe na adhabu ya kabri
ALLAH tujalie mwisho mwema in shaa ALLAH
Shukuran Allah atujaalie na cc tuzijenge nyumba zetu za milele in shaa Allah
Yarab tujaalie maisha mema duniani na utujaalie maisha mema akhera
Mashalaa
Mungu atajalie mwish mwema Amiiiin Amiiiiin
Sheik Kipozeo Shukran Kwa Kuzidua Uma Kuhusiana na Umauti Dunia Inatuhaada Marejeo yetu ni Kwa Mollah Wetu Muhumba Uhai na Umauti Yaa Allah Tufishe Tukiwa Waislamu InsaaAllah.
Yaa Raby tufanyie wepes baada ya mauti yetu
subhana Allah
Ya Rabby tupe mwisho mwema ya Allah na utujalie Ramathan nyingi ya Allah ili tuweze kutubu ya kareem Aaamiin ya Allah
Allahuma ahtwanii kitabii biyaminii hisabniii wahasban yasiraa.
Allahu atujaalie maqaburi yetu kua ni viwanja vya peponi inshallahu
Aamin yarrab😭🤲
Ameen
Jamani.Mimi.mkrsto lakini mahumbili yamenifungua sana ufaamu wangu
Slimu uwe kwenye njia za mungu
Betty Mpungu silimu Mungu Atakupokea kwa dhati kabisa maana hii ndio dini yahaki
Karibu bety
Sana sana
NDUGU YANGU BETTY NIMEPENDA COMMENT YAKO NJIA YA KUJISALIMISHA NDIO HII NJOO KWENYE DINI YA HAKI NINA SPECIAL ZAWADI IWAPO UTAINGIA KWENYE UISLAM KWA MOYO WAKO
Maisha ya Dunia ni Mtihani Allah kishasema ktk Suratil Mulk aya ya Pili Kwamba Kaumba umauti na uhai ili kutujaribu nani ana vitendo vizuri zaidi.
Ya Allah! Tupe mazingatio ktk muongozo wako na Tujaalie mwisho mwema.
Mwenyez mungu atupe mwisho mwema
Subhanallah
Mashallwa huyu shehe nayapenda mawaidha yake❤❤❤❤❤
Yaani sheikh kwa ajili ya Allah nakupendaje mashaa Allah
Mashaa Allah jazakallah sheikh shukrani sana Allah awahifadhi mbona ulipotea yaani upo vizuri
Yaani binafs sio muislam lakin nampenda Sana huyu sheik. Mawaidha yake yananijenga Sana... Mashalaa.
Mashallah karibu dada Grace kwenye uislam
Tena had hiv ssa wako waliomaliza sku 1 ,wako walomaliz wik, wapo waliomaliza mwez, wapo waliomaliza Mwaka, na wapo walomalza karne kwa karne, eee Mungu tusitir na adhab za kabri:
Allahumma Amiin
Allah afany wepes katik makabur yet
SubhanaAllah
Allah atujaalie mwisho mwema
Allah atupe mwisho mwema
subhanallahi tupe mwisho mema Ya Allah
LAILAHAILAU ALLAH
Shekh ukiweka ndefu mashallh utapendeza zaidi.
Mawaidha yoko yalitusababisha kuongoka uku mombasa Allah akuifadhi
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN REHMA ZA ALLAH ZIWE JUU YAKO SHEIKH NA WAUMINI WOTE NA ALLAH AWAREHEMU MAITI ZETU NA SS ATUPE MWISHO MWEMA
Asnt san ✌👏
Ee Mungu nipe nguvu zaidi niweze kuku mbuka swala
Mungu atusamehe
Sheikh mawaidha mazito Sana Allah akupe Kila la kheir
Asalamu caleikum sheikh usipotee na mawaitha hivi ni kitambo Sana jazakalahu kheir,
Asante sana Sheikh unatupa mawaidha mazuri, changamoto ni sauti jitahidi katika kurecord sauti ikae katika usikivu wakutosha.. Allah abariki kazi zako In Shaa Allah
Sauti nzuri clear ila labda simu yako ina hitilafu
Allahuakbaru
Amina
Allahu akbar
Yarabi tujalie mwisho mwema
Ujumbe mzuri tuswalini jamani kwaajili ya Allah
Mashallah shukurani
Yesu atusaidie. Tusimame mbele yake tukiwa tumejiandaa
Allahu akbar mungu atujaalie tujitaarishe nazawadi nzuri yakwenda nayo huko kwenye nyumba mpya yakuchimba allahumma aamiin
Shukran yaa sheikh mungu akujaze nuur kifuani mwako uzidi kutuelimisha na dafari hii maandalizi yake amiin
Allah akulipe kwa ukumbusho
Allah ukupe wepsi shekh
Subuhanallah
JazzakaAllah sheikh BarakAllah fiyk
Lailaha Ilawah
Mashalah
maneno kuntu kwa kweli.nyumba ya hakika ni kaburi.ama hzi tulizonazo za kutustir mda maalum tena mchache
Subhanalah
Ameen
Allah tujalie mwisho mwema
Inalilahi wainailaihi rajiuni
in shalla wenyenz mung a2jarie wanz hurie mzur naha2fanyee wepes katik makabur ye2
😭😭😭😭😭😭 dunia hii🌏🌏🌏
subhanalaahaa
Ustazii Hongera.
Shukran kwa dahawa
Shurkani sana
Chozi linalenga
Yaan kama kumswalia Mtume (saw) n bidaa nao wakafuata HVO nasi wamekwisha jaman tubakie na msimamo unaoeleweka.
kabur ni nyumba nzr kwa aitakae
Subhanah Allah
Ma shallah Allah atujaalie mwisho mwema
Allah akujalie mwisho mwemaa pamoja na sisi
Yaaaà Allah utuepushe na adabu za qabri na sakaratul mowtiq
Babu tale ndio alimdhulumu huyu sheikh akarekodi mawaidha na kuyauza bila kumpa sheikh pesa kumuwezesha atoe mawaidha mengine kwa jamii,wanadhulumu wasanii mpaka masheikh
😢😢😢
😢😢😢😢
SUBHANNALLAH
Yaa!!! Allah tupe hatma njema waja wako.
Mashaallah
Mitihani mkubwa wasilam mawaiza mazito
Sasa mbona nusu nusu
Naxhukuru father kwa kunifungua akili
Nitafte kuna maswali nahtaji kukuuliza...+9687213624.
tatizo maneno mengi elim hamna hapo
Kwaiyo anachokiongea sio sahihi
Haya wewe mwenye elimu. Tupe mawaidha.
Na Sheikh wetu huyu lipi baya alozungumza?
Wewe ndo mwenye elimu
Subhanallah
Yesu atusaidie. Tusimame mbele yake tukiwa tumejiandaa