ZUCHU NIPE NAMBA YAKO/ KUNA DILI NATAKA TUFANYE/ MI NAKUELEWA SANA
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2020
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Yaani #Zuchu nimetokeya kumpenda kwasababu ya hiki kipindi kwa jisi alivyo mpole🥰🥰🥰
Love from BURUNDI🇧🇮🇧🇮
Naomba mumrudie tena zuchu ziara nyengine kwa kweli dada ana nyota kali mashallah
Lov u Zuchu
From🇺🇸🇺🇸
anaweza mambo
Mambo
@@nurumanyota416 safi vip
@@marthahenry5475 aa
Jamana mashabiki anae mkubali ZUCHU na ngoma zake agonge like hapa.
Mkn
Tatizo nyota zuchu nakupenda Sana wangu 😘 nakuombea ukaze usiwe km wakina ray c
Zuchu napenda nyimbo ya mauzauza wee lkn wabongo kwa fitna tutasema wamepangwa
Akuna kabisa pindi ninalo lipenda❤️❤️❤️ na kulifuatilia kama hili #hivinikweli🔥🔥🔥🔥🔥
Ni lini kwa tv my
🔥🔥🔥
@@latifamoshi846 kila jumanne saa tatu kamili usiku,ndani ya wasafi tv
@@latifamoshi846 jjjjjjk I'm j Kim mmm m
Huku kenya tunakupenda na mimi namkubali zuchu nampenda sana na nyimbo zake zote Yani mtoto amebarikiwa
Me pia namkubali mrembo nikiwa apa valley front studios,,,, Love you ZUCHu napenda kazi yako
Pia nami nipewe namba ya zuchu nina ushauri pia😂😂😂.....I loved that guy he had guts 😂😂
Zuchu kwenye kuvaa tu.nampenda Hana mambo mengi.pia nikwa kuwa tu ndio ustaa ila anapenda kuishi maisha ya kawaida sn kujichang'anya Kama kote.mashaallh mungu akusimamie ufike unapopataka.
W
mamb
@@barakanicholaus9131 p
Si ndo huyu au..au si huyu,,ndo mwenyewe, huyu si ndo Zuchu huyu au, ndo yeye..bro kanifurahisha sana
Hahahahha nimeipendaaa hiii
Mimi narudia mara kama zote nacheka wallah
Tz kunavitu vizuri sana duuh!napenda sana zuchu ongera sana nakufatiliya nikiwa congo Drc
much love Zuchu.....from Zimbabwe and we are expecting to have you in Zimbabwe one day..
Zuchu anapendwa sana huu ni wakaT wake na tunamuombea asipote abaki up awe mfano wa kuigwa kwa wasichane wenGine Go far zuchu💕
✔✔
Daah zuchu noma
Daaah! hata sisi mashabiki zako umetufanyia suprise hatukutegemea kabisa....komaa sana SANYA
Ivi hii sanya ni jina lake au ni kule home kwetu
Baraka Mtoi anaitwa mo town sanya
Nampenda sana zuchu❤ from Oman🇴🇲🇴🇲
Pamoja
I love you zuchuu endelea kuimba hivyo hivyoo unaweza na pia siku moja pangaea show arusha jamanii tunakupenda 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍uzidi kuongeza muziki asante sanaa
Jaman km ume enjoy Show km mimi gonga like,ila mwshon big dady #vaileth 😂😂😂😂😂😂
Jamani mtukubuke na sisi mikoani jamani wsf sumbawanga muje
@@elizabethkangula515 mwaaa
Had machozi yamenitoka alivyofurah huyo mtoto
Zuchu wa simba
Watu tungekua naham ya kumwona Mungu kuliko wasanii ingependeza sana
Kuna nabii au mteme au anaeswali sanaaaaa alishawahi kumuona Mungu? Na kama ndio nipe ushahidi unaotoka kwenye Msaafu au Biblia, nikuweke sawa ni bora ungesema hivi ~ watu tungekuwa na hamu ya kuiona pepo kuliko wasanii na anasa
