Da Pasi Mama ubarikiwe na mbingu ziwe na nena mema kwajili yako Dada yahani utumaji upo unanena wasi wasi kwajili ya kanisa za Leo ndo ivyo tu wanavyo fanya Ila Mungu atufungue macho 💔💔
Mungu awabariki sana kwa nyimbo nzuri. Niwatie moyo kwamba msonge mbele. Mnaimba vizuri sana, kiswahili 💯. Mbarikiwe sana. Tunawafuatilia kutoka Tanzania
Hongereni sana kwa wimbo nzuri. Ila ndugu Joshua promise,huyo dada mtumaji huwa nzuri kwa nyimbo za kibembe na siyo kiswaili, maana huwa anatuma kiswaili kama kibembe. Kwa wakati mwingine,hangalie vizuri kwa kutumia mwengine au ajirekebishe kwa nyimbo za kiswaili. Maneno mazuri kwa utumaji wa kwanza na chorus ya kwanza.
Kwekweli kila mtu na mtazamo wake, kiukweli mimi naona huyo Dada yupo vizuri sana kwasababu nimesha fuatilia baadhi ya nyimbo ambazo amehimba kwa kiswahili, jaribu kusikia zingine ambazo alihimba kama mtumaji alafu uta niambia.
Alie tunga hiiii nyimbo Nampa big up sana
Da Pasi Mama ubarikiwe na mbingu ziwe na nena mema kwajili yako Dada yahani utumaji upo unanena wasi wasi kwajili ya kanisa za Leo ndo ivyo tu wanavyo fanya Ila Mungu atufungue macho 💔💔
Amen amen dada 🙏
Mungu awabariki sana kwa nyimbo nzuri. Niwatie moyo kwamba msonge mbele. Mnaimba vizuri sana, kiswahili 💯. Mbarikiwe sana. Tunawafuatilia kutoka Tanzania
Mko vizuri sana Kwa uimbaji mbarikiwe YESU Kwa huu utumishi
Me uyo binti mtumaji tu dah uwaga voice yake inagusa moyo wangu akika Mungu azidi kumpa kipaji zaidi, hii kwaya jamani dah ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hongereni sana kwa wimbo nzuri.
Ila ndugu Joshua promise,huyo dada mtumaji huwa nzuri kwa nyimbo za kibembe na siyo kiswaili, maana huwa anatuma kiswaili kama kibembe.
Kwa wakati mwingine,hangalie vizuri kwa kutumia mwengine au ajirekebishe kwa nyimbo za kiswaili.
Maneno mazuri kwa utumaji wa kwanza na chorus ya kwanza.
Asante mtumishi kwa mashauri ubarikiwe 🙏
Ahsante mtumishi kwa maoni yako. Tutayafanyia kazi.
Kwekweli kila mtu na mtazamo wake, kiukweli mimi naona huyo Dada yupo vizuri sana kwasababu nimesha fuatilia baadhi ya nyimbo ambazo amehimba kwa kiswahili, jaribu kusikia zingine ambazo alihimba kama mtumaji alafu uta niambia.
@@anaclet2411 nitafuatilia kwanza
Inategemeana pia na melody . Ila yuko sawa kwa Kibembe na Kiswahili pia
Mbarikiwe Sana madhabauni hapo panauwepo
Guys this is very amazing keep up good work and may the lord bless you all ❤❤❤❤
Ohhhh it was very wondering kuona jinsi mlivyo shusha magogo
Huyu dada Mungu hazidi kumuinua kwenye viwango vya juu.❤️🤲🏾
Mimi nampokelea izo baraka 😊😊😅 ubarikiwe pia da Molina 😊
Mungu awajaze nguvu zaroho mtakatifu
Mungu awabariki sana uhimbaji nzuri mnaoimba ksabisa.Nimebarikiwa sana
Hii choir inabariki sana 🤲😇
Wow ❤❤❤
Aiseee nakosa ata ni Comment nini Basi Amen 🙏🙌🙌🙏🙌
Batheli ❤❤❤❤
Sauti ya aliye hanza wimbo huu
Lazima shetani akahe mbali
Tuombe neema kwa yesu kristo
Huyu Dada ni wa hapo Texas ama? Kama Kuna mtu alie na contact zake anisaidiye
Amen
Amen !!!❤
🥺🥺🥺🥺🎧🎧🎧🎧🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kwani hii kwaya ipo Texas Marekani ama kuna Texas nyingine hapa Tz msaada tafadhari
Texas Abilene INCHINI marecani
Amena
Amennnn❤
5846 Christiansen Row