MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 369

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 3 месяца назад +20

    Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 3 месяца назад +9

    Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 3 месяца назад +47

    Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 3 месяца назад +12

    Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 3 месяца назад +5

    Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 3 месяца назад +6

    Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 3 месяца назад +42

    Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 3 месяца назад +42

    Farid ni mtu wa mungu sana

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 3 месяца назад +6

    Mungu ,watunze wasipate majeraha
    Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
    Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
    Aminaa

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 3 месяца назад +22

    Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 3 месяца назад +18

    Farid much respect wananchi tunakupenda ❤

  • @octavianluambano9081
    @octavianluambano9081 3 месяца назад +16

    Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 3 месяца назад +7

    Faridi is incredible player. Well done

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 3 месяца назад +36

    Ahsante farid mussa malick

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 3 месяца назад +5

    Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban1013 3 месяца назад +3

    Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 3 месяца назад +14

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 3 месяца назад +4

    Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 3 месяца назад +5

    Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 3 месяца назад +37

    Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍

    • @ShakiraMasoud-ox5tj
      @ShakiraMasoud-ox5tj 3 месяца назад +1

      Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 3 месяца назад

      ​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo

  • @jumambwambo
    @jumambwambo 3 месяца назад +8

    Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 3 месяца назад +2

    Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...

  • @JusminSaid-zi6id
    @JusminSaid-zi6id 3 месяца назад +2

    Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah

  • @JosephEthan-z6o
    @JosephEthan-z6o 3 месяца назад +5

    Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
    LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 3 месяца назад

    Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.

  • @ShukranKawind
    @ShukranKawind 3 месяца назад +27

    Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu

  • @NgasaLuhamba
    @NgasaLuhamba 3 месяца назад +4

    Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 3 месяца назад

    Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 3 месяца назад +3

    Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад +1

    Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 месяца назад +6

    Respect kwako Farid Mussa

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il 3 месяца назад +10

    Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF

  • @raymondkisinga4374
    @raymondkisinga4374 3 месяца назад +12

    Big Up Farid Musa👏👏

  • @AdolfJosephmassawe
    @AdolfJosephmassawe 3 месяца назад +3

    Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 3 месяца назад

    Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana

  • @BonifasMjuni-zi1wg
    @BonifasMjuni-zi1wg 3 месяца назад +8

    Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb 3 месяца назад

      Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
      Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 3 месяца назад +6

    Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад +18

    Asante kaka Farid Musa

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 3 месяца назад

    Mungu akubariki farid musa malick for the love

  • @LuckyAden-cd7wo
    @LuckyAden-cd7wo 2 месяца назад

    Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm 3 месяца назад +69

    Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 3 месяца назад +11

    Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 3 месяца назад +9

    Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +10

    Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz 3 месяца назад

    Farid ur man full of love to the fellow player

  • @SüddyThíägø
    @SüddyThíägø 3 месяца назад +7

    Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 3 месяца назад +5

    Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 месяца назад

    Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 3 месяца назад +3

    Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 3 месяца назад +7

    Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂

  • @VanesaKeneth
    @VanesaKeneth 2 месяца назад

    Farid mungu akutangulie muungwana sana

  • @_kidayyo
    @_kidayyo 3 месяца назад +6

    Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 3 месяца назад

    Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana

  • @RazakciAbdulRazakciAbdul
    @RazakciAbdulRazakciAbdul 2 месяца назад

    Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba

  • @CalvinMbaraka
    @CalvinMbaraka 3 месяца назад

    So wise Farid much respect

  • @steamtvtz
    @steamtvtz 3 месяца назад +5

    Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20

  • @ErastoAmosy
    @ErastoAmosy 2 месяца назад

    Umetisha farid bigp saana

  • @AtuAtu-v9f
    @AtuAtu-v9f 3 месяца назад

    Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee

  • @MichelEliya
    @MichelEliya 3 месяца назад

    Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 3 месяца назад +2

    Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏

  • @KiletoKahima
    @KiletoKahima 3 месяца назад

    Asante sana upendo wenu

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 3 месяца назад +5

    Naipenda sana yanga

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 3 месяца назад +8

    Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 3 месяца назад +6

    Narudia tena kusema
    MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!

  • @gwantualexis4064
    @gwantualexis4064 3 месяца назад +7

    Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 3 месяца назад

      😂😂😂

    • @HadiaMohammed-ec2dn
      @HadiaMohammed-ec2dn 3 месяца назад

      Hahaha kama sio yy

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb 3 месяца назад +1

      Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +9

    😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz 3 месяца назад +1

      😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 3 месяца назад

      Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan 3 месяца назад

      Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 3 месяца назад

      @@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 3 месяца назад

      @@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.

  • @SaimonPaul-r2v
    @SaimonPaul-r2v 3 месяца назад +6

    Kubali sana faridi musa

  • @fikcountry5547
    @fikcountry5547 3 месяца назад

    Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 3 месяца назад +1

    Big up kwa Farid Musa ❤

  • @tintin0019
    @tintin0019 3 месяца назад +8

    OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 3 месяца назад

      😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 3 месяца назад

    Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 месяца назад +2

    Twatotela baiche for playing for WANANCHI

  • @HamisKibungulu
    @HamisKibungulu 3 месяца назад +1

    Big up faridi ndo uhungwana huo

  • @CosmasCosam
    @CosmasCosam 3 месяца назад

    Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 3 месяца назад

    Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 3 месяца назад

    NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 3 месяца назад

    Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤

  • @pascaljonathan6865
    @pascaljonathan6865 3 месяца назад

    Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 3 месяца назад

    Respect sana Farid mussa

  • @elisantemoses1602
    @elisantemoses1602 3 месяца назад

    ❤❤❤ faridi ni mtu na nusu haswa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 3 месяца назад

    Farid hongela San kk hapo umefanya vizul san

  • @DismasWilliam-cp3qe
    @DismasWilliam-cp3qe 3 месяца назад

    Naipenda sana squard hii.

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro 3 месяца назад +10

    Yanga bwana mko Vizuri

  • @AtuAtu-v9f
    @AtuAtu-v9f 3 месяца назад

    Tunazidi kuwaombea mungu awatie nguvu na afya njema

  • @HamzaAbdlla
    @HamzaAbdlla 3 месяца назад

    Farid big up sana kaka

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 3 месяца назад

    Chama mwenyewe kakubali "yaani kwa mazoezi haya ni sahihi mlivotupiga zile 5"😅😅

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад +9

    Mshery anategea😂😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад

    Big up 🎉🎉🎉

  • @AmisihalunaKilung
    @AmisihalunaKilung 3 месяца назад

    Aisee Raha sana

  • @ellymtz6886
    @ellymtz6886 3 месяца назад

    Safi sana faridi Musa..🙏🏻

  • @agustinombawala5527
    @agustinombawala5527 3 месяца назад

    safi kabisa na Mkude nae epewe jezi yake namba 20 mana MAUYA kasepa

  • @AmisihalunaKilung
    @AmisihalunaKilung 3 месяца назад

    Mungu awe pamoja nanyi

  • @BeckaJunior
    @BeckaJunior 3 месяца назад +1

    Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 3 месяца назад

    Iko wapi skudu ya makulubela🎉❤

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 2 месяца назад

    be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 3 месяца назад

    Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 3 месяца назад +1

    Ewaaaah..wamekwisha sasa😂

  • @DavisSongolo
    @DavisSongolo 3 месяца назад +1

    Ukomavuuu mkubwa sana kwa Farid 👏👏👏