Ilo nalo neno
Safi
Kumuona mungu ni ndoto
Exactry
Zuchu big talented sana mimi sio shabiki wa msanii yoyote wa kike yule ila Zuchu mimi shabiki yako damu damu
Anachosema uyo kaka nikwel yn akuna pkpk ety ishindwe kupiga nyimbo yake nampenda zuchu 🥰🥰
Malkia Wa Bongo Flava 🔥👏Ametisha sana
anaye tizama show uku akisoma comment agonge like tuendeleye ku enjoy
ruclips.net/video/C_3CYe-TmVs/видео.html
Wcb
Ok
Dr by
Yaan. Huyu kachoook namaisha yake unazid kunchaaangaya ha ha ha ha
Nampenda sana zuchu from Oman🇴🇲🇴🇲
Zuchu n safi hata moyo. Nakupenda sana
SEMA mwanangu mosanya umeuwa Sana nawakubali Sana wote watangazaji pamoja na wcb nzima wote by mbeya sil
Kidogo nilie machozi kwa furaha tu! Watoto kwa wakubwa wanavyo Mpenda #Zuchu ka Ninavo Mpenda mie tu Moyoni Mwangu Big up #Zuchu from Mombasa 🇰🇪
Waooooo
Acha urongo bana
Zuuuuchuu ww unatisha saaaana nakupend kwakweli
Mm nimelia kabisa ,,,,,Yule mtt wa shule alivokuwa surprised baada ya kumuona zuchu ❤😍😘😋
zuchu aweza adi Kenya twakupeda
Love you soo much zuchu. Love from kenya
Eti nimemurambisha ananambia compeza nayenyewe nayipenda sana zushuu l lovu😘😘😘😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hello to ZUCHU, YOU'RE THE BEST. CONGRATULATIONS DEAR YOUNG LADY YOU'REON THE TOP OF THE LOSERS!, would you try even though once, make a Live show in USA so that we can see you too.? We are your funs an we support you thanks.🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲💝
N wewe ulikuwa unaingia youtube kila saa kuangalia kama hii show imeshapostiwa kama kweli like
Yaan ww ni km mm
kumbe sikua peke yangu
@@issakhamisnassir6293 maana haijawahi kuboa hii show wala sijawahi kujutia kutumia MB zangu
Nimechungulia sana na sikuona nikalalazangu...ila morning nikaiamkia vema tu
weacha tu
This girl is really rocking, all digital platforms are talking about her. I hope she'll keep the 🔥🔥🔥 burning
Exactly
dhaaaa fulaha tunayopata kwenye hiki kipindi dahaaa fulaha yanguu sio kifanooooo
Me demu mwenzie cio mwanaume jmn nampenda sana zuchunyo nampenda from my heart
Hata namimi pia napenda zuchuuu kweli aswa ile ngoma nisame
Walio vaa mafon. Kabilagan heeee?? Wanaimbaje!!?
Safi
Nakubar sanaaa nembo ya mtaa,
Classic juto Tz 🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
zuchu anaonekana anapenda Sana mashabiki zake sana
I love u zuchu LAkini wananiambiyaya nafanana na wewe Abby from Kampala
Sijawai ona watu wana njaa uyu zuchu ni star 🌟🌟🌟🌟🌟🌟
kwan weunaon nini au mwezi
Mambo za huko kenya
@@johnsilima1629 poa sana dear
pwa vip za masiku sikunying
Who is the best?
Zuchu _ like
Nandy_ reply
Both of them
🤣🤣🤣
Nandy
Zuchu 🔥🔥🔥
No one anymore
Zuchu anajua sana.big up sanya🤙🤙🤙✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿.
Aqui em Moçambique ZUCHU só teu fã number one... te amo.
