Pr. David Mmbaga,Kuchagua Mchumba A

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 26

  • @ruthchebet4154
    @ruthchebet4154 3 года назад

    You have taught be prophecy thanks pastor, From Nakuru kenya

  • @plankalkimly4811
    @plankalkimly4811 2 года назад +1

    Amina pastor

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 6 лет назад +4

    Umenisaidia sana pastor .God bless you

  • @nibonisyendalima5165
    @nibonisyendalima5165 6 лет назад +2

    Amina tupone kwa neno hili wanaume wamezidi kuchagua kazi na kuendekeza uvivu.

    • @mkdg.4skolo891
      @mkdg.4skolo891 6 лет назад

      na wnwake nao wazdi kuringa kanakwmba wapo adim kuwa wataisha. kumbe aaaah wapi

  • @machibyabushile9965
    @machibyabushile9965 Год назад

    Napenda mahubiri yako pastor 🙏

  • @esaumakele7476
    @esaumakele7476 4 года назад +2

    Barikiwa pastor

  • @machibyabushile9965
    @machibyabushile9965 Год назад

    Napenda mahubiri yako pastor

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +3

    AMEN🙏 point taken, be blessed pastor

  • @neemaedga7714
    @neemaedga7714 6 лет назад

    barikiwa pastor, Mungu atusaidie sana kwenye uchaguzi huo

  • @lucksonkalima1988
    @lucksonkalima1988 3 года назад +1

    Jamani tatizo hilo lipo kwangu naishi na mwanaume huunimwaka wa 5 na kilicho nivutia kwake niana sali mpaka anasujudu mimi nikajuwa nimepata kumbe nimepatika mimi siyo kwa magumu ninayo pitia

  • @FelixKayole
    @FelixKayole Месяц назад

  • @muinjilistdamas7054
    @muinjilistdamas7054 4 года назад +2

    Nakupenda na napenda mahubiri yako ususa ya ufunuo na Mpinga kristo, Leo nitakua mnikolai nikifunua Maandiko nikianza na Mwanzo kabisa Wa biblia tunaona Mungu uwapa watu wake Mume au Mke sahihi yaani anakukutanisha Mwanzo 2:18 nasio kumtafuta kwa kutumia akili zako,yako mambo ni ya kweli kabisa ila sio kutumia sura ya nje na akili za kibinadamu kumjua mtu maana Biblia inaitaja ndoa kama jambo LA kiroho sana na lenye kuathiri kila eneo LA maisha na ndio maana ni lazima uwe na uhakika kua Mungu ndio anayoiyunganisha hiyo ndoa ila Sio kwa kushikilia akili na Misimamo ya Ubongo kibiblia Mke au Mume inapofika kipengele cha kuoa hakuna Msimamo unaeleza kuhusu kumtafuta Mume au Mke ila ni kumtafuta Mungu zaidi akukutanishe na Me/mke wako Mithali 19:14 Mali na pesa mtu urithi kutoka kwa babae ila mke Mwenye busara MTU upewa na Bwana.Utaona agano alilofunga Ibrahim na Mungu ndilo lililompatia Mwanae Isaka Mke na Mungu alimpa Maelezo yote ya wapi mke Wa Isaka atatokea na ikawa Amina, na ndio maana nasema kibiblia Mume au mke hawamtafuti ila Mungu anakupatia wakufananae na sio kujichagulia kwa mitazamo yako au kuitegemea akili uliyopewa na Mungu,Akili umepewa ili ikusaidie na kama ni wa Mungu kweli basi ikifika kipindi maalum cha kuoa u kuolewa atahakikisha anakupa kila aina ya maelezo,Hatuwezi kufanya jambo zito namna hii bila ya Mungu,MUNGU KWANZA MKE ATAKUKUTANISHA NAE AMINA

  • @ruthchebet4154
    @ruthchebet4154 3 года назад

    Thanks for the teaching pastor

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @karlgabrielwilfredkalivuba927
    @karlgabrielwilfredkalivuba927 6 лет назад +2

    Amen. Hakika hekima ni kila kitu

  • @sylvestermairura2021
    @sylvestermairura2021 5 лет назад +1

    Tuko pamoja kutoka Huku Nairobi, kenya

  • @dinamkamaabel9486
    @dinamkamaabel9486 6 лет назад +1

    be blessed pastor

  • @mipawatambu7146
    @mipawatambu7146 6 лет назад +1

    nice message pastor

  • @jeniviver2701
    @jeniviver2701 5 лет назад

    jah bless u pastor

  • @nathanmao159
    @nathanmao159 6 лет назад +3

    Gud message

  • @machibyabushile9965
    @machibyabushile9965 Год назад

    MCHUNGAJI TUNAOMBA MAHUBIRI KWA NINI WAKATOLIKI WANAVITABU VINGI KWENYE BIBLIA KULIKO BIBLIA TUNAYOTUMIA SISI TUNAOMBA UCHAMBUZI KUHUSU VITABU HIVO VILITOKA WAPI NA KWA NINI KWENYE BIBLIA ZETU HAZIPO

  • @benedictmasigo518
    @benedictmasigo518 6 лет назад +1

    Good ooh

  • @shittostar1182
    @shittostar1182 6 лет назад +1

    mimi nipo Dar, 0629063837nahitaji ubatizo, naomba mwongozo wako mchungaji

  • @stelaclemens8713
    @stelaclemens8713 6 лет назад +2

    hii nikweli