ANGALIA ZUCHU ALIVYORINGISHA PETE YA UCHUMBA ALIYOVALISHWA NA DIAMOND UTAPENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • #diamondplutnumz #zuchu #bongo24

Комментарии • 41

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +3

    Harusi ya mtu meengine lakin walotren dai na zuchu

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 Год назад +1

    Magnifique 💋 ❤❤❤❤❤

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Год назад +6

    Zuchu unajua kupenda humuachii mond kbs

  • @productivityprogressprince5156
    @productivityprogressprince5156 Год назад +13

    Kwenye 0:14 wote mikono imeenda sawa. Afu ma haterz watasema zuchu anafosi. Mxiuuuuuuu. Awa wawili wanapendana alafu wanapendezeana hmmmm ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 Год назад

      Diamond anmpenda mno zuchu kuliko walimwengu wanavyozani, diamond mwenyewe alikiri kwa boss wake babu tale akamwambia hata yeye anajishangaa amejikuta amempenda sana zuchu kuliko alivyozani yan amekufa kameoza kabisa hana namna hajiwezi labisa amefika akamwambia zuchu ana heshima, adabu, msikivu, mtii, anajali, ana mapenzi! mkarimu diamond alimwambia boss wake babu tale akamwambia yan mtoto nimejikuta namuelewa kinoma ana dini pia ni mtulivu sana nampenda mno zuchu kuliko watu wanavyozani, babu tale akabaki mdomo wazi, babu tale akamuuliza diamond mara tatu ni kweli unampenda zuchu kwa dhati sio kumchezea una uhakika, diamond akajibu ndio nina uhakika na moyo wangu nampenda sana zuchu babu tale akamwambia diamond hakikisha iwe hivyo maana mimi binafsi sitaki kabisa umuumize zuchu maana nampenda sana huyu mtoto sitaki aumie wala mapenzi aondoke wasafi kwa sababu ya wewe kumvuruga kwenye mapenzi! diamond akamjibu boss usiwe na wasiwasi nampenda mno zuchu kuwa na amani

  • @aminamgendi5121
    @aminamgendi5121 Год назад +9

    Zuchu we fundi nakupenda bureee mond atazunguka lakin lazima arudi kusain kwako❤❤❤❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +4

    Hata wapiga picha wamekuwa bizy na dai na zuchu kuliko wahusika

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Год назад

      Diamond ni kivuruge tu anapenda kuwa mbele ya kila kitu he is selfish ignorant bully.

    • @OlgaAmboulou
      @OlgaAmboulou 4 месяца назад

      ​​@@ashaali7154hummm même si on déteste quelqu'un 😂

  • @suzanmairy2638
    @suzanmairy2638 Год назад +1

    Iyo pete ya chumba inavaliwa mkono wa kulia

  • @meselemanihamisi3905
    @meselemanihamisi3905 Год назад +1

    Hii imeenda❤

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Год назад +2

    Zuchu🥰🥰🥰🥰🥰

  • @yusrakaonekayusra7634
    @yusrakaonekayusra7634 Год назад +2

    Jamani rahaaaa❤❤❤❤❤❤

  • @PolyneKhalende
    @PolyneKhalende Год назад +4

    Nimecheka kama mwendawazimu,Raha jamani 🥰🥰😅😅😂

  • @TRIZA22-m1i
    @TRIZA22-m1i Год назад

    zuchu shikilia apo apo mpz much love from kenya ❤

  • @JeniphaEdward-w2b
    @JeniphaEdward-w2b Год назад +1

    Nawaomba msiachane endeleeni kuwakela

  • @eshymohammed8837
    @eshymohammed8837 Год назад

    hawa kaka watatu kwa kusengenya😂😂😂😂kha😅😢😢😂😊

  • @aishanassor-wf8vq
    @aishanassor-wf8vq Год назад

    Kama si harusi vile jamani munaotowa matamgazo ya harusi zenu au maaonesho ktk midya kwanza wachukulieni mazoezi maharusi ndio mtowe

  • @HalimaHamisi-r3g
    @HalimaHamisi-r3g Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @aishanassor-wf8vq
    @aishanassor-wf8vq Год назад +2

    Biharusi aache ushamba 😂kumwangalia zuchu na mdomo ubanwe kwa kibanio

  • @loreenochiko-w4l
    @loreenochiko-w4l Год назад +1

    ♥♥♥♥♥♥♥

  • @TajiriHalisi-ez1tf
    @TajiriHalisi-ez1tf Год назад

    Nomaah aiseeh sana

  • @citynews5611
    @citynews5611 Год назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад +1

    Atabaki na Pete kidoleni danganya mjinga wenziwe wamevaa Pete na kuzalishwa na wameishia barabarani. Diamond anajua kudhalilisha wanawake na wanawake wenyewe wanampa hiyo nafasi kwa ujinga wao wa kufikiri wanapendwa. Huyu hana apennines na mtu zaidi ya nafsi yake. Wanawake why give him the chance to humiliate you? Please please don't let him get away with all this rubbish.

  • @richardk.kataliko8935
    @richardk.kataliko8935 Год назад

    Vanity

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад

    Wakudereeee

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Год назад +3

    Dai tangu apende hakuna anafit kama Zuchu. Mke msikivu wivu kidogo haangalii pesa anaupendo wa dhati

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 Год назад

    Kwani Pete ndio nn

  • @faridajuma8872
    @faridajuma8872 Год назад

    Mautiii

  • @miriamchoto7990
    @miriamchoto7990 Год назад

    The two men in brown/tan suits should have brought dates/partners to this beautiful wedding 🙊🤷🏽‍♀️

  • @janetharris7509
    @janetharris7509 Год назад

    Mauongo yatawauaaa😅😅😅😅😅 tafuteni CONTENTS 😅😅😅

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @citynews5611
    @citynews5611 Год назад +2

    ❤❤❤

  • @najmaalamin-gq3dn
    @najmaalamin-gq3dn Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @sifauseni6900
    @sifauseni6900 Год назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