Mweee mweee zuchu nyota kama yotee Mungu tu akuwekee in sha Allah🥺🥺🥺🥺
Jamani na mm naomba like jpo 5
For giving out that phone , it really teach me so much , she is great women
🤣🤣🤣 yani nafik mwisho cheko sio langu kabisa, ila Zuchu uko juu respect
Nembo ya mtaa ww noma nakubali sana
Naombeni like zako hapa💪🏻💪🏻
Jamani zuchu anapendwa sana tena sana
Kazi nzuli sana kwa wasafi tv ,,,huku kenya artist kupatikana mtaa ni balaa atleast kuinteract n mafans big up love from 🇰🇪
Hii ndio show ya kwanza naangalia mala mbili
🔥🔥🔥
Unyama kak
Jamaa wa ice cream kanikufuraisha Sana mwamba anataka jero 😂
Jamani sijawahi kubofya "HIVI NI KWELI" haraka kama leo
🤣🤣🤣🤣 umetisha
Kumbe tupo weng
Hhhh
Inafaa pia wailete hii pande za Kenya uswailihini Kama Mombasa,,pia supporters wa Bongo Fleva wengi mno Mimi miongoni mwao💪💪💪
True. Brow
Umeshuta point bro
All thé way from Lyon, France 🇫🇷 love this nyembo yamtaa much love for wcb safi
It's nembo you tried well broo
@@5facts60 thankx bro ✌🏿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa
Zuchu katuharibia show 😂😂😂😂😂😂😂. She's international huu uwanja mdogo kwake 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
amna kitu hapo🚮🚮
@@sontv1751 😂😂😂😂matumiz mabovu ya roho mbaya
@@beautyibrahim8428 😅kwakwel yan hayo ni matumizi mabaya ya roho😅
@@robinapatrick8479 umeonaaa
Zuchu tena ndani dah Aiseeh!! Sanya unatisha kama njaa.
Nakupenda Bure zuchu from Kenya
Hakika bi khadija kazaa chema mashallah mwenyezi mungu akuwekee❤❤
Much Love from Nairobi (Kenya)
Zuchu ♥️♥️😍🥰🇷🇼 Kigali Rwanda sukari namupatia shuga sukari nawambia kwakweri sukari niwimbo urisikika sana ♥️ hapa Kigali😍🌹💋💋🇷🇼🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Ebwana asilimia 90 wahoji wahuni nainyoy sana majibu yao👍👍👍
Wallah upo kama mimi wahuni wapo really sana
nakubali gonga like twende sawa
Thank you bro for bring Zuchu!!.
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyo bonge kaniacha owi
We love you so much from wcb fans Tanzania
Najiskia machozi Kwa furaha Mimi mshabiki pia from Zambia like zangu tafadhari.
Aaah 😂❤️
Karibu sana
Hakuna jamaa wananifurahisha Kama wanao imba mwisho 🤣🤣🤣
Show ni kali na ubunifu ni mkubwa sana but ni vizuri mkawa mnabadilisha location kwa7bu usafiri mnao yaani ni km vile mlivyofanya na chid benz {Lucas MJ5 kutoka Italy}
bro upo Italy kwel lakn 😂
@@winfredkisigo9402 yuko Italiiiiiia
@@eddyshembilu9886 aha kumbe.. bc nakubal mwamb
Ndio nipo Italy , kwani vp kuna tatizo ?
Big country representing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mo town sanya chang frequency ukiona eneo limejaa watu coz we need more creactivity wacha kukaa eneo moja
@@ameknews2315 positive
Huyu mtoto anajulikana balaa
Kwa kweli Kila mtu anamkubali
m
Mimi murundi 🇧🇮🇧🇮 zushuu nagupenda sana sana yani unaimba vizuri dada naomba nikuone basi sikumoja jamani napenda irenyimbo inasema namupatiya shogasukari naire uriimba kama wazuru ninyingi sana napenda dada kurajeee atahivi nasikiaa uzuni😭😭😭😭😘😘🤩🤩🤩🤩🙏🙏🙏🙏👌👌👌🤝🤝🤝🤝🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Zuchu Allah abençoe com teu trabalho forças ajuda tua família...foi Allah escolher esse teu trabalho faça bom trabalho Thank you
Mo town kaz nzurii sana
Dah! Huyo big kwny gonga beat kavunja xn mbavu aisee.
