JKT Tanzania 0-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League - 28/08/2024
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye wa NBC Premier League kati ya JKT Tanzania dhidi ya Azam FC, ambao umemalizika kwa matokeo ya 0-0.
Ni mchezo wa kwanza kwa timu zote mbili msimu huu wa 2024/25
Kwa kweli jkt wanajitahidi saana uwanja upo vizuri sana
Bonge la mechi kwenye kiwanja Bora Cha kimataifa hongelen jkt 🙏🙏🙏
Nawapongeza JKT wameboresha uwanja wao safi sana
Mzee Bakhresa nakuomba ifute kabisa hiyo timu, na hapo Chamazi jenga kiwanda cha kutengeneza pipi utapata faida kubwa kuliko kuwa na mijitu isiyo kusaidia, tangu wachezaji mpaka benchi wote fukuzilia kwa mbali
Nyiee ligi ngumu mwaka huuu tutaona mengi mechi ya kwanzatu unashona sare Azam club bingwa kutolewa saikological imewaathiriiiiii
0:13
Azam ya mwaka jana siyo ya mwaka huu
Wala siyo meng bro. Azam wajinga sana.
Wanatudanganya na wakorombia kumbe hovyoooooo.
Uwezo wao ni aibu kwa Azam.
Eliud Yaaaani hapo unastahili maua na pongezi 🎉.. imeongea kimichezo bila ushabiki hakika ligi ngumu
Moja ya viwanja bola kwa sasa Tanzania
Simba bingwa 🦁🏆🏆💪💪💪💪🙏🙏
Mechi taff sana mpira mzuri sana japo Hauna goli ila mpira wenye hadhi ya ligi kuu ushinfani ulikua mkubwa🔥🔥
Acheni wenge mpira unsmatokeo 3 tulieni hamjui mpira mnaongizwa na mihemko ya kishabiki ligi ndo kwanza game ya kwanza anzeni kulalamika after 10game cz jua ligi kila timu inejiimarisha msiangalie majina ya wachezaji na majina ya timu kwani hao azam ninani
Hongereni sana jkt kwa kujenga uwanja
Hivi iko mkoa gan hii timu
@@aminatanzanya7475 bila shaka itakua dar au pwani
@@aminatanzanya7475Dar hiyo ni mbweni km sikosei
Niwapongeze TFF naona mwaka huu viwanja vyote vina ubora sana
Kwa YANGA ni mizoga yetu hiyo
Duuuu😢😢😢😢😢 kuna jamaa alikuwa anamsubiria azam tuu ashinde million na lak 280
Nimecheka kinoma
@@jamesmaneno2281 sasa ni nuksi au makusudii😢
huyo jamaa asingenipa hata ten najua labla ningeambulia lipepsi tuu ila roho imeniuma kinyamaaa
Kwa uwanja huu hakuna timu itapata ushindi hapa ,wajeda wanakaza balaa
hamna timu hapa kaka
Kocha mjinga kwann diakite hachezi wakati alionekana kucheza vizr dakika anazoingia
Yaan hao jkt ni kama Azam na Azam ni kama jkt kimchezo jkt wanaonana
,mungu atusaiidie
Pitch ya kiwango Cha juu kabisa
Kumbe Simba na yangu TU kulikobakia kama ligi ya Zanzibar
Kaz ipo msimu huu ni ubaya ubwela yaani ni ng'adu kwa ng'adu
Shida ya Azam hivi:- Simba na Yanga timu kongwe toka 1935 na tokea wakati ule mashabiki wakawa wa timu mbili hizo tu hata Dube si alisema katika uongozi Azam kuna wanaoipenda Simba na Yagsa na hakuna nyengine kwahivo ndio A, am hawana mashabiki wa moyoni kwa hivo hsina popularity
Bakhresa kazi anayo team hii ni hasra kwake anavumilia tu. ,,,, Sasaaa. Imagine bakhresa eye mwenyewe Simba team yake hashabikii kutoka moyoni viongozi wa team mashariki wa Simba nayanga. Masshabiki wengi wa Azam ni watoto wa 2010+ inabidi asubiri miaka kumi+ vinginevyo akawatafute viongozi professional nje ya nchi wasio na mahaba kwa ssc na ysc. Ajifunze kwa mamelod humkuti kiongoza mwenye mahaba na Orlando wa caizer
Ww ndo umeona ni hasara koz huna unalonlijua katka biashara zake
iv cm yang haiyonyesh au kamera imezingua
Hata yanga mwaka uliopita walitoka sare na jkt Cha ajabu nini kosa liko kwa Azam tu wengine wakifanya hawana kosa makibwa
Kipre na Dube hawakupaswa kuuzwa.
Pia Azam ni timu ya burudani na biashara haina malengo yoyote kuchukua medali ligi ya ndani ama kimataifa.
Kazi ipo
Nauza ramba ramba karibuni san
Bonge moja la uwanja
Sema huu uwanja upo vzur sana au macho yangu tu
Hii ligumu ndo maana GSM kaamua kuongeza timu kweli yanga bingwa watapata point nyingi sana
GSM ahahusikaje apo kwa Azam kupoteza point Leo...
Aprfc 🔥
Azam wameoza balaa
Azam wanaponzwa na hizi jezi
kwauwanja upo mzur sana
😂😂😂leo fei kafingiwa kwapani ungezani ayupo uwanjani angekua anacheza na yanga sasa ukaona anavyojituma🙌🙌 yani jkt uwezi sema walicheza play off
Hamuchelewi kwenda kwenye media kulia ...wala mihogo...
