Jamani tatizo hilo lipo kwangu naishi na mwanaume huunimwaka wa 5 na kilicho nivutia kwake niana sali mpaka anasujudu mimi nikajuwa nimepata kumbe nimepatika mimi siyo kwa magumu ninayo pitia
Nakupenda na napenda mahubiri yako ususa ya ufunuo na Mpinga kristo, Leo nitakua mnikolai nikifunua Maandiko nikianza na Mwanzo kabisa Wa biblia tunaona Mungu uwapa watu wake Mume au Mke sahihi yaani anakukutanisha Mwanzo 2:18 nasio kumtafuta kwa kutumia akili zako,yako mambo ni ya kweli kabisa ila sio kutumia sura ya nje na akili za kibinadamu kumjua mtu maana Biblia inaitaja ndoa kama jambo LA kiroho sana na lenye kuathiri kila eneo LA maisha na ndio maana ni lazima uwe na uhakika kua Mungu ndio anayoiyunganisha hiyo ndoa ila Sio kwa kushikilia akili na Misimamo ya Ubongo kibiblia Mke au Mume inapofika kipengele cha kuoa hakuna Msimamo unaeleza kuhusu kumtafuta Mume au Mke ila ni kumtafuta Mungu zaidi akukutanishe na Me/mke wako Mithali 19:14 Mali na pesa mtu urithi kutoka kwa babae ila mke Mwenye busara MTU upewa na Bwana.Utaona agano alilofunga Ibrahim na Mungu ndilo lililompatia Mwanae Isaka Mke na Mungu alimpa Maelezo yote ya wapi mke Wa Isaka atatokea na ikawa Amina, na ndio maana nasema kibiblia Mume au mke hawamtafuti ila Mungu anakupatia wakufananae na sio kujichagulia kwa mitazamo yako au kuitegemea akili uliyopewa na Mungu,Akili umepewa ili ikusaidie na kama ni wa Mungu kweli basi ikifika kipindi maalum cha kuoa u kuolewa atahakikisha anakupa kila aina ya maelezo,Hatuwezi kufanya jambo zito namna hii bila ya Mungu,MUNGU KWANZA MKE ATAKUKUTANISHA NAE AMINA
MCHUNGAJI TUNAOMBA MAHUBIRI KWA NINI WAKATOLIKI WANAVITABU VINGI KWENYE BIBLIA KULIKO BIBLIA TUNAYOTUMIA SISI TUNAOMBA UCHAMBUZI KUHUSU VITABU HIVO VILITOKA WAPI NA KWA NINI KWENYE BIBLIA ZETU HAZIPO
You have taught be prophecy thanks pastor, From Nakuru kenya
Amina pastor
Umenisaidia sana pastor .God bless you
Amina tupone kwa neno hili wanaume wamezidi kuchagua kazi na kuendekeza uvivu.
na wnwake nao wazdi kuringa kanakwmba wapo adim kuwa wataisha. kumbe aaaah wapi
Napenda mahubiri yako pastor 🙏
Barikiwa pastor
Napenda mahubiri yako pastor
AMEN🙏 point taken, be blessed pastor
barikiwa pastor, Mungu atusaidie sana kwenye uchaguzi huo
Jamani tatizo hilo lipo kwangu naishi na mwanaume huunimwaka wa 5 na kilicho nivutia kwake niana sali mpaka anasujudu mimi nikajuwa nimepata kumbe nimepatika mimi siyo kwa magumu ninayo pitia
Pole mpendwa
❤
Nakupenda na napenda mahubiri yako ususa ya ufunuo na Mpinga kristo, Leo nitakua mnikolai nikifunua Maandiko nikianza na Mwanzo kabisa Wa biblia tunaona Mungu uwapa watu wake Mume au Mke sahihi yaani anakukutanisha Mwanzo 2:18 nasio kumtafuta kwa kutumia akili zako,yako mambo ni ya kweli kabisa ila sio kutumia sura ya nje na akili za kibinadamu kumjua mtu maana Biblia inaitaja ndoa kama jambo LA kiroho sana na lenye kuathiri kila eneo LA maisha na ndio maana ni lazima uwe na uhakika kua Mungu ndio anayoiyunganisha hiyo ndoa ila Sio kwa kushikilia akili na Misimamo ya Ubongo kibiblia Mke au Mume inapofika kipengele cha kuoa hakuna Msimamo unaeleza kuhusu kumtafuta Mume au Mke ila ni kumtafuta Mungu zaidi akukutanishe na Me/mke wako Mithali 19:14 Mali na pesa mtu urithi kutoka kwa babae ila mke Mwenye busara MTU upewa na Bwana.Utaona agano alilofunga Ibrahim na Mungu ndilo lililompatia Mwanae Isaka Mke na Mungu alimpa Maelezo yote ya wapi mke Wa Isaka atatokea na ikawa Amina, na ndio maana nasema kibiblia Mume au mke hawamtafuti ila Mungu anakupatia wakufananae na sio kujichagulia kwa mitazamo yako au kuitegemea akili uliyopewa na Mungu,Akili umepewa ili ikusaidie na kama ni wa Mungu kweli basi ikifika kipindi maalum cha kuoa u kuolewa atahakikisha anakupa kila aina ya maelezo,Hatuwezi kufanya jambo zito namna hii bila ya Mungu,MUNGU KWANZA MKE ATAKUKUTANISHA NAE AMINA
Thanks for the teaching pastor
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
Amen. Hakika hekima ni kila kitu
Tuko pamoja kutoka Huku Nairobi, kenya
be blessed pastor
nice message pastor
jah bless u pastor
Gud message
MCHUNGAJI TUNAOMBA MAHUBIRI KWA NINI WAKATOLIKI WANAVITABU VINGI KWENYE BIBLIA KULIKO BIBLIA TUNAYOTUMIA SISI TUNAOMBA UCHAMBUZI KUHUSU VITABU HIVO VILITOKA WAPI NA KWA NINI KWENYE BIBLIA ZETU HAZIPO
Good ooh
mimi nipo Dar, 0629063837nahitaji ubatizo, naomba mwongozo wako mchungaji
hii nikweli