Nakupenda toka moyoni ❤frm NAIROBI KENYA @totoBOSS🦁 SIMBA ,zuchu na KUNDI NZIMA 1❤
Ila mbagala watu wamevurugwa😅😅 zuchu unajua mama!!! Gonga beat huyo bonge kanichekesha mpk waarabu wamekuja kuniangalia🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahhh
😂🤣🤣🤣
😁😅😁mimi nimezimiya wakanibeba kwamuganga😁😅ju yaceko
@@happypa2027 ila ww unasema kwli mmmh jmn
@@agnesgervas8070 😁😅😁😅nihatari
Tuletee mbosso ao Rayvanny jamanii😍😍😍nina imani iy siku tutaona maajab km ay zuchu😃😃😃☺☺
Tena na zaidi
Sanya leta kipindi Kenya #zuchu to the world
Yani huyu Zuchu vile amefanya mtoto wangu wa mwaka mmoja na nusu akiskia nyimbo ya Sukari mtoto huruka kuruka na kulamba mikono na kuimba sukari #Zuchu Sukari yako nitamu #lovefromDaughterAsmah Mombasa twakusalute
Hii gonga Beat Nzuri kweli ni 🔥🔥
Jaman zuchu kama Michael Jackson sasa we love you
Jaman zuchu anapendwa 🥰
Mchaga bigup sana
Ukweli hyo ngoma nisameh naipenda Sana Tena Zaid ya sana skujua kumbe weng Sana Hadi watoto wanaipenda kupitiliza
Na Mimi basi nipate ata like 10 jamani niko zangu Australia
ruclips.net/video/C_3CYe-TmVs/видео.html
ruclips.net/video/876Yi0GilDQ/видео.html
Ya mbezi au
Mkmmkmlmk
Gonga beat ni kixangaaa 🔥🔥😂😂wakitoka hapo wakijiangalia kwenye tv cjui wana jixikiaje maana c kwa kuno ng'ona huko 😂big katixhaaa 🔥
😃😃😃😃😃🥳🥳
Hahahahahahahahahaha umeona eeeeeh 😂😂😂😂😂😂
Uyo jamaa amevaa red anasema c ndio uyu au amenifurahisha😂😂💙💙🌟
Respect kwako zuchu, mwenzio alikataa mkono wa mwanafunz tangu apo simfagilii kabisa
Wasafi media for every body ! Napenda sana gonga beat
Mbona lisiwe week inzima hii show Kali sana big up Sana motown sanya
Anaeufulahia hii show km mm...like ni bule.
Hicho kipindi wakikutoa wameharibu MO TOWN BIG UP MPE HII MONDI BABA LAO
JAMANI NAOMBA NA MIMI LIKE NIPO CANADA
Poleni na corona
@@MaryMary-df7eb 🤣🤣🤣🤣
Zuchu tanga lini
@@chrispinimkanda7127 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣
Sasa ukiwa canada inahusiana nini na kuomba like? wabongo bwana😆😆
Jamaa mwenye kigugumizi🤣🤣nmempenda bila hela
Nikupe namba zake mi namjua mchizi wangu uyo
Hata mimi nimempenda bure na yule mkaka aliyesema samahan nime kushika mkono bila lidhaa yako ana adabu sana🙌
Nampenda pia
wallahiii
"Samahani nimekushika mkono bila ridhaa yako" umetisha kijana unaheshima kwa kweli hongera kwa mama na Baba yako.
Zuchu vous êtes on fort en chanter.
Zuchuuuuuuuu kama zuchu unapendwa sana mdogo wangu heshima busara na kazi poa tutakusapot
Duh huyo mjuba aliyetoa ushauri alivuta cha wapi Sjui sio kwa kujitoa kuleee 😂😂😂😂😂😂
Zuchu ni wa motooo❤
Sema sanya unatakiwa uwe una move sio mnakaa sehemu moja... Hao watu wa hapo wanakuwa wameshamuona ni rahisi kumsifia hata kama hawampendi kweli
Fact
Kweli
Fact
Umeongea pointi saana
Mo town Sanya wewe Ni mtu mbad Sanaa,,,Yani Ivo unavocheza wewe mtu anajua anaimba vizuri kumbe Wala gonga beat😂😂😂💪💪💪🤭
Ni mwaisa kabisaaaaaa MTU MBADI 😅😅
Yaani mbavuuuu zangu jamaniii
simba ameshamaliza kaziii bro!!
Ooo my god.. My favor girl..
I love her
Anatuwakilisha wanaake jaman .. nampenda sanaaa
Wish ningekuwa japo nacht nae on whsp😭😭😭😭😢😢😢.. I feel so blessed
God them 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 the guy singing that song,really finished me the last show was 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻😃😃😃😃😃
Mtakuja linii na kenya jamn sisi pia ni washabikii
Msihof tupo pamoja
Tutakuja soon