Mungu wa imani akulinde akupiganie yeye ndie mwenza wayote nashukuru kwa mafundisho yako nilikuwa nafunga lakini nilikuwa sijui maombi inaendana na neno la biblia kwasasa nimefatilia mafundisho yako hakika mungu anafunuwa mungi kwangu mungu akubariki sana
Amen, Nashukuru kwa ujumbe huu juu ya Imani, nimegundua mahali ambapo nimekuwa nikikosea, Kuwa Na lmani bila kuchukua hatua . Nashukuru kwa kuelimishwa 🙏🙏, Mungu akuinue zaidi Mtumishi
Mchungaji nasikitika Sana kwanini sikupata neema ya kuanza kukufutilia Toka mwanzo maana nafikiri ningekua mbali Sana kimaisha pia mchungaji mm ikifika mwez wa 9 mikakati na mipango yangu yote huwa inavurugika je nifanyaje.baba
Yaaan Kila nikiskia Maneno matraaam ya Mungu kwenye hii site lazma nipae utukufu mwingine na nashiba na kupona kabisaa completely aseee Yuko Mungu aliehai anaishi Ndan ya Mwana wake huyu Ubarikiwe mno mno Shujaa wa Bwana
Bwana akubariki kwa kutumika kunijenga kiimani maana hofu na mashaka ilikua imepandika kwangu lakini kwa neno hili nimejekenga🎉🎉
Ubarikia sana mtumishi wa Mungu kwa mafunuo Roho wa Mungu yanayotoka kwako
🙏🙏💯
Mungu wa imani akulinde akupiganie yeye ndie mwenza wayote nashukuru kwa mafundisho yako nilikuwa nafunga lakini nilikuwa sijui maombi inaendana na neno la biblia kwasasa nimefatilia mafundisho yako hakika mungu anafunuwa mungi kwangu mungu akubariki sana
Asante Bwana Yesu kwa Neema hii Mungu akulinde Mch
God bless you and your family.naona nitahamia Tanzania ufahamu wa mungu ulizinduliwa uko 🙏🙏💯
Napokea neema ya kupiga hatua kwenye maisha sitayumbayumba tena kwenye imani 🙏🙌
Kwakweli Najifunza sana kutoka kwako mtumishi
Nimebarikiwa sana mtumishi wa mungu
Barikiwa Pastor George.
Amen amen
Amen amen 🙏🙏🙏
Thank god
Ameen
Asante Yesu Kwa nafasi hii ulioleta kwangu kuusu imani .Nakuomba eee Bwana unipe imani timilifu
Amina
Amen🙏🙏🙏
mung akubalikii baba
Amen, Nashukuru kwa ujumbe huu juu ya Imani, nimegundua mahali ambapo nimekuwa nikikosea, Kuwa Na lmani bila kuchukua hatua . Nashukuru kwa kuelimishwa 🙏🙏, Mungu akuinue zaidi Mtumishi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nateswa Mimi shetani yuanifuatilia😊
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masomo yaliyojaa Ufahamu mkubwa wa kiroho na nguvu za Mungu barikiwa sana pastor George Mukabwa
Amen
Napokea roho ya ijasiru naondowa roho ya hofo kwa jina la Yesu Amen Papa
Mchungaji nasikitika Sana kwanini sikupata neema ya kuanza kukufutilia Toka mwanzo maana nafikiri ningekua mbali Sana kimaisha pia mchungaji mm ikifika mwez wa 9 mikakati na mipango yangu yote huwa inavurugika je nifanyaje.baba
Asante Yesu Amen Amen Lord Amen
Baba nimekuelewa Sana muumba mbingu na aridhi na akubariki
Yes yes mungu tusaidie kua na imani
Asante Mungu kwa zawadi hii.Nakuombea baraka nyingi na kibali Cha pekee Sana pastor.
Aminaa nakuelewa vizuri sana masomo Yako yote yanagusa maisha yangu mungu akubariki sana mchungaji
Baba ubalikiwe Sana naona unaongozwa na loho mtakatifu
Pastor ubarikiwe sana nimepata neema ya kupiga hatua
Ameni mtumishi Imani yangu kwa Mungu sina was was na Mungu wangu
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Ee Mungu naomba unisaidie kuongeza kiwango changu cha imani.Amen
Amen Mtumishi nimefu guka sana
Namshuru Mungu wa mbinguni Kwa ajili yako
Amen and amen mtumishi wa mungu nimmebarikiwaa sana be blessed
MUNGU ni Mwema kunikutaniaha na Mahubili haya
Asante baba
Yaaan Kila nikiskia Maneno matraaam ya Mungu kwenye hii site lazma nipae utukufu mwingine na nashiba na kupona kabisaa completely aseee Yuko Mungu aliehai anaishi Ndan ya Mwana wake huyu Ubarikiwe mno mno Shujaa wa Bwana
Amen nimepata Jambo hap❤❤❤
Aminaa Mtumishi 🙏 🙏
Am taught any time I letsen to you sir,am addicted to your teachings every morning
Amen. Asante kwa mafundisho mazuri.
Amina ubarikiwe
AMINA
Amen 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Napokea neema ya kukumbukwa na bwana ktka majira haya september to december
Ameeen 🙏🙏
Amen Amen Amen!!!!!
Mbona anmaba ya sadaka hakuna
1:01:31 1:01:33
Amen Amen
Amen
Amen baba
Amina
Amen🙏
Ameen
Amen amen
Amen and Amen 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Amen and Amen
Amen Amen
Ameeen
Amen
Ameeen
Amen 🙏