Azam wanafeli wap wakuu😄😄😄
Azamu wamchukue mgunda😊
Kesho ni zamu ya Arajiga FC kule Kagera😅
Pengo la kipre junior linaonekan
Sahihi😅
Tumependa wenyewe azam fc hongera kwa mchezo mzir ila sabu zile nibora sana zikianza ila, dapo aondokeeee au mpeni akademi apo aondkeeeedabo
Uwanja upo vzuri sana
😂😂😂 mvua ikinyesha uwanja hauonekani
APR FC from Rwanda 🇷🇼 🙏 🤍 We win few goals AZAm is weak😃😃😃😃AZAm vs jku0:0 😃😃😃😃😃
Vichwa vya wachezaji bado vinawaza kule kwan APR
Kimeumana Leo
Shida ya timu hii huwa inamkamia yanga na Simba tuu. Lakini mikoani wanafungwa mara wanadroo tuu
Jkt ni wazuri mwaka uu
Angalieni team zenu huko...leteni kombe ra kilabu bingwa au shilikisho hapa ndoo tutaona ukubwa wenu...m'natupigiza kelele nama lobolobo...yenu hayo...litawakuta jambo mtatafutana kwa torch
Ndo magoli yake hayo off side😂
Du hivyo ndo ucheze mabingwa utamfunga nani xaxa
Heeeeeh kwani hatujashinda nyumbani....na hatujawahi kupigwa nyumbani... Ila hao vilaza wenu 1935..washashiliki marangapi federation... Walikua wanazidiwa na biashara
Na namungo msisahau mulikotoka hawk Apr walikuchapa 3-1pare Zanzibar...january 2024...kama unabisha nenda
RUclips...hivi ile nyimbo ipo tunspindua meza
Mimi nabashiri mwaka huu Azam hata 5 bora hawatakuwemo take my word
YANI WE UNATABIR KISA MECHI MOJA WALIYO CHEZA
😂😂😂 Wapi hashimu ibwe huu ndio ushindi kwa Azam FC sio
Kazi wanayo
Hao wachezaj wa azam inatakiwa wapigwe Wote viboko hasa uyo striker alie ingia kipindi Cha pili
Bora useme ww🤣🤣🤣🤣
Fei miunooooo😂😂😂
Duh
ILA AZAM FC NGOJA NIANGALIE SINEMA ZETUU NIJILIWAZEE
Ligi wapi AZAM WACHEZAJI HAWAKITUMI BOSS VUNJA TIMU WAKATAFUTE KAZI WAFANYE HAWANA UCHUNGU NA TIMU NDIO MANA HATA MASHABIKI HAMUPATI MNASHINDWA KUJALI PESA ZA WANAO WALIPA.
Fei ondoka Azam utaumbuka
Mwenzako kafuata pesa bhanaa
You refuse to play cecafa kagame
That you wanted to Eliminate Apr fc 😂😂
Azam bila kuachana na Feisal kazi wanayo😂😂😂
Acha chuki
Kumchukia mtu aliyekuzidi maisha ni ujinga sana ,punguza chuki Fey hakuzaliwa acheze yanga tu
@@emmadora7848 wew acha ukuma hv hyo comment itabadilisha nn khs fey hyo ni some jokes kama umechukulia serious issue juu yako acha shobo broo kwan kunizid maisha ndo kitu gan haend choon ,halali acha ushamba nyoko wewe
@@Chigotwe angalau anaenda chooni pazuri kukuzidi ,shame on you ,matusi ya nn ? Hilo neno umesema ndo ulitokea huko
Azam Watajua wenyewe 😂 Ila Nimependa zaid Namna pitch ilivyo boreshwa Good good gooooood YANGA Tutaubonda Vzur Hapa ✅✅✅✅😄
Azam , mchukueni kocha die Gomes derosa yule nikocha atawafikisha mbali
Ubaya ubwela
😂😂😂nilizani mitoto ya matajiri ndo hazipogo kabisa kumbe adi timu za matajiri 😂😂duuh aki Azam wakuiokoa naona ni Mungu tu 🙌🙌
Alinyolewa zako tia maji sijui kesho uwanja wa kaitaba mmmmmmmmmmh
Hii timu haina mvuto kabisa
Saf azam fc tumejitahid tutafanyaje tumependa we yewe azam ila dabo aondokeeeeee
Tatizo ni kocha mkuu
Ndo maana oscar oscar alisema wakakande chapat tu kiwandani
Uyofeisali hajacheza
Aaahaya ndiyo kayakimbia Dube kaona bora ugali dagaaa
Kuna watu wametangulia na baskeli ya miti
Sasa wewe unaumia au niaje?
Huu ni mpira unaweza kushangaa wakabaki kileleni hadi mwisho.
Kwahiyo unataka kusema nn
Wava Rapid
kiwanja kipo mkoa gan hiki
Dar es salaam
@@samsifuni oooh thanks
Ngumu kwa watot
Azam wabovu
😊😊😊😊😂😂😂
,watan wanacheza liin
,kwaiiyo azam iinamtegemea fey toto
,,watamuze esha mzanzibar
,nawaombea tm yang yasimba mahndariz mema yamech yao yakirafik
Kivumbi
Azam na simba jazi wanao
Azam ni kwa kuuza soda mpira😂😂😂
....aaaaah😂
Azamu wakaombewe
Nooo saikological imewaathiriiiiii kutolewa club bingwa
😅😅😅😅
Mmhhh
😂😂😂🎉🎉
Azam bhna
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂
Azam washaza kusinguwa